Тёмный

YANGA SC 2-2 BIASHARA UNITED: MAGOLI NA MIKWAJU YA PENATI (5-4): (ASFC - 31/01/2019 

Azam TV
Подписаться 2,7 млн
Просмотров 1,1 млн
50% 1

Vijana wa Jangwani, Yanga SC leo wamefanikiwa kutinga hatua ya 16 bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports (ASFC) baada ya kuitupa nje Biashara United kwa mikwaju ya penati 5-4 kufuatia sare ya mabao 2-2 katika muda wa kawaida wa dakika 90.
Mchezo huo wa raundi ya nne ya michuano hiyo umepigwa kwenye Dimba la Taifa Jijini Dar es Salaam na kushuhudia wenye Yanga wakifanya kazi ya kusawazisha kila wanapofungwa.
Biashara United walianza kwa bao la penati lililofungwa na Wazir Jr. dakika ya 3 kabla ya Yanga kusawazisha kupitia kwa Amissi Tambwe akifunga kwa penati pia dakika ya 9.
Biashara United wakaongeza bao kupitia kwa Innocent Edwin dakika ya 40, lakini Yanga wakaongeza kasi ya mashambulizi na kufanikiwa kuchomoa bao hilo dakika ya 74 kupitia kwa Heritier Makambo na kufanya mchezo umalizike kwa sare y mabao 2-2.
Ilipofuata mikwaju ya penati, Yanga walifunga penati zote tano kupitia kwa Heritier Makambo, Paul Godfrey, Ibrahim Ajibu, Thabani Kamusoko na Matheo Anthony, huku Biashara United wakikosa penati moja iliyopigwa na Tariq Seif.

Спорт

Опубликовано:

 

30 янв 2019

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 251   
@jojo_linkissabiny5238
@jojo_linkissabiny5238 5 лет назад
asanteni yanga yangu daima naipenda big up sana
@ezapesambili2902
@ezapesambili2902 5 лет назад
Hata mim naipanda kwel kweli
@jojo_linkissabiny5238
@jojo_linkissabiny5238 5 лет назад
Eza Pesambili pamoja
@mastarjay2635
@mastarjay2635 5 лет назад
Vp inbox namba
@jojo_linkissabiny5238
@jojo_linkissabiny5238 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣
@mastarjay2635
@mastarjay2635 5 лет назад
@@jojo_linkissabiny5238 nko serious
@sabinajames6539
@sabinajames6539 5 лет назад
Yanga yangu mie popote niendako naipenda tu (254)
@razarlomafumiko1306
@razarlomafumiko1306 5 лет назад
pg
@frolianalxtriphon870
@frolianalxtriphon870 4 года назад
J0
@swabrinyawale8126
@swabrinyawale8126 5 лет назад
Ibrahim aka mwambia tetema tetema imo......like kma zote wadau wa yang Africa
@febriannaasri2775
@febriannaasri2775 5 лет назад
Hangatisaetuiolataytyiuop
@asumptharuhinda3471
@asumptharuhinda3471 4 года назад
Nani kakwambia yanga hawaendi Round ya Five
@makisjeremiah288
@makisjeremiah288 5 лет назад
Hizi ndo jezi za yanga zinazpendeza kuliko zote black and yellow
@fadhyhaj4311
@fadhyhaj4311 5 лет назад
Ni kweli. Jezi zimetulia sana
@grnifamgeni1309
@grnifamgeni1309 5 лет назад
Mtangazaji nakupenda sana mungu akupe afya njema
@swabrinyawale8126
@swabrinyawale8126 5 лет назад
Anae mpenda mtangazaj. Like kma zote hapa..
