Тёмный
No video :(

“ALI KAMWE SIO BOSS WANGU” MANARA AVUNJA UKIMYA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 48 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 91   
@Luganoamos-jv5in
@Luganoamos-jv5in Месяц назад
Manara lazima akubali kuwa boss ni Mr Ali kamwe😂
@ireneseth
@ireneseth Месяц назад
Hpn tuachie alikamwe wetuu
@williamsaulos8769
@williamsaulos8769 Месяц назад
#Ustaadh Haji karibu tena kwenye kuisemea timu yetu.Wapinzani wako na wa Yanga wanakuogopa saana,na ndio maana wanajaribu kukuzuia kuisemea timu yetu kwa visingizio mbalimbali.Mtu mjuzi mkubwa wa mpira wa Tanzania,Afrika na Dunia.Timu yetu inapata mafanikio makubwa tena ya mfululizo lkn inakosa mtu wa kuisemea kwa nguvu na kwa takwimu.Nina heshimu waliokuwepo lakini kuna kona wanaitaji sapoti kusema ukweli.#Njoo Haji,karibu Haji.💪🤝🙏
@kwisa4899
@kwisa4899 Месяц назад
Huyu jamaa kufanya nae kazi sio rahisi kwasabu mjuaji juaji sana kuna siku alikua ana mu outsmart Baba yake sasa sembuse Ali kamwe
@alexkakwaya4383
@alexkakwaya4383 Месяц назад
Viongozi wa Yanga ni vema kuwa waangalifu na Manara. He is a chaotic by nature. Vinginevyo, mgogoro wa magoma una afadhali.
@charlesmwambinga4355
@charlesmwambinga4355 Месяц назад
Kiutalatibu Unasubilia Kupangiwa kazi na Mwajili wako...Eng Hensi Ndo anatakiwa aseme majukumu yako huezi kuja tu na Ku resume majukumu 😂😂😂😂😂
@mtulivu-ir1nq
@mtulivu-ir1nq Месяц назад
😂😂😂😂😂😂 neno limeelezewa masaa manne ujue limemuingia😂😂🙌🙌
@shigetemteremko7551
@shigetemteremko7551 Месяц назад
🎉🎉
@OWENGODFREYSIWALE
@OWENGODFREYSIWALE Месяц назад
Tunakukubali Sana mwamba The return of heroooo
@HamidaOmar-ub4kb
@HamidaOmar-ub4kb Месяц назад
Naona kazi umekuwa kubwaa😮😮😮
@walidmaguha7487
@walidmaguha7487 Месяц назад
Kwani lazma urudi kwenye mpira yakhe😂
@rubbenmabuga3058
@rubbenmabuga3058 Месяц назад
Sijapenda kabisa mimi. Mie nataka ali kamwe aendelee na majukum yote
@mwajumaseifu216
@mwajumaseifu216 Месяц назад
Mimi shabiki wa simba hila kamwe ni mtu wa watu
@ezekielhaule364
@ezekielhaule364 Месяц назад
Manara kuballi kuwa chini ya Ali Kamwe. Usije kuleta mgogoro usio wa lazima
@user-zm3ei8tt6h
@user-zm3ei8tt6h Месяц назад
Kwan we ndo unawapangiaa kazi
@IddiHassani-s9j
@IddiHassani-s9j Месяц назад
Hap saw
@bbclondonulimwenguwasoka6126
@bbclondonulimwenguwasoka6126 Месяц назад
Tofauti na kuropoka na matusi , Manara na Kamwe ni ardhi na mbingu. Manara ni moto sana
@chamyluna8030
@chamyluna8030 Месяц назад
Hapo yanga ndio wanazidi kuongeza migogoro
@user-lb1nr2fw7t
@user-lb1nr2fw7t Месяц назад
Iyo kitaalamu tunaita kazini kwa manara kuna kazi😅😅😅
@stevenhassan269
@stevenhassan269 Месяц назад
Manara njoo Simba
@ramadhaniraphael6955
@ramadhaniraphael6955 Месяц назад
Sisi kama yanga hatukutaki manara
@BerthaEdward
@BerthaEdward Месяц назад
Sisi wangapi sema Wewe 😂😂 Ndio humtaki sio wote😂😂
@robertchugu7932
@robertchugu7932 Месяц назад
Sasa wewe humtaki mdhamini anamtaka, utaweza 😂😂
@MysarahMohamed
@MysarahMohamed Месяц назад
Usinisemee mm tafadhali
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 Месяц назад
Mm pia simtaki, kiherehere huyu! Ameshaanza kujipa majukum mwenyewe hapo😂😂😂
@christophercostancio5185
@christophercostancio5185 Месяц назад
Sema ww sio sisi
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 Месяц назад
Acha kujipa majukumu ww! Subiri upangiwe kazi na Eng. Ali Kamwe yuko vzuri na mbunifu sn. Amewapa wachezaji heshma na ikasaidia timu kufanya vzuri misimu miwili. Ww mkorofi mkorofi tangu upo Simba, mbele utakuja kulizua lingine.
