Hongera mamii,hongera sana,wakati ulishafika mamii...Barikiwa sana!Mungu ni mwema,achana na maneno ya watu!usiishi kwaajili ya watu mrembo wangu,ishi maisha yako .
Da mboni nakupenda sana na hongera sana wanaokusema sijui umechelewa kuolewa wao sio mungu mwenyewe na saka pesa kwakwenda mbele mume ataletwa na Allah sitaki kukipilia ndoa eti kisa fulani kaolewa nataka niolewe nikaisha na huyo atakae kuja sio kuolewa tamaa mwishoe ndoa inakushinda
Mboni miaka ni namba tu izo kikubwa nikujitakicare nakujipenda,Mungu akusimamie kwenye ndoa yko,kweli usiolewe kisa miaka mshilikishe Mungu ,Mona uko vizuri kwenye interview ilove it
Miss Kideleko au Handeni, Masimba ni mjomba wangu alikuwa anaishi vibaoni njia panda ya kwenda kideleko, ila sidhani kama ni Masimba wa Mboni ingawaje siwajui ndugu wengine wa mjomba Masimba zaidi ya mama mkubwa wana Majuma, na sijaishi Tanzania miaka mingi mno.
Jamani mtu akae akijua akipata furaha ni faida yake mwenyewe na akizungukwa na huzuni ni hasara yake mwenyewe kwa hiyo mtu chagua maisha yako unayoona yanakufaa hapa duniani hakuna dunia nyingine.
kuna hizi media huporosha kizazi kijacho kutokana na wanayoangazia, but hii mboni atleast wameup the game. TZ, tendo ni sawa ratiba ila kuwe na kukubaliana si mmoja aamue.
Miaka 40 lakin bado kama mika 18 mfananishe huyu na gigy .....bado mboni upo mdogo tu wa gigy au wengine .....hongera sana..hata mona huzeeeki nakuombea nawew upate mume mwema