@daudintambala3896
@daudintambala3896 5 лет назад
Huyu mtangazaji ban
@mamaneema1237
@mamaneema1237 5 лет назад
Tetema com
@mamaneema1237
@mamaneema1237 5 лет назад
Rayvann
@geofreyndibalema6882
@geofreyndibalema6882 5 лет назад
Kukerwa jakuna paswerd hahahaaaa
@victoriaakaro9097
@victoriaakaro9097 5 лет назад
. ..
@jaybacky9613
@jaybacky9613 5 лет назад
beki zetu mtihani lkn hongera Tim la wananchi
@chidboychichalo9201
@chidboychichalo9201 5 лет назад
Hiii ndiiiooo yaaangaaaa.
@officialmichael5321
@officialmichael5321 5 лет назад
Nice watani zangu kam zoteeeeeeeeee
@yusufulule8927
@yusufulule8927 5 лет назад
Stanslaus Michael SHABIKIA WA ukweli
@kantelegela2887
@kantelegela2887 5 лет назад
Kama unaipenda yanga gonga like
@orastomapunda8559
@orastomapunda8559 5 лет назад
Nafurahia kushabikia Yanga
@innocentmfoy8440
@innocentmfoy8440 5 лет назад
Ronado
@mishaelmisana1973
@mishaelmisana1973 5 лет назад
Mungu ni mwema kwetu wana yanga
@dadasim2749
@dadasim2749 3 года назад
Daah Matheo Anthony Kwanini Umerudi Zanzibar Ungekomaa Dar Usingekosa timu yakuchezea Kiwango Bado Unacho
@SwahiliPrideBongoMovie2018
@SwahiliPrideBongoMovie2018 5 лет назад
DUUUH , ivi mna elewa kweli aya mambo au maana mimi sielewi #TEAMYANGA
@piusjames3841
@piusjames3841 3 года назад
Kabwil siyo kipa gog like tulio kutana 2021
@bakariluhala7332
@bakariluhala7332 5 лет назад
Yanga nyumbani usiteseke wala kuhofu kuishabikaa timu ya wananchi
@athumanismail4833
@athumanismail4833 5 лет назад
beka boy goooood
@jumaomari8749
@jumaomari8749 5 лет назад
beka boy wala hujakoxea
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 5 лет назад
Yanga! Bado hamjaziba pengo la kipa. Boresheni nafasi hiyo muhimu. Mkicheza na timu yenye washambuliaji wenye uchu wa kufunga mtabugia magoli mengi sana.
@saimonkazizwa5794
@saimonkazizwa5794 5 лет назад
kuikata yanga nisawasawa na kuikata jinsia yko yanga hii mutaipenda
@msabahamalonda2249
@msabahamalonda2249 5 лет назад
Kabisa kaka Yanga daima mbeele
@daudintambala3896
@daudintambala3896 5 лет назад
Yangaaaaaa...,,,!
@majaliwahamisi7994
@majaliwahamisi7994 5 лет назад
hongeren wana yanga wooote! hakika tupo ktk kipindi kigumu ila tunasonga kibishi2 daima mbele nyuma mwiko!
@davidmsoru3966
@davidmsoru3966 5 лет назад
Ngassa namwelewa sana
@elizaatilio527
@elizaatilio527 5 лет назад
Hyo ndo Yanga bhanaaa eeeh,,, 😂😂😂🙌🙌🙌😘😘😘 Kwann ukereke? nan anakerwa?? nauliza..,, bahat mbaya sana kukerwa hakuna Password 😂😂😂😂
@onesmomtambulo79
@onesmomtambulo79 5 лет назад
Mchezo ulikuwa mzuri ufanyaji wa makosa kwa kila Timu ndiyo uliopelekea magoli kupatikana.
@sahimally850
@sahimally850 5 лет назад
...daaah hy ndo yng
@qeunbethisack1100
@qeunbethisack1100 5 лет назад
michezo simba misri
@sittamakwaya1278
@sittamakwaya1278 5 лет назад
daima nyuma mwiko
@josephgomalo41
@josephgomalo41 5 лет назад
Hivi kuna aliyeona kuwa Ajib anafanana na marehemu Lucky Dube..?
