Тёмный

𝗛𝗜𝗚𝗛𝗟𝗜𝗚𝗛𝗧𝗦: YANGA VS RED ARROWS | PACOME ALIVYOSEPA NA KIJIJI | DUKE ABUYA WEKA MBALI NA WATOTO 

Yanga TV
Подписаться 705 тыс.
Просмотров 94 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 92   
@mwajayhaxxan5507
@mwajayhaxxan5507 2 месяца назад
Itoshe kusema tuna kikosi bora saaana msimu huu,,,Allah atufanyie wepesi tuweze kutetea mataji yetu na kufika mbali kwenye mashindano ya CAF. Kila la kheri wanajeshi wetu pamoja na benchi la ufundi, Ukawe msimu bora saanana wenye mafanikio
@amaniomar1755
@amaniomar1755 2 месяца назад
Ameen
@salumudaimu4093
@salumudaimu4093 2 месяца назад
Na wachezaji wetu wasipate majeraha
@reginaldmapunda6702
@reginaldmapunda6702 2 месяца назад
Amina
@kyflavour
@kyflavour 2 месяца назад
Amin
@EmmanuelChrispian
@EmmanuelChrispian 2 месяца назад
Professor Ni mmoja Duniani Fundi wa Ball PACOME
@amaniomar1755
@amaniomar1755 2 месяца назад
Mungu akaliongoze benchi letu la ufundi lowezi kukitumia kikosi vizuri. Mzize mwenye kipara anakuja vizuri... 🎉🎉🎉
@beatbyrich2891
@beatbyrich2891 2 месяца назад
Abuya ameleta kitu kipya kabisa Yanga ambacho hakijakuwepo kuanzia alivyokuwa Nabi. Jamaa ni Attacking Midfielder
@josephlyakurwa
@josephlyakurwa 2 месяца назад
Na anajiamini kupiga mashuti ya mbali, na akikutana na dead ball anaweza kupiga kama Azizi Ki. Msimu huu mambo yatazidi kuwa 🔥
@filbertnyoni2352
@filbertnyoni2352 2 месяца назад
Kwlei kaka wewe unajua mpira
@Richimageme
@Richimageme 2 месяца назад
Noma sana yanga hih👍💚💛
@mozzymbise2871
@mozzymbise2871 2 месяца назад
Yanga bingwa 🎉
@NeemaAkyoo-s4s
@NeemaAkyoo-s4s 2 месяца назад
Nimeangalia mpka mwisho itoshe tu kusema golkipa wao ndo alistahili kuwa man of the march dah vinginevyo hasingekuwa imara wangeoga goli5 na zaid
@upendodaima8406
@upendodaima8406 2 месяца назад
Kweli kabisaa
@MathieMagata
@MathieMagata 2 месяца назад
Boka🙌🙌🙌
@MauBonde
@MauBonde 2 месяца назад
Kikosi kiko vizuri ila utulivu unahitajika sana umaliziaji nafasi ya mwisho ,love u yanga...daima mbele.
@josephgalandu128
@josephgalandu128 2 месяца назад
Pacome hatari sanaaaaa
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Andambwile ajue yupo yanga
@abdallayunnus3475
@abdallayunnus3475 2 месяца назад
Amn inshaallah mungu atusimamie atupe wepesi timu yetu na atupe nguvu tuchukuwe makombe yote
@PriscaBenjamin-ub7lu
@PriscaBenjamin-ub7lu 2 месяца назад
Prosser n mmoja tu
@forcomedian
@forcomedian 2 месяца назад
Si hitaji laik wananchi wenzangu tununue jezi tuichangie yanga yetu💚💛💚💛💚💛💚💛💪💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💪💛
@JamesSambaLengedi
@JamesSambaLengedi 2 месяца назад
Wananchiiii hoyeee 👍👊👊👊👊👊💪💪💪💪💪💚💚💚💚💚🏆🏆🏆🏆🏆
@JUU-lw2je
@JUU-lw2je 2 месяца назад
Pacome anajua mpira jaman
@tmcproduction123
@tmcproduction123 2 месяца назад
KAZI nzuri
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 2 месяца назад
Tunaomba highlight iwe ndefu jmn 😊
@ArnoldRwegasira-hp9gt
@ArnoldRwegasira-hp9gt 2 месяца назад
Yanga tamu
@ProsperJustine
@ProsperJustine 2 месяца назад
Fantastic goal
@oscarahia3264
@oscarahia3264 2 месяца назад
Great performance my team
@ahmedalsaadi7108
@ahmedalsaadi7108 2 месяца назад
Nipo nausubiri Alhamis 😊
@NaftaryMgoye
@NaftaryMgoye 2 месяца назад
Game lilipigwa wananchi tuliitika kila la heri Yanga 💚💛🏆
@MichaelJohn-k9t
@MichaelJohn-k9t 2 месяца назад
Yanga ni 🔥 alihamia linakufa jitu
@Gthekingtiger10
@Gthekingtiger10 2 месяца назад
Kwa hii tim kuna siku watu watatokey mlango wa nyuma na wasiludi😅😅😂
@G.J-vp6fb
@G.J-vp6fb 2 месяца назад
💚💛💚💛💥💥💥
@fakigomvu4133
@fakigomvu4133 2 месяца назад
Jamaa wanakipa sio pow
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Wapiga faulo Sasa 😂AZIZ KI ,CHAMAJR ,BOKA mamae SHEKHAN
@GinnahEmmanuel
@GinnahEmmanuel 2 месяца назад
Hatuna baya!
