Hawa wazungu wapingwe mrufuku kuingia Africa wanaleta maradhi mengi ya kutengeneza kuua vizazi vitu wako na nia mbaya sanaaa kwetu.Allah atawashinda InnshaAllah
A aleykum wapenzi ktk imani Kila mmoja asome ayat kursiyu 17 katika maji.kisha tumwe ukitaka mara 1 au mara 3.tumuombe allah kwa dhati na unyenyekevu atunusuru na maradh ya mlipuko yaliyopo na yatakayokuja shukran
usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
HAPANA , hatupaswi kuwa na wasiwasi wowote💪Mungu wetu wa mbinguni aliyeumba vinavyoonekana kwa macho na visivyoonekana kwa macho ya nyama ana uweza mkubwa sana wa kukausha hao virus ... kila mtu awe na imani kuwa hatadhuriwa na hao virus 🎉🎉💪
Eeeh mwenyez Mungu tuepushe baba,,tunajua ya kuwa tunakukosea sana mola wetu lkn tunaomba huruma yko😭😭nimejaribu kuwaza tu ndo uwe km corona na hyu rais tuliyenaye msafir kwenye ndege mda wote😢😢😢wwzungu wakimtongoza tu tumeisha,,r i.p Magu😢😢
Tunaomba Mwenyezi Mungu uliye hai uturehemu sisi waja wako. Wew ndiwe kimbilio letu tuokoe sasa maana Dunia imechefuka hatujui tunakoelekea tuko kwenye giza nene bwana tupe Amani katika jina la YESU KRISTO ALIYE HAI Amen.😢😢😢😢
Hawa mashetani njama zao ni nyingi sana kwa Afrika. Lkn kwa sasa hakuna mtu watamdanganya kila kitu kiko wazi. M'mungu ndio atawahukumu hapa duniani kbl ya Akhera. Na tutaushinda hili gonjwa walilotubambikia kwa uwezo wa Mungu inshaAllah.
Leteni tu magonjwa Wanangu maana hiidunia mmengeuza kuwa yenu mna plfanya mnavuo taka tengenezeni Sana magonjwa mtajirike mpaka utajiri wenu mzikwe nao
Wazungu ndio wanao tengeneza magonjwa hususa marekan na hiyo who ndio tarifa lao na Mfumo wao wa pamoja pesa zinatakiwa hapo za kudanganya watu na kuuwa watu
Kama hujui vitu vingi usiwe una kurupuka, mbona alie andaa virusi va ukimwi ni mtu mweusi na mbaka sasa yupo hai, amesababisha watu zaidi ya 40,000,000 kupoteza maisha,, kwani nae ni mzungu? Hizo ni chuki za ubaguzi wa rangi. Aliegundua simu ni myahudi, na ndio unatumia hapo mtandaoni, mbona humsifii, na simu zimeleta maendereo makubwa duniani kote.
Na hiyo ndio shidaa, aNyani wana virus vywa kila aina, ni Raisi Binadam kubemaneter mambukizi, alafu huu ugonjwa wa Monkey pox, hautofautiani sana na Smallpox( ugonjwa wa ndui, nao ni Virus, ugonjwa wa ndui ulisumbua Dunia miaka mingi, na virusi vywa nyani navyo ni Mipele mipele kama ya virus vywa ndui vile vile
Hivyo ni visa vya wazungu tu. Namna ya kulimaza bara la Africa. Ila sisi tumekuwa wajinga wakukubali misaada ya wazungu. Mbona kipindi Cha corona Mzee wetu Magufuli aliwagomea hatukufa km wao. Tufungue macho
tujitaidin kuomba kufunga kama mzee wetu magufuli alivyosema kipindi cha covid19 alaf tutafuten dawa ili tuendelee kuwaumbua akuna gonjwa lisilokua na dawa dawa tunayo
Kenya wafisadi namba moja burundi uganda na Rwanda serekalu hizi hukubaliana na chochote ilimradi wale pesa ya misaada itakayo toka huko juu ili wabige dili 🤦 shame on you W.H.O and african politician
Homa ya nyani name jizuia ila nmechekaa 😂 Tanzania ni inchi ya ahadi trust me guys ...ebora ilikuwa kongo had burundi Tz haijawai fika hata korona haijatusumbua sana Mungu yu nasi...❤😢
Walisema Pia Corona Ikifika Afrika Kitakuwa Kituo kipya cha Maambukizi watu watakufa wengi kwa sababu Hatuna Elimu,Maskini na Wajinga Afrika Lakini Cha Ajabu Mungu akatulinda Ingali walikufa Lakini sio Kama Wao. Na Kwenye Hili Mungu Atatulinda pia