@teklamanase7088
@teklamanase7088 5 лет назад
Joseph Gomalo 😁
@yohanaernest7039
@yohanaernest7039 5 лет назад
Hiii ndio yanga kama unabisha fanya kama unajikuna uone moto!!++
@SABINSAMSON-hm1hu
@SABINSAMSON-hm1hu 5 месяцев назад
Naipnd Yanga Sick Zote 😂😂❤
@mwanatalenttv
@mwanatalenttv 5 лет назад
hongera yanga mabingwa
@edmundmapunda1093
@edmundmapunda1093 5 лет назад
Mwana Talent p
@mwanatalenttv
@mwanatalenttv 5 лет назад
@@edmundmapunda1093 ok
@iddymwele2289
@iddymwele2289 5 лет назад
Yanga ndo mwanaume
@mwanatalenttv
@mwanatalenttv 5 лет назад
@@iddymwele2289 saw
@amadyjumaamadyjuma287
@amadyjumaamadyjuma287 5 лет назад
Mwana Talent mambo
@mr.agastrobert9157
@mr.agastrobert9157 5 лет назад
Kama we uliona uchawi Jana , gonga like hapa
@allec2905
@allec2905 5 лет назад
Mwalimu wa makipa Yanga naye inabidi apewe maufundi zaidi ili aboreshe idara ya golikipa
@mashauririchard52
@mashauririchard52 5 лет назад
Magoli
@nassororamadhan2515
@nassororamadhan2515 5 лет назад
Dante hajui talkring ....ninja ndo anaziweza hizoo
@orastomapunda8559
@orastomapunda8559 5 лет назад
Ahsante Azam kwa apdates
@kipunjeprince9917
@kipunjeprince9917 5 лет назад
Mambo
@msabahamalonda2249
@msabahamalonda2249 5 лет назад
Good chama langu lkn goli la pili ni goal zur tulilofungwa maana jamaa katumia uwezo wa kuchambua
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
Msabaha Malonda kiukwl ni raha kuona wachezaji wa kiTZ nao wana uwezo na kuuonesha kwa nmn hii!
@msabahamalonda2249
@msabahamalonda2249 5 лет назад
Daah Ni kwl kabisa bhana @@mnzavachris5423
@afelistmichael5318
@afelistmichael5318 5 лет назад
Kumbe na ww umeona eeeh ndo napendaga mashabiki kama ww sio kama zama zile za kwako 😂😂
@mnzavachris5423
@mnzavachris5423 5 лет назад
Afelist Michael zama zile za kwangu wamefny nn 😆
@afelistmichael5318
@afelistmichael5318 5 лет назад
Naongea na Msabaha sio wewe
@bumbucha6441
@bumbucha6441 2 года назад
Aka ka jersey kazuri Sana ndio mana waliiga kakawa tena 2020
@samidumudi8278
@samidumudi8278 5 лет назад
Zahera in beno out tumeshinda mech kibao bila uyo nyau
@nicholauselikana324
@nicholauselikana324 3 года назад
Super
@rajabally6660
@rajabally6660 5 лет назад
kunawanao teseka hapa ngapiiiiiii uko
@swabrinyawale8126
@swabrinyawale8126 5 лет назад
Kabwil acha uroho wa kutokea hovyo kweny penalt kaa kat kat..... Tumeshinda ila umeni boa .
@sterasrivester5205
@sterasrivester5205 5 лет назад
swabri nyawale ' ناب
@subiransasi8029
@subiransasi8029 5 лет назад
biashara imedoda walipoteza muda kwakujua yanga niwabovu kwa penalt imewacost
@rakamodo9216
@rakamodo9216 5 лет назад
kwann ukerekwe?,nani kakerwa? Bahat mby sana kukerwa hakuna paswd.
