Тёмный
No video :(

#YALIYOMO 

IsleBlogTv
Подписаться 5 тыс.
Просмотров 29 тыс.
50% 1

#isleblogTV Kishindo cha Dkt Mwinyi Soko la Kwanza la kihistoria Zanzibar, kwa Tanzania ndio soko la Kwanza pamoja na Afrika Mashariki yake.

Опубликовано:

 

2 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 98   
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 Месяц назад
Mashallah mashallah mashallah hongera sana muheshmiwa Rais kwa kutumia uzalendo wakuwaajiri wazawa kwenye ukandarasi kumbe tunaweza
@mahammadanhag4445
@mahammadanhag4445 7 дней назад
Mashaallahu kwa kip kua muaz kujengewa soko au njaa
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Месяц назад
Kazi nzuri tatizo utunzaji....ndio watz tunapofeli
@R10_Rajab
@R10_Rajab Месяц назад
Kabisa ndugu hatuna utunzaji katika majengo husussan ya Serikali。 Maoni Serikali iajiri au wafunge mkataba na Kampuni tatu Kampuni ya Usafi Kampuni ya Security Na Kampuni ya Maintanace, NB:Vituo vya Afya,Skuli na Masoko
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 28 дней назад
Utunzaji kweli ni tatizo la uswahilin,lkn pia Tatizo jenqine ni ujenz wa viwango va chini. Yote ni walafi wachache waliomo kwenye sirikali
@DoctorBondia
@DoctorBondia Месяц назад
🎉 Maashallah Inapendeza Sana, Allah ambariki Mr Rais na nawatakia utunzaji wa soko hilo.
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv Месяц назад
Wasiwasi wangu kwenye Usafi na maintenance 😢😢.... Soko zuri saaana... Viwepo vitengo maalum kwa usafi na maintenance... Pesa hizi Kodi hizi😔
@mohddelo
@mohddelo 27 дней назад
Wnapewa sekta binafsi kuendesha
@husnamohamed9245
@husnamohamed9245 Месяц назад
Kazi nzuri mashallah wasiwasi wangu kwenye usafi mpaka vyooni usafi security ikuepo. Usafi nasisitiza zaidi soko zuri sana mashallah mwinyi mitano tena baba.
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Месяц назад
Rais mwinyi fanya kazi ndugu yangu mungu atakubariki. Ishaallah ❤❤❤
@mahammadanhag4445
@mahammadanhag4445 7 дней назад
Uyu mungu atamueka pepon aswa kwa kuleta njaa znz
@samirasalim4203
@samirasalim4203 Месяц назад
MashaaAllah Tabaraka Rahman, mwege toa na chumba cha kuswalia.
@hairathussein1118
@hairathussein1118 28 дней назад
Mbona kipo
@AnkallyPandu
@AnkallyPandu Месяц назад
Mashaallah soko zuri sana usafi muhimu sana maana soko kama hilo likiwa chafu aibu iwe kila mara liwe linasafishwa hongera kwa soko letu kuwa la kwanza Tanzaniaa nzima kwa ukubwa
@masoudkhamismasoud9945
@masoudkhamismasoud9945 Месяц назад
Mnahitaji pongezi kwa kazi kubwa
@salumkarim69
@salumkarim69 Месяц назад
mashaallah ukhtiy umejitahid kuelezea
@alihabib2270
@alihabib2270 Месяц назад
Na kama hili halikuonekana sasaivi litakuja kuonekana baadae inshaallah. Hongera sana raisi Mwinyi.
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq Месяц назад
Mashallaah kazi nzuri sana. Haya ndio maendeleo tunayo yataka tanzania 🇹🇿 yetuu.
@masoudjuma8169
@masoudjuma8169 Месяц назад
Congratulation #Badrani # Hamis hollela🎉 good interview
@DaniDani-v3w
@DaniDani-v3w Месяц назад
Shukrani mweshimiwa raisi ila walokuwepo kibanda maiti na wanamizigo ya kutundika kwamfano ndizi pia na mozigo mengi
@DoctorBondia
@DoctorBondia Месяц назад
❤❤❤❤❤❤ Hakika yajayo yanafurahisha😅. Naomba na parking ijengwe ili Mambo yawe mazuri zaidi.
