Тёмный

Wenye Israel yao wameporwa Israel Yao,Hawa ndio wanaoiendesha Israel kwa sasa 

Kalamutz
Подписаться 147 тыс.
Просмотров 22 тыс.
50% 1

Ijue Israel

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 177   
@lucasngalawa8826
@lucasngalawa8826 4 месяца назад
Mimi mkristo lakini Huwa nakufatilia sana Mzee wetu na ninakupenda sana shehe stambuli ❤❤❤❤❤❤❤ MUNGU azidi kukupa Afya Ili uzidi kutujaza maarifa kama haya
@MwazoaMwazoa
@MwazoaMwazoa 4 месяца назад
Una maarifa mapana sana.Mola akupe Afya na uzima na akupe umri mrefu
@omariselemani6578
@omariselemani6578 4 месяца назад
Wana kalam media group tunasubiria nakala hizo nyingine zije haraka in sha Allah Peace 🙏🙏🙏 from USA 🇺🇲🇺🇲🇺🇲
@kazungukakiyo
@kazungukakiyo 4 месяца назад
Ufafanuzi muzuri saana sheikh wangu
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 4 месяца назад
Huy mzee huyu anaonekana hatar san kw kweli tunaomb awe namuendelez wa vipindi
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 4 месяца назад
Sheikh upo vizuri sana shukran sana kwa taarifa
@ChaumaraAlly
@ChaumaraAlly 4 месяца назад
Mashallah babu unatupa darsa nzuri mashallah
@samwelmvande2396
@samwelmvande2396 4 месяца назад
wayahudi wamewazidi uwezo hadi mnahisi watakuwa ni wazungu. kweli nimeamini kichwa cha mjinga ni mzigo wa tikiti maji
@jelemierrasto7183
@jelemierrasto7183 4 месяца назад
Mjadara huu nimeupenda sana
@AliAdam-bz9wx
@AliAdam-bz9wx 4 месяца назад
Ahasante Shekh , Tukopamoja
@saidmoussa909
@saidmoussa909 4 месяца назад
Mashallah
@jimjam-xg7rv
@jimjam-xg7rv 4 месяца назад
Shukran sana
@abdallahsuwed65
@abdallahsuwed65 4 месяца назад
Well done Brother
@barakachristopher2504
@barakachristopher2504 4 месяца назад
Ni ngumu sana kuelezea kwa ufasaha kama tayari msimamo wako uko upande upi.
@HamisiGatuso
@HamisiGatuso 4 месяца назад
Upo sawa unajua sana Mzee wangu
@Joh-j9s
@Joh-j9s 4 месяца назад
Mimi ni mkristo lakini nakukubali sana ktk chambuzi zako.
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 4 месяца назад
Utakua mjinga kama ukisikiliza utumbo WA Huyu Mzee, jaribu kumuuliza wayahudi halisi wako wapi? Anasema wayahudi halisi wapo Ethiopia je , mfalme daudi alizaliwa Ethiopia? Suleiman methipi? Yesu alipozaliwa Nazareth ni Ethiopia? Wakina petro yohana na wengine kule galilaya walipokua wanavua samaki ni Ethiopia?