@mbarakamongonyomatunda3690
@mbarakamongonyomatunda3690 3 года назад
Bbmmm
@hosearwechungura5391
@hosearwechungura5391 5 лет назад
Mtangazaji unaweza baba saf sana
@aliomaritz2915
@aliomaritz2915 5 лет назад
good good vijana
@clemencemillanzi6750
@clemencemillanzi6750 5 лет назад
Co mbaya biashara imenunuliwa yote na mateo
@justingervas10
@justingervas10 5 лет назад
Yaani malipota wanamanjonjo mazuri sana.
@edgasimwanza887
@edgasimwanza887 5 лет назад
Hongera chama langu
@angelakombe1051
@angelakombe1051 5 лет назад
Mbona golikipa Wa yanga aliwekewa irizi kwenye bukta,u uchaw had lini
@saimonsamweli3491
@saimonsamweli3491 5 лет назад
Uliona wap? Au alikuonesha
@leylapanjah3672
@leylapanjah3672 5 лет назад
Mmmmh utawajua tu wenye iman na hiriz !! Umeonaje?
@bishobokatv476
@bishobokatv476 5 лет назад
Daima mbeleee
@angelvivian8124
@angelvivian8124 5 лет назад
hiyo ndio yanga hatuchez na watt wadg sis
@kendrickzienliski8180
@kendrickzienliski8180 5 лет назад
Asante yanga
@issamussa9726
@issamussa9726 5 лет назад
NAZI HATA INGEKOMAAJE HAIWEZI VITA NA JIWE SIJUI KWA NINI HAWATAKI KUJUA!!
@michaelswada8007
@michaelswada8007 5 лет назад
Anakuambia kwa nn ukerekwe
@subiransasi8029
@subiransasi8029 5 лет назад
Nani kaviona viatu vya yanga vinafanana fanana
@babalababa306
@babalababa306 5 лет назад
Yanga hii kuchukua kombe labda kikombe cha kahawa
@edwardmathew1833
@edwardmathew1833 5 лет назад
Watachukua wazee wa hamsa na vumbi la kongo
@leylapanjah3672
@leylapanjah3672 5 лет назад
Yanakuhusu nn! SBR ya alha yal
@princekassim4089
@princekassim4089 5 лет назад
Respect Yanga
@sosomacharles6685
@sosomacharles6685 2 года назад
Mm huyu jamaa Inosent Edwin nilikuwa namkubali sana
@subiransasi8029
@subiransasi8029 5 лет назад
walivokuwa wanashangilia Kama ndio washindi baadae wakaanza kulia
@salummalagala4315
@salummalagala4315 3 года назад
Naipenda yang
@graciousyuba7095
@graciousyuba7095 3 года назад
Kocha kama anataka uchindi kwa michezo iliyobakia asidharau michezo wowote
@ivancharlespaul8652
@ivancharlespaul8652 5 лет назад
hatua gan
@justinemallya7817
@justinemallya7817 5 лет назад
Yanga daima
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 5 лет назад
Kwa kweli hakuna haja ya kuwa na timu 20 huu ni upuuzi timu wachezaji wote wanajiangushaangusha wakifanikiwa kufunga goli wote wanalinda ujanja2 tu. Hivi hawa viongozi wetu wa Tff wanaelewa hilo? Hakuna mpira ni ujanja2
@musaomari1833
@musaomari1833 3 года назад
Yanga baba lao
@swabrinyawale8126
@swabrinyawale8126 5 лет назад
Nani ana kerekwa.......? Na kwann ukerekwe..... ? Bahat mbaya kukerwa hakuna password. Hahahahahaaaaaa.Wapinzani hoi.
