Nawaombeeni mkatumie kila mlichopewa na benchi la ufundi kwa weledi na ufundi mkubwa Mungu alivyowajalia kila mmoja wenu. Tunawategemea. Safu ya ushambuliaji tunawaamini, mkapambane na wachezaji mkiona wenzenu hawajaamka vizuri basi mkipata nafasi nzuri ipeni timu magori.