Wanao hoji nao awajielewi maana unaingiza miaka 4 sasa ulikuwa Oman kama kadama miaka 2 uli hojiwa lini ukawaoman lini umefanya kazi lini linakuja jibu ulikuwa tz sema ulitafuta kiki
Uongo TU hakuna Oman wala nn Leo Oman Leo msanii Leo hivi Oman umetoka juzi Leo uneigiza na lamata maana ulikuwa tz Oman miaka miwili uliojiwa lini sasa
Kiki ty ovyoo hakuna chochote kwanza omani na kike kibegi unawajuwa ma shghara ww😂😂😂 wanavyo bebaga eti Leo muiguzaji mara mfanya biashara muongo huyo milioni kumi kwa mshahara wa kadama kwa miaka iyo ni pesa yote umetuma maana ulicho Baki nacho ni kidogo sasa na gundua ww ulitaka jina muongo ww
Sura ya kinafiki kabisa mpuuzi huyu kajua kutuzuga haya kwa Carry mastory interview kashafanya na kwa Lamatah tayr kashafanya nae kazi ukiangalia ht wiki bado tangu atoke Oman mamae kajua kuuteka mji😂😂😂😂
Uyo dada muongo bhn ajatokea omani lbd umani km asemavyo mwenye maana picha linaanza yupo Airport anashangaa juwa la bongo hivi bongo kunajuwa lakuizidi omani..... ?
Hahahaha Mim mwenyewe nimeshindwa kwelewa imekuweje alikua anatuma hela nyingi sehemu cheap mana alikua anapajua ndo mana alienda direct..it's a very contradicting story
Huyu ni Miongo Sio kwelii Hakwenda Oman wala nini.. Kama Mnakumbuka Ndio Yule Alosema Ruruuuuu Ramataa.. haya kaenda oman lini Mpk Akaa miaka 2... Walipanga hao Kwanza bag halikuwa na Stkaaa Bahna... Semaa Luluu na Sio Ruruuuu