@KhamisHaji-pw4jo
@KhamisHaji-pw4jo Месяц назад
Potential area,,,,Masha Allah
@hadijamgambo-jn7kg
@hadijamgambo-jn7kg Месяц назад
Kumbe wamejenga wazawa wa Zanzibar...Ma Shaa Allah
@saidkhatib9146
@saidkhatib9146 Месяц назад
Looking good
@jumamohamed3168
@jumamohamed3168 Месяц назад
Soko ni zuri ,lakini ninavyo ijua Zanzabar shida yetu kubwa ni usimamizi mbaya juu ya mambo mengi sana ,soko hilo litakuwa chafu muda mfupi tu ,takataka zitazagaa kila mahala .
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 Месяц назад
Hao wafanya biashara ndio wachafu zarau kuta zote zitawekwa misumari waweke mapolo pakacha
@ibrahimabdullah1887
@ibrahimabdullah1887 Месяц назад
Mskiti umeuvunja ujengwe soko sio muhimu zaidi kuliko ibada zetu
@DoctorBondia
@DoctorBondia Месяц назад
Akhy kuwa na shukrani kwani ineo Hilo msikiti ulikuwa Ni huo mmoja tu?
@DoctorBondia
@DoctorBondia Месяц назад
Ni Mara ngapi amejengesha miskiti unguja na Pemba
@bakarhamad6810
@bakarhamad6810 27 дней назад
Misikiti ni mingi Sana znz na km tutagawanyiwa wazanzibar wote utagundua kila wtu 20 wanapata msikiti wao so tatzo lkn je tupo ktk Hali gani kiimani na kiitikad. Sasa kuna misikiti mingine sio tatzo kuvunjwa km patatengenezwa Jambo kubwa lenye manufaa makubwa ktk maendeleo y jamii. Il'imrad tu iwe walengwa na wanufaika ni jamii ya Sasa na baadae.
@bakarhamad6810
@bakarhamad6810 27 дней назад
Ninalolitamani ni siku moja na sisi wapemba aje atujengee kitu km hicho ili tuanze kuifungua pmba kiuchumi.
@RioIpo
@RioIpo 23 дня назад
​@@bakarhamad6810 In Sha Allah
@IbrahimSallim-xd4lx
@IbrahimSallim-xd4lx Месяц назад
Mashallah 😍❤
@user-qr7et3vl5z
@user-qr7et3vl5z 28 дней назад
Mashallah hakika 25 huna mpizani kiongozi
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 Месяц назад
HONGERA MAMA SAMIA ♥
@mohddelo
@mohddelo 27 дней назад
Safi Rais mwinyi
@firdaus7428
@firdaus7428 Месяц назад
Masha Allah znz Dr. Hussein Mwinyi pongezi nyingi kwako Baba 👏👏
@mohdkhamis3857
@mohdkhamis3857 12 дней назад
Sema lile soko la chuini au mnaitaga kwa nyanya jamaa wameboronga xn
@w4058
@w4058 Месяц назад
Machinjio ulimwengu mzima takriban hayawi sokoni sehemu nyingi sana sana
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 12 дней назад
Inategemea na aina ya machinjio na pia aina ya utamaduni wa jamii, kwa mfano kuweka machinjio ya kuku ktk soko kama hilo ni jambo la kawaida na ndiyo masoko yote ya asili ya kitanzania yapo hivyo, wateja huwa wananunua kuku na kuchinjiwa papo hapo ila kwa kesi ya wanyama kama ng'ombe hilo ni swala jengine kwani wanyama wakubwa kama hao huwa na machinjio yao.
@yahyahamisi2038
@yahyahamisi2038 Месяц назад
Tanganika ziiiiiii 😂😂😂😂 Kadiba mmmaa 👍👍👍👍
@abubakarkhamis3884
@abubakarkhamis3884 27 дней назад
MashaAllah
@alihabib2270
@alihabib2270 Месяц назад
Nina 9:00 shauri machinjio yawe mbali na soko na hata kuwa mbali na mji na hiyo ndio utaratibu wa masoko mengi ya mji ili kudumisha usafi wa masoko
@rasheedabby2871
@rasheedabby2871 24 дня назад
mwinyi sasa anafanya vitu vya standard sana
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp Месяц назад
Tuko hapa hapa
@alhajjkassim2648
@alhajjkassim2648 29 дней назад
@jombadulla
@jombadulla Месяц назад
nakuomba mheshimiwa ukienda kukagua angalia kuna raba nyeupe kweny ukuta umezibwa hiyo ni nyufa imeanza kukatik ,wameziba ili kuficha,
@masoudjuma8169
@masoudjuma8169 Месяц назад
Maeneo unayoona rubber nyeupe ni expansion joints, kitaalamu jengo kama ilo kubwa huwa linagawanywa .
