Please subscribe now on Our RU-vid channel To be the first to hear about the latest news and updates on Time. #middlesimba #WeAreEverywhere #harmonize #rayvanny #zuchu
Middle simba Tuweke na Makala ya RU-vid Zuchu Wimbo wake wa #WANA UNA 1 WEEK UNA VIEWS #2.5M NA #BEDROOM In wiki 3 But una views #2.2M.....Tembo amekalishwa na Mtoto wa kike😂😂😂😂
Wacha tharau middle Simba jameni utamulinganishaje zuchu na harmonize jameni daaaa hio ni kumkosea harmonize eshima hyo ni mtoto kwa game mkubali mkatae harmonize ni msani mkubwa 💪
Harmonize akalime tu Mana kama wimbo wa #wana tu by #Zuchu imezikalisha nyimbo zake zote in terms of views (on utube) tangu2020 ianz mpk leo Siaibu hii 😔😔😔😭😜
zuchu bado mapema anapata promo kupitia diamond ila konde boy ni mbabe alibobea yani ni fundi kupitia wasafi zuchu ndo kwanza tu anaanza bongo fleva ila ana kipaji kizuri watu wazidi kumpokea vizuri
Siyo kweli bro. Hapa umezingua kabisa hapa haukua makini kabisa . Isssue yiko ivi wakati harmonize Album yake inafutwa kati ka boomplay alikua yiko na laki 6 views ila wakati inarudia ilimuja upya ikasnza ku zero
@@merishoherman169 unajua lakini boomplay au unaropoka harmonize kwa wiki moja awe na streamers 600K nguvu iyo anaitoa wapi utakuwa ww.ni mgeni wa haya mambo lete ushahid ktk hili usitake kupotosha watu ww
Kwa hyo hapo amemponda au ni kitu really mzee ukweli usikutese maana utakuua ngoma 17 zina zaidi ya mwezi zinafunikwa na ngoma 7 zenye wiki moja mpaka hapo platform zinajua zuchu ni star kuliko harmonize
Alicho Sema Harmonize kuusu hili linalo Endelea mtandaoni Bofya link Apo Chini kujua zaidi. 👇. ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-FIMY5DzxGiU.html ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-FIMY5DzxGiU.html
Acheni usenge nyie watu tunakesha kwa platforms zote msigikiri ivi vitu tunaviiga pindi inafutwa ilikuwa haijafika hata 100K na ilirudi na streamers wote.hakuna.biashara kama hiyo kwa platforms
Siwezi kuku shangaa koz unatafuta kula maana hata ww unajua kua album ya mmakonde ilitolewa na stemerz waka anza upya isipokua audio mark2 sasa unaongea nn hapo au ushuzi2