Тёмный
No video :(

SASHA MAKOYE: AMFUMANIA BOFYFRIEND WAKE/KIREDIO ATOBOA MCHONGO/NIMEMBLOCK KIREDIO KUTRENDISHA VIDEO. 

bongotzfm
Подписаться 26 тыс.
Просмотров 102 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 476   
@SekelaJakson-ls7dd
@SekelaJakson-ls7dd Месяц назад
😮waliogundua ni kiki like hapa
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Месяц назад
Mimi nilijua kuona bagi Tu nikajua hii ni Kiki 😂
@DfhhffDryy
@DfhhffDryy Месяц назад
Kwanza kwa hella gani jmn mshahara wenyewe umeshuka
@HawaJumanne-uy4eu
@HawaJumanne-uy4eu Месяц назад
Kwa kweli nimechoka huyu dada katufanya sisi watoto kumbe katengeneza muvi😢😅😂
@UpendoLema-bx9ji
@UpendoLema-bx9ji Месяц назад
Duuuh
@Marry-k5p
@Marry-k5p Месяц назад
Huyu sio wa ramata badala ya lamata na ruru badala ya lulu😂😂😂ili igizo hili
@Amayrah-fe6ec
@Amayrah-fe6ec Месяц назад
Usimlaumu kiredio wakati ww mwenyewe na kihere here chako ndio ulimtafuta kiredio sasa kwa nn umlaumu kiredio😢
@EstellaMagara-zk2qx
@EstellaMagara-zk2qx Месяц назад
Kwa wale tumemujuwa kupitiya @kiredio like zenyu
@NaahJr
@NaahJr Месяц назад
Sasha alitaka kutrend tuu 😂😂 atajuju aliyataka mwenyew kiredio asingeweza kumfata Sasha kwanza hamjui watu wanaopenda mambo ya mitandaoni ndo wanamtafta kiredio wenyewe 🤣😂😂😂
@RhobinaDaudi-iz4ju
@RhobinaDaudi-iz4ju Месяц назад
Alisema alimtafta kiredio mwenyew, sio kiredio aliemtafta huy dada
@RayOmar-vk2nn
@RayOmar-vk2nn Месяц назад
Umeigiza juzi tubumetoka oman juzi tu wewe ni mfanyabiashara wewe ni housegirl omzn wewe ni muigizaji mashallah
@MoureenPresiours
@MoureenPresiours 16 дней назад
Mh kweli wambea tupo wengi jamani😂
@buyegintambi3867
@buyegintambi3867 Месяц назад
Hahahaaaa.........kama ilikua ni private Kiredio umemtafuta wanini😊.
@Shadia544
@Shadia544 Месяц назад
Hicho ndiyo alichokitaka yaani sijui Kwanini kutaka umaarufu ndiyo alioutaka jamaniii tuliokuwa Oman tujuane hapa LIKE 10 😂
@NasserAlhajri-ys6yr
@NasserAlhajri-ys6yr Месяц назад
Haya tujuwane
@RabiaSaid-sh1km
@RabiaSaid-sh1km Месяц назад
Tupo​@@NasserAlhajri-ys6yr
@aishafrancis7714
@aishafrancis7714 Месяц назад
From Mabellah
@SalimIbrahim-kw8ud
@SalimIbrahim-kw8ud Месяц назад
From barka❤
@fahidashishi255
@fahidashishi255 Месяц назад
From masikat
@ClaraSudi
@ClaraSudi 28 дней назад
Hata mm niliona jaman like beg halikuwa naki2 chchote mana co kwaubebaj uleee😂😂😂😂😂
@miriammseke
@miriammseke Месяц назад
Oman mchezo tuulize tuliyoko oman uku wee kwa ile mikucha na zile nywele we umetoka oman ipi dada😂😂 na kale kabegi😂 mashallah waarabu kwa nguo lazima na ww uwe na nguo za kutosha uku tumefungusha na nguo zao zilivyo kwa kile kibegi na izi hekaheka za oman eti mkalee na mwanaume😂😂dada pesa oman tunapata nyingi kweli lakini cyo kirahisi ivyo eti ukaongee na kulea mtoto wa mtu weeeeee
@Mariamyotube-p2e
@Mariamyotube-p2e Месяц назад
Kwnza alikuwa analipwa kiasi gn omani hii ya joto la jiwe au
@AlaikaHassan
@AlaikaHassan Месяц назад
