Тёмный

Yanga SC 2-1 Red Arrows | Highlights | Mwananchi Day 04/08/2024 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 440 тыс.
50% 1

YANGA DAY | Red Arrows wametangulia kupata bao dakika ya 6 kupitia kwa Ricky Banda lakini Yanga wakasawazisha dakika ya 64 kupita kwa Mudathir Yahya kabla ya penati ya dakika ya 90 iliyofungwa na Stephane Aziz Ki.
Yanga wanapata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya mabingwa wa Zambia, Red Arrows katika Sherehe za Siku ya Mwananchi ndani ya Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 514   
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
Mudathir our zanzibar finest❤🎉
@josephattz2003
@josephattz2003 Месяц назад
Huyu dube namuona kabisa anakamba 2 tarehe 8. Mark my words.
@MasumbukoMacho
@MasumbukoMacho Месяц назад
Man of the match...Refa wetu kasaidia Sana kama pesa imeenda kialali
@SebastianGeorgeSamuel-yg2zc
@SebastianGeorgeSamuel-yg2zc Месяц назад
Man of the match ni kipa sio refa
@ayoubndekela1918
@ayoubndekela1918 Месяц назад
Pacoume is back on his fitness 💪
@GeradinaJohn-xh8pw
@GeradinaJohn-xh8pw Месяц назад
Ase yanga hongera, kipa wa red arrows hongera
@omarmatata-dc3mv
@omarmatata-dc3mv Месяц назад
Mudathir ndo man of the match 👏 🙌👊💪💛💚
@bongelabwana7523
@bongelabwana7523 Месяц назад
Huyu Golikipa ni next level😮🤩🤩 nomaa sana
@fadboe772
@fadboe772 Месяц назад
Hii yanga itatikisa Africa kila mtu atakuja kuona 💚💛🙌
@AnkallyPandu
@AnkallyPandu Месяц назад
Kipa wa red arrows apewe hongera yake maana kajituma sana yupo vizuri
@ChrissSamwel
@ChrissSamwel Месяц назад
Wamshukuru kipa wao yupo good wangekula nyingi sana
@emmadora7848
@emmadora7848 Месяц назад
Kwani kazi yake kipa ni kudanga au kuzuia magoli? Mmeshindwa hata 3 nyingi mngetoa wapi?
@ototek8037
@ototek8037 Месяц назад
@@emmadora7848 mje na kipa bora
@abdallahmindika1641
@abdallahmindika1641 Месяц назад
Mchumba umebebwa 😂😂😂 diara anaongz kutolew bikra 😅😅😅😅
@singoimollel5399
@singoimollel5399 Месяц назад
Hii yanga ya kubebwa na refa hadi mechi ya kirafiki penalty laini sana
@jumapilimakondo4250
@jumapilimakondo4250 Месяц назад
Ona huyu naye wamshukuru nini sasa,kwani alikuwa pale kwa jukumu gani
@chedielGomezulu
@chedielGomezulu Месяц назад
pacoume kawaka sana jana💥ila kuna wachezaji wapo kwenye viwango bora sana na wanashawishi kila kukicha..boka,duke abuya,mzize,pacome,maxi,musonda anazidi kuongeza kitu ila ajitahidi kuwekeza akili zaidi katika eneo la kumalizia..AZIZI katulia sana
@rickyramsey1469
@rickyramsey1469 Месяц назад
Makolo roho Zina umaa yanga oyeeeee💚💛🖤☠️🇰🇪
@jumakassim8718
@jumakassim8718 Месяц назад
Oyeeeh
@rickyramsey1469
@rickyramsey1469 Месяц назад
@@jumakassim8718 yes mtu asiguse comment yangu
@Frankb-fn8wf
@Frankb-fn8wf Месяц назад
Aiseee kipa wa Red arrows 🔥🔥🔥🔥
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Месяц назад
Hii Saka Saka mwizi ya Yanga ni hatari sana, naogopa.
@Deadskytz
@Deadskytz Месяц назад
Tukiacha ushabiki wa kijinga yanga wangeshinda nyingi Ni kipa tu wa red mzuri pia bahati haukuwa upande wao
@andrewIzdory-sk4cu
@andrewIzdory-sk4cu Месяц назад
Ulitaka wacheze bila kipa?