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf Месяц назад
Zuri
@nasrasheikh1020
@nasrasheikh1020 17 дней назад
Soko linahitaji usafi, soko ni zuri masha a Allah ila tutaweza kulitunza?
@moodjeco5844
@moodjeco5844 24 дня назад
usiseme ndio soko kubwa tanzania nzima bali sema zanzibar
@alhudhaify7810
@alhudhaify7810 19 дней назад
Anajua kusema znz ila kasema tz sasa unalifananisha na soko lipi jengine?
@alihabib2270
@alihabib2270 Месяц назад
Nadhani pamoja na dhamira nzuri ya serikali katika kufanikisha biashara kwa soko la kwerekwe lakini kuweka Shemu ya machinjio sokoni naona kwa kuanzia inaweza ikaonekana ni sawa ila kadiri machinjio yanaendelea nahisi itakuwa mzigo kwa wananchi na wafanyabaishara sokoni
@user-qt5xq6fk6o
@user-qt5xq6fk6o Месяц назад
Mh mwinyi wewe ni mtu na nusu big up Mr president.
@IdiKondo
@IdiKondo 28 дней назад
Daa ingekuwa msikiti Ingependeza zaidi
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 27 дней назад
Kuna msikiti mkubwa unajengwa hapo karibu na soko
@sule17942
@sule17942 Месяц назад
Mwinyi mtu sana
@DoctorBondia
@DoctorBondia Месяц назад
Kwa hali hii hakika Mwinyi anastahiki kupewa tena mitano ❤
@ibrahimame9805
@ibrahimame9805 24 дня назад
Mitano kidogo akae mpaka kiama.
@DoctorBondia
@DoctorBondia 24 дня назад
@@ibrahimame9805 Duh! Sasa hiyo itakuwa chuki
@DoctorBondia
@DoctorBondia 24 дня назад
@@ibrahimame9805 Allah amhifadhi dhidi ya maadui wa Aina zote, na ampe afya njema zaidi azidi kuijenga Zanzibar. Aaamin 🤲
@salimsalim-ut4jk
@salimsalim-ut4jk Месяц назад
Mm mungekuja na uchambuzi ni namna gani na kwa kipindi gani fedha zilizojengewa soko zitarudi hp ningewasifu lkn pia siwalaumu kwa kua sisi pengine hatujawahi kuona vitu km hivi lkn pia nikumbushe tu kuwa vitu km hivi maranyingi hufanywa na makampuni na sio serikali, nakuombeni mutuletee na uchambuz wa hela iliyotumika na vp itarud
@harithwhite589
@harithwhite589 Месяц назад
Jusa yuleeeee,kama namuona hivi
@RioIpo
@RioIpo 23 дня назад
🤣🤣🤣🤣 kazi yake kukosoa tu
@moodyman7588
@moodyman7588 27 дней назад
Lift hamna
@hamicpina1151
@hamicpina1151 Месяц назад
Tengeza viwanda vpi kuusu bandar hivi ND tunataka maana watu watapata ajira pasipo mfano na nd maana watanganyika wanajuwa ukijenga bandar na viwanda Zanzibar itakuwa kimaendeleo na sera ya ccm kuizamishaza Zanzibar kimaendeleo kwa iyo mtatubabaisha kwa vitu kama ivo xjuli masoko na Barbara ila mujuwe tuu viwanda vy samaki vy mwani vy matumbawe vya karafuu vya makonyo na pamoja na bandar ndio tunahitaji
@mahammadanhag4445
@mahammadanhag4445 7 дней назад
Viongoz wanajtaid tuwape ongera za bure
@msabahaali758
@msabahaali758 Месяц назад
ule msikiti mliouvunja ujengeni jamaaniii apo kwerekwe
@ramadhanngwilili6261
@ramadhanngwilili6261 Месяц назад
Jengo kuwa kama hili haliwezi kosa Sehem ya Kuswalia kaka
@harithwhite589
@harithwhite589 Месяц назад