Kwa kucha na nywele shost ni inawezekana kabsaaaaaa, labda hayo mangne ndo tumjudge maana hvo sjui kucha na wigi una order online na unajibandika vizuri sana sku unayoondoka hakuna wakukuzuia
@ashahassan7414
@ashahassan7414 Месяц назад
Mimi nilijua tu huyu dada anataka umarufu kwa jinsi nilivyomuona ck ile anakuja kibegi kimoja kidogo chepesiii mwanamke huna hata kipochi kidogo tu hebu fikiria half makucha sasa huyu muongo xn kwa kiredio alisema frenk walikuwa wanaishi wote ile nyumba kabla ya kuondoka akamuacha pale na alivyorudi yeye ndo alienda moja kwa moja pale kwa frank kwasababu alisema anapajua yeye ndo alipanga kabla hajaenda omani halfu hapa tena anasema alimtumia pesa apange nyumba ndo kaenda kutafuta nyumba uswahilini ambayo haiendani na pesa aliyokuwa anamtumia huyu dada ni muongo xn alitaka umarufu tu hana lolote mbwa huyu mm nilijua toka ck ile ya kwanza kwa kitedio 😏😏
@rogatienmathari1838
@rogatienmathari1838 29 дней назад
Hello
@user-gb3sf9fy2u
@user-gb3sf9fy2u Месяц назад
Huyu dada kweli ni muongo yan mwanaume anatumia pesa zako za Oman, hlf unasimulia unarelax kbisa yan, na pesa ya muarabu inavyouma ivi
@jovithakawimbe7472
@jovithakawimbe7472 Месяц назад
Haki anatufunga kwamba huyu 🥹 katufanya mazuzu
@millahboo
@millahboo Месяц назад
Ety private na camera,? Na microphone na kiredio juu😂😂😂😂 kenge wa kijaniii
@jesckamolel5693
@jesckamolel5693 Месяц назад
Huyu dada ni mwongo jmn yeye si alinyooka moja kwa moja kwenye mlango na kasema ndiyo nilikomwacha huyu dada mwongo sana
@user-xt1lc9zm1f
@user-xt1lc9zm1f 22 дня назад
Sanaaaa
@msalice4451
@msalice4451 Месяц назад
❤❤❤❤❤ mm Niko omani nataka nijue ALIKUWA anafanya kazi sehemi gani omani kama kweli ALIKUWA omani
@KuluthumuMsuwakollo
@KuluthumuMsuwakollo Месяц назад
Utakuwa umefanya la mana 😂😂
@user-gj7rb5zd7i
@user-gj7rb5zd7i Месяц назад
Kwanza Ile begi haikuwa na kitu ndani
@RahmaBenedictor
@RahmaBenedictor Месяц назад
Halafu ukishajuwa ufanyeje mfyuuu pambana na hali yako huko
@user-jo8mj8ww9c
@user-jo8mj8ww9c Месяц назад
Masqat
@user-pk8bp7th9e
@user-pk8bp7th9e Месяц назад
😂😂😂😂​@@user-gj7rb5zd7i
@Mohamedrajab-p2j
@Mohamedrajab-p2j 10 дней назад
waongo hawa frank anasema duka LA nguo yeye demu anasema duka vifaa vya pikiki😂😂
@WinWilly4162
@WinWilly4162 Месяц назад
1:Bag dogo kwa aliyefanya kazi oman halafu halikua na details za msafiri aliyepita airport . 2:Maelezo ya nyumba mwanzo alisema alimuacha pale that's why alipafahamu wakati wa kurudi halafu leo hii anajifanya eti nyumba cheap na midomo anabinua kwa dharau😂. 3:Kiredio alimuita mwenyewe leo anamtupia lawama. 4:Oman amekaa miaka 2 mara ni mwigizaji kaigiza miaka 4 mashabiki wanamkubali😂 Dada kajua kucheza na akili za watanzania. KIKI tu kuwa na akili za kuona unajidhalilisha Aaahh!😂😂
@Namtumbo
@Namtumbo Месяц назад
Wasanii
@momsash9210
@momsash9210 Месяц назад
Kumbe ndo yule alomkosoa lamata kumueka lulu baada ya maria😂 asa mbona ile ni current ishu na yy alikua oman for two yrs?hii no 2 ina mantiki sana win,kwann ashangae ile nyumba wakat anaijua ndomana katoka airport direct mpk mikocheni alikompangia?
