Mimi mkristo lakini Huwa nakufatilia sana Mzee wetu na ninakupenda sana shehe stambuli ❤❤❤❤❤❤❤ MUNGU azidi kukupa Afya Ili uzidi kutujaza maarifa kama haya
Utakua mjinga kama ukisikiliza utumbo WA Huyu Mzee, jaribu kumuuliza wayahudi halisi wako wapi? Anasema wayahudi halisi wapo Ethiopia je , mfalme daudi alizaliwa Ethiopia? Suleiman methipi? Yesu alipozaliwa Nazareth ni Ethiopia? Wakina petro yohana na wengine kule galilaya walipokua wanavua samaki ni Ethiopia?
Nani kakuambia, Mungu hana habari na dini yako, hivi unajua nini maana ya dini? Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu lakini wokovu ni mpango wa Mungu kumtafuta mwadamu. Na hicho ndicho Mungu anataka tuwe nacho mabali na dini zetu haswaa kabla ya kuwa na dini zetu. Kabla ya dani ya kikristo ya kiislamu MUNGU anataka tuopokee wokovu wake kwanza aliouleta kupitia njia ya mwanawe Yesu kristo. Shida ya hizi dini na kuwa mwanadini ni kwamba mtu anaweza kuwa na dini yake ni mkristo au muislamu lakini ni flauni wa kutwupa, muongo hata shetani kazingiziwa, anamaneno machafu hata shetani anamuogopa, ni mfilaji , anaharibu watoto watu, mtaani akipita watu hawalali utasikia watu wakiambiana jamani mtu flani kapita hapa kuweni makini kwa kuchukua wanawake wa watu ni namba moja na mambo kama hayo na huku ajiita yeye ni mkristo au ni muislamu; madhala ya kuwa na dini moyoni mwako, dini haina msaada wowote ktk maisha ya mwanadamu; ila ukiwa na wokovu kwelikweli hayo yote hatatajwa kwako, sijui uongo kuharibu watoto wa watu kuchonganisha watu cjui ugomvi hayo yote hautayaona kwa mtu mwenye ambaye amepokea wokovu .
Ndio taifa lenye kushelehekea siku ya mashoga duniani. Je? Waisrael wa sasa ndiyo wale wa kwenye biblia au ndio ile mizetuni mwitu. Tuliyoambiwa kwenye biblia?. Nyongeza *# MAREKANI ametangaza kushelehekea shelehe za mashoga kwa mwezi: 1: na ndie mshilika wa Israel. Tafakari vizuri. Mimi ni mkristo pia ila naona nje ya box 📦.
Utakapo toa ushahidi uingie pia kwenye unabii wa kihistoria kwa yake Mungu mwenyewe alioyasena na Ibrahimu na Musa na Yoshua ,kwa kia historia imejengwa kwa neno la Mungu.
Asalaamu alaykum warahmatu Allahi. Naomba katika kulizungumzia hili urejee maneno ya Allah ( ما كان إبراهيم يهوديا ولا نصرانيا ولكن كان حنيفا مسلما وما من المشركين) ninakusudia kukuuliza kusudio lako UYAHUDI ni Dini au Ni UKABILA? Naomba kabla hujanijibu urejee kwenye Aya niliashiria hapo juu kwenye Tafsiri ya Muammad Ally Swàbun iitwayo (SWAFWATU TAFAASIR) ALLAH akulipe kheiri.
Samahani sana katika kuandika Aya hapo juu nimewacha neno ( كان) sikuksudia kufanya hivyo ispokuwa ni mapungifu ya kibinaadam, naomba isomekeke ( وما كان المشكين
kula nguruwe ni dhambi ila uasherati na uzinzi na ulevi ni kawaida tu. Huwezi kuelewa mambo ya wayahudi wakati pepo la umalaya tu lakuoa wake kama mvua limekushinda. Pia haya mambo ya kisiasa hayasaidii kitu bila wew binafsi kuwa vizuri na muumba wako. Na muumba wa vitu vyote ni Yesu Kristo. Isaya9:6
wayahudi wana wa yakobo wa isilaeli wa isaka wa ibrahimu nyi nyi waislamu hamujui bibilia mnadogo hao wazungu sio wa isilaeli ila wanahshimu taifa la Mungu ndio maana wasema kweli Nakuisadia lsilaeli Mungu ibariki lsilaeli na ulilinde taifa lako isilaeli
Benzion Mileikowsky (later Netanyahu) was born in Warsaw in partitioned Poland, which was under Russian control, to Sarah (Lurie) and the writer and Zionist activist Nathan Mileikowsky Kiufupi Netanyahu ni mtu kutoka poland
Niko kigoma Mimi ni mwanafunzi wako naomba utuuzie kitabu hiki. Kwa dini yangu ni mkristo siamini kua nyetanyahu na wenzake ndo waebrania tunaowasoma kwenye biblia naamini hivo lakini sina ushahidi waweza hata kuniua lakini huwezi kunishawishi kua nyetanyahu ni myahudi halisi.hiyo imani sijui nimeitoa wapi ila Mungu amenipa
Dini ya haki nikweli hata mafisadi huwa wana haki yakutafuta wanashelia ata kahaba anahaki ndiyo maana anajiuza,Ungesema ivi Uislam ni dini Ya kweli,Haki nini mnafeli bana wajukuu wa isimaili