@AminaAbeid-mr1fo
@AminaAbeid-mr1fo 4 месяца назад
Uislamu ndio dini ya haki Allah atujaalie mwisho ulio mwema
@samwelmvande2396
@samwelmvande2396 4 месяца назад
Yesu ndiye njia, kweli na uzima. Kama utakufa ukiwa muislamu utakuwa umepotea vibaya sana
@abidandastanmaliyatabu1373
@abidandastanmaliyatabu1373 4 месяца назад
Nani kakuambia, Mungu hana habari na dini yako, hivi unajua nini maana ya dini? Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu lakini wokovu ni mpango wa Mungu kumtafuta mwadamu. Na hicho ndicho Mungu anataka tuwe nacho mabali na dini zetu haswaa kabla ya kuwa na dini zetu. Kabla ya dani ya kikristo ya kiislamu MUNGU anataka tuopokee wokovu wake kwanza aliouleta kupitia njia ya mwanawe Yesu kristo. Shida ya hizi dini na kuwa mwanadini ni kwamba mtu anaweza kuwa na dini yake ni mkristo au muislamu lakini ni flauni wa kutwupa, muongo hata shetani kazingiziwa, anamaneno machafu hata shetani anamuogopa, ni mfilaji , anaharibu watoto watu, mtaani akipita watu hawalali utasikia watu wakiambiana jamani mtu flani kapita hapa kuweni makini kwa kuchukua wanawake wa watu ni namba moja na mambo kama hayo na huku ajiita yeye ni mkristo au ni muislamu; madhala ya kuwa na dini moyoni mwako, dini haina msaada wowote ktk maisha ya mwanadamu; ila ukiwa na wokovu kwelikweli hayo yote hatatajwa kwako, sijui uongo kuharibu watoto wa watu kuchonganisha watu cjui ugomvi hayo yote hautayaona kwa mtu mwenye ambaye amepokea wokovu .
@VailethBugali-sr8gx
@VailethBugali-sr8gx 4 месяца назад
Pole sanaaa
@apostlemussaonlinetv
@apostlemussaonlinetv 4 месяца назад
Nani kakuambia haki iko kwa mtu mojamoja anayetenda haki watu wanachinja watu unasema dini yahaki
@badruseif1318
@badruseif1318 4 месяца назад
​@@apostlemussaonlinetvNani aliechinjwa mbona wewe mpaka Leo upo hujachinjwa?
@KassimKhalaid
@KassimKhalaid 4 месяца назад
Mwatuelisha wengine wallai asante jmn
@ahmedmakame1687
@ahmedmakame1687 4 месяца назад
Hawa ndo Quran inawajuwa kwa jina la Yaajuja-Maajuja wakifunguliwa wataenea ulimwengu mzima
@samwelmvande2396
@samwelmvande2396 4 месяца назад
Kila kitu kinacho endelea Israel ni mpango wa Mungu. anaye ibariki Israel amebarikiwa na anaye laani Israel amelaaniwa
@AlkadoNkundwe-wb3of
@AlkadoNkundwe-wb3of 4 месяца назад
Aya au maneno yako tu? Km ni andiko tuwekee kujisomea sisi sio makafiri wenzako kuamini kila kitu
@Joh-j9s
@Joh-j9s 4 месяца назад
Ndio taifa lenye kushelehekea siku ya mashoga duniani. Je? Waisrael wa sasa ndiyo wale wa kwenye biblia au ndio ile mizetuni mwitu. Tuliyoambiwa kwenye biblia?. Nyongeza *# MAREKANI ametangaza kushelehekea shelehe za mashoga kwa mwezi: 1: na ndie mshilika wa Israel. Tafakari vizuri. Mimi ni mkristo pia ila naona nje ya box 📦.
@Pablolookman
@Pablolookman 4 месяца назад
Ndio taifa linaloshekea ushoga duniani
@joycedimoso8648
@joycedimoso8648 4 месяца назад
Kama hawa sio wenyewe wenywewe wako wapi?
@twahirshali8014
@twahirshali8014 4 месяца назад
Shukran
@HusseinAbdul-is9xq
@HusseinAbdul-is9xq 4 месяца назад
Walaykum Musalam warahamutullah wabarakatuhu kwema.Jazzakallahkhery
@RobertBitambaOfficial
@RobertBitambaOfficial День назад
Je mwalimu nisaidie kujua hawa akina nyetanyahu ndo waezraeli tunawawasoma katika vitabu vitakatifu.naomba unisaidie kujua
@nicksonlyimo1562
@nicksonlyimo1562 3 месяца назад
Utakapo toa ushahidi uingie pia kwenye unabii wa kihistoria kwa yake Mungu mwenyewe alioyasena na Ibrahimu na Musa na Yoshua ,kwa kia historia imejengwa kwa neno la Mungu.