@abdulsimbarakiye4145
@abdulsimbarakiye4145 Месяц назад
Miss. Sasha your so beautiful mummy. Bout jama hana mana nimeumia sana mummy
@user-kg2tm2eq7q
@user-kg2tm2eq7q Месяц назад
miaka miwili upo oman...Okkk haya hiyo tamthilia ya koneksheni Sinema zetu uli igiza lini dadaaa 😂
@RehemaMwango-xy8qo
@RehemaMwango-xy8qo Месяц назад
Nachekaaaa to kwa heka heka z omn shghara mie😂
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
😂😂 kumbe muigizaji basi hii imeenda
@ZalhathamohdSaid-qn4jj
@ZalhathamohdSaid-qn4jj Месяц назад
😂😂😂😂
@HoitherJesse-fc9se
@HoitherJesse-fc9se 12 дней назад
Umeenda😂😂
@user-ui4ve7jc6s
@user-ui4ve7jc6s Месяц назад
mwanamme duka languo mwanamke duka la vifaa vya pikipiki😂😂
@hamedatanzani6
@hamedatanzani6 Месяц назад
Ila huyo dada nimuongo 😂😂😂
@AminaOmary-sm4wl
@AminaOmary-sm4wl Месяц назад
Hakuna mkataba wa miaka mitatu hahahahhaah jaman
@hanifahkhamiss8485
@hanifahkhamiss8485 Месяц назад
Kwaio Omani karudi lin😂😂😂maana kafanyiwa interview na carry mastory baada ya mimi Mars kubadilishwa😂😂😂mpuuzi m1.....
@ednaallen3757
@ednaallen3757 Месяц назад
Kiredio wetu hana baya kabisa kabisa 😂😂
@bdvc7107
@bdvc7107 Месяц назад
Naisi apo kuna kik akitoka oman kweli miaka 2 uwez kumtumia milion 10 kwa mshahara bei gan yan
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk Месяц назад
Anaweza mana sikuiz Oman watu Kila mwez ijumaa wanatoka wengine wanajiuza
@gladsmwageni9049
@gladsmwageni9049 Месяц назад
Mishahara ni mizuri oman rial 100 hadi 120 yaani laki saba naa hadi laki 8 nachenji so inaweza ikawa ni kweli
@gladsmwageni9049
@gladsmwageni9049 Месяц назад
Harafu huyu ukimsikiliza ni kiki hajatoka oman wala nini 😅
@user-xw8om1qd1g
@user-xw8om1qd1g Месяц назад
Kuna ambao wanalipwa rial 200,dadaangu analipwa rial 200 ,sema nyiee mmeshakariri ubeki tatu tuu,kazi zipo nyingi,Kuna supermakert, saloon,shule kazi kibao
@Realme-xm3sh
@Realme-xm3sh Месяц назад
Alikuw anatak kuja mjin tu
@ghanimaalabri5783
@ghanimaalabri5783 Месяц назад
Kwanza alisema alimfumania na frenk yuko juu ya kitanda na nwanamke😂😂 ipo kazi kweli
@neemamboya99
@neemamboya99 Месяц назад
Lile bag halikuwa na zile stickers za airport zinazobanwa kwenye bag kuonyesha details za mtu. Pia halkuwa na kitu. Ni kiki
@user-pm5zi2cs7d
@user-pm5zi2cs7d Месяц назад
😂😂😂 Jamani Tanzania sihami nimecheka kwa sauti
@athumaniKazua
@athumaniKazua Месяц назад
Na pia milango aliotokea sio sahh😂😂mbwa huyu kingine wakati wanataka kuweka begi mbn anasema hili buti linafunguka alijuaje na ndo kwanzaaa gari kapanda diku ile
@RujaynaRashidi
@RujaynaRashidi 25 дней назад
Milion moja na lak6 kwa nyumb gan?.. ebu kwenda huko
@user-mo3wn6cc7h
@user-mo3wn6cc7h 15 дней назад
Ulivyomuita kiredio hukutaka apost mbna hukusema mapema asije na camera 📸😂😂😂😂
