Hamjlazimishwa kusikiliza wasafi acheni matusi hapa watu wa Simba mnaujinga wa kutosoma pumbavu nyie mwatka tarifa zote zisifu timu yenu undeni ligi yenu ya nani zaidi
Mzee wa kudere wewe unakosaga KAZI ya kufanya mbn simba unasema simba vibaya koma kuchafua simba yetu fala wewe unadifanya unaakili nyingi kumbe utopolo mtupu kuanzia Leo achana na simba
Aseme nini sasa kwamba Aziz Ki amesaini Yanga miaka 2? au vile tajiri mo alivyotuma offer ikapigwa chini....tajiri kakosa 300m ya Chama atapata wapi ya 1B ya kumlipa Aziz Ki?😅😅😅😅