@Amplifiedtz
@Amplifiedtz Месяц назад
HAJI Ulikuwa bench ila uwe na adabu
@user-uh7to2kw2z
@user-uh7to2kw2z Месяц назад
Tafuta kazi nyingine tuachie ali kamwe wetu
@OWENGODFREYSIWALE
@OWENGODFREYSIWALE Месяц назад
Manara oyeeeeeeeeee
@martinemaganga5253
@martinemaganga5253 Месяц назад
Hapo Leo umeongea vizuri Sana,Ally Kamwe ni Afsa Habari wa Yanga na wewe Manara uliluwa msemaji na mhamasishaji wa yanga,ila wewe haukuwepo yanga muda mrefu ni vyema ukasubiri upangiwe KAZI na kiongozi wa yanga
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 Месяц назад
We Kafanye TU Kazi Nyingine!!
@marrymwinuka3105
@marrymwinuka3105 Месяц назад
Tusema unwell Ally kamwe ndiye aliyefiti nikijana uyu mzee atarudi kuleta miugomvi tu .namafaini yatakuwa kibao
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn Месяц назад
Safi haji manara wa ni gwiji la wasemaji wa vilabu alafu unajitambua Sana safi Sana kwa majibu yako
@DevotherLeonard
@DevotherLeonard Месяц назад
Tx😅 it
@user-fb9yd9vn2w
@user-fb9yd9vn2w Месяц назад
Huyu anaugomvi na ali sasa ngoja tuonee
@ajuayekilindi4401
@ajuayekilindi4401 Месяц назад
Mwamba afyngiww tena ameshaanza kelele zake
@jifunzeinadvance1782
@jifunzeinadvance1782 Месяц назад
Watu wanatakiwa kujua tofauti ya Majukumu ya Afisa Habari na Msemaji wa club.
@emmanuelmayunga1518
@emmanuelmayunga1518 Месяц назад
Huyu anawaletea mgogo utopolo mda si mrefu,,Ali kamwe hana raha tena
@eliashelyongolo4123
@eliashelyongolo4123 Месяц назад
Wasemani watatu dhidi ya mtambo wa maneno
@abdillahhassan6271
@abdillahhassan6271 Месяц назад
Naona kama unalazimisha kufanya kazi na yanga haliakuwa uwongozi haujakutangaza
@BabuuBar
@BabuuBar Месяц назад
Kumekucha 😂😂😂
@user-pv3ip3uk2s
@user-pv3ip3uk2s Месяц назад
Jaman ali wetu itakuaje sas
@Mumewangu
@Mumewangu Месяц назад
Huyu ndie aliesema Kule yanga wenye akili ni wawili tu. Kikwete na baba yake. Leo hii anaenda kwa wale aliowazarau jamani mdomo
@mwitajohn4882
@mwitajohn4882 Месяц назад
Wavuruge tu😊
@theson1987
@theson1987 Месяц назад
sanuka Haji Simba
@abdillahmchia8557
@abdillahmchia8557 Месяц назад
Ukumbwi
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z Месяц назад
Ao damu zao haziendani😊..afu wako timu 1 adi laa😊;chanzo ni uyo ally simba kugoma kumtetemekea uyo mzungu wa kibongo....(anapenda kusujudiwa) ally we kaza ivo ivo
@feliciankabasa8995
@feliciankabasa8995 Месяц назад
Umekomea peke yako leo taarifa haina mvuto
@othmankhalfan9675
@othmankhalfan9675 Месяц назад
Hapo mmenukuu “ALI KAMWE SIO BOSS WANGU” lkn ndani yake hamna sehem haji manara amesema hvyo.. Media jmn tuacheni uswahili uswahili..
