Тёмный

Yanga SC 3-2 Azam FC - Highlights | NBC Premier League - 23/10/2023 

UTV Tanzania
Подписаться 72 тыс.
Просмотров 1,2 млн
50% 1

Stephane Aziz Ki amefunga #hattrick na kuipa Yanga ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa #NBCPremierLeague uliopigwa leo kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam
magoli ya Aziz Ki yamefungwa dakika ya 9', 69', 72' huku Azam wakipata magoli yao kupitia kwa Gibrill Sillah 19' na Prince Dube dakika ya 62 kwa penati.

Спорт

Опубликовано:

 

22 окт 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 240   
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt 9 месяцев назад
Viva Yanga Viva Wananchiiiiii let's go Ubingwa msimu Huu Ni lazimaaa 💪🔥💥💚💛⚽👊🤚🖐🏿
@JoshuaMovela
@JoshuaMovela 9 месяцев назад
Hongera yanga ,Azam ni watoto wetu
@RehemaMatwi
@RehemaMatwi 3 дня назад
I love you yangaaaa
@zekelly_025
@zekelly_025 9 месяцев назад
Jomba hii mpaka iishe kwanza ninnoma sana🎉🎉🎉
@cleverymwakamala2967
@cleverymwakamala2967 9 месяцев назад
kama Aziz atacheza kwa kiwango hikihiki kwenye derby tutawanyonyoa makolo
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 9 месяцев назад
Wamenyooka kwel yaan
@user-op7mh5sp4p
@user-op7mh5sp4p 6 месяцев назад
Asee hapa uli sema😂😂
@GracieTyno
@GracieTyno 3 месяца назад
Tayari tushawanyoosha😂😂😂😂
@kephamlewa5258
@kephamlewa5258 Месяц назад
Dahhh mwanangu uliona mbali na tuliwanyonyoa kweli
@ntakakasendebayi9992
@ntakakasendebayi9992 9 месяцев назад
💛💛💚💚🔰🔰😂😂😂 nacheka kwa sababu nina furaha sana yanga hiii raha sana💚💚💛💛🔰🇹🇿
@Fredy-oz5vu
@Fredy-oz5vu 7 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂
@ezekielmwarabu3548
@ezekielmwarabu3548 9 месяцев назад
Yanga ni nomaaaa sanaaa
@user-vm5xd9wx1d
@user-vm5xd9wx1d 9 месяцев назад
Yanga yakibabe sana Huyu jamaa alotambulishwa usiku wa saa 6 mwamba wa wagadugu ni nomaaa sanaaaaa
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA
@--------GEO_SPORT_EARTH_EA 9 месяцев назад
Usiku wa manane
@GracieTyno
@GracieTyno 3 месяца назад
Aziz Ki bwana dah!🙌🏽
@KaroliMagana
@KaroliMagana 9 месяцев назад
Amazing goal no:3
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 9 месяцев назад
Azam mnatuangusha likija swala la highlights
@wardah-mb6kb
@wardah-mb6kb 9 месяцев назад
Ila Azam mnaroho mbaya Kila mechi ya yanga Huwa mnachelewesha
@veronikasamson6438
@veronikasamson6438 9 месяцев назад
Wana boa sanaa Aisee
@catherineshao8304
@catherineshao8304 2 месяца назад
I love Yanga
@user-xk5mq6rk8u
@user-xk5mq6rk8u 9 месяцев назад
Nakuunga mkono kwa hilo aise mamnyeto uwezo wa kukaba ama kuzuwia Bado sana asianze kiukweli atatuchomesha🎉
@mwanangusana
@mwanangusana 8 месяцев назад
Mwamnyeto ni defender wa nchi beki la mpira weweee
@user-eg9sq2zd5b
@user-eg9sq2zd5b 8 месяцев назад
Yanga raha ❤❤❤ jamn
@williamuphilipo2120
@williamuphilipo2120 9 месяцев назад
