Тёмный
No video :(

Yanga 2-2 Azam | Highlights | NBC Premier League 06/09/2022 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 500 тыс.
50% 1

Derby ya Dar es Salaam kati ya Yanga vs Azam FC imemalizika kwa sare ya mabao 2-2 kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, katika mechi kali na tamu ya ligi kuu ya NBC Tanzania Bara #NBCPremierLeague
Magoli ya Azam FC yametoka kwa Daniel Amoah dakika ya 25, na malickou Ndoye dakika ya 65 wakati Yanga ikijipatia magoli yote mawili kutoka kwa Feisal Salum dakika ya 57 na 77.
Katika mechi hiyo pia Yanga imepoteza nafasi ya goli kwa kukosa penati dakika ya 69.

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 240   
@sassboy9360
@sassboy9360 2 года назад
Fey toto come up from the bench in second half but show up the finest on the pitch... he’s our super hero Zanzibar one ☝️ keep fighting and pray always you’re my best player in Tz of all time ....mungu anatosha...
@lovenesskalenge2683
@lovenesskalenge2683 2 года назад
Nikiwa namanisha hiki ninacho sema Mungu Nakushuru hata kwa point 1 💚💛💚💛💚💛
@abdymmanga6338
@abdymmanga6338 2 года назад
Main Of The Match ⚽️ ~ Feisal Salum 6 , Zanzibar 🌴 Finest 🔥🔥
@nasibujanga3071
@nasibujanga3071 2 года назад
Main of the match arajiga 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍👍👍
@daudkhatib4678
@daudkhatib4678 2 года назад
Makoloo. Walizani. Tutapigwa. Pumbaavuuuui. Zennuuui
@azizamihungo9659
@azizamihungo9659 2 года назад
@@daudkhatib4678 Leo hatimae mmefurahia sare
@azizamihungo9659
@azizamihungo9659 2 года назад
Man of the match Ni Arajiga kutoka Manyara
@bnttv8955
@bnttv8955 2 года назад
Kwani makolo wanasemaje eee?
@gervasmwagen8135
@gervasmwagen8135 2 года назад
Mpeni na feisali maana saivi anauwezo sio wakawaida tayari Ni brand dukan🔥🔥🔥🔥
@magrethyeremia2279
@magrethyeremia2279 2 года назад
Asante saaana Mungu kwa point hii Moja
@oscarkwemoi6416
@oscarkwemoi6416 Год назад
Mm
@abubakarnabahani4994
@abubakarnabahani4994 2 года назад
timu Yangu ya yanga tatizo kwa sasa ni mabeki na golikipa pia hayupo sawa sikuizi turekebishe defence na goalkeeping... tutatisha zaidi.
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 2 года назад
Achen maneno leo mdaka mishale hafai tena😆😆😆😆
@ratybkheir3049
@ratybkheir3049 2 года назад
job anachezesha namba 2 ya nn na bangala kw nn asicheze 6
@erikosuarez
@erikosuarez 2 года назад
Azam receive all the love from Kenya. Lakini iyo penalty mlionewa
@clementinamushi704
@clementinamushi704 2 года назад
fei fei best player best thinker
@ahamadimatendo8928
@ahamadimatendo8928 2 года назад
Mh Jana ilikuwa sikuya plesha kwa timzotembili ila zaidisaana plesha za mashabiki wa sisiyanga ilikuwa juusaana ila yotekwayote tunamshukulu mungu kwa kuwapa nguvu wachezajiwetu na kumpa chansi mchezajiwetu feitoto ndo meni of mechi
@jikoninapilly2730
@jikoninapilly2730 Год назад
Inquiring
@nasibujanga3071
@nasibujanga3071 2 года назад
Arajiga ndo shujaa wa mechi hii🇹🇿👍👍👍
@bnttv8955
@bnttv8955 2 года назад
Kwani arajiga amefanya nini
@nurdin.mndeme3447
@nurdin.mndeme3447 2 года назад
feisal ni balaa najivunia mno kuwa katika sehemu yetu WanaNchi ....... YANGAAAAAAAAAAA
@user-ug9wc6vb5u
@user-ug9wc6vb5u Год назад
احسن دوري في أفريقيا كلها
@ahmedhamad2410
@ahmedhamad2410 2 года назад
Hongera sana fundi wa mpira africa fei toto
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 2 года назад
Fei umeonyesha kiwango kikubwa young african mko vizuri pamoja na challenge ilioonyeshw na azam
@aliyussuf9126
@aliyussuf9126 2 года назад
Goal keeping is not the problem The defence needs to improve Nyie mnaolalamika penalty ya mchongo mbona hamlalamiki mchezaji wa Azam aliyestahili red card na hakupewa Hatahivyo hiyo penalty haikuwa bao
@moise6735
@moise6735 2 года назад
Hongera sana Yanga hongera sana Faitoto kijana wa mikwaju mizito mizito yenye power ya SATAN 2
@miskiaayallah1872
@miskiaayallah1872 Год назад
MashaAllah Fey totoooooooo
@elipidtesha5466
@elipidtesha5466 2 года назад
Yanga the best just improve defence.line.and gal keeping is still.poor!
