Тёмный
No video :(

🅻🅸🆅🅴 SUGU, MSIGWA WAWEKWA MTU KATI SHUHUDIA MDAHALO HUU 

JAMBO TV
Подписаться 914 тыс.
Просмотров 43 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 272   
@bahatadof5543
@bahatadof5543 Месяц назад
Waooooh kaka,we ni mtu na nusu sugu.
@aloycemisigalo3983
@aloycemisigalo3983 2 месяца назад
Hapo mmeonesha ukomavu mkubwa wa kisiasa, ila kiukwel wote mko vizuri, nimependa sana hii.
@thomaskiponda6079
@thomaskiponda6079 2 месяца назад
ÌNGEKUWA CCM WANAJIGEUZA CHAWA KWA MTU MMOJA HII NDIYO CHADEMA TUNAYOIJUA❤❤❤
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 2 месяца назад
Mdahalo huu kwa kweli ni meupenda hongera sana
@leocadianjau7410
@leocadianjau7410 2 месяца назад
Natamani hii midahalo ifanyike kwa viongozi wote wa kanda tutapata watu wazuri sana kuinua utawala bora hadi level ya chini kabisa
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 2 месяца назад
Mjadala haukuwa wa afya
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 2 месяца назад
Tuache makundi ya hivyo ili tushinde uchaguzi wa serikali za mitaa mwako 2024 na uchaguzi mkuu 2025. God Bless Us - CHADEMA
@bahatadof5543
@bahatadof5543 Месяц назад
Kweli sugu upo vizuri kaka yangu,me nakuaminia,kumbe sugu uliona huyo Mzee anaenda kuindoka,saafi sana sugu
@nzagiherman1628
@nzagiherman1628 2 месяца назад
Mdahalo mzuri sana. Tunapata wasaa wa kuelewa thinking, goals na the end... Nafurahi sana kuwasikiliza mnavyorespond hoja na maswali.
@frankSamwel-rg3lz
@frankSamwel-rg3lz 2 месяца назад
Midahalo kama hii ina stimuleti thinking. Big up chadema na Act wazalendo kwa kuliona hilo
@user-jt4lo1og8w
@user-jt4lo1og8w 2 месяца назад
Hii ndiyo demokrasia ya kweli, big up chadema❤❤❤❤❤
@PelleSamky
@PelleSamky 2 месяца назад
Hongera sana Naiona Nuru Chadema Mungu awabariki sana na wakubali
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 2 месяца назад
Chadema bigup sana kwa njia hii inawajengea uwezo zaidi chadema
@mcongomakete1664
@mcongomakete1664 2 месяца назад
Asante sana kwakufafanua hapo maana mh msigwa anapotosha uma
@wemakyagunya1895
@wemakyagunya1895 2 месяца назад
Uongozi ni kazi sana aisee inataka roho ya Bwana wa Mungu iwe juu yako. Hapa Sugu na Msigwa wanapamhana kupata tu nafasi ya Uenyekiti wa kanda tu aisee kwa kweli ni kazi saana.
@isayakihongile4921
@isayakihongile4921 2 месяца назад
Haya ndiyo mawazo huru ninayoyataka yanajenga yanamuamsha kiongozi asibweteke nipo na Sugu
@user-un8si7wk1z
@user-un8si7wk1z 2 месяца назад
Hii debate ni excellent. Wamefanya vinzuri ĝ
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 2 месяца назад
Ni mapema mno. Lazima uzijue siasa za Africa ndugu yangu. Tusiige wamagharibi kila kitu.
@noeljacob9644
@noeljacob9644 2 месяца назад
Ila maswali ya Odemba yamenyoka sana🙌🙌🙌🙌
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 2 месяца назад
😂😂
@shinjemsuka1822
@shinjemsuka1822 2 месяца назад
Sugu ana hoja za kitoto sana, comedians
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 2 месяца назад
Sio kweli ila nimependa mdahalo huu
@Fesary
@Fesary 2 месяца назад
Na ameshibda; Sugu anaongea simple lakini strong
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 2 месяца назад
Hoja za Kitoto kama??