Mkubwa ni mkubwa tu ❤❤
@user-ex7zx1qb8g
@user-ex7zx1qb8g 8 месяцев назад
💚💚💚💚💚yanga nitimu kubwa
@NellyErick
@NellyErick 9 месяцев назад
Yanga bora
@alluarjun8638
@alluarjun8638 9 месяцев назад
Mhh huyu azizi Ni noma aisee
@muddymuzungu4357
@muddymuzungu4357 6 месяцев назад
This is true derby
@user-rc6il8vw9z
@user-rc6il8vw9z 9 месяцев назад
Kama mwanayanga naomba mechiya Leo katiya yanga na singida kibwana aaz
@baltazarmrema5712
@baltazarmrema5712 24 дня назад
Nani anarudia kuichek hii game saii kama mimi😂😂
@HabeebaHassan-eq7bg
@HabeebaHassan-eq7bg 9 месяцев назад
Azam tv wasenge sana
@danielsunghwa487
@danielsunghwa487 9 месяцев назад
💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 yangaaaaaaa
@agapeemmanuel
@agapeemmanuel 8 месяцев назад
Yanga ipo juu
@mohdyussah825
@mohdyussah825 3 месяца назад
Great 💚💚💚💚💚
@user-xw1zk5ug6h
@user-xw1zk5ug6h 5 месяцев назад
Daima mbele nyuma mwikooooooooooooo
@user-ze6qu7zq1w
@user-ze6qu7zq1w Месяц назад
We need you in naturenaaaa man😂✌️✌️✌️✌️❤❤
@febroniamsoma178
@febroniamsoma178 9 месяцев назад
Azam fanyieni kazi quality ya picha za highlight hazionekani vzur
@user-vp4ni5kk4y
@user-vp4ni5kk4y 8 месяцев назад
Angalia setting kwenye youtube yako pia
@user-od4zj2xk6s
@user-od4zj2xk6s 6 месяцев назад
Ni kweli kabisa
@ishirininasita2626
@ishirininasita2626 9 месяцев назад
Feisal bana is on another level
@masaumujungu
@masaumujungu 8 месяцев назад
Another level without winning
@ishirininasita2626
@ishirininasita2626 8 месяцев назад
@@masaumujungu without winning what kama ni titles ako nazo kama ni individual awards anazo ama huangalii mpira boss
@ishirininasita2626
@ishirininasita2626 8 месяцев назад
@@masaumujungu ooooh ni majungu tu kama jina lako
@edibilychaula.3753
@edibilychaula.3753 9 месяцев назад
Hii match ilikua inawauma kuikuwema kisa timu yenu imepigwa mnachekesha kweli 😂😂😂
@josephbukubila2737
@josephbukubila2737 9 месяцев назад
muwe munakata dakika hata 40 au nitumie mechi zima unambie bei yake
@user-kw9xe7cl9z
@user-kw9xe7cl9z 9 месяцев назад
Mambo ni moto
@yonasytitusy337
@yonasytitusy337 7 месяцев назад
Ivi azizi awezi kufunga bila tobo
@sadalaedward2460
@sadalaedward2460 7 месяцев назад
Mungu asimame Kati tu dhidi ya Ali ahal
@user-oj1wx7ue5u
@user-oj1wx7ue5u 9 месяцев назад
Apewe mmauwa🎉🎉🎉 yake mwamba
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 9 месяцев назад
Mabeki wa azam wazembe bao lapili sio lakipa
@simonsikanyika1682
@simonsikanyika1682 6 месяцев назад
Yanga tamu
@AmanduceFesto-nb6kh
@AmanduceFesto-nb6kh 9 месяцев назад
❤❤❤❤❤ yanga
@shabbirbharmal7876
@shabbirbharmal7876 5 месяцев назад
Sauti ya baraka MPENJA inauwa humna mtu anayeweza kama baraka mpenja
@ZakayomwinukaZakayomwinukatheb
@ZakayomwinukaZakayomwinukatheb Месяц назад
😢😮 yangaaa tamuuu
@ZakayomwinukaZakayomwinukatheb