@francisjohn465
@francisjohn465 2 года назад
Ni kweli mchungaji umeliongea hilo sana wanahitaji maombi
@jamesmakoye2164
@jamesmakoye2164 2 года назад
Refa hafai afungiwe
@shulentondo3288
@shulentondo3288 Год назад
Yanga on fire 🔥🔥🔥🔥
@georgembwani3655
@georgembwani3655 2 года назад
Azam Wanajifanya Kukamia Kwenye Mechi Kama Hzii Nyingine Wanakuwa Wakawaida Tu
@simontemba1851
@simontemba1851 2 года назад
Namna iyooo yanga
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 Год назад
Hii mechi ilikuwa bora sana
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 года назад
Man of the match ni refa halipingiki Leo jangwa angepigw 3-1
@DavidE-yb8qp
@DavidE-yb8qp 2 года назад
Unahakika gan kama ile penati wangepewa kama wangefunga?
@bnttv8955
@bnttv8955 2 года назад
Kwani kolo wanasemaje?
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 года назад
@@bnttv8955 mmmmmmmh ndo maana kisinda kfu kafungiwa na mmebebwa Jana ndugu
@nadrahassan5241
@nadrahassan5241 2 года назад
Azam wachezaji wenu wanaonekana washari washari na kuhamaki sana
@abuuajmal1467
@abuuajmal1467 2 года назад
Yaani apo Feitoto ndio Mtuma risasi... Wengine wanapata chance ya kushinda Lakin wanapiga light shoot, wajifunze kwa feisal
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 2 года назад
We umeshajifunza???
@eliasgulinja442
@eliasgulinja442 2 года назад
Refa wa leo asipo chukuliwa hatua basi tz haitapiga hatua ktk soccer cross imepigwa Moira ulikuwa umekwisha Toka akaibeba yanga pili akawanyima azam penalty ya wazi lkn akawapa yanga penalty ya mchongo kwa hali hii hatufiki popote
@peacerichard8970
@peacerichard8970 2 года назад
Korona mnaona ya wenzenu tu,ya kwenu mnayaficha
@masoudadam4689
@masoudadam4689 2 года назад
Ndio maana mirefa ya bongo mingi inazeekea hapahapa
@edwarddavid8076
@edwarddavid8076 2 года назад
@@masoudadam4689 hahaa! Ulitaka wazeekee kwenu?
@avitusjasson9661
@avitusjasson9661 2 года назад
Refa kapendelea kabx angeach mtu akapigw 3 tf1
@sleymohamed3825
@sleymohamed3825 2 года назад
kumbe uliona nilijua nimeona peke yangu. upo sahihi
@saidsalum6101
@saidsalum6101 2 года назад
Azam mungu atawalipia mmezurumiwa mlikuwa mshinde magoli matatu bila lakini refa wamchongo wayanga kafanya iwe hivyo nihaki mfulahie sale hiyo maana mlikuwa hatoboi pale
@abubakarnabahani4994
@abubakarnabahani4994 2 года назад
unateseka ukiwa wapi ? kwani huna macho yanga kachezewa rafu nyingi sana hata ndani ya box pia lakinii Refa kamezea mbona wewe ni mbinafsi ! usimba unatokota ndani yako Pasuka basi kwa hasira.