@Deadskytz
@Deadskytz Месяц назад
@@andrewIzdory-sk4cu elewa comment ndo ujibu usiwe una comment hujanywa chai Sawa mkuu
@sngrafx
@sngrafx Месяц назад
😂😂😂 Unaandika comment ukiwa wapi? 😂
@monicakibiki8073
@monicakibiki8073 Месяц назад
Ww umenena bwana
@YusufuJafari-fu7og
@YusufuJafari-fu7og Месяц назад
Hakuna nyiny kilicho wasaidia ni upungufu wao tu
@revocatusadrian9262
@revocatusadrian9262 Месяц назад
Ila Pacome🔥🔥🔥
@stevenhassan269
@stevenhassan269 Месяц назад
Man of the match kipa
@HabibMakame
@HabibMakame Месяц назад
Huyu kipa wa Red Arrows Mungu amfungulie milango apate timu itakayoweza kumlipa zaidi anavyolipwa sasa.Sincerely speaking,he is the best goalkeeper.
@rajabmwange4634
@rajabmwange4634 Месяц назад
Unaweza ukawa mzuka wa mechi moja tu 😀😀
@emmawilliesmwangota
@emmawilliesmwangota Месяц назад
Huyu kipa ni mzuri sanaaa
@user-pp7ug2bc1y
@user-pp7ug2bc1y Месяц назад
Nimeridhika na usajiri inatakuwa concentration tu kwa attacking midlfield na strukers. Kalumba wa man of Match. Safi sana.
@DiwaanOnline
@DiwaanOnline Месяц назад
PACOME mtu hatari sana
@SebastianGeorgeSamuel-yg2zc
@SebastianGeorgeSamuel-yg2zc Месяц назад
Kipa wa red arrows man of the match daaah ilikuaw ni kaziaaaag😢😢
@NipaSanga-hp4tx
@NipaSanga-hp4tx Месяц назад
daima mbelee yanga💛💛💛💛💛💛💛💛
@msholozizuma5428
@msholozizuma5428 Месяц назад
Yanga ya Huu Msimo itakua Kali sana Simba Mjiandae😂😂😂🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@RashidMuhunzi-pr5xj
@RashidMuhunzi-pr5xj Месяц назад
PACOME yupo juu SANA ki-soka.
@mkombevuai7161
@mkombevuai7161 Месяц назад
Kocha Gamond anaakili saana huez kupanga kikosi no.1 ili Hawa mbuuz makolo wakijue huku ukijua tar 8 mpo nao safi kochaa
@mbaruksaid5775
@mbaruksaid5775 Месяц назад
Goal ako vizuri 🙌🙌
@abdultandala6576
@abdultandala6576 Месяц назад
Kuna mwehu alisema penati tumepewa wehu hawawezi kuisha😅😅😅💚💚💚💚
@jaymorisonwonder1156
@jaymorisonwonder1156 Месяц назад
PACOME 🙌🙌🙌
@dumyutamu9668
@dumyutamu9668 Месяц назад
Man of the match inaenda kwa kipa wa Red 🫡 ila kwa 🟡🟢⚫️ wamejipata 🙌👏
@josephlyakurwa
@josephlyakurwa Месяц назад
Pakome ni kisanga na nusu 🔥
@user-rt1xt4xh2p
@user-rt1xt4xh2p Месяц назад
Zaid ya san pacome ninomaa
@kugotwa004
@kugotwa004 Месяц назад
Pacome akishika mpira ningumu kumpokonya alf ana force kubwa kufika mbele na akifika ni shoot kubwa so naongea km mwana simba tareh 8 aangaliwe sana sana alf kipa wetu ayubu au ali salum yanga wana mashut ya mbali hatar hasa pacome chama na aziz ki pamoj na mudthir mznzibar mwenzngu
@JacksonMakalanga-hs8xy
@JacksonMakalanga-hs8xy Месяц назад
My beautiful team
@azizjuma6125
@azizjuma6125 Месяц назад