@HoitherJesse-fc9se
@HoitherJesse-fc9se 12 дней назад
Eti nyumba so ya hadhi ya laki moja na anashangaa sa kabla hajaondoka c aliiona mpaka anamleta kiredio 😂😂 n kwamba anapajua ase na mm nianze Kiki nijulikane niwe mwigizaji😂😂😂
@AgeCare-w2h
@AgeCare-w2h 27 дней назад
Kiredio akianza kiki za hivi asitulaumu badae tukiacha kumfatilia,alianza vizuri anelekea kujiharibia
@DevothaTheonas
@DevothaTheonas Месяц назад
Mbona kama kiki. siku zinavyoendelea nazidi kuamini hii kiki 😂
@soniahassan6769
@soniahassan6769 Месяц назад
Hii kiki mahi mtu anatoka nje na kibegi kama kile afu ajabu begi Haina hata sticker za mizigo
@DevothaTheonas
@DevothaTheonas Месяц назад
@@soniahassan6769 kabisa yani
@ashazuber6548
@ashazuber6548 Месяц назад
​@@soniahassan6769Si ndo hapo mahi wangu😂😂😂 yaan kwaza mtu anae toka nnje tulivyo na mihemko mabag matatu mawili😅😅😅😅
@soniahassan6769
@soniahassan6769 Месяц назад
@@ashazuber6548 wasituzalilishe wapambanaji wa oman hakuna siku hizi bwege anaehonga mwanaume
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i Месяц назад
​@@ashazuber6548mm mwenyewe nimeshangaa maana hpa kuna wang ana mipolo kma yote na bdo kuondoka yy kibegi kile chepesi.
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Месяц назад
Mnafaa mnípe maua yangu nilikoment sikuileile kuwa hii ni kiki ,,mimi najua kumsoma mtu kiufupi tu nina mashale
@JoyceLKisha
@JoyceLKisha Месяц назад
Mala Frank alipanga nyumba mbaya wakat yeye ndo alimpeleka kiredio na ukasema unapakumbuka
@mantoumm4448
@mantoumm4448 Месяц назад
Jamani dada muongo uyu ata Oman apajui
@Awaasha-cn6bx
@Awaasha-cn6bx Месяц назад
Kweli begi halikuwa na kitu hii. Ni Kiki wanatafuta follow follows. Huyo kiredio tushawajua uongo trend
@user-gb3sf9fy2u
@user-gb3sf9fy2u Месяц назад
Hata mm nimeshangaa mtu unatoka nje ya nchi na begi moja kweli
@Mwaguntobi-ip1yi
@Mwaguntobi-ip1yi Месяц назад
Alikuwa anaosha vyombo😂😂😂😂
@joycehaule9717
@joycehaule9717 Месяц назад
Haina shida swala ni kazi...
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 Месяц назад
Huyu ni Miongo Sio kwelii Hakwenda Oman wala nini.. Kama Mnakumbuka Ndio Yule Alosema Ruruuuuu Ramataa.. haya kaenda oman lini Mpk Akaa miaka 2... Walipanga hao Kwanza bag halikuwa na Stkaaa Bahna... Semaa Luluu na Sio Ruruuuu
@BerthaModest
@BerthaModest Месяц назад
Yani😂🙌
@CAPTAIN_GALAXY13
@CAPTAIN_GALAXY13 Месяц назад
ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁˢᴴᴱ ᴴᴱᴮᵁ ᴺᴵᴷᵁᴹᴮᵁᴷᴱ ᴺᴬ ᴹᴵᴹᴵ
@user-rb5hs3lq6v
@user-rb5hs3lq6v Месяц назад
Daah Nilikuwa nasema hii sura mbona kama sio ngeni😅asante kwa kunikumbusha ndugu yangu😂😂
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 Месяц назад
@@user-rb5hs3lq6v 🤣🤣🤣 Af'waan mpz Yaani wanatufanya Wajinga na watu Tunakumbukumbu...
