Kabisa ndugu hatuna utunzaji katika majengo husussan ya Serikali。 Maoni Serikali iajiri au wafunge mkataba na Kampuni tatu Kampuni ya Usafi Kampuni ya Security Na Kampuni ya Maintanace, NB:Vituo vya Afya,Skuli na Masoko
Kazi nzuri mashallah wasiwasi wangu kwenye usafi mpaka vyooni usafi security ikuepo. Usafi nasisitiza zaidi soko zuri sana mashallah mwinyi mitano tena baba.
Mashaallah soko zuri sana usafi muhimu sana maana soko kama hilo likiwa chafu aibu iwe kila mara liwe linasafishwa hongera kwa soko letu kuwa la kwanza Tanzaniaa nzima kwa ukubwa
Soko ni zuri ,lakini ninavyo ijua Zanzabar shida yetu kubwa ni usimamizi mbaya juu ya mambo mengi sana ,soko hilo litakuwa chafu muda mfupi tu ,takataka zitazagaa kila mahala .
Misikiti ni mingi Sana znz na km tutagawanyiwa wazanzibar wote utagundua kila wtu 20 wanapata msikiti wao so tatzo lkn je tupo ktk Hali gani kiimani na kiitikad. Sasa kuna misikiti mingine sio tatzo kuvunjwa km patatengenezwa Jambo kubwa lenye manufaa makubwa ktk maendeleo y jamii. Il'imrad tu iwe walengwa na wanufaika ni jamii ya Sasa na baadae.
Inategemea na aina ya machinjio na pia aina ya utamaduni wa jamii, kwa mfano kuweka machinjio ya kuku ktk soko kama hilo ni jambo la kawaida na ndiyo masoko yote ya asili ya kitanzania yapo hivyo, wateja huwa wananunua kuku na kuchinjiwa papo hapo ila kwa kesi ya wanyama kama ng'ombe hilo ni swala jengine kwani wanyama wakubwa kama hao huwa na machinjio yao.
Nadhani pamoja na dhamira nzuri ya serikali katika kufanikisha biashara kwa soko la kwerekwe lakini kuweka Shemu ya machinjio sokoni naona kwa kuanzia inaweza ikaonekana ni sawa ila kadiri machinjio yanaendelea nahisi itakuwa mzigo kwa wananchi na wafanyabaishara sokoni
Mm mungekuja na uchambuzi ni namna gani na kwa kipindi gani fedha zilizojengewa soko zitarudi hp ningewasifu lkn pia siwalaumu kwa kua sisi pengine hatujawahi kuona vitu km hivi lkn pia nikumbushe tu kuwa vitu km hivi maranyingi hufanywa na makampuni na sio serikali, nakuombeni mutuletee na uchambuz wa hela iliyotumika na vp itarud
Tengeza viwanda vpi kuusu bandar hivi ND tunataka maana watu watapata ajira pasipo mfano na nd maana watanganyika wanajuwa ukijenga bandar na viwanda Zanzibar itakuwa kimaendeleo na sera ya ccm kuizamishaza Zanzibar kimaendeleo kwa iyo mtatubabaisha kwa vitu kama ivo xjuli masoko na Barbara ila mujuwe tuu viwanda vy samaki vy mwani vy matumbawe vya karafuu vya makonyo na pamoja na bandar ndio tunahitaji