@ZakayomwinukaZakayomwinukatheb Месяц назад
Wananchiiiiiiiiiii
@abdulkheri7322
@abdulkheri7322 8 месяцев назад
Hii ndio ilikuwa Derby....Naskia malogo sc wameomba game yao na azam isongezwe mbele😂😂😂
@GracieTyno
@GracieTyno 8 месяцев назад
Wanaogopa 😂😂😂😂na lazima wachapwe 🔥
@jacksonnyoni1978
@jacksonnyoni1978 9 месяцев назад
Azam ikicheza na yanga nyie azam midia kuweni kiloho safi leo ndo mnatupia toka jana mmekaa kimya tumeangalia mpila vizuli tumeshinda 3 - 2
@julianashani9408
@julianashani9408 9 месяцев назад
Azam FC 3- 0 Mwakarobo
@rogersiddy
@rogersiddy 9 месяцев назад
Tunawaomba viongozi wetu wa Yanga mechi dhidi ya Aly Ahly Mwamnyeto asianze Warabu watatumia madhaifu yake kwa kujipatia Penalti za kizembe kbs maoni tu
@yusuphabubakary2030
@yusuphabubakary2030 9 месяцев назад
daah umeona,.. magoli yote mawili yametoka kwake,.. pale ni job na bacca tuu ndo wawe wanaanza
@suzancharles1639
@suzancharles1639 9 месяцев назад
Hata siku tumecheza na USMA ile final penalty aliisababisha yeye
@rogersiddy
@rogersiddy 9 месяцев назад
@@suzancharles1639 Umeona ilo kumbe nimesema ivyo sababu nimechukua ile unayosema na Penalt ya Azam na warabu wakishamjua mtu wa ivyo wanatumia sana iyo nafasi tunamuelewa sana Mwamnyeto ila ligi ya mabingwa apumzike kdg
@lucasmhagama8166
@lucasmhagama8166 9 месяцев назад
Kwa hiyo timu inapagwa na viongozi?
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 9 месяцев назад
Saa utamuweka nani kwa vimo vya wale jamaa
@user-jn8us1qi1z
@user-jn8us1qi1z 7 месяцев назад
Fei shoga kwel eti anafanya ishara kuwa imeisha😂😂😂
@user-pq5ud1gc5f
@user-pq5ud1gc5f 6 месяцев назад
Aaah mpka kero jaman achen mpira wa sifa
@user-ze2uy3vh3w
@user-ze2uy3vh3w 5 месяцев назад
Hii ndoyanga leo daaah kiukwel yanga ndotim yakuxhabikia
@HusseinKafuta
@HusseinKafuta 5 месяцев назад
Naludia mechi leo
@abdulazackabdul1894
@abdulazackabdul1894 6 месяцев назад
🐸🐸🐸
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 9 месяцев назад
SISI NDO YANGA,....ENDELEENI KUWATESA HAO MAKOLO.
@Kisamorabaututa-em1bv
@Kisamorabaututa-em1bv 8 месяцев назад
Mwamunyeto mech inamuhs sana Bora job asuge benchi
@Hagai-pm6yf
@Hagai-pm6yf 9 месяцев назад
Ni aibu Kwa azama na Feisal wao,
@CHW113
@CHW113 24 дня назад
Yanga hakuna kitu
@user-uh4tr3nb1r
@user-uh4tr3nb1r 5 месяцев назад
Saaa saba kasoro tarehe sita mwezi wa wa tatu narudia mechi kuangalia usiku uuu
@hassanchiwambo687
@hassanchiwambo687 9 месяцев назад
Huo moto waliopelekewa azam kuazia dakika ya 80
@user-br7fz4zd5x
@user-br7fz4zd5x 13 дней назад
ila azam wanatusumbuaga jamani khaaaah
@sadallahnineka3078
@sadallahnineka3078 7 месяцев назад
Makolo walijichanganya 5 zilikua ni za hawa lambalamba
@josephndaki8003
@josephndaki8003 8 месяцев назад
Siwezi kukubali Simba na Yanga iitwe Kariakoo derby why not Dar es salaam Derby? DUNIANI nani anajua Kariakoo au Chamazi?