@hassanmitayo1875
@hassanmitayo1875 Месяц назад
Ameonyesha atakavyokwenda kuvuruga kitengo cha habari, afisa ni mkuu kuliko msemaji, huyu apangiwe idara ya uhusiano vilabu kimataifa kama ipo
@onesmomashembo8495
@onesmomashembo8495 Месяц назад
Manara una jeuri sana lazima ufungiwe tena siku si nyingi
@evancemoevt8597
@evancemoevt8597 Месяц назад
Mbona Unatumia Nguvu Kubwa Sana Kujieleza!???😂😂😂😂😂
@yahomeshopllc5950
@yahomeshopllc5950 Месяц назад
HUYU JAMA HAENDE AZAM FC PLEASE
@ladislausmoris9638
@ladislausmoris9638 Месяц назад
Huyu maisha ayake yatakuwa ya kufungiwa funguwa maana hana sitahaa ata kdg anaropoka sana hadi anakela
@abuu-bakarshaaban6246
@abuu-bakarshaaban6246 Месяц назад
Sisi Kwa sasa Manara hatuna tena shida nae tutaendelea na vijana akina Ali kamwe ww Manara uwe kiongoz Ila sio msemaji
@user-zm3ei8tt6h
@user-zm3ei8tt6h Месяц назад
Sisi yanga tunasajili wazeee na wasemaji wetyu ni wazeee.. vijana bakieeni nao nyie makolo
@MTUMZIMADAWA
@MTUMZIMADAWA Месяц назад
Manara umeanza
@ziadamuhunzi6210
@ziadamuhunzi6210 Месяц назад
kuna makolo wana comit humu tuwe makini sana sisi wenyewe tunawapendaa wote wanaosimamia kitengo cha habari na hawa wote ni brand ytu
@williamsaulos8769
@williamsaulos8769 Месяц назад
Kumbe umewatambua makolokwinyo.#wanamuogopa sana huyu mtu.Wanamuhitaji yule wanaemuweza.Halafu wana Yanga,tunawaacha hawa jamaa wawe wengi kwenye comments kwanini ndugu zangu!
@salumually4447
@salumually4447 Месяц назад
Wakwanza mm
@rajabrwambow9660
@rajabrwambow9660 Месяц назад
Viongoz huyu akafanye Kaz Huko GSM kitengo Chochote hata Cha kuosha vyombo ally kamwe yupo vzr amuache
@ALBERTNyemba-uk3fr
@ALBERTNyemba-uk3fr Месяц назад
Acheni ugombanishi wote hao ni waajiriwa wa young African. Sasa hiyo ya mflani boss wake flani inatoka wapi,,,boni ni mmoja tu GSM.nb.Acheni kutengeneza chuki sio vema.
@zakaria924
@zakaria924 Месяц назад
Mafuta na maji lazima Vijitenge na hujulikana, ngoja tusubiri chanya na hasi zikitoa cheche!
@kellynsemiti1665
@kellynsemiti1665 Месяц назад
We ni mnafiki sana tunakujua utampiga figisu uyo dogo mpaka ubaki peke ako
@faridaamenye8405
@faridaamenye8405 Месяц назад
Binafsi namkubari Ali kamwe
@diva_20162
@diva_20162 Месяц назад
Kunywa maji mengi sana umeongea point 👉👉
@dafrosamonko8254
@dafrosamonko8254 Месяц назад
Kamwe
@nickmoshi8243
@nickmoshi8243 Месяц назад
Huyu atasumbuana na Ali kamwe we subiri tu
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Месяц назад
Huyu jamaa hamnazo kabisa. Anatakiwa kuripoti kazini ili apangiwe Kazi. Kama atapewa Kazi ya usemaji sawa lakini pia anaweza kupigwa chini pia Yanga ni kubwa kuliko yeye asije kutuharibia huyu ni chai ya rangi.