Viazi mbatata vinakawaida ya kubeba tope,kwaivo vibaraza vyake viwe uko second floor,sio mbele ya mapokezi apo mwanzo
@alimuhamed1830
@alimuhamed1830 Месяц назад
Msikitini vp jama kumbukeni hiyo ninyumba ya Allah na nyinyi mumeibomoa na mpaka sasa hamjafanya chochote
@user-wz7tm6bp1g
@user-wz7tm6bp1g Месяц назад
Doky MWINYI vunja HOROFA hapo mbele ya SOKO
@user-un3hr5kh6z
@user-un3hr5kh6z Месяц назад
Tunahitaji viwanda zaidi mwinyi usitumbaze sisi mitaji hatuna ila nguvu na akilin tunayo
@user-ho1ze2jb5c
@user-ho1ze2jb5c Месяц назад
Naomba mtangazaj tumia kiswahili sababu wazaa wite hatuelewi lugha ya kiengerez na tuna hski ya kupata habar
@hassanmakame4382
@hassanmakame4382 Месяц назад
Kwan anaongea English hapo😅
@bongo39
@bongo39 Месяц назад
Mashaallah kama oman mwinyi anafanya mabadiliko makubwa sana
@abuuzahra-fc2jg
@abuuzahra-fc2jg 26 дней назад
Jamn Pemba mbona Iko Hoi
@RioIpo
@RioIpo 23 дня назад
Unguja ndio kitovu cha uchumi so wacha kuekezwe..
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 Месяц назад
Ila zuri lkn pesa hio no
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp Месяц назад
Kodi je itakuaje maana tulisikia ya dara jani?
@AnkallyPandu
@AnkallyPandu Месяц назад
Vipi kuhusu usafi maana hilo soko la kitaifa
@moodyman7588
@moodyman7588 27 дней назад
Vp wanyonyoa kuku watapata maji yamoto. Au waje na majiko yao ?
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 Месяц назад
Hio hela bilioni 35 hebu inane tena wasema tu hio mpesa soko hii no kwa pesa hio no
@Khamis_Waya
@Khamis_Waya Месяц назад
😂😂😂 so mchezo ila wao ndo walojemga kwaio cc wacha tukafanye kaz lakin cio pow ata kidogo.
@user-qr7et3vl5z
@user-qr7et3vl5z 28 дней назад
Wewe nimpizani hata ukipauka Domo lako sisi kazii tunsiyoons
@RioIpo
@RioIpo 23 дня назад
​@@user-qr7et3vl5z Kazi yao kubwa ni kukosoaa
@user-gb5vz6wm2q
@user-gb5vz6wm2q Месяц назад
Muwaweke watu watakaosafisha
@saidaly8201
@saidaly8201 Месяц назад
Limghrimu Milion 30 au nimeskia vbya tu hebu rejea ndg sjaelwa hapo
@hairathussein1118
@hairathussein1118 28 дней назад
Bilioni sio milioni
@jombadulla
@jombadulla Месяц назад
limepasuka wameziba raba nyeupe,mkifik jamani angalieni
@RioIpo
@RioIpo 23 дня назад
Muongo 😊
@khatibabass3106
@khatibabass3106 Месяц назад
Kwa vikuta hivyo ninavyoviona hahahahaha kazi ipo vitawashinda tu hao wafanya biashara
@AnkallyPandu
@AnkallyPandu Месяц назад
Sio kweli
@AliAbdullah-oy6yo
@AliAbdullah-oy6yo Месяц назад
😅😅😅
@SleimanMsellem
@SleimanMsellem Месяц назад
Uchawa tuu ubunifu aaah
@AliAbdullah-oy6yo
@AliAbdullah-oy6yo Месяц назад
😅😅😅
Далее
JENGO LA GHOROFA 72 KUJENGWA ZANZIBAR
5:33
Просмотров 35 тыс.
Китайка Шрек всех Сожрал😂😆
00:20
Я тоже так могу
00:12
Просмотров 779 тыс.
#ZANZIBAR YAMETIMIA VIWANDA VYA NGUO NA VIATU
29:14
Просмотров 6 тыс.
#KISHINDO CHA Dkt MWINYI NILIAHIDI KUTIMIZA
26:09
Просмотров 4,1 тыс.
#BINTI MDOGO NA MAAJABU MAKUBWA ZANZIBAR
7:10
Просмотров 2,5 тыс.