@frankngatunga4008
@frankngatunga4008 2 года назад
Ligi kuu simba amewai kumfunga yanga
@starboychyner3458
@starboychyner3458 5 лет назад
NIMEFURAHIA USHINDI ILA KWA BEKI HIZI HATUFIKI MBALI... NYUMA HOVYO KABISA TUMEPIGWA BONGE LA GOLI KUMAMAKE
@trecyeddie4064
@trecyeddie4064 5 лет назад
#YANGA.......!!!! #BAHATI kukerwa hakuna PAswed #TETEMA....!!!😀😀😀😀😀
@swabrinyawale8126
@swabrinyawale8126 5 лет назад
Timu kubwa inafanya jambo kubwa... Yanga Nouma
@mwanamvuahamadi7282
@mwanamvuahamadi7282 2 года назад
How to model asimple abacus
@sulemohd9155
@sulemohd9155 5 лет назад
Mm Nasubr Jum Moss Mikia Na Warabu Lazim Haw Kenge haw Mikia@ Wafe 7
@Manshyne
@Manshyne 5 лет назад
Ila yanga kipa ndo hatuna....
@mudathirmiungu2044
@mudathirmiungu2044 3 года назад
Mbona goal la biashara amjainesha
@jamessilwamba4259
@jamessilwamba4259 5 лет назад
Yanga naona kuna improvement kwenye penati
@joanithamsuya4826
@joanithamsuya4826 4 года назад
mhh noma sana
@charlesnduta5405
@charlesnduta5405 4 года назад
Yanga vs ruvu shooting
@ramadhanomar5720
@ramadhanomar5720 2 года назад
Haya yameshapita
@aixhajumaa6362
@aixhajumaa6362 5 лет назад
kwani kuna mtu anakerwa naona wanateseka
@destininnocent3299
@destininnocent3299 5 лет назад
Yaya
@abdullahhashimu2380
@abdullahhashimu2380 5 лет назад
Inapendeza
@gamsujrgamsujr5439
@gamsujrgamsujr5439 5 лет назад
Hirinz imefanya kazi
@uwembatvonline
@uwembatvonline 5 лет назад
Ipi tena
@salumsalu6080
@salumsalu6080 5 лет назад
Hamkos lakusema
@aixhajumaa6362
@aixhajumaa6362 5 лет назад
Gamsujr Gamsujr siku zote mchawii
@fatumasophu5855
@fatumasophu5855 5 лет назад
Gamsujr Gamsujr kwakweli imefanya kazi
@aixhajumaa6362
@aixhajumaa6362 5 лет назад
Gamsujr Gamsujr siku zote hukimjua mchawi basi unawanga nae mashabiki wa simba mmezoea huchawi ndio maana mnateseka
@samidumudi8278
@samidumudi8278 5 лет назад
Uyu kabwili n mbovvu saaaaana. Bola kindok ila beno aondoke. Tu kwnn wanamchelewesha kulinga kwa mamake uko yanga co wazaz wke ata ulaya akuna mchezaj mkubwa dunian kuliko klabu atambue ilo
@yunusmchalu930
@yunusmchalu930 5 лет назад
Ni wakati wa sospeter kuanzia kucheza manara mechi zote tatu alizocheza amefanya makosa yaliyosababisha magori huyu chikupe pia naomba makambo sio yule tuliomzoea wachezaji ni wazito
@dianarenard5853
@dianarenard5853 5 лет назад
Daima mbele nyuma mwiko
@iddymwele2289
@iddymwele2289 5 лет назад
Ni kwer dada my yanga mwendo kesii
@sylvestrengwelu2012
@sylvestrengwelu2012 5 лет назад
Thanks for your proper encouragement
@lesengalesenga7612
@lesengalesenga7612 5 лет назад
P1
@mashauririchard52
@mashauririchard52 5 лет назад
Kweli
@tarisisvitalis8775
@tarisisvitalis8775 5 лет назад
diana Renard nikweli kwetu sisi mwiko nyuma
@abdallahkhareed184
@abdallahkhareed184 5 лет назад
Mbona sioni comments za mashujaa fc?