@IshakaJuma-m1i
@IshakaJuma-m1i 2 месяца назад
Assalam aliekum warahmatullahi wabaraqatu tunaomba muendelezo wa video hii kama ambavyo sheikh wetu alituahidi
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon 4 месяца назад
Mzee hao ndiyo wayaudi acheni kudanganya watu
@azizayassin3623
@azizayassin3623 4 месяца назад
Walykumu msalam warhatuallah wabarakatuh
@jumakhamis3545
@jumakhamis3545 4 месяца назад
Asalaamu alaykum warahmatu Allahi. Naomba katika kulizungumzia hili urejee maneno ya Allah ( ما كان إبراهيم يهوديا ولا نصرانيا ولكن كان حنيفا مسلما وما من المشركين) ninakusudia kukuuliza kusudio lako UYAHUDI ni Dini au Ni UKABILA? Naomba kabla hujanijibu urejee kwenye Aya niliashiria hapo juu kwenye Tafsiri ya Muammad Ally Swàbun iitwayo (SWAFWATU TAFAASIR) ALLAH akulipe kheiri.
@jumakhamis3545
@jumakhamis3545 4 месяца назад
Samahani sana katika kuandika Aya hapo juu nimewacha neno ( كان) sikuksudia kufanya hivyo ispokuwa ni mapungifu ya kibinaadam, naomba isomekeke ( وما كان المشكين
@samwelmvande2396
@samwelmvande2396 4 месяца назад
kula nguruwe ni dhambi ila uasherati na uzinzi na ulevi ni kawaida tu. Huwezi kuelewa mambo ya wayahudi wakati pepo la umalaya tu lakuoa wake kama mvua limekushinda. Pia haya mambo ya kisiasa hayasaidii kitu bila wew binafsi kuwa vizuri na muumba wako. Na muumba wa vitu vyote ni Yesu Kristo. Isaya9:6
@nadhifamustapha7557
@nadhifamustapha7557 4 месяца назад
Shetani ulie kosa rehema za muumba wako hujitambui ww samweli 😏
@omadal1
@omadal1 4 месяца назад
Pole lakini nakuliza wewe unajifahamu kweli? Sababu maoni Yako hapa hayana msingi.
@Awatee
@Awatee 4 месяца назад
Ivo vyote unavozungumzia vimeharamisha na uo uzinzi unao zungumzia ni dhambi ya 3 kwa ukubwa
@Pablolookman
@Pablolookman 4 месяца назад
Tatizo la makafiri mdandia mada zisizo wahusu Bora ungefuatia darasa za wachungaji naamini IPO makafiri tutakana mapanga nynyi walokole mmezidi upuzi
@marysanga5310
@marysanga5310 4 месяца назад
wayahudi wana wa yakobo wa isilaeli wa isaka wa ibrahimu nyi nyi waislamu hamujui bibilia mnadogo hao wazungu sio wa isilaeli ila wanahshimu taifa la Mungu ndio maana wasema kweli Nakuisadia lsilaeli Mungu ibariki lsilaeli na ulilinde taifa lako isilaeli
@KhamisOmar-kt4kz
@KhamisOmar-kt4kz 4 месяца назад
Ww hujitambui
@HusseinAbdul-is9xq
@HusseinAbdul-is9xq 4 месяца назад
Wye ujitambui
@samwelmvande2396
@samwelmvande2396 4 месяца назад
safii
@HusseinSaguti-sj9nh
@HusseinSaguti-sj9nh 4 месяца назад
Nn maana ya neno israel ni taifa ama ni mtu? Kilaza mmoja akili umeziweka matakoni Israel sio taifa
@RobertBitambaOfficial
@RobertBitambaOfficial День назад
Biblia imesema vizuri namna ya alivyopata jina hili
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 4 месяца назад
Benzion Mileikowsky (later Netanyahu) was born in Warsaw in partitioned Poland, which was under Russian control, to Sarah (Lurie) and the writer and Zionist activist Nathan Mileikowsky Kiufupi Netanyahu ni mtu kutoka poland
@NicoleMakaveli-wr6mm
@NicoleMakaveli-wr6mm 4 месяца назад
Sasa kaa ni mtu kutoka polad??
