Sema wa Palestine ni zaidi ya mashujaa wameamza kupitia magumu na machungu siku nyingi sana 😢 Nina Imani ALLAH atawalipa kilicho Bora zaidi inshaAllah 🤲🏿 hakuna siku nimehuzunika kama kuona video za wazee wa ki Israel wakielezea jinsi walivyokua waki waua wa Palestine kama kuku😢 wanaelezea kua wakiamrishwa kwenda kuuwa mtaa Fulani basi wakikuta mwanamke ana mimba wanampasua tumbo bila ganzi na kumtoa mtoto na kumkata kata km nyama 😢 jamani Hawa watu ni Wana roho mbaya sana
Ukichunguza vzuri utagundua magharibi na kibaraka wao Israel, hawana chaguzi yeyote pale mashariki yakati tofauti na kumwaga damu, na ikitokea wewe umeingiwa na hoffu ya mwenyezi uhai wako utakua sadaka ya usaliti,
Ila muwajemi aliona mbali dunia nzima nchi pekee iliyo baki ikiusumbua ubeberu unaowanyima usingizi watu wa mataifa ya falme za kiarabu ni Iran, napenyewe ni vile washiha waliona Mbali wakaamuwa wafanye mapinduzi maana serikali ya kipindi hcho ingeshawishika kama tunavyo ona kwa mataifa mengine
Ni sawa ila jitahd kuchimba zaidi utakuja gundua hata hayo mapinduzi wahusika wakuu walikuwa hao hao magharibi sema jamaa alipopata nafas akabadili gear angani shughuli ikawa hiv unavyoona sasa lakin alipewa msaada mkubwa sana na hao magharibi
Amani kati ya Israel na Palestina itakuja kupatikana pale Afrika itakapo ungana na kuwa Super power .ndio itatoa tamko na taifa lolote litakali pinga litaangamizwa