@NyasweMgendi
@NyasweMgendi 2 месяца назад
💚💚💚💚💛💛💛💛
@ShiitaMisambo
@ShiitaMisambo 2 месяца назад
Kwa Kikosi chetu kwa ujumla hatuna mpinzani mwaka huu
@GeraldMichael-t3o
@GeraldMichael-t3o 2 месяца назад
Yanga bingwa tena
@shaibusaady2420
@shaibusaady2420 2 месяца назад
Allaah Akbar
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Hii nmeangalia 😂😂utafikili live
@BoscoPunisher
@BoscoPunisher 2 месяца назад
noma
@josephgalandu128
@josephgalandu128 2 месяца назад
Simba atapigwa nyingi saaanaaaa
@radhiamussa1629
@radhiamussa1629 2 месяца назад
Pia kocha afanyie kazi makosa yaliyojitokeza kwenye goli la kwanza Aziz andambwile alishindwa kuruka na ikawa rahisi kwa mfungaji kupiga kichwa pila shida
@boniphacemsafiri
@boniphacemsafiri 2 месяца назад
Na tunajua hawana kipa wa kutoa michomo ya hatari kama hii sasa tarehe 8 wanaweza kula 11 au tisa maaana kipa kacheza hasa
@blackvirus8740
@blackvirus8740 2 месяца назад
😂😂😂😂😂duuuh 11
@boniphacemsafiri
@boniphacemsafiri 2 месяца назад
@@blackvirus8740 kwani uongo
@robertchazya2351
@robertchazya2351 2 месяца назад
Daah.. goli 7 hizo tumekosa
@MalinoKadwame-u1c
@MalinoKadwame-u1c 2 месяца назад
Waaaaoooo
@FatumaKitambuu
@FatumaKitambuu 2 месяца назад
🎉🎉🎉🎉
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Khomeni khomeni 😅😅😅😂😂😂angelia
@alisalmin512
@alisalmin512 2 месяца назад
MUDATHIR ANGEFUNGA 3 .MLINDA LANGO WAO AKO SAWA
@vi3ayo1622
@vi3ayo1622 2 месяца назад
Pacome 1 ni sawa na viungo wote wa mpira tz😂😂😂😂
@chrissantkaunda9958
@chrissantkaunda9958 2 месяца назад
Pacome hatari sana asee
@shedadiabdul654
@shedadiabdul654 2 месяца назад
💛💚🖤💛💚🖤💛💚🖤🔥🔥🔥🔥🏅🏆💪
@LidyaManingi
@LidyaManingi 2 месяца назад
Pacome kwanza namkubali naogopa mchezaji anadesign fulani ya uwekaji mikono nyuma ogopa😅
@nesbitmiriti4366
@nesbitmiriti4366 2 месяца назад
Aliefunga goli la arrows ana miaka 23 kweli 🤔🤔🤔😅😅😅😅.