hawa jamaa wana Bonge moja la Nyanda .... Good Goalkeeper marverous saves
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je Месяц назад
Ila.mudathir ana kitu kinaitwa bahati nzuri
@NyamongoLife
@NyamongoLife Месяц назад
Anajua sana sema hapewi heshima yake. Angekua sio Mtanzania angepewa heshima sana
@AnkallyPandu
@AnkallyPandu Месяц назад
Jana angekua kipa wa simba angekula nyingi sana 7
@user-ii7iz6uf2i
@user-ii7iz6uf2i Месяц назад
Yanga 🎉
@wachawasemeKagoma
@wachawasemeKagoma Месяц назад
Yanga noma sana
@RashidiMalik
@RashidiMalik Месяц назад
Wanasimb wenzang tumuangalienisana huyu pacommme ..nishida
@AnnaChales
@AnnaChales Месяц назад
Wamshukuru gor kipa arikuwa vizur
@deoboy9102
@deoboy9102 Месяц назад
Yanga kama yanga 💛🔰💚
@maharusimedia8310
@maharusimedia8310 Месяц назад
Maskini kipa wa watu alipata tabu sana 😂😂 ⭐⭐⭐🖐🏼
@ZahraAlly-wq4ku
@ZahraAlly-wq4ku Месяц назад
😂😂😂😂
@hamisimasaww4598
@hamisimasaww4598 Месяц назад
Jamani ushabiki naweka mbali uyo kipa so pouwa angekuwa nikupa wa simba angekula 7
@ZuuMussajamanitnzania
@ZuuMussajamanitnzania Месяц назад
Ww ndio shabiki
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Месяц назад
Uyu kipa wa red atari sana la si ivyo zilikuwa nyingi sana leo
@dmswaggbamboostick4576
@dmswaggbamboostick4576 Месяц назад
Pacome +max+Duke 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@GodfreyMwangila-lr4cc
@GodfreyMwangila-lr4cc Месяц назад
Shikamoo pacome
@karamauhuru9634
@karamauhuru9634 Месяц назад
Marahaba 🎉
@PanchoValentino-wh7wt
@PanchoValentino-wh7wt Месяц назад
Viva Yanga Viva Wananchiiiiii PACOME Hatare Saaana
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 Месяц назад
Kipa wiki hii haamki Kwa kuokoa mekwaju mingi
@raston4gkalonda821
@raston4gkalonda821 Месяц назад
Kosa kubwa la red arrows ni kuvaa nyekundu tu
@HekimaMalila
@HekimaMalila Месяц назад
Yanga ni balaa sijui iyo tarehe 8 mwezi wa 8 watu watalia😢😂 nyie
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Месяц назад
Ila hii yanga hii atakufa mtu siku mashaallah ❤
@boxdad
@boxdad Месяц назад
Nyoko
@fatmaally7252
@fatmaally7252 Месяц назад
@@boxdad unakufa ukiwa wapi
@SAMWELSOLOMON-w3p
@SAMWELSOLOMON-w3p 18 дней назад
Washukuru kipa
@samuelelombe6361
@samuelelombe6361 Месяц назад
Mungu mukubwa
@enockm6101
@enockm6101 Месяц назад
mwaka huu makipa watapata shid sana. Abuya anapiga miwa, Aziz anamabomu, Muda anang'oa minara ya simu, Dube yeye popote nje ndani anakujuka, Pakome ndo ukigoma anakulazimisha mpaka chumbani kwako yaani tuburere.... kipa haelewi nani atatoa pasi au nani atapiga, simba mchukueni kabisa huyu kipa wa Red Arrows awaokoe na ninyi tarehe nani. Sisi tunajua Deborah tu akikamatwa basi!