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 3 месяца назад
Ni myahudi aliyekuwa akiishi Poland. Wayahudi waliingia hapo 1948. Hiyo haiwaondolei ukweli kuwa wao sio wayahudi
@samwelmvande2396
@samwelmvande2396 4 месяца назад
wanao ukubali ujinga wa huyo mzee apo watapotea kama wasipo achana na hayo maelezo ya shetani aliye vaa balaghashia
@RashidKaoneka-bj8mm
@RashidKaoneka-bj8mm 3 месяца назад
Shetani ni mamaako
@RobertBitambaOfficial
@RobertBitambaOfficial День назад
Niko kigoma Mimi ni mwanafunzi wako naomba utuuzie kitabu hiki. Kwa dini yangu ni mkristo siamini kua nyetanyahu na wenzake ndo waebrania tunaowasoma kwenye biblia naamini hivo lakini sina ushahidi waweza hata kuniua lakini huwezi kunishawishi kua nyetanyahu ni myahudi halisi.hiyo imani sijui nimeitoa wapi ila Mungu amenipa
@alicekarimi6168
@alicekarimi6168 4 месяца назад
You are so good in the revolation vile you narrate story basi kuja kwa yesu aki,
@HeboniBabu
@HeboniBabu 4 месяца назад
tatizo bibilia imetoka ukouko KK kilasiku kinabadilishwa Na kinakuja kingine Chapapa chakufungisha ushoga
@Lwitiko-c7q
@Lwitiko-c7q 4 месяца назад
Saf sana
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon 4 месяца назад
Dini ya haki nikweli hata mafisadi huwa wana haki yakutafuta wanashelia ata kahaba anahaki ndiyo maana anajiuza,Ungesema ivi Uislam ni dini Ya kweli,Haki nini mnafeli bana wajukuu wa isimaili
@nyemondagalla608
@nyemondagalla608 3 месяца назад
Mzee kaongea kweli tupu kwenye uharibifu wa mila na tamaduni, watoto wa 2000 ningum kumuelewa, lkn wazazi tusiache kuwaeleza kweli ya khaki.
@mathayodaniel812
@mathayodaniel812 4 месяца назад
Hii elimu nilikuwa sijui daah
@MOHAMMEDMOSHE-sy3qi
@MOHAMMEDMOSHE-sy3qi 4 месяца назад
SASA UFAHAMU KUWA HAWA NI ]wazungu[ NA ]wote[ WANA 'DUAL-CITIZENSHIP SIO WAZALIWA WA ISRAELI'; SIO 'Wana Wa Israeli'. NA KUPAMBANA NAO (]israeli bandia[) NI KUPAMBANA NA #ULAYA# NA #MAREKANI# NA #NCHI ZOTE ZA WAZUNGU#
@DeusiMorisi
@DeusiMorisi 3 месяца назад
Wayahudi hawawezekani sababu wale wanalindwa na Mungu achaneni nao mtaumia
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 4 месяца назад
Ueleze pia waarabu walichofanya Africa kabla ya wazungu kuja, hapa waislam wengi huwa wanakwepa sabab wanajua unyama uliofanywa ndugu zao waarabu kwa waafrika, au uongelee pia kinachofanywa na waarabu huko darfur Sudan dhidi ya waafrika weusi
@gervasexavery2977
@gervasexavery2977 4 месяца назад
Je mbona waarabu waliwatesa Sana mababu zetu mbona hamzungumzi ,wali watesa namna hii ,walikuwa wakiwafunga minyororo kwa kuwatoboa visigino vya miguu waliwa funga minyororo mizito shingoni mwao, waliwatia miti ya panda shingoni mwao, waliwatembeza uchi,waliwapiga mijeredi ya chuma, waliwauwa walipotaka ,waliwakalia migongoni kuwafanya viti.waliwatumikisha ,waliwauwa waliwatupa baharini waliwatupa kwenye mashimo waliwachoma Moto waliwabebesha mizigo mizito.waliwalawiti, waliwahasi wasizae, wanawake walipasuliwa matumbo ya wajawazito kutaka kuona watoto walivyo matumboni waliwapa sumu ,waliwafunga kwenye magereza kwa minyororo ya chuma...haya mnakwepa kuyazungumza. (NATAKA NIKWAMBIE MZEE MUNGU ANABAKI KUWA MUNGU NENOLAKE HALITANGUKI KILAKITU KINAKWENDA KIMAANDIKO ,,CHAMSINGI NIKUMTAFUTA YESU KRISTO AWEBWANA KTK MAISHA YAKO .UTAFUNGULIWA NAKUONA JICHO LAKO LIKITAZAMA KWANA MNA NYINGINE MAMBO HAYA BWANA AKUTUNZE MZEE .
