Тёмный

TANROADS IRINGA INAENDELEA NA UJENZI WA KUPANUA NA KUBORESHA BARABARA SEHEMU YA MLIMA KITONGA. 

TANROADS HQ
Подписаться 3,9 тыс.
Просмотров 7 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 25   
@CharlesEdwardCvanoedward
@CharlesEdwardCvanoedward Месяц назад
Hongera Tanroads kwa kutupatia mrejesho kila wakati
@alfinmbilinyi5985
@alfinmbilinyi5985 Месяц назад
Waziri wa ujenzi fanya ufanyalo bara bara ya kusini makaraveti na madaraja yote siyo mazuri kwa mwaka ujao mvua ikinyesha njia itakatika tena.madaraja yenye ubana wa kutosha ni muhimu sana.pia Kuna sehemu kontena imetumika kama kalaveti ni hatari kontena inaoza haraka sana.sehemu somanga nangurukuru Bado nguvu inahitajika Ili kabla mvua hazija Anza lami mpya ijengwe viraka si sawa.
@ramaaman4020
@ramaaman4020 Месяц назад
Tanzania juu huondiouzalendo asantenisana pamoja na Mheshimiwa raisiwetu.
@user-qs1xx9yl8i
@user-qs1xx9yl8i Месяц назад
Weka na tunnel ww boss
@flova7022
@flova7022 Месяц назад
Nawashukuru wananchi kwa kutoa kodi ambazo ndio fedha zinnazotumikka katikka maendeleo..apo vip
@IsmailSaid-od9bs
@IsmailSaid-od9bs Месяц назад
Hana vifaa huyo mkandarasi wenu
@user-oh8ig2cy9q
@user-oh8ig2cy9q Месяц назад
Ivyo vioo nyani ndio watakua wanavitumia watajaa
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv Месяц назад
Wizara ya ujenzi barabara ya kusini hasa ya mkoa wa lindi madaraja Yana Hali mbaya jaman chukueni hatua mvua masika siyo mbali sana hakuna mkandarasi site mpaka Sasa.
@JeminKiza
@JeminKiza Месяц назад
Mzani Wenda unatuharibia muda sana
@mduda_i
@mduda_i Месяц назад
Tunaomba barabara ya Iringa mjini kwenda Ruaha National park kwa kiwango cha lami. Kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya ccm. 🙏
@Gsamir694
@Gsamir694 Месяц назад
Safi sana
@Optionxll_Playz1
@Optionxll_Playz1 Месяц назад
Ni kwa nini watalamu wetu mnatuangusha lakini
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz Месяц назад
Mtoa mbuu,Arusha drift lina jaa maji maska tuwekewe,daraja
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Месяц назад
Engineer sehemu km hiyo suluhisho ni tunnel tu
@killy_hoffman2698
@killy_hoffman2698 Месяц назад
geography ilikupiga chenga shuleni🤣🤣
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Месяц назад
@@killy_hoffman2698 bahati mbaya sijawahi kutembelea nyanda za juu, ndio utuambie sasa kama study zilishafanyika ili tujuwe na sio kuongea in short km hivo
@flova7022
@flova7022 Месяц назад
​@@killy_hoffman2698shida tusio na elimu hiyo tunnabishana
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 Месяц назад
Kuna shida ya elimu hapo
@frankmare1708
@frankmare1708 Месяц назад
Toa ilo neno " Tu"
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk Месяц назад
Mnapanua au mnaongeza upana wa barabara?
@razackndeze-pv5bm
@razackndeze-pv5bm Месяц назад
Suluhisho la muda mrefu pekee ni kujenga ao kupitisha hiyo barabara sehemu nyingine sio kupanda huo mlima kitonga, ao kujenga tunnel. Lakini hao mumbo ya kupanua barabara haitasaidia chochote bali itakula hela za bure tu.
@zobakazizi7637
@zobakazizi7637 Месяц назад
Wapeni wachina......
@corrolesscps
@corrolesscps Месяц назад
Ni kweli hawana vifaa, kama umewai toka Tz na kutembelea nchi nyingi zilizoendelea kimaendele ya Miundo mbinu, hili kitonga ni rahisi costraction engineering yake, Yaani wamejenga mpka unashangaa wanawezaje, ni ujuzi au ni hela, wamewalipa vizuri Macostructer
Далее
BeastMasters Hawk just had enough #ti13
00:30
Просмотров 259 тыс.
India's 'village of widows'
10:43
Просмотров 23 тыс.
MKULAZI KUANZA UZALISHAJI WA SUKARI MWAKA HUU
18:13
Просмотров 8 тыс.
How to win a argument
9:28
Просмотров 522 тыс.
BeastMasters Hawk just had enough #ti13
00:30
Просмотров 259 тыс.