@josepeter8033
@josepeter8033 Месяц назад
Yanga bingwa mpk wanatrendiiii😂
@hamoudyahya7635
@hamoudyahya7635 Месяц назад
Mmudathir +aziz ki+ pakome+ dube+ musonda. Chama atasubiri sana
@segelemassawe572
@segelemassawe572 Месяц назад
Wananchi ikitokea pacome anataka kuondoka sababu ni mshahara kubalini hata kuchanga mashabiki asiondoke hii ni tunu
@wiltonexon6003
@wiltonexon6003 Месяц назад
Yanga sio pacome tu 😏
@felisimshana9088
@felisimshana9088 Месяц назад
Wew unatimo pole
@felisimshana9088
@felisimshana9088 Месяц назад
Wew maiwetu njoo telehe 8
@frankditrick3109
@frankditrick3109 Месяц назад
Vp kwa chama tuta changa??
@salumujaibu1837
@salumujaibu1837 Месяц назад
Yanga kikosi kipana kipo😂😂
@ashuramuhammed3257
@ashuramuhammed3257 Месяц назад
Zambia kipa mnae @ anajua Kaz yake
@yuzlongodfrey1622
@yuzlongodfrey1622 Месяц назад
huyu pacome achunguzwe 😂😂
@NdevuKamdini
@NdevuKamdini Месяц назад
Safi 🎉🎉🎉🎉
@gladyschristian2125
@gladyschristian2125 Месяц назад
love yanga
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 Месяц назад
Red arrows wangeshinda hii gem tatizo walipobadili jezi nyekundi yanga ikaaza kuwaona kama adui wengine
@philbertkabengo7905
@philbertkabengo7905 Месяц назад
Kwani hiyo nyeupe walipowatia moja bila haina utamu wa mnyama🦁
@johnjava8510
@johnjava8510 Месяц назад
Ila huyu kipa ni mnoma ❤‍🔥
@danken4153
@danken4153 Месяц назад
yanga iko vizuri
@mwakwelisaid3152
@mwakwelisaid3152 Месяц назад
Mimi nimkenya lkn napenda yanga kinoma juh wako na game nzuri than any team in Eastern Afrika.
@GucciJackson-sw6pg
@GucciJackson-sw6pg Месяц назад
Yanga inaweza kucheza mechi mbili siku moja
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Месяц назад
KWA KULA VIDONGE VISIVO RUHUSIWA
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 Месяц назад
Jamani nyinyi huyu Pacome mnamuonaje lakini?
@EltonMmari
@EltonMmari Месяц назад
Pacome proffesor wa vyuo vyote africa vya mpira😂😂😂
@kharidikibakulikibakuli9223
@kharidikibakulikibakuli9223 Месяц назад
Kipa wao yupo vzr sana😂
@raybirry3816
@raybirry3816 Месяц назад
HAWA YANGA NYINYI,TIMU IKIJA HOVYO INAWEZA KUCHEZEA NYINGI SANA!
@gerkombo6512
@gerkombo6512 Месяц назад
Kuna watu wajinga sana duniani, yan mnaona kabisa yanga walivyomiliki mpira mwanzo mwisho mnaona kabisa idadi ya magoli waliyokosa yanafika zaidi 20. Halaf anajitokeza mjinga mmoja unakenua mdomo ukisema yanga imebebwa. Wana simba hovyo sana. Subiri kipigo chenu tar 8.