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 4 месяца назад
Watumwa kule marekani hawakupelekwa na waarabu. Usipindishe
@tegemeojosia831
@tegemeojosia831 4 месяца назад
Waraabu warikuwa ndo walikuwa wanakamata watu wanauzia waingereza
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 4 месяца назад
@@tegemeojosia831 hilo hawaliongelei kabisa, pia angalia mauaji yanayofanywa na waarabu huko darfur Sudan dhidi ya waafrika weusi
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 4 месяца назад
@@maclaudismail6606 na biashara ya utumwa Africa masharik nani alikuwa anafanya
@MOSHIMOSHI-d9y
@MOSHIMOSHI-d9y 4 месяца назад
Mmefungwa akili na mungu mpaka nnashidwa kujua wayahudi pale ndio kwao wanarudi baada ya mauaji ya wayahudi yalotikea balani ulaya nasasa wapo nchin kwao kama biblia ilivo tabil i amina
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 4 месяца назад
Tumedanganywa saana na wazungu maana hao wanaotawala leo Israel si wale walioishi hapo kale
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 4 месяца назад
Majini yanakuponza
@annasolomon9855
@annasolomon9855 4 месяца назад
Muongo wew huezi kuubadilisha uhalisia kwa kuongopa kwa chuki..
@LucyNgowi-m5z
@LucyNgowi-m5z 4 месяца назад
Inawezekana kwasababu wale wakale walikua wanamjua mungu
@badruseif1318
@badruseif1318 4 месяца назад
​@@charlesboniphace2249kama wewe unavosumbuliwa na ushoga
@Awatee
@Awatee 4 месяца назад
​@@annasolomon9855wayahudi hawakua wazungu chuki unazijua weye
@jumajuma3679
@jumajuma3679 2 месяца назад
Mfululizo wa makala hizi video ziko wapi?
@StephenMpallange
@StephenMpallange 15 дней назад
Israel ni Yakobo,na Yuda ni mtoto wa Yakobo.Urithi wa Yuda ni eneo la Yudea,na Wayahudi ni wayudea kabila a Yuda.-WaIsrael watoto wote wa Yakobo na Lugha yao ni Kiebrania,elewa kuwa hakuna Lugha ya Kiyahudi bali Makabila yote ya WaIsrael huzungumza Lugha ya Kiebrania..WaIsrael sio Wazungu na wala sio Waarabu.
@YusuphRashidi-b1j
@YusuphRashidi-b1j 4 месяца назад
(BABU) profeser safi sana
@byoseasolokoci7257
@byoseasolokoci7257 4 месяца назад
Soma Biblia. Acheni ushabiki.
@HeboniBabu
@HeboniBabu 4 месяца назад
Bibilia inafundisha sitoli ya Maisha ya yesu sio mafundisho yamungu ndio mana unamuita yeyemungu ilondio tatizo kk
@DevZone1089
@DevZone1089 Месяц назад
wewe biblia yako umeisoma vzr yote au mnaongeaga tu neno soma bibliaa ukute mwenyew hauielewi vzr.
