Pole sana binti kiziwi. Umejifunza kutokana na makosa. Na umewafumbua macho watu wengi wenye uchu wa mali. Hongera pia mtangazi Mboni kwa mahojiano mazuri
Hii interview imenigusa kuliko zote alizowah kufanya bint kiziwi, hongera da Mboni, pole mdg angu hilo ni funzo Kubwa ktk maisha yako sidhan kama utarudia kufanya tenaa hiyo kitu Mungu akusimamie
Nashindwa kuelewa hadi sasa nchi za nje wanapohotaji mkalimani wa kiswahili ni lazima achukuliww mkenya hivi kiswahili wa tz hawajui ama wakenya ndo wamahiri zaid
Subra ni kitu kikubwa sana. Nan angejua baada ya miaka 10 ungetoka ukiwa mzuri kuliko zaman. Tusikate tamaa ukipita kwenye jaribu lolote kuwa na subira
Mbona kama nimchina mchina kangozi kazuli ungefungwa gereza za Tz tungekupotea Ali yauchimi sasaivi bola ungebaki uko uko tu kuenderea kujifunza kushona
Tamaa mbaya, faida yake ndiyo mi sioni sababu ya kukusikitikia mana ulifanya kwa makusudi kutaka kuharibu wengine kwani ulikuwa ujui madhara ya madawa wangekupa kama 20years
@@lisasalum2462 Asa matusi ya nini na Dada wa watu kaongea kitu true hivi angetusua hapo angetuangaliaje uswazi kama sio kwa kujimwambafai zaidi Tena hata iyo 20 midogo akomeeee Maisha ndo yanakufanya uharibu watoto wa wenzio mbona sie tunauza vitumbua na maisha yanaendelea tamaa zake tu
Sikilizeni nyie.. Siku zote tunaambiwa Usishangirie kabla refa hajatoa maamuzi. Ikiwana na maana usifurahie ingawa bado mapema... Hujui lini yatakukuta. Msianze kushusha lawama ikiwa hayajakufika. Bora mnyamaze tu.
Ndio nyie nyie mnatiwaga tu vidole nyumbani yani kula kulala hakuna unachoelewa tuliza kisimi fala wewe...... mtu ana omba msamaha na kujutia makosa yake wewe mkundu unakuwasha nn mnakera wasenge
@@lisasalum2462 hakuna tusi jipya labda likageuza mbingu au likazima jehanam hapo msamaha Anamuomba Muumba wake ila ukweli utabaki kwamba akomeeee angetutusua huku uswahilini tusingekunywa maji Tena akomeeee angepata Ata kifungo cha maisha hakuna maajabu Kuna mtu anaeomba msamaha kabla halijamkuta angewin angeomba msamaha msituchoshe hapa Tunauza vitumbua tumepanga vyumba tunasomesha watoto na maisha yanaendelea hebu tupishane hapaaa