Тёмный
TANROADS HQ
TANROADS HQ
TANROADS HQ
Подписаться
Комментарии
@RobertMartin-ci8vs
@RobertMartin-ci8vs День назад
Barabara ziwe za viwango na upana uwe wa kutosha
@namsifumaduhumwita2495
@namsifumaduhumwita2495 2 дня назад
Hongera sana Mh. Rubara Marando. Kazi iendelee.
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 8 дней назад
Magufuri agekuwepo ligeisha siku nyingi tutoleeni utopolo wenu tumewachoka
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 8 дней назад
Mnatuchosha tunataka barabara liishe tunachukia manenotu acheni hata kutangaza
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 8 дней назад
Mimi nachukia mpaka sasa miaka 6 harijaisha
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 8 дней назад
Sawaa
@elinamilyatuu7337
@elinamilyatuu7337 10 дней назад
Hongereni ila imechukua muda mrefu sana
@SelijusMalambo
@SelijusMalambo 14 дней назад
We mfipa wa laela mzima
@EmanuelWebiro
@EmanuelWebiro 14 дней назад
Leo jpm angekuwepo tz ingekuwa na stage gani?
@mduda_i
@mduda_i 16 дней назад
Tunaomba barabara ya Iringa mjini kwenda Ruaha National park kwa kiwango cha lami. Kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya ccm. 🙏
@mduda_i
@mduda_i 16 дней назад
Tunaomba barabara ya Iringa mjini kwenda Ruaha National park kwa kiwango cha lami. Kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya ccm. 🙏
@ngurukitv4584
@ngurukitv4584 16 дней назад
Looking good follow back done God bless you 🇱🇷 💪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Gsamir694
@Gsamir694 17 дней назад
Tunamuomba sana raisi samia atengeneze barabara haraka mikoa ya rukwa songwe mbeya ruvuma njombe iringa mpanda ziwe nane nne kwenda nne kurudi
@Gsamir694
@Gsamir694 17 дней назад
Safi sana
@UjenziTv_
@UjenziTv_ 17 дней назад
Kazi Iendelee...
@user-gj5iy2rq8y
@user-gj5iy2rq8y 20 дней назад
Kwanini hamjengi majiji mapya kila mkoa
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 21 день назад
Mtoa mbuu,Arusha drift lina jaa maji maska tuwekewe,daraja
@IsmailSaid-od9bs
@IsmailSaid-od9bs 22 дня назад
Hana vifaa huyo mkandarasi wenu
@altentic8616
@altentic8616 23 дня назад
Tanroads wanatakiwa kujenga barabara vizuri kama zinavyotengenezwa Afrika Kusini, barabara zenye njia 4 na hata 5 kwa kila upande wa magari.
@tanzanite9944
@tanzanite9944 24 дня назад
Makunduchi Haiko Mjini Zanzibar bwana wewe, hebu jiongeze. Makunduchi ni Vijijini sio mjini.
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 25 дней назад
Wapeni wachina......
@corrolesscps
@corrolesscps 14 дней назад
Ni kweli hawana vifaa, kama umewai toka Tz na kutembelea nchi nyingi zilizoendelea kimaendele ya Miundo mbinu, hili kitonga ni rahisi costraction engineering yake, Yaani wamejenga mpka unashangaa wanawezaje, ni ujuzi au ni hela, wamewalipa vizuri Macostructer
@user-qs1xx9yl8i
@user-qs1xx9yl8i 26 дней назад
Weka na tunnel ww boss
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 27 дней назад
Mnapanua au mnaongeza upana wa barabara?
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv 29 дней назад
Wizara ya ujenzi barabara ya kusini hasa ya mkoa wa lindi madaraja Yana Hali mbaya jaman chukueni hatua mvua masika siyo mbali sana hakuna mkandarasi site mpaka Sasa.
@ramaaman4020
@ramaaman4020 29 дней назад
Tanzania juu huondiouzalendo asantenisana pamoja na Mheshimiwa raisiwetu.