@DevZone1089
@DevZone1089 Месяц назад
@@HeboniBabu hakika, biblia ni kitabu kilichokuwa na historia tu na kama kuna hukumu hawazifuati kabisa wao wanajali historia ila sio mienendo na huku za mwanadam ktk maisha yake
@MOSHIMOSHI-d9y
@MOSHIMOSHI-d9y 4 месяца назад
Naipenda islaer mpaka naipenda tena❤❤❤
@simbaman3449
@simbaman3449 4 месяца назад
MASHALLA MASHALLA NAIPENDA CHANAL YAKO RAIS WA NCHI MTAFUTIE. WADIFA KATIKA SIRIKALI PLZ MTU WA IMAN NA BUSARA SANA
@KassimKhalaid
@KassimKhalaid 4 месяца назад
Mwatuelimisha
@MOSHIMOSHI-d9y
@MOSHIMOSHI-d9y 4 месяца назад
Nguluwe ailiwi bana tunakula nyama yake😂😂
@FridayMwassa
@FridayMwassa 4 месяца назад
Ili ujue Quran haitoshi ni lazima utafute ukweli kwenye kitabu cha kweli kinacho elezea tangu uumbaji hadi mwisho wa dunia
@zakariaissa7574
@zakariaissa7574 3 месяца назад
@reubenhizza
@reubenhizza 4 месяца назад
Aiseeeh... Leo ndio nimeiskia KalamuTv kama bahati, nimemslia mzee usiku na sikumuelewa sbb ya usingizi. Mzee anauelewa mkubwa sn, nitamfuailia mpaka niridhuke.
@tegemeojosia831
@tegemeojosia831 4 месяца назад
Ereza nyuma ya otoman empire kulikuwa nan
@InterestingShows2023
@InterestingShows2023 4 месяца назад
Free Free Palestine❤❤❤❤
@StephenMpallange
@StephenMpallange 15 дней назад
Zayumi sio kabila bali ni Eneo tu la Mlima yaani Mlima Sayuni ndiko lilipokuwa limejengwa Hekalu la Yerusalem ni juu ya Mlima Sayuni na ndiko sasa ulipi mskiti wa Al-Aksa, ni juu ya Magofu ya lililokuwa Hekalu la Yerusalem.
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 6 дней назад
Mzee ongea chap tembea na bundle tumemaliza vyuo hatuna ajira c unajua bando zetu za wenzesha
@MOSHIMOSHI-d9y
@MOSHIMOSHI-d9y 4 месяца назад
Unajua kula mb😂😂😂😂
@evodiusbahegwa6557
@evodiusbahegwa6557 4 месяца назад
Mbona we Mzee hueleweki,iwe wazungu au waarabu,wale ni wayahudi.
@malulamuhoja1692
@malulamuhoja1692 Месяц назад
Tushike la nani jaman tuamini lipi, porojo za watu au bibilia takatifu!? This is typical devil
@MOSHIMOSHI-d9y
@MOSHIMOSHI-d9y 4 месяца назад
Pooole saana umedanganywa tangu utotoni adi umezeeka 😅
@AbelsonGidion-vo1uj
@AbelsonGidion-vo1uj 4 месяца назад
Kalime kama una kaziii
@abdallahsuwed65
@abdallahsuwed65 4 месяца назад
Uwe na Adabu
@Awatee
@Awatee 4 месяца назад
Na wanapo ambiwa wanaharibu wanasema wanajenga hali yakua wanafanya uharibifu ndio kama wewe kumefafanuliwa vzr bado unaleta ujinga
@maclaudismail6606
@maclaudismail6606 4 месяца назад
Acha ikuingie yoote inauma eeh
@annasolomon9855
@annasolomon9855 4 месяца назад
​@@Awateehakuna ukweli wowote hapa ni chuki .. hamtabadilisha kitu
@rukkyxarat
@rukkyxarat 3 месяца назад
Go and educate yourself ​@annasolomon9855
@MOSHIMOSHI-d9y
@MOSHIMOSHI-d9y 4 месяца назад
Waalabi washenzi waliwatumikisha babu zetu ila kwa waislaer awata weza watabak na chuk tu
@deusNjimba
@deusNjimba 4 месяца назад
Mbona Huwahamuelezei kuhusiana. Yale walio yafanya wa labu balani afrika
@othmansaid6949
@othmansaid6949 4 месяца назад
Rudi shule kwanza ukajue kuandika
@MOSHIMOSHI-d9y
@MOSHIMOSHI-d9y 4 месяца назад
Waloishi zaman wako wapi mbona unafumbafumba saana.
