The mboni show hiii ndio naiona leo nimecheka halafu nimelia Sana Wallah....naomba weka mwendelezo wake please dadaangu daahhh nimemiss kumuona babu yetu huyuuu Allah amlaze pepa katika jannatul firdaus....
Najua mungu hana rohombaya ila sisi binadamu tunaroho mlaya sana kwakweli kila jambo analo lifanya mungu kwa binadamu lina sababu yake mungu atakusimamia katika maisha yako yote inchallah