@flomenastephen2226
@flomenastephen2226 2 года назад
Ukome c wangeshinda au ya mi7jiza jadilini yenu na kocha wenu wa mchongo
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 2 года назад
@@abubakarnabahani4994 unajuaje huyo alokoment km ni simba....punguza jazba mmebebwa bwanaaaa
@official_phay720
@official_phay720 2 года назад
Abubakar Nabahani 😂 ng0ja ncheke kwnza .......ww ukubal ukatae mumebebwa na lile g0li lakwnza nilamch0ng0 huuuu niukwel usi0pingika
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 года назад
Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kushoto kama hautojli
@user-vp2ik8ky8y
@user-vp2ik8ky8y Год назад
Hello
@hk_ballers
@hk_ballers Месяц назад
Jazaak Allahu Khayr
@lidyamgaya3877
@lidyamgaya3877 2 года назад
Huyo mdaka lisasi atadaka lisasi zote ila sio za feiy, wala sisasi za wananchi
@agripamwangobola6488
@agripamwangobola6488 2 года назад
Yangaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️
@hindisaidi5097
@hindisaidi5097 2 года назад
Yani hili goli la pili kipa wa azam ataliota
@mremymtatiro6618
@mremymtatiro6618 Год назад
Yanga noma
@hemedijr8333
@hemedijr8333 Год назад
Laiti Kama azam wangecheza kama hii mech kwenye mechi zao nyingine wengikuwa wapo juu sana ila wakicheza na yanga tu ndo wanakuwa ivyo
@sayimasele5054
@sayimasele5054 2 года назад
Azam wameonewa kweli
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 года назад
Jifunze hukmu ya quran tukufu gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojali
@MarcoMethord
@MarcoMethord 4 месяца назад
Vizur sana
@abbykivuyo348
@abbykivuyo348 2 года назад
Derby gani jaman haina mashabiki aibu sana kuita hii Derby jaman
@safiasaid4563
@safiasaid4563 2 года назад
Feisal vs azam dogo kaamua mech
@egerboykurya9458
@egerboykurya9458 Год назад
Jamani ninaipenda Yanga
@pillymichael2747
@pillymichael2747 Год назад
Kazi gum
@AbduHaule-iq4di
@AbduHaule-iq4di Год назад
AzAm,yanga
@uztwao2428
@uztwao2428 2 года назад
fei noma
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
Nassrudine Nabi MAN OF THE MATCH again....huyu KOCHA ni balaa Kwa kusoma Mchezo'...!
@ratybkheir3049
@ratybkheir3049 2 года назад
nikweli lkn mm ananikera kitu kimoja job kumueka namba 2 kw nn asicheze bangala namba 6 game tuff kwnn kuna wachezaji anawaweka nje
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
@@ratybkheir3049 anakukera lkn huelewi KITAALAM, ..huu sio wakati wa kujaribu au kumchezesha mchezaji mmoja, tunapoelekea kugumu lazma kikosi kiwe kipana na cha ukweli..!