@HeboniBabu
@HeboniBabu 4 месяца назад
Unakuja ushoga baba kutoka ukouko wanaleta bibilia ya ushoga sasa
@jumabuckary7698
@jumabuckary7698 4 месяца назад
Vijana tunataka kuelewa nani adui wa wa Dunia anaefanya kusiwe na amani Duniani. Mzee tunasubiri maendelezo
@jumajuma3679
@jumajuma3679 4 месяца назад
Wakristu wa kitanganyika muache jazba, majukwaa yasiyowahusu mnapaswa kunyamaza na kusikiliza tuu.
@GrayIsmail
@GrayIsmail Месяц назад
Bado huna unachokijuwa
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 4 месяца назад
Kwan ukisema hiyo salam kwa kiswahili utapungukiwa nn, , sisi sio waarabu
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 4 месяца назад
😂😂😂
@samwelmvande2396
@samwelmvande2396 4 месяца назад
wanatapeli wajinga wenzao Kwa kujifanya wanaongea kiarabu. Yesu Kristo ndiye aliye waumba hawa wote wanao mpinga
@AlkadoNkundwe-wb3of
@AlkadoNkundwe-wb3of 4 месяца назад
@@samwelmvande2396 myahudi akakuumba ? Jinga la kwanza hili
@AllanLyombile-r6y
@AllanLyombile-r6y 4 месяца назад
Kwani maadui wakubwa wa Waisraeli ni akinanani kama siyo Waarabu na Waislamu? haohao maadui wa Israeli ndio watuonyeshe Waisraeli wa kweli? mnataka Waisraeli wa kweli tuwachukie kisha tugeukie kuwaunga mkono Waisraeli wa bandia ili Waisraeli wa kweli wapigwe kirahisi siyo? HIYO NI DANGANYA TOTO.
@mboneamalaki5674
@mboneamalaki5674 4 месяца назад
Ashika nazi 😂😂😂😂 dah!
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😢😢😮😮😅😅Mzee muongo uyu anamix na ukweli
@MOHAMMEDMOSHE-sy3qi
@MOHAMMEDMOSHE-sy3qi 4 месяца назад
KAMA NI uongo, HAYA BAKI KATIKA UPOTOFU ]wako[ BAADAE UTAKUJA JUWA NA KUFAHAMU 'WAKATI IT'S TOO LATE'. SAA HII UNAONA NI MCHEZO TU!!!
@esterjoseph670
@esterjoseph670 4 месяца назад
Uma wa muhamadi umepotea saana; na kilichofanya uma huu kupotea,ni pale walipomkubali sheteni na majini wawe sehemu ya waislamu!Mzee umedanganywa na wewe unaendeleza uongo kudanganya uma wa waislamu.
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon
@MichaelDonaldnchingaMichaelDon 4 месяца назад
Ethopia wanaitwa wakushi
@ChachaMotte
@ChachaMotte 4 месяца назад
Mzee hapo umetuposha kasome biblia vizuri utajifunza kitu sio kuleta hadisi za kujitungia ya kidunia
@Awatee
@Awatee 4 месяца назад
Biblia ilojaa uongo iyo iloandikwa na wazayuni biblia maneno ya ukweli machache uongo umejaa
@annasolomon9855
@annasolomon9855 4 месяца назад
​@@Awateekwendraaa unadhani hata mkitumia nguvu nyingi mtabadilisha kitu..
