Abuu nuaymi ameeleza watu hao na Abuu zagari ameeleza pia kwa kunukuu yale yaliyoruswa kwenye magroup ya hao wlengwa . Fatilia humu humu audio zimo utajua kinachoendeleaa. Allah amrehemu Abuu Muawiya.@@ABUUBAAZNYUNGU
@@z34-kp9qq nimemkopi nani hayo ni maneno ya waswahili na wanayatumia Illa wewe kwa chuki zako kwa huyo unaaedhinia nimemkopi unasema kwa dhana acha kudhinia dhania