Тёмный

JESHI LA GAMONDI LILIVYOFANYA MAZOEZI YA KIBABE COCO BEACH | CHAMA, PACOME HAWASHIKIKI 

Yanga TV
Подписаться 636 тыс.
Просмотров 132 тыс.
50% 1

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Спорт

Опубликовано:

 

9 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 362   
@mwajayhaxxan5507
@mwajayhaxxan5507 17 дней назад
Nani mwengine anaangalia huku anatabasamu 😊😊😊
@user-fm1ho3wq3l
@user-fm1ho3wq3l 17 дней назад
😊😊😊yn mpk nimechk kwasaut
@user-mh6hy5eb4j
@user-mh6hy5eb4j 17 дней назад
😂😂😂
@ommykiss7049
@ommykiss7049 17 дней назад
Tupo wengi mno
@hk_ballers
@hk_ballers 17 дней назад
Mimi
@lameckmathias1188
@lameckmathias1188 17 дней назад
Hii imekaa poa sana , inatangaza pia fahari ya Tanzania ❤
@kassimchuo5290
@kassimchuo5290 17 дней назад
All the best INSHAALLAH my lovely team YOUNG AFRICANS nikiwa QATAR
@user-hy3en6vk5f
@user-hy3en6vk5f 17 дней назад
Nawependa sana jeshi langu Mungu awalinde na awape afya njema🥂💚
@MzeewaYanga-hm8jq
@MzeewaYanga-hm8jq 17 дней назад
🙏🙏🙏
@user-ox3ij7ki3t
@user-ox3ij7ki3t 17 дней назад
Mungu awe pamoja nanyi wachezaji bench la ufund na viongozi wetu Amen🙏🙏🙏
@godfreysimoni4270
@godfreysimoni4270 17 дней назад
Niwatakie maandalizi mema wapambanaji wetu💚💛💚💛🖤
@mwajayhaxxan5507
@mwajayhaxxan5507 17 дней назад
Allah akawaongoze wapambanaji wetu,, ukawe msimu bora ndani kwa league ya ndani na kimataifa. Kila la kweli wananchi 💗💗
@anonziatamrema
@anonziatamrema 17 дней назад
Amina
@andersonbruno6255
@andersonbruno6255 17 дней назад
Kila la heri young Africans kwenye mandalizi na mazoezi kuelekea msimu ujao Hawepo ata mmoja kumia amen Daima mbele nyuma mwiko 🔥🔰🇹🇿💯
@lukwagopaul6572
@lukwagopaul6572 17 дней назад
Am happy that pacome and Aziz ki are back
@julianasimon5518
@julianasimon5518 17 дней назад
Mi nimependa yanga kuiongezea thamani nchi yetu, kutokutoka nje ya nchi, walianza kina diamond kutoenda kushut video nje, sasa kambi pia hapahapa, ahsante rais wa yanga Mungu akuweke💚💛💪
@HusseinJumahussein-lf1xk
@HusseinJumahussein-lf1xk 17 дней назад
Familia ya furaha💚💚💪💚💚💪🔥🔥🏆🏆
@AmaniOmari-ev2gu
@AmaniOmari-ev2gu 17 дней назад
Yanga bingwa teeeena❤❤❤❤❤❤❤ mpaka 2030
@catherineamiri9854
@catherineamiri9854 17 дней назад
OMG I LOVE THIS TEAM😊❤
@louidaniel9944
@louidaniel9944 17 дней назад
Nmekumoyo asee❤
@hk_ballers
@hk_ballers 17 дней назад
We all love this team 💚
@AhmadSahabu
@AhmadSahabu 17 дней назад
Hadi nashindwa nifurah kwa njia gani big up sana
@EvaristJosiah
@EvaristJosiah 17 дней назад
Chama ameanza kung'aa kweli yanga maisha mazuri
@DanieliMzirai
@DanieliMzirai 17 дней назад
Mmh umenichekesha 😅😅😂
@user-ic8oj1fy7q
@user-ic8oj1fy7q 17 дней назад
Keki kumi na saba si mchezo 😂😂😂😂😂
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz 17 дней назад
Hahahaha ❤❤
@user-qn1ot2bx8b
@user-qn1ot2bx8b 17 дней назад
Mamae kocha ashaanza kumpa madini chama
@IsaacNkonu
@IsaacNkonu 17 дней назад
Hahaha wapinzan wajinyonge
@chieframadhani4976
@chieframadhani4976 17 дней назад
Baba karib.🎉kwa wanainchi utanenepa baba kunaraha zote
@MohamedibakariBakari
@MohamedibakariBakari 17 дней назад
Nimeuona ulafiki wa chama na msheli balaa
@HusseinJumahussein-lf1xk
@HusseinJumahussein-lf1xk 17 дней назад
Yanga sc bingwa🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆
@SadajumaJuma-tu2dx
@SadajumaJuma-tu2dx 17 дней назад
Nice
@SIKUDHANISHIRINITZ
@SIKUDHANISHIRINITZ 17 дней назад
Yani wachezaji wanang'ara adirahaa🎉 naipenda sana yanga yangu jamani❤❤
@brightontheogenes5093
@brightontheogenes5093 17 дней назад
The Biggest team in AFRICAA Nyie hamuogopiiii....