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n Месяц назад
Toka hapa umebebwa mlionewa huruma tu kasherehe kenu kasihalibike 😂😂watu pungufu vile unahangaiiiika😂😂😂
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
Mmebebwa bhn ingekuwa aibu
@AlexAidan-kq5zn
@AlexAidan-kq5zn Месяц назад
Washenz nyie ata albu amuoni watoto walefa nyie
@user-zs4qz4wm2n
@user-zs4qz4wm2n Месяц назад
@@gerkombo6512 kidogo supu liingie mchanga🤣🤣🤣🤣🤣
@WAKALA_
@WAKALA_ Месяц назад
Hivi yanga mbona on 🔥🔥🔥🔥🔥
@clintonkatyale6891
@clintonkatyale6891 Месяц назад
Yanga baba lao tunasubilia hiyo tarehe nane
@adamnehemia8316
@adamnehemia8316 Месяц назад
Shikamoo golikipa wa red arrows
@HamidaMzee-m3i
@HamidaMzee-m3i Месяц назад
Timu ya pili ya yanga inajaribu kupiga shoti sana kuliko ya kipindi cha mwanzo
@fihirishemaadihussein6124
@fihirishemaadihussein6124 Месяц назад
What a goal
@worldhappiness1181
@worldhappiness1181 Месяц назад
Beware of pacome pengne ana madhara kulko Azizi ki
@MeddyMusic4
@MeddyMusic4 Месяц назад
Uwezo wayanga nimkubwa sasa waonyesha viwango
@HamidaMzee-m3i
@HamidaMzee-m3i Месяц назад
Hili goli la mudathir linatosha kukumalizia MB bila kuangalia chengine
@abdallahally842
@abdallahally842 Месяц назад
Wamebebwa ilikua aibu leo
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Месяц назад
TAREHE 8 Muwekeni Mo awe refa,, Akubebeni na 3 kwenda mbele lazima mchezee,,, ndio maana master gamondi ka mix vikosi msijue wanamme wapi Watakushugulikieni next week
@joycemmassi5046
@joycemmassi5046 Месяц назад
Master Gamond is really a master nakwambia
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Месяц назад
​@@joycemmassi5046NIPE ILE KITU NAMESA MESA MWENSAKE UONE 😂😂😂😂 SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ UBAYA UBWELA
@anodearsulusi7536
@anodearsulusi7536 Месяц назад
Hatujawahi tarajia jema Toka kwenu
@nuhumaalim4976
@nuhumaalim4976 Месяц назад
Aibu kubwa ilikua iwakute maana sijaona sababu ya kupewa red mchezaji wa red arrows
@djmaxmnyamaglobal7744
@djmaxmnyamaglobal7744 Месяц назад
🔥🔥🔥🔥🔥
@user-yk7ff9ks6q
@user-yk7ff9ks6q Месяц назад
Noma
@binwasiumbanga9256
@binwasiumbanga9256 Месяц назад
Kwa mpira huu waliocheza Young Africans, tarehe nane Simba wajiandae kisaikolojia,nakiona kipigo kizito zidi yao,nilitizama mechi Ya Simba,hawakutengeneza hata nafasi moja ya goli,lkn Young Africans wametengeneza nafasi za magoli zaidi ya 10
@OctaJohn-ov9gc
@OctaJohn-ov9gc Месяц назад
YANGA bingwa
@JohariJuma-u8r
@JohariJuma-u8r Месяц назад
🍎yani goal kipper ndio aliwaokowa
@user-qg3ku1vq6w
@user-qg3ku1vq6w Месяц назад
Inamana bira cad nyekundu yanga shghur ilikuwepo
@salimmalaka256
@salimmalaka256 Месяц назад
KWELI BRO
@hamzaqaacm1869
@hamzaqaacm1869 Месяц назад
Inaonekana umeumia Sana ​@@magesakhamis4808
@thomasnachenga795
@thomasnachenga795 Месяц назад
Hujui mpira,
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 Месяц назад
PACOME ni moto
@errydeo8865
@errydeo8865 Месяц назад
Aisee, jamaa ni balaa
@DanielErnest-nn2zj
@DanielErnest-nn2zj Месяц назад
Hatari sana anajua sana 💚💚💛💛
@joycemmassi5046
@joycemmassi5046 Месяц назад
🎉Thus why katambulishwa wa mwisho mwisho huko ❤❤❤
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI Месяц назад
Pacome ni shida sema Aziz kii ana offer mechi nyingi bila injury yani msimu mzima anakuwa anacheza game nyingi
@beccasniper-ki4gg
@beccasniper-ki4gg Месяц назад
Mimi kma shbik wa Simba nasema hv nitawashauri viongz tusiplke timu ytu uwanjani😂 Yanga wapo full magazine
@brysonjohn5306
@brysonjohn5306 Месяц назад
Ila kipa wanae!
@l.marley_2542
@l.marley_2542 Месяц назад
Chadrack Boka hatari sana🔥🔥
@MadahaidamaShihumbi
@MadahaidamaShihumbi Месяц назад
Yanga daima mbele
@ShadrackMuindi-l9f
@ShadrackMuindi-l9f Месяц назад
Ndio maana ya team akikosekana mmoja n mbaya😊
@kichefuchefu2382
@kichefuchefu2382 Месяц назад
Huyu kipa noma
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Месяц назад
Red mumepiga sana mpira lakini kilichokuponzeni ni hii jezi, imekaa kimnyama mnyama, na Yanga akiona hii kitu lazima aifanye kitu mbaya!
