Тёмный

DISEMBA 30, 2024 DARAJA LA J.P. MAGUFULI (KIGONGO-BUSISI) KUANZA KUTUMIKA-ENG PASCHAL AMBROSE 

TANROADS HQ
Подписаться 4,3 тыс.
Просмотров 17 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 19   
@nashonjoel20
@nashonjoel20 3 месяца назад
Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 3 месяца назад
Gnga LIKE kwa Hayati JPM
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 месяца назад
Magufuri agekuwepo ligeisha siku nyingi tutoleeni utopolo wenu tumewachoka
@yassinkanal
@yassinkanal 20 дней назад
Magufuli we baba 😢 😭
@zachmaselle6635
@zachmaselle6635 3 месяца назад
Hayo Magugu ziwani, tunangojea mpaka wazungu waje kuyaondoa?
@prosperidinya5864
@prosperidinya5864 2 месяца назад
Eeeeh, kumbe ni magugu! Basi Mimi nikawa nakuuliza, kwanini hizo pile cap zijengewe kwenye maji badala ya kujenga kwenye ardhi hiyo yenye mimea. Asante
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 3 месяца назад
Safi Chama Cha Mapinduzi kutekeleza Irani na kumalizia Miradi ya kimkakati..Mama SSH 2025 tena
@anafisuleimani7083
@anafisuleimani7083 3 месяца назад
Hongera nyingi kwa viongozi wote mlio shiriki ujenzi huu
@worldtechlab
@worldtechlab 3 месяца назад
Wow beautiful 😻
@African511
@African511 3 месяца назад
Akili za mwanaume mmoja aitwaye Magufuri,alooo Mungu alimtumia sana huyu jpm
@loner_wolf
@loner_wolf 20 дней назад
Mmh , huyu mama anafanya kazi gn sasa ..... mbona kazi kama zimedelay kwa kiwango kikubwa sana
@EmanuelWebiro
@EmanuelWebiro 2 месяца назад
Leo jpm angekuwepo tz ingekuwa na stage gani?
@omarybakunda2554
@omarybakunda2554 3 месяца назад
Hakikisheni mnatoa majani yaliyo ota kwenye maji
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 месяца назад
Mimi nachukia mpaka sasa miaka 6 harijaisha
@JayMore-fw5jn
@JayMore-fw5jn Месяц назад
Story zimukua nyingi kuliko vitendo
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 2 месяца назад
Mnatuchosha tunataka barabara liishe tunachukia manenotu acheni hata kutangaza
@ZeProDJay
@ZeProDJay 3 месяца назад
Hili daraja halijaishaga tu duuh
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 3 месяца назад
Angelikuwepo duniani mwenyewe kwa sasa magari na waenda kwa miguu wangelikuwa wanapishana juu katika daraja hili.
@msafiriomary893
@msafiriomary893 3 месяца назад
Mpaka reo mnaiba tuu cement na nondo hariiishi mrimtoa bure tuuu magufuli mngemuacha atujengeee inchi wajinga nyinyi
Далее
Mcdonalds cups and ball trick 🤯🥤 #shorts
00:25
Просмотров 821 тыс.
This mother's baby is too unreliable.
00:13
Просмотров 22 млн
Mcdonalds cups and ball trick 🤯🥤 #shorts
00:25
Просмотров 821 тыс.