#Ustaadh Haji karibu tena kwenye kuisemea timu yetu.Wapinzani wako na wa Yanga wanakuogopa saana,na ndio maana wanajaribu kukuzuia kuisemea timu yetu kwa visingizio mbalimbali.Mtu mjuzi mkubwa wa mpira wa Tanzania,Afrika na Dunia.Timu yetu inapata mafanikio makubwa tena ya mfululizo lkn inakosa mtu wa kuisemea kwa nguvu na kwa takwimu.Nina heshimu waliokuwepo lakini kuna kona wanaitaji sapoti kusema ukweli.#Njoo Haji,karibu Haji.💪🤝🙏
Acha kujipa majukumu ww! Subiri upangiwe kazi na Eng. Ali Kamwe yuko vzuri na mbunifu sn. Amewapa wachezaji heshma na ikasaidia timu kufanya vzuri misimu miwili. Ww mkorofi mkorofi tangu upo Simba, mbele utakuja kulizua lingine.
Hapo Leo umeongea vizuri Sana,Ally Kamwe ni Afsa Habari wa Yanga na wewe Manara uliluwa msemaji na mhamasishaji wa yanga,ila wewe haukuwepo yanga muda mrefu ni vyema ukasubiri upangiwe KAZI na kiongozi wa yanga
Ao damu zao haziendani😊..afu wako timu 1 adi laa😊;chanzo ni uyo ally simba kugoma kumtetemekea uyo mzungu wa kibongo....(anapenda kusujudiwa) ally we kaza ivo ivo
Kumbe umewatambua makolokwinyo.#wanamuogopa sana huyu mtu.Wanamuhitaji yule wanaemuweza.Halafu wana Yanga,tunawaacha hawa jamaa wawe wengi kwenye comments kwanini ndugu zangu!
Acheni ugombanishi wote hao ni waajiriwa wa young African. Sasa hiyo ya mflani boss wake flani inatoka wapi,,,boni ni mmoja tu GSM.nb.Acheni kutengeneza chuki sio vema.
Huyu jamaa hamnazo kabisa. Anatakiwa kuripoti kazini ili apangiwe Kazi. Kama atapewa Kazi ya usemaji sawa lakini pia anaweza kupigwa chini pia Yanga ni kubwa kuliko yeye asije kutuharibia huyu ni chai ya rangi.
Kwanza ulitakiwa uwe kimya usibiri kupangiwa kazi na sio kuanza kujipa majukumu! Unajuaje km ww utakuwa msemaji wakati yupo msemaji Ali Kamwe na ww umetoka kifungoni??? Mm binafsi hapana, we urudi Simba tu sikuamini 😅
Ki ukweli mm sio yanga lakini Ali kamwe ni mchakazi pili hawezi kuelewana na manara ni mfitini sana huyu baba ngoja tuone kwa nn ajitabgaze yy mwenyewe pasipo waajili wake mbaya sana huyu anataka kumchanga dogo