@Marjeby
@Marjeby Месяц назад
Kama mie ndiye Ally Kamwe siwezi kukubali kufanyakazi na huyu jamaa ni fitna sana atamfitini Ally hatoamini huyu jmaa hatakiwi kurudi yanga Jamani
@DainessKongela
@DainessKongela Месяц назад
Simpendi uyu zeruzeru tatizo anajiona mjuajiyeyetu
@yusuphlean417
@yusuphlean417 Месяц назад
Alikamwe utaanza bench, mwenye yanga yake kashawasili
@Yuleyule-u6c
@Yuleyule-u6c Месяц назад
KWAHIYO ALLY KAMWE SIYO RAFIKI YAKO?
@jamaliahmadi1383
@jamaliahmadi1383 Месяц назад
Sisi kama yanga hatumtaki alikamwe
@halimamwingu4478
@halimamwingu4478 Месяц назад
Kwanza ulitakiwa uwe kimya usibiri kupangiwa kazi na sio kuanza kujipa majukumu! Unajuaje km ww utakuwa msemaji wakati yupo msemaji Ali Kamwe na ww umetoka kifungoni??? Mm binafsi hapana, we urudi Simba tu sikuamini 😅
@kassidpandu866
@kassidpandu866 Месяц назад
Huweza kufanyakazi na Ali kamwe binfsi wewe una ugomvi nae physical
@sadickbakari3678
@sadickbakari3678 Месяц назад
Picha linaanza
@Yuleyule-u6c
@Yuleyule-u6c Месяц назад
Rudi zako simba usituvurugie kitengo chetu cha habari hakuna sehemu pasipo na uongozi aidha uwe dogii wa ally kamwe au urudi simba ulipotoka.
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 Месяц назад
Tafuta chaka yanga hatukutaki
@jamaliahmadi1383
@jamaliahmadi1383 Месяц назад
Alikamwe hatumtaki amuache Manala apige kazi
@user-cq4lp5rv1l
@user-cq4lp5rv1l Месяц назад
Kajifunze kuandika kwanza
@andrewkaswagula3367
@andrewkaswagula3367 Месяц назад
Mdogo mdogo kwa majirani yetu kumeanza kufuka fuka.. Sisi SIMBA tupo paleeeee tunazooom.
@ramadhaniraphael6955
@ramadhaniraphael6955 Месяц назад
Hatukutaki manara wewe mchochezi tuachie alikamwe kijana mchapakazi we nenda katafute ajira hata ihefu
@elizabethchikoti3534
@elizabethchikoti3534 Месяц назад
Ki ukweli mm sio yanga lakini Ali kamwe ni mchakazi pili hawezi kuelewana na manara ni mfitini sana huyu baba ngoja tuone kwa nn ajitabgaze yy mwenyewe pasipo waajili wake mbaya sana huyu anataka kumchanga dogo
@jellysazaina8491
@jellysazaina8491 Месяц назад
Yanga ukiangalia kwamakin na kama una d 1 utaelewa kuwa viongoz wake awana akali ya kuendesha krabu zaid ya miemko tu NIMENUKUU KWA MZEE MAGOMA😁😁
@ferdinandikubila3669
@ferdinandikubila3669 Месяц назад
Ww na magoma akili wote sana za kuku
@WestChoma01
@WestChoma01 Месяц назад
Sasa kama kuandika Kiswahili haujui akili unatoa wapi, kapambane kwanza kujua kusoma na kuandika
@jeremiahcharles6027
@jeremiahcharles6027 Месяц назад
Kwa sasa jamaa kapungua U STAR
@jrm9448
@jrm9448 Месяц назад
Kichoko Ali Kamwe kitaingia mitini sasa hivi
Далее
ПРИКОЛЫ НАД БРАТОМ #shorts
00:23
Просмотров 760 тыс.