@iamdivineimage
@iamdivineimage Месяц назад
Kitu mbaya ipi wakati alibebwa
@hajihassan5433
@hajihassan5433 Месяц назад
@@iamdivineimage Imekojoa mgongoni
@iamdivineimage
@iamdivineimage Месяц назад
@@hajihassan5433 Hamna kitu utopolo mtupu
@ArabianDivaAyesha
@ArabianDivaAyesha Месяц назад
Wakat wamebebwa 😅😅😅na mlishabebwa sana kwn hatujui
@mrmartinipaul2464
@mrmartinipaul2464 Месяц назад
Ndugu zangu wanasimba ambao tumeona kama haya matokeo wameyapata kwa bahati tuache kuongea mengi hawa watu tunakutana nao tarehe 8 tu hapa tusije maliza maneno wakaja kutubamiza
@hamisikamanda9933
@hamisikamanda9933 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂kifo kiko pale pale ndugu yangu
@BigZhumbe
@BigZhumbe Месяц назад
Imebidi apewe mtu RED CARD ili Vitenge FC waweze kushinda, ikashindikana ikabidi wapewe penati 😂😂😂😂
@user-bl1tx8fc9v
@user-bl1tx8fc9v Месяц назад
Tatizo hujui sheria ya football, huyo mchezaji kajitakia mwenyewe hiyo card . Alikuwa tayari kashatoka nje , kisheria ukiwa nje huruhusiwi kuingia tena mpaka matibabu yamalizike ndo maana hata wenzao walimshangaa, anakuwa kama cyo mchezaji bwana . Hata kocha wao aliongea kuwa kadi nyekundu tulijitakia wenyewe.
@KennedyJohn-p1i
@KennedyJohn-p1i Месяц назад
W kolo chakavu em uje uifunge yanga tar 8 ​@@user-bl1tx8fc9v
@NURUSANGA-h9p
@NURUSANGA-h9p 29 дней назад
Usiwe unaongea tu yanga wanapiga ball
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 Месяц назад
Mimi siku zote Pacome ni bora kuliko Aziz Ki. Na kama msimu uliopita hakupata injari Yanga ingebeba ubingww wa shirikisho
@nkosiyabomasuku1795
@nkosiyabomasuku1795 Месяц назад
Yan hapo umeongea ukweli… Pacome ni bora kuliko Aziz Ki.
@rajabmwange4634
@rajabmwange4634 Месяц назад
Uchezaji wao ni tofauti sana. Achana na Ki nyie 😅😅
@Shija-g4m
@Shija-g4m Месяц назад
Nyie komaeni na matokeo ..lkn jifanyeni hamuoni form ya pacome na zengeli ambao ndio chanzo cha zile 5G .😂
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
SIMBA mnamchezaji kama PACOME zouzou
@user-ip3qr4mj8u
@user-ip3qr4mj8u Месяц назад
Wamtoe wapi ndengelesi bini kandia makolo
@luluray2115
@luluray2115 Месяц назад
​@@user-ip3qr4mj8unyie vibwengo Jana mmebebwa kwenye bonanza lenu alafu mnaongea ongea utumbo ndengelesi
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
​@@luluray2115Kabisa yn wanamdomo sana subiri tuwakande tarehe 8
@user-ce3tx7mr8v
@user-ce3tx7mr8v Месяц назад
Atapangua defence Yao na Mo atakimbilia DUBAI
@SebastianGeorgeSamuel-yg2zc
@SebastianGeorgeSamuel-yg2zc Месяц назад
​@@user-ce3tx7mr8v😅😅😅😅
@fihirishemaadihussein6124
@fihirishemaadihussein6124 Месяц назад
Pacomeeeee
Далее
Новый уровень твоей сосиски
00:33
MAGOLI YOTE GUINEA VS TAIFA STARS
7:58
Просмотров 82 тыс.