Hongera nyingi kwa Muasisi wa Mradi huu JPM pamoja na Mheshimiwa Rais Dr Samia kwa kuendeleza Miradi yote mikubwa ya kimkakati. Kanda ya ziwa tutanufaika sana na Daraja hili.
Eeeeh, kumbe ni magugu! Basi Mimi nikawa nakuuliza, kwanini hizo pile cap zijengewe kwenye maji badala ya kujenga kwenye ardhi hiyo yenye mimea. Asante