@youngrapper339youngrapper3
@youngrapper339youngrapper3 5 месяцев назад
dash kiukweri nasikia raha na tanga yetu😂😂😂
@shaibumrisho5033
@shaibumrisho5033 7 месяцев назад
Mpaka sasa hakuna mechi inayoshinda hii kwa ubora
@justinewanzala3218
@justinewanzala3218 7 месяцев назад
Jamani mpenja mbona haungulumii
@user-rv3dr9ug8o
@user-rv3dr9ug8o 9 месяцев назад
Wazembe kivp
@MwanamkasiAlj
@MwanamkasiAlj 9 месяцев назад
Azam haina mpira wakistaarabu ni watu wa mihereka tu kata funua sijui ni hizo ice cream.
@denisndandika2024
@denisndandika2024 9 месяцев назад
Ni kweli
@Kikotidata
@Kikotidata 8 месяцев назад
Ila nyiee Aziz anajua Mpira bhn wew
@omega-gl9wt
@omega-gl9wt 9 месяцев назад
Daima mbele nyuma mwiko
@chrissg4026
@chrissg4026 9 месяцев назад
Goli la tatu kulikuwa na faulo 7:45
@sekwajuma
@sekwajuma 4 месяца назад
mamboo yako vizuli sana
@kedyjohn1848
@kedyjohn1848 9 месяцев назад
Ilikuwa wale tano na hawa kama siyo umakini wa Maxi, wangeongezeka kwenye ile list yetu.
@user-mo3yz7zk8y
@user-mo3yz7zk8y 9 месяцев назад
Hii ndo yanga
@user-qc9dj8be6r
@user-qc9dj8be6r 5 месяцев назад
Yanga hatal
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 9 месяцев назад
Golkeeper ovyo
@gladnessmushi-ge6fd
@gladnessmushi-ge6fd 9 месяцев назад
Kama manula tu
@JustineIshebakaki-ns7fd
@JustineIshebakaki-ns7fd 7 месяцев назад
Jmny yanga sio pooooo
@GracieTyno
@GracieTyno 8 месяцев назад
Huyo kipa wa azam alitaka kutuzoea 😂😂😂😂
@mwamvitamatiku
@mwamvitamatiku 9 месяцев назад
Yanga moto mkali
@abdallahakida7908
@abdallahakida7908 9 месяцев назад
Ally kamwe kashanzakutabiri ujinga ndio midono inamponza
@user-dl8bn3oc8c
@user-dl8bn3oc8c 9 месяцев назад
kwan all kamwe kaongea kit gan ww kolo
@sadallahnineka3078
@sadallahnineka3078 9 месяцев назад
Kumbe azam nao walikua wanakula 5 aisee kwa hizi nafas zilizopotea😅
@user-ov8zp5mc4y
@user-ov8zp5mc4y 9 месяцев назад
ahahahahahhaha hapoooo mm cpoo
@kokunyegezaruta8456
@kokunyegezaruta8456 6 месяцев назад
😊
@AsmaAmeir
@AsmaAmeir 9 месяцев назад
Azam makipa munatoa wapi mbona mipira inawapita kama kandimu
@alicenice1711
@alicenice1711 9 месяцев назад
Tofauti ya wanaume na wavulana ndo hiyi sasa
@hajially4527
@hajially4527 6 месяцев назад
0:32 0:35
@mbukumagiubukumagu406
@mbukumagiubukumagu406 9 месяцев назад
Azam tafuteni kipa
@user-hp4dn4nm8g
@user-hp4dn4nm8g 8 месяцев назад
Ihi meche ya kumbukumb
@godfreymkinga
@godfreymkinga 7 месяцев назад
Mwamnyeto ajifunze jinsi ya kumkaba adui eneo la hatari makosa kama haya yanajirudia sana. Kingine max onyesha makali na mechi za kibingwa isiwe ligikuu tuu
@zaidyabdalah3691
@zaidyabdalah3691 9 месяцев назад