@Purity-l2v
@Purity-l2v 17 дней назад
😂. Dah tunaogopa
@lucymsheshi5871
@lucymsheshi5871 17 дней назад
Mambo ni fire pit 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-ql6hg7fy9p
@user-ql6hg7fy9p 17 дней назад
Hakika Yanga Sc ni familia moja kubwa Duniani inayotuleta wote pamoja, umoja na upendo ziwe ndani ya timu yetu daima, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
@ShafiiHungo
@ShafiiHungo 17 дней назад
Asante jeshi letu Mungu akupeni afia njema amini toka zenji
@binmohammed7171
@binmohammed7171 17 дней назад
Ligue iyanze naona Makolo washaanza kunenepa
@zeddymourice4249
@zeddymourice4249 17 дней назад
😂😂😂😂😂kwahiyo haitakiwa hata kanyama kaziada kaongezeke?
@nehemiakiswaga1819
@nehemiakiswaga1819 17 дней назад
😂😂😂😂😂😊
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n 17 дней назад
Umetutabilia mazuri ...ni mwendo wa kunenepa tu zamu yenu kukonda uto😅😅
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 17 дней назад
@@user-zs4qz4wm2n Yanga kuna raha jamani...hadi chama katakata😅😅
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 17 дней назад
😂😂😂😂😂
@user-kp7em6zt1g
@user-kp7em6zt1g 17 дней назад
Jamani kumbe Chama ni handsome hivi jamani na amsemi 💛💛💛💛💛💚💛💚💛💚💛💚 siku tatu tu kanawili
@OmaryzingZing-jd3xm
@OmaryzingZing-jd3xm 17 дней назад
Nawatakia maandalizi mema Timu yangu ya Yanga tuchukue makombe yo tutakayo shiliki Biidhinila by Ronaldo Jr apa flom Bagamoyo❤
@PaulinaAndrea-tk4of
@PaulinaAndrea-tk4of 17 дней назад
❤❤
@OmaryzingZing-jd3xm
@OmaryzingZing-jd3xm 17 дней назад
P1 kazi kazi
@kisaveryraphael432
@kisaveryraphael432 17 дней назад
Alooh yanga likes apa✅
@Cuteeeee477
@Cuteeeee477 17 дней назад
Tuliorudia kuangalia zaidi ya mara moja tujuane hapa 😂😂🔰💛💚
@MzeewaYanga-hm8jq
@MzeewaYanga-hm8jq 17 дней назад
Kumbe 2ko weng😂😂😂
@MeryFrancey-fs4qm
@MeryFrancey-fs4qm 15 дней назад
Naipenda yanga na naitakia msimu mwema one day nataman niitumikie tim yangu from kigoma
@veronicapius3476
@veronicapius3476 17 дней назад
Tulimiss haya mambo😊😊😊
@Purity-l2v
@Purity-l2v 17 дней назад
Umeona eee❤
@naliakafatuma9870
@naliakafatuma9870 17 дней назад
MUNGU ni mwema hongera Sana nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@LightMeck
@LightMeck 17 дней назад
Chama na gamond 💛💛
@amaniomar1755
@amaniomar1755 17 дней назад
Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi Daima mbele nyuma mwiko
@bravoremy
@bravoremy 17 дней назад
Yanga 🔥🔥🔥
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 17 дней назад
Daima mbele nyuma mwiko
@safiaothman7506
@safiaothman7506 17 дней назад
Mashallah❤❤
@mariaerenest5632
@mariaerenest5632 17 дней назад
Kumbe chama ni hesamu boy walimtesa Sana kolo
@neemadavid7587
@neemadavid7587 17 дней назад
Umeona hesamu wa maan kabisa makolo hawajui kutunza kabisa😂😂😂❤
@MauBonde
@MauBonde 17 дней назад
Wanangu yanga nimetoka kuangalia club bingwa ulaya kuna vitu vingi vya kujifunza ,nawaaminia daima mbele,watoto wa jangwani.muhimu mapambano yaendelee zaidi ya tulipoyaacha,team work ndio njia ya mafanikio ...love u yanga.