@aminaramdan3283
@aminaramdan3283 Месяц назад
@@CAPTAIN_GALAXY13 🤣🤣🤣 Umesahau kipindi Lulu Amewekwa Jua kali.. Nenda kwa karma Story Yule Aliyehojiwa Akawa Anasema Ramata Amemuweka Ruruuu Yaani Alikuwa Akitumia RRR Nyingi sana. Kwenye L anasema R..
@madinarobert4944
@madinarobert4944 Месяц назад
Dada hii michezo😂😂katafuta namna ya kujulikana2
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Kujulikan wap alikuw oman kweli jinga hili
@britneyivy
@britneyivy Месяц назад
Million moja kwa nyumba ipi😂😂
@omarabulbustsalim531
@omarabulbustsalim531 17 дней назад
Si rahis atume Milioni10 😊
@ZulfatJalal
@ZulfatJalal Месяц назад
Mhhh jamn kiki hizi zitaua watu
@CossyKiria-fd6pq
@CossyKiria-fd6pq Месяц назад
Mbona kule kwa kiredio full mashungi huku ni hiv
@sharifahemed5253
@sharifahemed5253 Месяц назад
Kule s alikua anqigizq
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c Месяц назад
Dada muongo Sana. Pesa ya Omani mshahala wa kwanza ndohyo yote umetuma kwa hyo ulirudi hata mia huna😮😮
@sylivestermwasile4203
@sylivestermwasile4203 22 дня назад
Huyu fala mwongo kinouma ile nyumba ndo milioni mbili kweli wakati hata laki tatu haifikii
@RehemaSalum-vp6rf
@RehemaSalum-vp6rf Месяц назад
Uyu dada nae muongo tu
@umaima1178
@umaima1178 Месяц назад
Sana tena mwanzo alisema walikaa wote hiyo nyumba sasa anasema alimpa pesa sio ya kukaa hapo
@edwardchilewa6289
@edwardchilewa6289 Месяц назад
😂😂😂
@swaumuabdallah6886
@swaumuabdallah6886 Месяц назад
Jmn kigofu kile ndo milion 😅😅😅😅😅
@adamapollo9859
@adamapollo9859 Месяц назад
Eti sasha ni mfanya biashara😂😂😂wai wakati wewe ni shagla ulukuwa unaosha hamu mama😂😂wacha uwongo
@missfetty4173
@missfetty4173 Месяц назад
Iki kidada kiongo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@AishaMshamu
@AishaMshamu Месяц назад
Hiyo mi 10 ndo mshahala wa miak 2 namaan uyo uku alikaa kumudumia bwana tu kwaiyo uyu dada kaludi patup😢
@omanoman2044
@omanoman2044 Месяц назад
Hajarud kap sai rial ipo juu mwaka mmoja una milion 10 na lako 2 na pesa kidog yy kakaa miaka 3 kwa hiyo huyu ni mjinga tuy tusem hajielew pengine hata kwao gajajenga
@rukiammanyi-qm9iz
@rukiammanyi-qm9iz 27 дней назад
Huyu muongo muongo et nimekuta kapanga nyumba isiyo na hadhi niliyomtumia hela huku alinyooka moja kwa moja kwenye mlango na kusema nilimuacha apa mara kule kadi ya pikipiki mlisema Frank hapo umesema kadi ina jina langu mfyuuuu kwenda
@sofiasophia9018
@sofiasophia9018 Месяц назад
Dada kasha upata umaarufu tayari naulikua unamulaumu kiredio kwanini kapost
@fawzalbusayid7232
@fawzalbusayid7232 Месяц назад
Wandishi wa habari wachochezi🤣😂😊
@zainabramadhani9838
@zainabramadhani9838 Месяц назад
Kumuhudumia mwanamume lazima aje akupige tukio zito Kwa sababu mwanamke akuumbiwa kumuhudumia mwanamke
@Mojabo-qi7sv
@Mojabo-qi7sv Месяц назад
We tukome ww Kwanza ujui ata mkataba miezi mingapi una tafuta kk kupitia uongo wako ata Oman upajui😢😢
