Ushauri wangu kwa uongozi, mutaarishe eneo la kuuzia bidhaa unguja na Pemba na mutangaze kama hivi Ili wananchi waelewe bidhaa zetu za Zanzibar. Mm nimependa kweli Allah awajaalie nguvu na viwanda vyengine vije kwetu
Ndoto yangu imetimia nilitamani Zanzibar kuwe na kiwanda cha nguo ata kama sijahusika na chochote ila ninafuraha sana naomba kilete ajira kwa watu wengi zaidi na nguo ziende hadi nje ya nchi 😊😊
Juhudi kubwa anachukua Dr Mwinyi , inafurahisha kwa kweli , ushauri wangu , tupate wakwaguzi ( inspectors ) kukwagua 1 machine zinafanya kazi kama kawaida 2 Kiwango cha bidhaa kinaendelea kuwa kizuri
Shoneni na nguo za watoto wazungu wanatuletea nguo hazina heshima makwapa wazi fupi ukinunua ukimnunulia mtoto nguo inamvaa kwasababu wao wanashona kwa vipimo vya wakubwa lakini fupi wewe unamnunulia mtoto, fursa iyo
Shoneni na nguo za watoto wazungu wanatuletea nguo hazina heshima makwapa wazi fupi ukinunua ukimnunulia mtoto nguo inamvaa kwasababu wao wanashona kwa vipimo vya wakubwa lakini fupi wewe unamnunulia mtoto, fursa iyo