@pambaboniface1199
@pambaboniface1199 17 дней назад
Asha Ngedele wanakifa 10😅
@zaynabhabib770
@zaynabhabib770 17 дней назад
Mungu ayongoso yanga msimu ujao iwebora ndani na nje hongera sana aziz k kuendelea kubak yanga
@rukiakyaka1827
@rukiakyaka1827 17 дней назад
Mashaallah Alhamndulilah nakuomba M/Mungu wajaalie afya, nusra waondoshee Khusda Inshaallah
@cchuwa6980
@cchuwa6980 17 дней назад
Familia ya yanga 🧡 inaishi kwa upendo sana
@angelathanas5993
@angelathanas5993 17 дней назад
Team ya ushindi💚💛🔥🔥
@levislwamba5695
@levislwamba5695 17 дней назад
Nawatakia kila la heri kwa msimu huu uwe msimu wa.mafanikio makubwa sana my best team in Africa , nawafatilia sana nikiwa nyumbani kwangu marekani,
@ommykiss7049
@ommykiss7049 17 дней назад
Yn kila nikimuangalia chama natabasam peke yng😊
@laizerlstvchannel
@laizerlstvchannel 17 дней назад
Much ❤️
@InnocentArchery-zi6vu
@InnocentArchery-zi6vu 17 дней назад
Yanga bingwa
@daudimichael7338
@daudimichael7338 17 дней назад
Yanga inaipa hadhi kubwa sana nchi na ligi yetu Africa
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 17 дней назад
Gamond bwana eti anamwambia chama "uje uwapelekee moto makolo mpaka wakuite baba wa Lusaka
@Togolay
@Togolay 17 дней назад
YANGA 4 LIFE
@mningoiman9916
@mningoiman9916 17 дней назад
Yanga raha saaaanaaa hiyo ndio daima mbele nyuma mwiko hiki kikosi mwaka huu kuna mtu atakimbiza timu uwanjani
@hajimgwami5224
@hajimgwami5224 17 дней назад
WOTE HAO KATI YA CHAMA, PACCOME NA AZIZ WATATAFUTA NAMBA LKN MAX NAMBA YAKE NI 100%, LABDA TU SIKU MECHI IWE RAHISI
@dahelahmad6331
@dahelahmad6331 17 дней назад
Wachezaji wote wa YANG'A watoke TIMU LKN Kama rais wa mahiri engineer Haris bado yupo Yanga naamini TIMU Bado Moto ule ule.
@josephchuwa1206
@josephchuwa1206 17 дней назад
Gamond na Mwamba wana agenda gani😂😂😂
@Emanuelimiyonjo
@Emanuelimiyonjo 15 дней назад
Yanga tamu💛💛💚💚🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
@DejacoDejoh
@DejacoDejoh 17 дней назад
Yanga ni timu kubwa Sana na msimu hujaaao sijui😂😂❤❤❤
@BARAKAMADUHU-nf1kr
@BARAKAMADUHU-nf1kr 17 дней назад
Good kudadeki anachoelezewa chama niupasuaji wa odi ya akina mama
@neemadavid7587
@neemadavid7587 17 дней назад
Kwan huyu n chama au macho yng jmn❤❤
@RashidAhmad-op9yi
@RashidAhmad-op9yi 17 дней назад
Tuko wengi wananchi daima mbele nyuma mwiko 💚💚💚💚💚
@JamesJamesphares-db3uh
@JamesJamesphares-db3uh 17 дней назад
Usajili tulio fanya uko vizuri sana naipenda yangaa❤❤
@user-er1dk6zj6u
@user-er1dk6zj6u 17 дней назад
Mpaka raha Yan 🍀🌼🍀🌼
@JumaMngumba
@JumaMngumba 17 дней назад
My team🎉 daima mbele nyuma mwiko💚🖤💛
@eliudhezron181
@eliudhezron181 17 дней назад
Wakwanza leo 🎉🎉🎉🎉
@johnjames-pw1dp
@johnjames-pw1dp 17 дней назад
Wananchiiii 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
@georgesamwelchacha7680
@georgesamwelchacha7680 17 дней назад
That is a real meaning of team
@user-mb2ln1et5w
@user-mb2ln1et5w 17 дней назад
Kwahyo Tena chama anavaa jezi no 20
@suzan4200
@suzan4200 17 дней назад
Hivi mmegundua sahv video zetu zinafuatiliwa sana
@user-cv4yi5hz9b
@user-cv4yi5hz9b 17 дней назад
Master gamondi🎉🎉🎉🎉💚💚🤩🤩💚🏆💪🏿✅
@abdullahhashimu2380
@abdullahhashimu2380 17 дней назад
Huyu yao yao ni noma sana saninaaa