SASA UFAHAMU KUWA HAWA NI ]wazungu[ NA ]wote[ WANA 'DUAL-CITIZENSHIP SIO WAZALIWA WA ISRAELI'; SIO 'Wana Wa Israeli'. NA KUPAMBANA NAO (]israeli bandia[) NI KUPAMBANA NA #ULAYA# NA #MAREKANI# NA #NCHI ZOTE ZA WAZUNGU#
Ueleze pia waarabu walichofanya Africa kabla ya wazungu kuja, hapa waislam wengi huwa wanakwepa sabab wanajua unyama uliofanywa ndugu zao waarabu kwa waafrika, au uongelee pia kinachofanywa na waarabu huko darfur Sudan dhidi ya waafrika weusi
Je mbona waarabu waliwatesa Sana mababu zetu mbona hamzungumzi ,wali watesa namna hii ,walikuwa wakiwafunga minyororo kwa kuwatoboa visigino vya miguu waliwa funga minyororo mizito shingoni mwao, waliwatia miti ya panda shingoni mwao, waliwatembeza uchi,waliwapiga mijeredi ya chuma, waliwauwa walipotaka ,waliwakalia migongoni kuwafanya viti.waliwatumikisha ,waliwauwa waliwatupa baharini waliwatupa kwenye mashimo waliwachoma Moto waliwabebesha mizigo mizito.waliwalawiti, waliwahasi wasizae, wanawake walipasuliwa matumbo ya wajawazito kutaka kuona watoto walivyo matumboni waliwapa sumu ,waliwafunga kwenye magereza kwa minyororo ya chuma...haya mnakwepa kuyazungumza. (NATAKA NIKWAMBIE MZEE MUNGU ANABAKI KUWA MUNGU NENOLAKE HALITANGUKI KILAKITU KINAKWENDA KIMAANDIKO ,,CHAMSINGI NIKUMTAFUTA YESU KRISTO AWEBWANA KTK MAISHA YAKO .UTAFUNGULIWA NAKUONA JICHO LAKO LIKITAZAMA KWANA MNA NYINGINE MAMBO HAYA BWANA AKUTUNZE MZEE .
Mmefungwa akili na mungu mpaka nnashidwa kujua wayahudi pale ndio kwao wanarudi baada ya mauaji ya wayahudi yalotikea balani ulaya nasasa wapo nchin kwao kama biblia ilivo tabil i amina
Israel ni Yakobo,na Yuda ni mtoto wa Yakobo.Urithi wa Yuda ni eneo la Yudea,na Wayahudi ni wayudea kabila a Yuda.-WaIsrael watoto wote wa Yakobo na Lugha yao ni Kiebrania,elewa kuwa hakuna Lugha ya Kiyahudi bali Makabila yote ya WaIsrael huzungumza Lugha ya Kiebrania..WaIsrael sio Wazungu na wala sio Waarabu.
@@HeboniBabu hakika, biblia ni kitabu kilichokuwa na historia tu na kama kuna hukumu hawazifuati kabisa wao wanajali historia ila sio mienendo na huku za mwanadam ktk maisha yake
Aiseeeh... Leo ndio nimeiskia KalamuTv kama bahati, nimemslia mzee usiku na sikumuelewa sbb ya usingizi. Mzee anauelewa mkubwa sn, nitamfuailia mpaka niridhuke.
Zayumi sio kabila bali ni Eneo tu la Mlima yaani Mlima Sayuni ndiko lilipokuwa limejengwa Hekalu la Yerusalem ni juu ya Mlima Sayuni na ndiko sasa ulipi mskiti wa Al-Aksa, ni juu ya Magofu ya lililokuwa Hekalu la Yerusalem.
Kwani maadui wakubwa wa Waisraeli ni akinanani kama siyo Waarabu na Waislamu? haohao maadui wa Israeli ndio watuonyeshe Waisraeli wa kweli? mnataka Waisraeli wa kweli tuwachukie kisha tugeukie kuwaunga mkono Waisraeli wa bandia ili Waisraeli wa kweli wapigwe kirahisi siyo? HIYO NI DANGANYA TOTO.
Uma wa muhamadi umepotea saana; na kilichofanya uma huu kupotea,ni pale walipomkubali sheteni na majini wawe sehemu ya waislamu!Mzee umedanganywa na wewe unaendeleza uongo kudanganya uma wa waislamu.
@@josephwilliam5813 ndivo unavojidanganya nafsi yako Qur'aan hakuna ilicho acha Qur'aan imekuja kuweka sawa injili ilio ondolewa na kuekwa uongo kwa akili yak unafikiri iyo biblia maneno Yote ya innjil sio kweli Qur'aan ndio kitabu pekee kilicho elezea mfumo mzima wa mwanadam ata makafiri wenzio wanaitumia kwa maslah yao ya kidunia
@@esterjoseph670Nyie si mnachukuana tuu mnachunguzanaa tabia na mkazalishana bila ya ndoa hujaliona ilo uislam umekataza Yote ayo muislam wa kweli hawezi zini anaweza teleza na sio kuzini ukimuona mtu anazini hajaujua uislam vzr zinaa ni dhambi ya 3 kwa ukubwa ktk uislam acha kuzua zua
Biblia ilojaa uongo weye mwenyeo huijui iyo biblia ungelikua unajua kushatoka kwenye ukafiri biblia inasema na hap hao walio lala ktk ukiristo wamepotea sasa cha kazi gani kusoma mukiambiwa eti biblia haisomwi kama gazeti
Mim mkristo ila huyu mzee anaongea ukweli , nimebatizwa palokia ya mt martin de pores Mnyamala awa Wayahudi wa sasa ni washenzi hawa sio tunaowajua sisi wakina Yuda ila ni Wayahudi wanaofuata tamaduni tu za kiyahudi ambao wanafuata imani tu Ila sio uhalisia, ila hata hiyo dini unayo amini, ila wayahudi baada ya kushindwa Yerusalem walaamuru kufanya vita kokote kule