Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya robo fainali kati ya Yanga SC dhidi ya APR FC.
Matokeo ni APR kuifunga Yanga SC 3-1
Magoli yamefungwa na Soulei Sanda, Mbaoma Victor na Sharaf Eldin Shaiboub kwa upande wa APR.
Goli la Yanga limefungwa na Jesus Moloko
6 янв 2024