@nestorymapunda4596
@nestorymapunda4596 2 года назад
Igem yanga kama sio ulumaa ya refa basi tulikua tuna potez shujaa wa mchezo feisal
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 2 года назад
yanga wamepigwa kama ngoma hapa
@abuuajmal1467
@abuuajmal1467 2 года назад
Wakinyimwa penalty baadhi ya mechi munakaa kimya.... Wakibebwa ndio munaongea... Aisee😂😁😂😁
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 2 года назад
@@abuuajmal1467 kajifunze kuandika
@shihume256
@shihume256 2 года назад
Game ya kawaida sana yani
@mkohoexperience7322
@mkohoexperience7322 Год назад
😅😅 kipa wa azam baada ya goli la pili, anafikiria imetelezaje anahisi ndoto
@abuuharuna2214
@abuuharuna2214 2 года назад
Mmejitahidi kikosi kimeingizwa wachezaji 5 wapya na bado mmefungana 2. Kwa 2
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 года назад
Sasa makolo wameumia kwann? Mbona wenyewe tareh 13 walishindwa kutufunga? Jamn yanga haitofungwa tena hilo msahau🤣🤣 Feisal shkamooo🙌🙌🙌
@lidyamgaya3877
@lidyamgaya3877 2 года назад
🤣🤣🤣 kaz wanayo, man ubayawetu hatunamtu maalumu wakufunga, ss ukikaa vbaya hatakipa anafunga, daima mbelee💚💪
@enockabumba7513
@enockabumba7513 2 года назад
Amida Abalii Bado nasubili majibu angu
@tonnybayyo5721
@tonnybayyo5721 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 года назад
@@lidyamgaya3877 Nyuma mwikoooooooo🔥🔥🔥🤣🤣🤣
@hamidayanga8224
@hamidayanga8224 2 года назад
@@enockabumba7513 Heee upogo kumbe
@rutundajames2820
@rutundajames2820 2 года назад
Kama ingewezekan muwe mnatuekea mechi nzima wengne tunahtaj
@jumakibinza4014
@jumakibinza4014 2 года назад
Feisal atauwa watu jaman
@stevenhassan269
@stevenhassan269 2 года назад
Huyu refa mechi zake nyingi ni za yanga ndio maana anachezesha kiushabiki
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 2 года назад
Yan refa mshamba sana ila muache kifungo kinakaribia na yy
@kingsonmaleko7056
@kingsonmaleko7056 Год назад
Yes
@muhammadkipangatv2674
@muhammadkipangatv2674 2 года назад
Jifunze hukmu za quran gusa picha yangu mara 2 hapo kushoto kama hautojli
@mhandomhina5503
@mhandomhina5503 2 года назад
Huu wimbo wa waamuzi uliimbwa tangu 2-1 za Mayele na utaimbwa Hadi ligi itapomalizika. Unajua kwa nini uwezo wa Yanga Ni mithili kimbunga kizito sana hivyo lazima utaimba.
@leeabd9057
@leeabd9057 2 года назад
Team yakawaida saana iyo jidanganye Ivo ivo
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 2 года назад
@@leeabd9057 ...unadhani MAKOLO wakicheza na Azam itakuaje, hii game ya WANAUME, ..!
@kassimomar7589
@kassimomar7589 Год назад
Huyo feisal
@Hajri188
@Hajri188 Год назад
Anann??😒😒
@jumafelix7018
@jumafelix7018 2 года назад
Kwamoto huuu sijui
@greaterjustin2231
@greaterjustin2231 2 года назад
Wakati mwingine msheli nae apewe nafasi ili diara asibweteke
@sofiaissa8005
@sofiaissa8005 2 года назад
Feisal totoooooooooooooo🤴🤴🤴☀️☀️☀️☀️🌟🌟🌟🌟🌟🌟🌟🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🐍🥇🥇🥇⚽⚽⚽
@BigDreamsWorldwide
@BigDreamsWorldwide 2 года назад
Penalty ya mchongo, Goli la kwanza la mchongo ok sawa
@salimramadhani5237
@salimramadhani5237 Год назад
Kalia bottle😎
@yusuphkacc6232
@yusuphkacc6232 Год назад
Katombw
@titus_maridhia
@titus_maridhia 2 года назад
Refa amewabeba sana Yanga. Vinginevyo wangepigwa hata Tano
@mwaimuchengo1814
@mwaimuchengo1814 2 года назад
Kwahio mnategemea Yanga washinde kwa ajili yenuu
@abubakarnabahani4994
@abubakarnabahani4994 2 года назад
nafikiri alipoteleza Refa ni ile penati walionyimwa azam lakini penati ya yanga ilikua sawa pia sababu yule mchezaji wa azam hakucheza mpira alicheza miguu ya Morrison lakini kwa ujumla wake Refa kajitahidi sana...mapungufu madogo madogo ni ya kibinadamu...
