ADITOR wakati unafungua video, make sure unaandaa intro oudio kwaajili ya clip za kufungua game. Yaani usiungeunge video na audio zake, chukua audio moja ya ufunguzi inayoelezea vizuri hiyo mechi then ivandike kwenye video za ufunguzi... Alafu game inapoanza endelea kama hivi unavyofanyaga. Kwenye intro maneno yanasikika nusu nusu, hayapendezi.
Me kusema ukweli naona imefika muda sasa wa azam tv kuondoa ili neno la burudani kwa wote kusema ukweli watu wa youtube burudani mnatunyima mechi ina magoli matano highlights dakika 7 azam tv amtutendei haki watu wenu wa youtube kwakweli
Azam mnatukosea watu wenu. How can you put 90 minutes in 7 minutes?Mnashindwa kufanya hata dakika 20 au 15. Acheni roho mbaya. Kwa hali hi na unsubscribe. Sioni cha kufuatilia hapa