Тёмный

#ZANZIBAR 

IsleBlogTv
Подписаться 5 тыс.
Просмотров 7 тыс.
50% 1

#isleblogTV Yajayo Yametimia Zanzibar na sekta ya Viwanda vya Bidhaa za Nguo na Ngozi

Опубликовано:

 

8 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 31   
@user-uv8ne8hk8y
@user-uv8ne8hk8y Месяц назад
Masha allah tunaomba viwanda viongezwe iwe ajira kwa ss vijana ❤❤ allah aibarik zanzibar
@jumaothman9449
@jumaothman9449 Месяц назад
Ushauri wangu kwa uongozi, mutaarishe eneo la kuuzia bidhaa unguja na Pemba na mutangaze kama hivi Ili wananchi waelewe bidhaa zetu za Zanzibar. Mm nimependa kweli Allah awajaalie nguvu na viwanda vyengine vije kwetu
@allironjo2698
@allironjo2698 25 дней назад
Nimependa sana tuwekeeni bei rafiki ili tutumie vya kwetu hongera Dr hussein mwinyi
@OnlineMathsAcademy
@OnlineMathsAcademy Месяц назад
Mashallah mtunze hivyo vifaa viishi🙏
@user-ue2nz3vc4j
@user-ue2nz3vc4j Месяц назад
Dk Mwinyi ni mzalendo wa taifa tunataka mambo mazuri km haya safi sana na kazi iendelee....
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 Месяц назад
Safi sana mjomba Mwinyi na tuongeze zaidi viwanda vya kupeking matunda na kusaga taka kutengeneza makaa ya taka
@allironjo2698
@allironjo2698 25 дней назад
Safi sana hongereni ila vp kuhusu kutengeneza nguo za kibiasha au viatu vya kibiashara kama vile mashati jinzi nk .
@suleiboy-bq6ln
@suleiboy-bq6ln Месяц назад
mashallah
@shaviercharvinho18
@shaviercharvinho18 Месяц назад
Nimeipenda hiiii
@amamossi4203
@amamossi4203 Месяц назад
Mwisho tutalijua lengo lango Dr. Jina la Dr linafanya kazi
@chidi_don
@chidi_don Месяц назад
🔥🔥🔥🔥
@mozaaly3487
@mozaaly3487 Месяц назад
Ndoto yangu imetimia nilitamani Zanzibar kuwe na kiwanda cha nguo ata kama sijahusika na chochote ila ninafuraha sana naomba kilete ajira kwa watu wengi zaidi na nguo ziende hadi nje ya nchi 😊😊
@zaneco
@zaneco Месяц назад
Juhudi kubwa anachukua Dr Mwinyi , inafurahisha kwa kweli , ushauri wangu , tupate wakwaguzi ( inspectors ) kukwagua 1 machine zinafanya kazi kama kawaida 2 Kiwango cha bidhaa kinaendelea kuwa kizuri
@user-KASSIM
@user-KASSIM Месяц назад
Naomba namba za hapo ili nifate
@mozaaly3487
@mozaaly3487 Месяц назад
Shoneni na nguo za watoto wazungu wanatuletea nguo hazina heshima makwapa wazi fupi ukinunua ukimnunulia mtoto nguo inamvaa kwasababu wao wanashona kwa vipimo vya wakubwa lakini fupi wewe unamnunulia mtoto, fursa iyo
@OnlineMathsAcademy
@OnlineMathsAcademy Месяц назад
Sasa hizi bidhaa kama viatu mnauza wapi? Naona hamtangazii watu hawajui shuhuli zene na bidhaa zenu
@jumaothman9449
@jumaothman9449 Месяц назад
Full suit ni bei gani?
@BrownHuncho-jt6oi
@BrownHuncho-jt6oi Месяц назад
swali mm nauliza matirio munaandaa nyinyi wenyewe ama vitambaa vinakuja kazi yetu kushona tu afu ndo mnasema tuna kiwanda
@suleiboy-bq6ln
@suleiboy-bq6ln Месяц назад
kikowap hichi kiwanda
@isleblogTv
@isleblogTv Месяц назад
Mtoni KVZ ndani
@OmarAmran-t7k
@OmarAmran-t7k Месяц назад
Mwinyi ni mgeni lakini mzalendo
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke Месяц назад
Ugeni wake nini sasa kama baba ake alikuja Zanzibar akiwa mdogo why awe yeye mgeni
@OnlineMathsAcademy
@OnlineMathsAcademy Месяц назад
Ipo wapi? Au contact details?
@isleblogTv
@isleblogTv Месяц назад
Asante kwa kuendelea kufatilia habari zetu, usisahau kusubscribe kulike na kucoment. Tupige kwa namba hizi +255629230705
@shamtehussein177
@shamtehussein177 Месяц назад
Shoneni viatu vya kawaida vya kike na kiume tuje kuchukua kwa jumla
@user-to4jw7tm1j
@user-to4jw7tm1j Месяц назад
Viatu ata wamasai wanatengeneza hakuna kipya
@mrmahmoud1278
@mrmahmoud1278 Месяц назад
hakuna kipya duniani, na pepo hawana uwezo wa kutengeneza, unataka watengeneze nini kipya??
@mudymbarouk8279
@mudymbarouk8279 Месяц назад
Kuna watu wana husda ndugu yngu ​@@mrmahmoud1278
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke Месяц назад
​@@mrmahmoud1278😅😅😅😅
@mozaaly3487
@mozaaly3487 Месяц назад
Shoneni na nguo za watoto wazungu wanatuletea nguo hazina heshima makwapa wazi fupi ukinunua ukimnunulia mtoto nguo inamvaa kwasababu wao wanashona kwa vipimo vya wakubwa lakini fupi wewe unamnunulia mtoto, fursa iyo
@OnlineMathsAcademy
@OnlineMathsAcademy Месяц назад
@@mozaaly3487 hazitoki China lakini? Na mnazileta wenyewe 😀
Далее
BOMOA BOMOA YALIZA MAMIA ZANZIBAR
3:11
Просмотров 29 тыс.
Самое неинтересное видео
00:32
Просмотров 1,4 млн
What is Turkey's agenda in Africa?
10:51
Просмотров 163 тыс.
#YALIYOMO NDANI YA SOKO LA KWEREKWE ZANZIBAR
29:19
Просмотров 30 тыс.
IJUE HILL FARM TANZANIA KWA UNDANI ZAIDI
29:07
Просмотров 5 тыс.
How to win a argument
9:28
Просмотров 518 тыс.
BOMOA BOMOA  YAZUA VURUGU ZANZIBAR
8:03
Просмотров 65 тыс.