@user-oy2fi5qz9n
@user-oy2fi5qz9n Месяц назад
Hivi ile begi ndo la kutoka Oman? Mara nyumba nilikuwa naifaham Mara nyumba sio ya hela niliyokuwa namtumia
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i Месяц назад
Na nnvojua wanaondoka na ndundu hzo mibegi tleee mitumba yote
@crispingerald3000
@crispingerald3000 Месяц назад
Acha upumbamvu Yani kiredio asipost akose Hela we ulimuita wanin kiredio ana ishu privet uyu demu mpuz kweli kweli 😅😅
@claudbusumilo3979
@claudbusumilo3979 Месяц назад
Uongo huo umesema ulimuacha kwenye Nyumba na unapajua sasa tena unasema alipanga Nyumba sio ya hazi yako utatudanganya sana
@sanyaalone6180
@sanyaalone6180 Месяц назад
Ahsante kwa kuona hichi na wew
@ibrahimjuma9709
@ibrahimjuma9709 Месяц назад
Pwagu na pwaguzi poli lao moja mchukuane maisha yaendele ila tu muowane kila mtu amueshimu mwenzake😂😂😂
@JulithaOliva
@JulithaOliva Месяц назад
Kiki tu kwanza begi halikuwa na kitu ila kinawatu wanapata majanga kama hayo
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 Месяц назад
Kwnz hakua anatok Oman uyo
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i Месяц назад
Begi lilikua halina chochote lile
@rayahamisi118
@rayahamisi118 Месяц назад
Pia mkononi alikuwa ana karatas
@user-qs9bw4kw4q
@user-qs9bw4kw4q Месяц назад
Nimuongo huyo 😂😂😂 Oman ipi hiyo
@MaryamMaryam-sr8zp
@MaryamMaryam-sr8zp Месяц назад
Muongoo uyuataka umalufu maalufu
@muddywatown
@muddywatown 25 дней назад
Huyu anavyoongea2 unajua anautaka umaarufu sauti sio yake ebu rejea hapo kwenye bei ya kodi 😂😂😂
@ashazuber6548
@ashazuber6548 Месяц назад
Hiii lakin japo ni kiki watu wanapigwa matukio 😂😂😂😂😂😂ila Haya namtafuta wa kumuhonga simuon😅😅😅😅😅😅
@modestajamada3496
@modestajamada3496 Месяц назад
😅😅😅😅😅 umu oni
@ashazuber6548
@ashazuber6548 Месяц назад
@@modestajamada3496 simuon kwakweli wanapatikana wapi
@user-qs4sc7cp8q
@user-qs4sc7cp8q Месяц назад
Nimeisikiliza kwenye radio saloon kwangu mwanzo mwisho leo
@hanifasaidi8395
@hanifasaidi8395 Месяц назад
Mm sijaelewa chochote leo😂
@Mwaguntobi-ip1yi
@Mwaguntobi-ip1yi Месяц назад
Heeeh, ujinga haununuriwi😂😂😂
@soniahassan6769
@soniahassan6769 Месяц назад
Kiki tu kufanya maisha aaah
@maryammeme3203
@maryammeme3203 Месяц назад
Kweli yani hata siku ya kwanza unaona I muogo
@soniahassan6769
@soniahassan6769 Месяц назад
@@maryammeme3203 yaan wasanii bongo ujinga ujinga ndo mwingi
@RamlatyMkwata
@RamlatyMkwata Месяц назад
😂😂😂
@StellahJacob
@StellahJacob Месяц назад
😅😅😂
@LizzyTarimo-b7n
@LizzyTarimo-b7n Месяц назад
Lakini wanaume waache tabia ya kupenda kulelewa. Fanyeni kazi maana hata maandiko yasema mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu. So mwanaume asimame kwa zamu yake na mwanamke kwa zamu yake. Nyie wanawake mnaowapoteza wanaume wadogo kwa kuwarubuni kwa hela na Mali na mahaba mazito muache hiyo tabia ili waweze kujitafutia na kuanzisha familia zao.
