Тёмный

WENGI WANAUMIA MIMI KUPEWA UDAKTARI WA HESHIMA| NAPITIA WAKATI MGUMU, SIPO SINGLE ILA NINA MPENZI 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 8 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

2 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 16   
@gagedamoursarusaru8079
@gagedamoursarusaru8079 17 дней назад
Handsome and smart TALE❤❤❤
@Sisopotashiumz
@Sisopotashiumz 14 дней назад
Leo tarehe 7 July 2024,tale MH.nimekuona mawasiliano kwenye bodaboda na bahasha mkononi?
@mariamdaniel-hg2cn
@mariamdaniel-hg2cn 13 дней назад
Babu tale nakuelewa sana maana ninapitia hizo changamoto.nikiwazaga hicho cha kufananisha niliekuwa nae na nitakae kuwa nae uwa naona naweza kumkosea maana hatafanya vile alivokuwa ananifanya mwenzake kwa hy lzm patatokea maumivu.so najikuta najipa muda.lbd badae ntasahau.miaka 11 tangu afariki lkn uwa naona nikama jana tu. kufiwa na mtu uliemuelewa ni sawa na donda ndugu.mungu atusaidie
@mariamdaniel-hg2cn
@mariamdaniel-hg2cn 13 дней назад
Acha kabisa kufiwa sikia kwa mtu babu tale nakuelewa unachokisema.maumiv ya kufiwa hayaeleweki kwa yule ambae hajapitia huu mtiti..kikubwa uzima mengine mungu ataleta kheri
@StoneEmanuele-yy3pv
@StoneEmanuele-yy3pv 17 дней назад
King tale
@erickmrema6850
@erickmrema6850 17 дней назад
kinĝ tale anajua talk kulingana na wakati...big up
@EmmanuelKasumuru-c7j
@EmmanuelKasumuru-c7j 13 дней назад
Good
@peterdavid4230
@peterdavid4230 17 дней назад
Nawadei kila kitu napokea kwa positive😅
@user-cr4th9lr6b
@user-cr4th9lr6b 15 дней назад
It’s time babu Tale ukubali qadar Kama muislam layman u move on hi Tena kila make wangu wooote tutakufa. Dini ni nyepesi na uoe update mwenza wa kukupaka hata Vicks watoto watakua na wataanza maisha Yao na acha kumpa shemeji yako kazi ya kukulelea watoto kwani ukioa utaambiwa ulikuwa humpendi Mkeo.
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 17 дней назад
Hata msukuma ati nae dakitari 🤗🤗😛😛😛mnashangaza nyie
@zahormohammed4476
@zahormohammed4476 13 дней назад
Babu tale inatutia wasi wasi na uislamu wako inajiita alhaji wakati bado unamenege musicians na unatuthibitishia hauna mke bali una mpenzi sasa haufungi ndoa au ndio tuseme ni wapenzi wa namna gani au unakwepa kununua gari kwa vile yupo anaekupa lift
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 17 дней назад
Tale nakuelewa sana hapo ktk mke mana niliishi na mke miaka 19 akafa hafla na kaniacha na wtt sasa nashindwa kumuv on hadi sasa huu mwaka wa 2 na mienzi kadhaa😢😢😢ila mungu muweza atupe sbra na awalaze pema marehem zetu
@Shokolokobango9385
@Shokolokobango9385 17 дней назад
Magu hayupo uchaguz unakuja ngoja tuone
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 17 дней назад
Alie anzisha hii hana akili ni mpuuzi tu, mnataka kutupa udakitari kwa kipi? Tena bila ufahamu mtu akiamka tu anapewa udaktari 😂😂
Далее
UWEKEZAJI KISIWA CHA BAWE
7:10
Просмотров 11 тыс.
NDOA YA RINGO NI VITUKO, UTACHEKA UFE
21:49
Просмотров 46 тыс.