@decodesttz
@decodesttz 2 года назад
@@abubakarnabahani4994 sama ile faulo yaazam maah haikua penat ile ilikia faul sema refa akapeta
@bnttv8955
@bnttv8955 2 года назад
Makolo kwani wanasemaje eee
@titus_maridhia
@titus_maridhia 2 года назад
@@bnttv8955 mi ni mwananchi ila tumebebwa bro
@daudkhatib4678
@daudkhatib4678 2 года назад
Vhamanxii. Hakuna. Tajirii
@enockezekiel4125
@enockezekiel4125 2 года назад
Fei toto hata msimu ulioisha nilidhani wangempa mchezaji bora wa ligi, sjui walitumia vigezo gn kumpa yanick 🤔
@samoocoolingsystem93
@samoocoolingsystem93 9 месяцев назад
Mbili sufuri katika score bo bo boo😂
@godfreymtazama4581
@godfreymtazama4581 Год назад
Hii live😎
@preciousbenedict6220
@preciousbenedict6220 2 года назад
Asante referee wa Mchongo
@ratybkheir3049
@ratybkheir3049 2 года назад
nabi tabia hii ya job kumueka mamba 2 bangala umueka chini tutakosa matokeo kikweli
@charitymkombozi5900
@charitymkombozi5900 2 года назад
Kabisa
@claudiomgaya7381
@claudiomgaya7381 Год назад
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@freddylusingu6936
@freddylusingu6936 Год назад
Mechi dum🎉🎉🎉
@jamesmakoye2164
@jamesmakoye2164 2 года назад
Lifutwe Hilo goli namalefali wafungiwe kwanza
@alicenice1711
@alicenice1711 2 года назад
Ya leo hainogi
@pescopenterprises2728
@pescopenterprises2728 Год назад
Yanga inashinda kwa sababu ya presha ya washabiki kwa marefa yanga bila marefa si chochote ndoo maana inashindwa kimataifa
@williamponeka6853
@williamponeka6853 2 года назад
Hao ndo marrfa wetu, eti kosa la kibonadamu
@mabruckally672
@mabruckally672 Год назад
Refa ni mjinga sanaaaa
@noorbazaar9063
@noorbazaar9063 2 года назад
Myangazaji ni Utopolo 🐸!
@jumamwarabu9307
@jumamwarabu9307 2 года назад
KWA YANGA ILI KUA PENALTY KWA AZAM SIO PENALTY :MH;;REFA SHIKAMOO-:YANGA OYEE
@bnttv8955
@bnttv8955 2 года назад
Kwani kolo ulitakaje
@jumamwarabu9307
@jumamwarabu9307 2 года назад
@@bnttv8955 KWANI UTOPOLO ULIONAJE UTOPOLO UTOPOLO
@swamweliteobady4496
@swamweliteobady4496 2 года назад
Mm napenda mechi iwe iv yatia lha sio simba akicheza na young anakua mwepesi kama nn Young anaenda kuchukua ubingwa wake tena nafasi ya pili Azam kwenye nafasi ya tatu ndio sijajua kati ya Sindida hau simba lkn ya kwanza young yapili azam
@RashidKhan-zq2hy
@RashidKhan-zq2hy 2 года назад
Morison kanichekesha alivyo muangalia huyo amoah anachetua mbele yake
@mcstanb7759
@mcstanb7759 2 года назад
Yule amemuwekea deni atakuja kumlipa
@isdorchuvu6280
@isdorchuvu6280 2 года назад
Wote si waghana ao
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 2 года назад
Refa 2 2 Azam asante refa
@bnttv8955
@bnttv8955 2 года назад
Kwani refa ni fei toto du makolo mmeumia
@mickdadybakari6052
@mickdadybakari6052 2 года назад
@@bnttv8955 acha kukaza fuvu kimwaga udugu
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 2 года назад
@@mickdadybakari6052 😆😆😆😆😆😆
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 2 года назад
Ndio mana wakiitwa taifa stars wanaishia kwenda kuzurura tu nchi za watu hawana maajab uwanjan
@daudkhatib4678
@daudkhatib4678 2 года назад
Hawaa. Makoloo. Wanaonyesha. Hawjirleewii. Timu. Laaoo. Bovuuu. Wanajipendekeza. Kwa. Lambalamba
@lidyamgaya3877
@lidyamgaya3877 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@lidyamgaya3877