@michaelmathew8309
@michaelmathew8309 5 лет назад
Yanga ni wabovu tu
@leylapanjah3672
@leylapanjah3672 5 лет назад
Kwahyo
@raphaelungani9024
@raphaelungani9024 5 лет назад
Eti golikipa wa BIASHARA ali TETEMA 😂😂
@yunusmchalu930
@yunusmchalu930 5 лет назад
Kocha wa makipa anatakiwa afanye kazi ya ziada maana makipa wetu sio wazuri kwenye peinati juma pondamali hana jipya apumzike
@theweekendtv4058
@theweekendtv4058 5 лет назад
KAMA UNAIKUBAL YANGA AFRICA FANYA KU SUBSCRIBE TAFADHALI ILI UWE UNAPATA UPDATE ZOTE MAPEMA
@fabianmakungu3002
@fabianmakungu3002 5 лет назад
Timu ya wananchi
@dennisdennis7559
@dennisdennis7559 3 года назад
Hawa biashara kumbe nao wahenga nani aliwafundisha kusumbua wazee
@geradamos6355
@geradamos6355 5 лет назад
Papaa 🍁
@johnvitalis4021
@johnvitalis4021 2 года назад
Sumba day
@leylanasibu6912
@leylanasibu6912 5 лет назад
xafi xana bishara mmejitaidi xana
@musomatv9574
@musomatv9574 4 года назад
Gud bum
@theweekendtv4058
@theweekendtv4058 5 лет назад
KAMA UNAIKUBAL YANGA AFRICA FANYA KU SUBSCRIBE CHANNEL HII ILI UWE UNAPATA UPDATE ZOTE KHS YANGA AFRICA
@izilaelkilazagaye6578
@izilaelkilazagaye6578 4 года назад
Kabwili anawenge sana
@japhetmasunga9980
@japhetmasunga9980 5 лет назад
sasa macho na masikio tunasubir j mos mikia itumbuliwe jipu tena huko
@mcjayz8686
@mcjayz8686 5 лет назад
Nani anakelwa
@aishaissa3382
@aishaissa3382 5 лет назад
Twende sasa Chaka langu
@hemedramadhani9764
@hemedramadhani9764 5 лет назад
nataka kile kipande kabwili akipewa irizi
@febriannaasri2775
@febriannaasri2775 5 лет назад
KFC
@mbenatz
@mbenatz 4 года назад
Edwin alifany kaz kubwa
@japhetamosi473
@japhetamosi473 4 года назад
Mambo Yang's baba
@moraray2616
@moraray2616 5 лет назад
wachezaji wetu wanatumia sana nguvu kuliko akili mwalimu awape sana samaki na maziwa namatunda kuongeza utulivu nakufikilia vizuri wawapo uwanjani unaonakabisa akili hatumiki sana kwawachezaji wetu
@tawichungu9602
@tawichungu9602 4 года назад
Safi
@kakatambi4798
@kakatambi4798 5 лет назад
Wananchi wazalendo tulikaakimya
@kekemagori4732
@kekemagori4732 5 лет назад
Chikupe hana inshu yanga hapo
Далее
Каха заблудился в горах
00:57
Просмотров 2,1 млн
ФОКУС С БАНАНОМ🍌
00:32
Просмотров 283 тыс.
Wait for the BOWLING BALL! 👀
00:38
Просмотров 23 млн
Получилось у Миланы?😂
00:13
Просмотров 1,4 млн
ROBERTIHNO ABA RAYON BAMWAKIRANYE URUGWIRO
12:28
Просмотров 5 тыс.
Magoli yote 21 ya Aziz Ki NBC Premier League 2023/24
13:07
100% Smooth Skills
0:35
Просмотров 15 млн
Ronaldo Benzema Link Up
0:43
Просмотров 6 млн
Knee Slide Fails 😂
0:26
Просмотров 41 млн
Учу Стефа крутить 🏀
0:33
Просмотров 1 млн