@Aviwamwadin-so3vy
@Aviwamwadin-so3vy 17 дней назад
Hata wachezaji wetu wamempokea vizuri
@JohnMkumbo-e4e
@JohnMkumbo-e4e 15 дней назад
Nimeipenda hii
@DaudiIpyana
@DaudiIpyana 17 дней назад
I love you yanga❤❤🎉🎉
@daudtegemeo
@daudtegemeo 17 дней назад
Walifanya vizuri kabisa
@RamadhaniMangwira-s6w
@RamadhaniMangwira-s6w 17 дней назад
Halafu haka kawimbo kanamatumaini makubwa 😄😄kanaitwaje jamani
@nelsonbenitho8050
@nelsonbenitho8050 17 дней назад
My lovely team ever
@petersynto2043
@petersynto2043 17 дней назад
Viva mwananchi chama langu ❤❤❤
@KennedyJohn-p1i
@KennedyJohn-p1i 17 дней назад
Aziz k c amexhalud nayey aungane nawenzake mapema
@augustinohongoli8088
@augustinohongoli8088 17 дней назад
Dah sijamuona mwanangu musonda na ibra bacca😢
@user-nl8ec4np1t
@user-nl8ec4np1t 17 дней назад
Afu kweli na diarra
@user-nl8ec4np1t
@user-nl8ec4np1t 17 дней назад
Eh na aucho pia
@hk_ballers
@hk_ballers 17 дней назад
Dube ana aibu sana 😂
@eliudhezron181
@eliudhezron181 17 дней назад
Subscribers wapya karibuni sana
@Sumamnazalety
@Sumamnazalety 17 дней назад
🎉GooD luck young african
@AlexIsa-e8q
@AlexIsa-e8q 17 дней назад
Hatari Kwanza jez ilivo mupendeza ya wanainchi
@JofreyYohana
@JofreyYohana 17 дней назад
Makolo bado misimu mitatu kuijenga timu yao kazi wanayo😂😂
@ALCADOJAMES
@ALCADOJAMES 17 дней назад
Mm mwanasimba naomba wanasimba tujitoe mapema ligi kuu la sivyo tunakuwa magori kama mvua ya Hanang😅😅😅😅
@frida-oi6kw
@frida-oi6kw 16 дней назад
😂😂😂😂
@victornzebele3990
@victornzebele3990 17 дней назад
All the best my team🔰🔰🔰🏆🏆🏆🥇🥇🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@immaknight4414
@immaknight4414 16 дней назад
Fitinessss 😅😅😅😅😂😂 daima mbelee nyuma mwikooo
@amohmark97
@amohmark97 16 дней назад
Timu kubwa inajipanga kuchukua makombe yote 🎉
@chollejr_
@chollejr_ 16 дней назад
Ivo ayo mabelt uwa mnawaza Kama mimi😂😂😂😂😂😂
@RamadhaniMangwira-s6w
@RamadhaniMangwira-s6w 17 дней назад
Nakubali sana chama kubwa yanga
@user-em2sd9tm1n
@user-em2sd9tm1n 17 дней назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉maua yenu mastaa wetu
@mikwilemyovela3382
@mikwilemyovela3382 17 дней назад
Upendo kwetu❤❤
@vivanyboy9743
@vivanyboy9743 17 дней назад
No 20 chana 24 mzize 26 pacome 27 muda 29 princ muuwaji anae tabasam 😂 ❤❤
@NyemoLucas
@NyemoLucas 17 дней назад
The club above all.
@hamisathuman2729
@hamisathuman2729 17 дней назад
YANGA TAMU BANA!!!!
@sosomacharles9920
@sosomacharles9920 17 дней назад
Gamond hana kazi ngumu,maana shughuli yote inamalizwa na kocha wa viungo.
@mwajumamtuluko3398
@mwajumamtuluko3398 17 дней назад
Ukawe msimu wa kheri wanajeshi wetu 😌❤️
@ArnoldRwegasira-hp9gt
@ArnoldRwegasira-hp9gt 17 дней назад
All the best champions
@khatwibtwaib9775
@khatwibtwaib9775 17 дней назад
Mm ni yanga❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
@user-fb9wp5xe8w
@user-fb9wp5xe8w 15 дней назад
Adi raha
Далее
DIY rocking horse for your kid #diy #parenting
00:57
Просмотров 3,4 млн
2DROTS vs RISENHAHA! КУБОК ФИФЕРОВ 2 ТУР
11:31
MIZUKA YA GAMONDI SIKU YA KWANZA MAZOEZINI
1:11
Просмотров 26 тыс.
100% Smooth Passes 🤯
0:35
Просмотров 10 млн
Ronaldo's Kindness Helps Messi Become GOAT !
0:28
Просмотров 28 млн
Учу Стефа крутить 🏀
0:33
Просмотров 1 млн