@julianasimon5518
@julianasimon5518 2 месяца назад
Huyu goll kipa hakuna namna yoyote rais 😂😂😂, ye ndo kawaokoa wangekula nyingi sana
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Duke 😂😂duke
@YohanaMalando-cp8ub
@YohanaMalando-cp8ub 2 месяца назад
😮 mkjkk
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 2 месяца назад
Ushindi wa makubaliano😅😅😅😢
@Ommywhity7
@Ommywhity7 2 месяца назад
Game ya nguvu ila mtangazaji iyo saiti atukusomi kasauti laiiiiiniiiiii
@rogersiddy
@rogersiddy 2 месяца назад
Mimi Yanga ila hii card ♦️ hapana aisee sijalubaliana nayo kbs aisee
@peterjairours7194
@peterjairours7194 2 месяца назад
Acha zako unazifahamu sheria za mpira wewe, mchezaji ukiwa nje ya pitch na madaktari wamefika hutakiwi kuingia uwanjani mpka akuruhusu refa ndo maana hata madaktari hawaruhusiwi kuingia uwanjani kabla hawajaitwa na refa wakiingia wanapewaga kadi nao, we husikii watangazaji wanasema hii kadi kajitakia, ilitakiwa aombe ruksa aingie ndo akae sasa yeye kaingia wakati refa karuhusu mpira
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Kwa jezi tu mmeuwaaa😂😂😂utafikili vidude mmetupa Kwa mkapa
@MirumbeMarwa-eo2yl
@MirumbeMarwa-eo2yl 2 месяца назад
Kila hatua dua
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Ila azizi ki Sasa 😂😂😂alishangiliaje ivo
@hamisiomari6181
@hamisiomari6181 2 месяца назад
Huyu goalkeeper alibeba timu sana ila wangefungwa hata 8
@ramakinjoi4063
@ramakinjoi4063 2 месяца назад
😂😂😂 yeah,ni kweli kabisa gk alijitahidi Sana.
@hamisiomari6181
@hamisiomari6181 2 месяца назад
@@ramakinjoi4063 labda hio siku alilala mgonjwa 😆😆😆
@ramakinjoi4063
@ramakinjoi4063 2 месяца назад
@@hamisiomari6181 🤣🤣inawezekana,mana sio Kwa mashuti Yale Moto moto 🤣🤣
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Hii tabia ya matoboo
@rehemanyika7652
@rehemanyika7652 2 месяца назад
Ongeza dakika 30 au saa1
@mwajumampokileomckapela7541
@mwajumampokileomckapela7541 2 месяца назад
Kabisa wanaweka fupi mno
@gwamakamwankenja1685
@gwamakamwankenja1685 2 месяца назад
Tunaomba mtangazaji wa mechi awe anachangamka akua kama anatusimulia hadisi ilitakiwa mzinga
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Tarehe 8 sio poa😂😂😂
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Timu zfanyeee mazoez mamaaaee😂😂😂yaan BOKA kamgusa tu jamaa kafa ghafla
@afterfull-time1348
@afterfull-time1348 2 месяца назад
Utopolo walikamatwa kooni ikabidi wajadili ili ushindi upatikane😅😅
@ashamkesa979
@ashamkesa979 2 месяца назад
Komen cjakuelewa acha asihala
@SalvatoryMtunga
@SalvatoryMtunga 2 месяца назад
Hujui mpira, huyo mchezaji alipewa njano mara ya kwanza baada yakupata hasira na kuudundisha mpira kwa nguvu, pili aliumia akiwa nje ya kiwanja, kwa kujifanya refa haoni akabingirika uli atibiwe uwanjani kitu ambacho siyo sahihi hivyo kadi ya pili na kilichofuata ni red card. Sasa wewe unayejifanya shabiki wa yanga unapinga nini? AU WEWE KOLO?.
@HajiHaji-v9f
@HajiHaji-v9f 2 месяца назад
N
@abubakarnabahani4994
@abubakarnabahani4994 2 месяца назад
Hii red card... ?😂😂
@JoshuaAshery-u3x
@JoshuaAshery-u3x 2 месяца назад
Ucmfananshe pacome na vtu vya ajb
@omarybashiry5930
@omarybashiry5930 2 месяца назад
Fundiii
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
BOKA ni beki???
@ShawnBeatz
@ShawnBeatz 2 месяца назад
Hao hata hawajulikani😂😂😂 maans diarra anataka nafasi ya mzize😂
@HashimuMohamed-ts9so
@HashimuMohamed-ts9so 2 месяца назад
Uyo boka hatar
@NyasweMgendi
@NyasweMgendi 2 месяца назад
💚💚💚💚💛💛💛💛
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Khomeni khomeni 😅😅😅😂😂😂angelia
@chollejr_
@chollejr_ 2 месяца назад
Duke 😂😂duke
Далее
Как не носить с собой вещи
00:31
MAGOLI YANGA 4 - 1 AZAM FC| MNARA WA 4G UMESIMAMA
8:28
JAMBAZI SUGU LILIVYOULIWA
7:39
Просмотров 721 тыс.
The Day Ronaldinho Became a Barcelona Legend
15:14