@josephwilliam5813
@josephwilliam5813 4 месяца назад
​@@Awateeiyo BIBLIA iliyojaa UONGO kama unavyodai NDIO imebeba historia AMBAYO haipo KWENYE Quran,,,HATA sule akiuelezea mgogoro hutumika BIBLIA
@Awatee
@Awatee 4 месяца назад
@@josephwilliam5813 ndivo unavojidanganya nafsi yako Qur'aan hakuna ilicho acha Qur'aan imekuja kuweka sawa injili ilio ondolewa na kuekwa uongo kwa akili yak unafikiri iyo biblia maneno Yote ya innjil sio kweli Qur'aan ndio kitabu pekee kilicho elezea mfumo mzima wa mwanadam ata makafiri wenzio wanaitumia kwa maslah yao ya kidunia
@Awatee
@Awatee 4 месяца назад
​Qur'aan ndio kitabu pekee kilicho kuja kurekebisha vitabu vyote vilivo tiwa uongo ikiwemo iyo bibilia
@FaizaJeizan-q5d
@FaizaJeizan-q5d 4 месяца назад
Hatugombani na shetan una wivu na uislam mbwa ww mla nguruwe😂
@esterjoseph670
@esterjoseph670 4 месяца назад
Anaekula nguruwe na anaezini bora nani? Waislamu wengi ni wanzizi kwao dhambi ni kula nguruwe!
@Awatee
@Awatee 4 месяца назад
​@@esterjoseph670Nyie si mnachukuana tuu mnachunguzanaa tabia na mkazalishana bila ya ndoa hujaliona ilo uislam umekataza Yote ayo muislam wa kweli hawezi zini anaweza teleza na sio kuzini ukimuona mtu anazini hajaujua uislam vzr zinaa ni dhambi ya 3 kwa ukubwa ktk uislam acha kuzua zua
@simionnicholaus4875
@simionnicholaus4875 4 месяца назад
Ongelea waarabu waisrael hawakuhusu wewe
@amenipasanga9865
@amenipasanga9865 4 месяца назад
Du uongo mtupu
@florencekaneza7491
@florencekaneza7491 4 месяца назад
Kabisa 💯nimuongo
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 4 месяца назад
mtume muhamadi ndio nani huyo?
@abdallahsuwed65
@abdallahsuwed65 4 месяца назад
Huwezi kujua kwa sababu unaabudu binaadamu mwezako
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw 4 месяца назад
​@@abdallahsuwed65 kumbe hilo ndo jbu
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 4 месяца назад
@Maxpaul-oi8pw 😂😂😂
@samwelmvande2396
@samwelmvande2396 4 месяца назад
Yesu ni Mungu na Muhammad aliumbwa na Yesu Kristo
@davidkalama5426
@davidkalama5426 4 месяца назад
Acha uchambuzi wa kipumbavu, soma biblia utajua ukweli, kafiri mkubwa wewe.
@Awatee
@Awatee 4 месяца назад
Biblia ilojaa uongo weye mwenyeo huijui iyo biblia ungelikua unajua kushatoka kwenye ukafiri biblia inasema na hap hao walio lala ktk ukiristo wamepotea sasa cha kazi gani kusoma mukiambiwa eti biblia haisomwi kama gazeti
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 4 месяца назад
Leo kafir wewe unamuita Muislam Kafir ?
@annasolomon9855
@annasolomon9855 4 месяца назад
​@@ameirzapy1318kafiri ndio .. muislamu ni Kafiri .. akajambe mbele kule
@Ban-w1u
@Ban-w1u 4 месяца назад
Mim mkristo ila huyu mzee anaongea ukweli , nimebatizwa palokia ya mt martin de pores Mnyamala awa Wayahudi wa sasa ni washenzi hawa sio tunaowajua sisi wakina Yuda ila ni Wayahudi wanaofuata tamaduni tu za kiyahudi ambao wanafuata imani tu Ila sio uhalisia, ila hata hiyo dini unayo amini, ila wayahudi baada ya kushindwa Yerusalem walaamuru kufanya vita kokote kule
@samwelmvande2396
@samwelmvande2396 4 месяца назад
Yesu ndiye njia kweli na uzima
Далее
BAKWATA: Mwiba mzito kwa Waislam Tanzania
43:19
Просмотров 17 тыс.
POLI и Маша - Сигма бой
00:20
Просмотров 223 тыс.
Hii ndio siku ambayo Waislamu walisema inatosha
16:25
Просмотров 3,7 тыс.
Huyu ndio Mwanamke aliyemmudu sana Mwalimu Nyerere
43:37