Waziri wa ujenzi fanya ufanyalo bara bara ya kusini makaraveti na madaraja yote siyo mazuri kwa mwaka ujao mvua ikinyesha njia itakatika tena.madaraja yenye ubana wa kutosha ni muhimu sana.pia Kuna sehemu kontena imetumika kama kalaveti ni hatari kontena inaoza haraka sana.sehemu somanga nangurukuru Bado nguvu inahitajika Ili kabla mvua hazija Anza lami mpya ijengwe viraka si sawa.
Wizara ya ujenzi barabara ya kusini hasa ya mkoa wa lindi madaraja Yana Hali mbaya jaman chukueni hatua mvua masika siyo mbali sana hakuna mkandarasi site mpaka Sasa.
@@killy_hoffman2698 bahati mbaya sijawahi kutembelea nyanda za juu, ndio utuambie sasa kama study zilishafanyika ili tujuwe na sio kuongea in short km hivo
Suluhisho la muda mrefu pekee ni kujenga ao kupitisha hiyo barabara sehemu nyingine sio kupanda huo mlima kitonga, ao kujenga tunnel. Lakini hao mumbo ya kupanua barabara haitasaidia chochote bali itakula hela za bure tu.
Ni kweli hawana vifaa, kama umewai toka Tz na kutembelea nchi nyingi zilizoendelea kimaendele ya Miundo mbinu, hili kitonga ni rahisi costraction engineering yake, Yaani wamejenga mpka unashangaa wanawezaje, ni ujuzi au ni hela, wamewalipa vizuri Macostructer