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 29 дней назад
Ok
@hajimgwami5224
@hajimgwami5224 29 дней назад
2008 NA 2012 JK NDIO ALIJENGA JENGO LA ABIRI NAKUONGEZA UREFU WA BARABAA YA KURUKIA RUNWAY
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 29 дней назад
Ni kwa nini watalamu wetu mnatuangusha lakini
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 29 дней назад
Waziri wa ujenzi fanya ufanyalo bara bara ya kusini makaraveti na madaraja yote siyo mazuri kwa mwaka ujao mvua ikinyesha njia itakatika tena.madaraja yenye ubana wa kutosha ni muhimu sana.pia Kuna sehemu kontena imetumika kama kalaveti ni hatari kontena inaoza haraka sana.sehemu somanga nangurukuru Bado nguvu inahitajika Ili kabla mvua hazija Anza lami mpya ijengwe viraka si sawa.
@user-oh8ig2cy9q
@user-oh8ig2cy9q 29 дней назад
Ivyo vioo nyani ndio watakua wanavitumia watajaa
@ngurukitv4584
@ngurukitv4584 Месяц назад
Looking good job follow back 👍 ❤❤❤❤❤
@JeminKiza
@JeminKiza Месяц назад
Mzani Wenda unatuharibia muda sana
@peternassari7634
@peternassari7634 Месяц назад
Saf 👏
@razackndeze-pv5bm
@razackndeze-pv5bm Месяц назад
Suluhisho la muda mrefu pekee ni kujenga ao kupitisha hiyo barabara sehemu nyingine sio kupanda huo mlima kitonga, ao kujenga tunnel. Lakini hao mumbo ya kupanua barabara haitasaidia chochote bali itakula hela za bure tu.
@user-ku4xq4nd9v
@user-ku4xq4nd9v Месяц назад
Hongera Tanroads kwa kutupatia mrejesho kila wakati
@Gsamir694
@Gsamir694 Месяц назад
Safi sana
@Gsamir694
@Gsamir694 Месяц назад
Safi sana
@flova7022
@flova7022 Месяц назад
Nawashukuru wananchi kwa kutoa kodi ambazo ndio fedha zinnazotumikka katikka maendeleo..apo vip
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Месяц назад
Engineer sehemu km hiyo suluhisho ni tunnel tu
@killy_hoffman2698
@killy_hoffman2698 Месяц назад
geography ilikupiga chenga shuleni🤣🤣
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Месяц назад
@@killy_hoffman2698 bahati mbaya sijawahi kutembelea nyanda za juu, ndio utuambie sasa kama study zilishafanyika ili tujuwe na sio kuongea in short km hivo
@flova7022
@flova7022 Месяц назад
​@@killy_hoffman2698shida tusio na elimu hiyo tunnabishana
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 Месяц назад
Kuna shida ya elimu hapo
@frankmare1708
@frankmare1708 Месяц назад
Toa ilo neno " Tu"
@ngurukitv4584
@ngurukitv4584 Месяц назад
Looking good follow back done God bless you 🇰🇪 🙏 ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Месяц назад
Kwanini mnaandika kwa kiingereza hapo mpanda wengi wao hawajui kiingereza aibu aibu kwenu 😭😭😢😢 RIP mzee baba Magufuli
@waluohopaulo2116
@waluohopaulo2116 Месяц назад
Yani ujenzi wa gorofa moja bado mnahitaji mwandishi mshauri
@msafiriomary893
@msafiriomary893 Месяц назад
Mpaka reo mnaiba tuu cement na nondo hariiishi mrimtoa bure tuuu magufuli mngemuacha atujengeee inchi wajinga nyinyi
@African511
@African511 Месяц назад
Akili za mwanaume mmoja aitwaye Magufuri,alooo Mungu alimtumia sana huyu jpm
@stanymccary7136
@stanymccary7136 Месяц назад
Mkandarasi anayejenga ring road muangalieni yani haikamilkagi, SGR itakamilika yeye bado
@upendokiula-n8h
@upendokiula-n8h Месяц назад
Contact please
@ShkiruIsmail
@ShkiruIsmail Месяц назад
pongezi kwa serikali kwa daraja la jpm bridge
@amirymdee4259
@amirymdee4259 Месяц назад
***Korogeshen ni kitu gani?Kiswahili hamjui?
@sebmalunde5945
@sebmalunde5945 Месяц назад
Jengo linaendelea pia. Mambo ni 🔥 🔥 🔥
@michaelrweyemamu1068
@michaelrweyemamu1068 Месяц назад
Serikali mlifikirie kulipanua Daraja la Kirumi pia.