@RAHELIDARABE
@RAHELIDARABE Месяц назад
Ndo alichokuwa anataka unamlipia nwanau😢chumba, unanunua pikipiki afya unakaa Oman miaka yote hiyo yaani unatakakeje hizo hela ungewapa wazazi wako siyo hao mbwa mwitu kwani umefunga naye ndoa?ndo akili zikukae mwanaume anayeweza kumfanyia hayo yote ni mume wa ndoa tu.😊
@ireneevaristo5552
@ireneevaristo5552 Месяц назад
Kule alisema miaka 3 huku miaka 2 mfyuuuuu Oman ametoka na kibag kimoja na mikucha kama msungo Labda alikuja kujiuza maana mabellah wamejaa wabongo wanauza nyuchi zao
@NasserAlhajri-ys6yr
@NasserAlhajri-ys6yr Месяц назад
Maabellah❤
@ireneevaristo5552
@ireneevaristo5552 Месяц назад
@@NasserAlhajri-ys6yr eehee wapo tele😂😂😂😂
@dignakanje4508
@dignakanje4508 15 дней назад
Yaani hwa wadada hawadada
@sharifahemed5253
@sharifahemed5253 Месяц назад
Kiki mbona😂😂😂😂😂
@HeryethAleck
@HeryethAleck Месяц назад
Huyu dada anaigizaga msitupige na kitu Kizito😅
@penuelmichael3374
@penuelmichael3374 Месяц назад
Hivi hawa wenzetu wanapata wapi hela zakuhonga wanaume😢
@FranklinHosea
@FranklinHosea 7 дней назад
Dada Kapata umaarufu uyu asaiv utashangaa anapost matangazo
@rohdaphilip2470
@rohdaphilip2470 25 дней назад
Jaman tulio oman tujuwane nataka kuuliz au ni mie jaman umekaa oman miaka 2 alfu ufike tu tz ety umpigie mtu cm jsmn huyu dada muongo kwanz rain inafungiwa alfu yy kafik na kupata vocha wapi?? alfu beg lake harin nembo jamn😂😂 Hata mkomba hana 😂😂
@ImeldaMyinga
@ImeldaMyinga Месяц назад
Kwa hiyo mnatuigizia sio asantee kwa kutumalizia mb zetu
@nurumwinyi796
@nurumwinyi796 Месяц назад
😂😂😂
@user-pi6lb6nx3m
@user-pi6lb6nx3m Месяц назад
Hii ni kiki mnafiki huyu harafu bado anatamka Ruru badala ya lulu mara business fwuuuu😊
@abdalahaby3658
@abdalahaby3658 Месяц назад
Wewe pia umeandika harafu badala ya halafu 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@mariamhelen7808
@mariamhelen7808 Месяц назад
Aiseee huyu dada nimuongo sana hakua oman
@fatmamohammed8346
@fatmamohammed8346 Месяц назад
dada muongo mpak kuelezea hawezi ovyoooo kabisaaa
@yassinchuwa8824
@yassinchuwa8824 Месяц назад
Kiredio kakupeleka mjini dada
@batulialmass8914
@batulialmass8914 Месяц назад
Dada ni muongo uliku unalipwa bei gani Oman eti miliion 3 kwa miezi mitatu kwenda huko
@Mwanah-cg3ie
@Mwanah-cg3ie Месяц назад
Et jmn muongoo uyu
@user-dx6dm6lh1i
@user-dx6dm6lh1i Месяц назад
Hyo uwongo kweli
@Mwanah-cg3ie
@Mwanah-cg3ie Месяц назад
@@user-dx6dm6lh1i et jmn ela iyo iyo Kodi boda Duka bd ipo bank bd amenunua car jmn 😂😂
@miriammseke
@miriammseke Месяц назад
😂😂😂😂muongo jmn tulioko oman tunamshangaaa😂😂😂😂khaaaaa dada acha uongo miaka miwili umtumie mwanaume alafu ww ukarudi na sh ngapi
@saidmanjuti7441
@saidmanjuti7441 Месяц назад
