Warioba ameyasema haya wakati akitoa mada wakati wa Kongamano la hali ya demokrasia nchini lililoandaliwa na Kituo cha Demokrasia (TCD) katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Inaonekana wewe akili zako zinashidaa. Au ndio umekufa umeoza na chama chako. Ndio maana akili yako imekuwa addicted kwayo ya chama chako. Mzee huyu ni tunu ya taifa. Amefanya makubwa Sana. Mungu azidi kumuweka hai na nguvu ili aendelee kutupa hekima zake. Nyie watoto wan 90 hamjui lolote. Ni mkumboo tuuu, mkizeee uzee wenu utakuwa wa hovyo sanaaaaaaa