Timu ya Azam takataka tupu, mishahara minono, marupurupu kibao, Hospitality ya uhakika, lakini wachezaji hovyo kabia, hivi hamjifinzi kwa yanga na Simba? Wachezaji huwa mnaokoteleza wapi? Hamfiki popote, mpaka labda Yesu akirudi. Kama vp hicho kiwanja Jenga kiwanda Cha kutengeneza biskuti utapata faida kuliko kuwa na timu inaleta hasara kila iitwayo siku. Trash trash trash trash kabisa hovyooo
@SurprisedHibiscus-zh6to
@SurprisedHibiscus-zh6to 9 месяцев назад
Unaipenda yanga kak
@trofinlyimo3520
@trofinlyimo3520 9 месяцев назад
Yanga bhnaaaa
@parishlawal3034
@parishlawal3034 7 месяцев назад
Ilo goli la sillah n offside kubw san
@JohnMwashanila-ev3ss
@JohnMwashanila-ev3ss 9 месяцев назад
Dream league
@AmanduceFesto-nb6kh
@AmanduceFesto-nb6kh 7 месяцев назад
Ngoma ya mtoto haikeshi
@alfredrutaguza7506
@alfredrutaguza7506 8 месяцев назад
Roger uko sahihi mechi akianza mwamnyeto tunapata ushindi kwa taabu
@ahmedmpimbi9684
@ahmedmpimbi9684 7 месяцев назад
Moja ya sababu ya kusajiliwa Gift Fred na pia Doumbia ni kwa ajili ya kutafuta mtu mwenye kimo lakini clinical sweeper ili kumuondoa Mwamnyeto kwenye equation
@SalumuKibao-ex3zy
@SalumuKibao-ex3zy 9 месяцев назад
Ndoa ya kanisani hiyo
@abdaljuma-wk4dg
@abdaljuma-wk4dg 9 месяцев назад
Ona lao hili lijinga usitofautishee bhana water wachezeji we2 sijapenda nyooookoooo
@rukaya-jg7hj
@rukaya-jg7hj 8 месяцев назад
Dabi zote wananch tumeshind
@ElickJames
@ElickJames 9 месяцев назад
Yanga maandazi to
@mankamrema72
@mankamrema72 9 месяцев назад
Kama ulivyo ww watak chapati
@mohammedalikhan5766
@mohammedalikhan5766 9 месяцев назад
We kitumbua tulia
@user-ct4jp1ux1z
@user-ct4jp1ux1z 9 месяцев назад
Bora Kennedy Musonda kuliko Mzize. Mzize bado sanaaa
@Fredy-oz5vu
@Fredy-oz5vu 8 месяцев назад
Tarehe 5
@katalisajuka-fl3st
@katalisajuka-fl3st 7 месяцев назад
Walitakiwa wapigwe 6 hawa kama sio uzembe wa Mudathir na Max, Kiukweli Max ana kera sana siku hizi, sehemu ambayo anatakiwa atoe pass rahisi ili wenzake wafunge yeye anataka apige afunge, Mudathir maamuzi yasiyo sahihi uwanjani yamekuwa mengi sana, mtu umebaki wewe na kipa unataka utulize tena badala ya kuunga, lakini tazama pale watu wawili wapo kwenye box mmoja ametanua pembeni ili kumvuta beki wa kati, yani Mudathir badala ya kupasia mpira kwenye box yy anataka achese one, two na huyu aliyetanua pembeni, mbona huu ni uchoyo uliyopitiliza
@franksanyiwa
@franksanyiwa 9 месяцев назад
Tunaeda kushambulia sio kunzuwia kwahiyo acheni kumpagia cacha akifungwa nyie ndio wa kwanza kulaumu kwahilo muachen cocha apage timu yake
Далее
WAMEYATIMBA NDARO NA STEVE MWEUSI
14:56
Просмотров 1,8 млн
WHO'S NEXT?! 🙈⚽️
0:27
Просмотров 22 млн
#rek
0:11
Просмотров 522 тыс.
ТАДЖИК vs ЧЕЧЕНЕЦ
1:01
Просмотров 259 тыс.