huyu dada muongo jaman hahahahahahahahahahahahah
@stelladaudi9206
@stelladaudi9206 Месяц назад
Muongo huyu miaka miwili oman ndo unaludi ka kibegi kama kile alafu eti hera aliyokuwa anatowa nitafauti na nyumba alio kuwa amepanga wakati anadayi alikuwa amemuacha pale pale na alikuwa anapajuwa muongo tu
@sharifahemed5253
@sharifahemed5253 Месяц назад
Ajui kama tunafatilia maisha ya watu.....Muongo uyo mdada
@user-wz2wi6tx9g
@user-wz2wi6tx9g Месяц назад
Watu wengi wanao enda Omani wanakazi nyingi wengine wanauza mwili wanafanya kazi saloon na wengine kazi za ndani kwaiyo huwezi jua kama alikuwa anafanya kazi wap
@salomecassian3715
@salomecassian3715 Месяц назад
😂😂😂😂😂hapo sasa
@nasrafarjallah6691
@nasrafarjallah6691 Месяц назад
Nyumba ya million 1.2 ni ip???😂😂😂😂
@RamadhaniKitala-gx6wc
@RamadhaniKitala-gx6wc Месяц назад
Huyu hajawahi fanya kazi oman mimi ni mkaguzi hapa airpost Dar hajawahi kutoka wala kirud
@MonnaPonda
@MonnaPonda Месяц назад
😂😂😂😂😂
@KeiOmaromar
@KeiOmaromar Месяц назад
Mwana kulitafuta mwana kulipata 😂😂😂wenzio tunamek ela zetu ww unahonga 😂😂😂😂make kwnz ncheke😅😅
@merinazyd0532
@merinazyd0532 Месяц назад
Kiki tu ovyo sana huyu dada
@noreen2654
@noreen2654 24 дня назад
Huyo mwongo mbona frenk anasema duka la nguo?
@irenembura8045
@irenembura8045 Месяц назад
Huyu ni Muongooooooo
@SalimaOman-hz1mi
@SalimaOman-hz1mi Месяц назад
Muongo sana uyu dada
@adamapollo9859
@adamapollo9859 Месяц назад
Jitu zima ovyo😂😂
@irenembura8045
@irenembura8045 Месяц назад
Kwa sababu picha alivyotoka Oman na kisanduku kimoja tuu kidogo😢
@hawamafuru6791
@hawamafuru6791 Месяц назад
huyu anaigiza bwana sio kweli katoka omani😊
@irenembura8045
@irenembura8045 Месяц назад
Uongo sehemu nyingine umejikoroga!!
@user-ze3zw4dq4r
@user-ze3zw4dq4r Месяц назад
Wee wat tuk omn hatujasikia msharah wa million 3
@abc-en3em
@abc-en3em Месяц назад
Mmh pale kodi ni million 😂😂😂
@noreen2654
@noreen2654 24 дня назад
Aache ushamba yeye anamkasirikia kiredio kwani yeye kiredio alijipeleka pale mwenyewe? Huyo asijishaue.
@JoyceLKisha
@JoyceLKisha Месяц назад
Nimeacha kuamin kaz za kiredio
@nassirabas
@nassirabas Месяц назад
😂ukiangalia kwa undan huyu dada huko oman alikuwa anajiuza mana hakuna msichana wa ndan akalipwa pesa nyingi oman na tena amekaa miaka 2 hakuna maendleo ya miaka 2 na pia skia alichosema mwanzo kabla hajaondoka amempangia nyumba na alipajuaje kwa frank pesa alipata wap wakat mitaji yote alimfungulia frank wakat yupo oman huyu dada anataka kupelekewa moto na wasanii hajapata kikiiiii 😅
@user-np6ti8lh7v
@user-np6ti8lh7v Месяц назад
Uyu dada nimuogo
Далее
KACHUKUA MPENZI WA MWENZAKE Pt2
8:59
Просмотров 190 тыс.
BIBI HARUSI MATATANI KUACHIKA KABLA YA HARUSI
11:32
Просмотров 156 тыс.