Asante sana kwa wimbo huu, Mungu akubariki uendelee kumtumikia na kumpenda siku zote za maisha yako. Nakuomba utuandalie ule wimbo wa kuabudu Ekaristi takatifu iliyowekwa siku ya Alhamisi na Yesu kristo mwenyewe kabla ya kufa kwake. Unao itwa "" Atukuzwe Mungu wetu sote daimaa litukuzwe jina lake takatifuuu.."". Naupenda sana pamoja na ule wa Sakramentii kuubwa hiyo twaheshimu uu kifudi na sheria ya zamani ikoomeshwe ee na hiyoo. Usisahau na hii apa""Asilegee ee Moyowe"" wa Kwaresma.
Asante sana kwa kunijibu Mungu akubariki sana. Nimesha uwona lakini sauti yake ni tofauti na ile ya zamani nafikiri huu wimbo wa "asilegee ee Moyowe" utakuwa na sauti mbili tofauti ile nyingine naipenda sana kiongozi wangu. Ni likuwa nausikia nikiwa mdogo sana.