@lidyamgaya3877 2 года назад
Watajua hawajui
@bnttv8955
@bnttv8955 2 года назад
Wameumia sana
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 2 года назад
Nyie vidaa vya yanga mnouzaga sura mtandaoni vip leo refa mbona hamumsemi Au ndio haki mnoitakaga hii ?? Mwamnyeto kaucheza Mpira AU miguu ya Dube ? Je refa huyu wa leo Mpira unatoka nje bado mchezaji wa yanga anaucheza anamuacha tu huyu ni wa karia au Gsm ? Ndio maama yule kocha aliwaita manyani mnabweka hovyo kunguni nyie
@charitymkombozi5900
@charitymkombozi5900 2 года назад
Feisal amebarikiwa utu na utulivu
@gregorysulle
@gregorysulle 2 года назад
highlights iwe angalau dakika 8 mtu unahitaji kuona magoli yamepatikanaje tu
@leonardpaul568
@leonardpaul568 Год назад
Daima mbele nyuma mwiko
@hamisikapatila9200
@hamisikapatila9200 2 года назад
Azam jaribun kuweka crip fupi walau Dakika 10 dakika 20 mnazingua
@charitymkombozi5900
@charitymkombozi5900 2 года назад
Kwanza hizi hazitoshi inatakiwa waweke ata 79😃
@merinachalinze6455
@merinachalinze6455 2 года назад
Fei we sio mzur utaua
@zilperoscar7389
@zilperoscar7389 2 года назад
Kuna wa2 wa timu fln wameumia ata cjui wameumia nn😃😃
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 2 года назад
Wale wa Dada wa yanga wanolalamika mitandaoni kua Tff inawaonea vip hapo huyo refa wa karia AU wa Gsm ??
@jofreymwile1986
@jofreymwile1986 2 года назад
Mbona Sauti Hamna
@mwanasengugsengug7273
@mwanasengugsengug7273 Год назад
Hii Haina marefaree ni upuuzi tutafute shule za nje ya nchi tukafundishe marefaree ila siyo Hawa marefaree wa upe
@mussalandare5254
@mussalandare5254 2 года назад
Feitoto anafaa achez mpira za england
@atiqaly6567
@atiqaly6567 2 года назад
Unazani england wanacheza kma kmc au sio😂😂😂
@nurdin.mndeme3447
@nurdin.mndeme3447 2 года назад
@@atiqaly6567 ANAWEZA FEISAL
@azizamihungo9659
@azizamihungo9659 Год назад
@@nurdin.mndeme3447 Labda England ya Buza kwa mpalange
@gervasmwagen8135
@gervasmwagen8135 2 года назад
Kumbe komenti Ni kucheka toa points
@mwanasengugsengug7273
@mwanasengugsengug7273 Год назад
Azam wanatakiwa kwenda kushtaki kwa hiki kilichofaki kwenye huu mchezo
@hamisinelsoni1387
@hamisinelsoni1387 2 года назад
Azam vs yangs
@williamchamriho8786
@williamchamriho8786 Год назад
Maombolezo ya marikia
@googleus4903
@googleus4903 2 года назад
Fei toto hajawahi kusahau viatu na vinamtosha vizurii... Havijawahi kumbana 🤣😅😂
@lidyamgaya3877
@lidyamgaya3877 2 года назад
🤣🤣🤣 mpenja tena
@salamasaidi6620
@salamasaidi6620 2 года назад
@@lidyamgaya3877 😆😆😆😆yan anachambua hatar
@fidelisvenance6431
@fidelisvenance6431 Год назад
Video mmeikata vibaya
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 2 года назад
Mje mtuambie madada wa yanga mnotakaga haki je ndio hii haki yenyewe ??
@ahamadimatendo8928
@ahamadimatendo8928 2 года назад
🤟👊💘🥀
@silvestabahebewadudu6625
@silvestabahebewadudu6625 2 года назад
Dadek imekula.besela we dube.
@hamzasuleiman9605
@hamzasuleiman9605 2 года назад
Kuanzia leo huyu Azizi Ki kufananishwa na Chama naomba iishe kabisaaa , maana huyu jamaa ni wa kawaida sana , effect ya jina lake hasaaaa halionekani , basi tu
Далее
Avaz Oxun - 10 yillik yubiley konsert dasturi 2023
2:52:33
Highlights | Yanga 5-0 Zalan FC | CAFCL - 17/09/2022
19:20