Friji bovu kumiliki zaidi ya timu 7 kwenye ligi moja si sawa kwasababu inaleta conflict of interest katika football ya Tanzania. Tanzania ni nchi pekee ambayo kuna siasa katika kila sector ubabaishaji ni mwingi. Nakupa mfano mdogo mmiliki wa Crystal Palace alitaka kuinunua Everton wakamuambia inabidi auze share zake na alikuwa yuko tayari kufanya hivyo lakini hakuendelea na ununuzi. Je sheria za TFF zinaruhusu udhamini wa aina ya GSM?
Wana Simba inabidi tutulie tuachane na maneo ya mitadaoni,Tunaitaji striker ndio lakini Mukwara na wachezaji wote wanataji muda,Angalia Kai Haverts wa Arsenal washabiki walikuwa wana mdhiaki na Mikael Arteta alimwamini a akampa Muda angalia sasa yuko poa anatupia kila gemu tuwe wavumiivu..
English premier league hamna tajiri anamilika zaidi ya team moja that’s tajir wa Qatar alvo taka kununua team zaidi ya 1 alikataliwa hiyo ndio fact sio sahihi kuwa na team zaidi ta team moja hapo ume chemsha mwamba😅
Wwe ni Kuma kabsa Yan nilikuwa nakufatilia sana kuanzia Leo wwe sitakufatlia Tena wwe ni Kuma tu nitajie ni nchigan ambayo mtu anaklabu yake usika kazamin klabu nyingine wwe ni ni msenge Tena Kuma la mama yako
Sasa wewe unamtukania mama yake Kwa ajili Gani? Au we mwenzangu huna mama? vp ukitukaniwa mama yako mzazi utajiskiaje? au una pata faida Gani ukimtukania mama yake? Kama unaona umekosea basi futa tu hiyo comment yako..