@AronsMugisha55
@AronsMugisha55 2 месяца назад
Mko vzr sana Chadema
@user-vz4xv7lg3x
@user-vz4xv7lg3x 2 месяца назад
Hii ni nzuri sana....hata atakaeshinda atajua ana kazi ya kufanya na si kujibweteka tu!!
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
Sana, walioshinda watimize majukumu yao kwa bidii na ubunifu mkubwa kwa mujibu wa katiba. Congratulations for the voted leaders, all are winners
@user-vz4xv7lg3x
@user-vz4xv7lg3x 2 месяца назад
@illomowerner7690 sure, they have a great job to do!!
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 2 месяца назад
Huko ndiyo kushindana kwa hoja,mwisho wa siku mmoja akishinda mnapongezana. CHADEMA safi sana.
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 2 месяца назад
Ndg yangu hapa ni kuangushana sio kushindana ndani ya Chama halipaswi hili maana baada ya huu uchaguzi mmoja Kati Yao ataanguka kisiasa sayansi ya siasa haitakiwi Chama kimoja viongozi wawili tena wa ngazi za juu kufanya hayo madhara yake ni makubwa Sana ndani ya Chama kisiasa
@user-so9fo5tv3j
@user-so9fo5tv3j 2 месяца назад
Mdahalo mzuri sana
@AronsMugisha55
@AronsMugisha55 2 месяца назад
Chadema mmekuwa mfano mfano mzr one mnavyofanya mdahalo live ili kumpata kiongozi bila mizengwe aise hii ni demokrasia ya hali ya juu sn. Safi sana vyama vingine viige mchakato huu wa kupata viongozi
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 2 месяца назад
Kanda ya Nyasa mnawatu wazuri sana mimi nawashauri wajumbe wawape wote, maana simwoni wakumwacha.
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
hahahaaaas
@user-so9fo5tv3j
@user-so9fo5tv3j 2 месяца назад
Well said Mchungaji Peter Msigwa.
@othannmpoli9896
@othannmpoli9896 2 месяца назад
You have show us, the meaning of democracy keep it up !!! May be next time….,.!
@dismasmtui729
@dismasmtui729 2 месяца назад
Safi sana CDM
@ignasmwamwenda3154
@ignasmwamwenda3154 3 месяца назад
Msigwa, kwenye ngorongoro mmmmh, ulijikwaa
@jamessoke4454
@jamessoke4454 2 месяца назад
Safi Sana kwa mdahalo mzuri
@respiciusmugezi8645
@respiciusmugezi8645 2 месяца назад
Mimi sijui sana siasa lkn ninachokiona kwa Msigwa ni mtu ambaye anajua kujieleza vizuri na kujitetea ya wezekana hiyo ni kalama yake,ila kwa utendaji sio mzuri
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 2 месяца назад
Uko vzuri
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 2 месяца назад
Uko Sahihi Msigwa anakipaji Chakujieleza Vizuri sana
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 2 месяца назад
Kweli ndugu msigwa anajua SN kujieleza kujibu hoja lkn UTENDAJI hajui sn pili huwa anajua yy yupo superior than others tatu hajui miiko na mipaka na yake na viongozi wake alinukuliwa akipingana na makamu mwenyekiti hadharani ni kosa lile
@JoseHaule-tx7lu
@JoseHaule-tx7lu 2 месяца назад
Safii kabisa hiyo ndio democrasia
@edomukiluswa2262
@edomukiluswa2262 2 месяца назад
Msigwa kuhusu jambo la ngorongoro ni kama ulikuwa CCM, Jaribu Tena kujisahihisha kulingana na Imani ya Chama chako, Kuhusu lugha jaribu kupunguza kingereza, Watanzania walio wengi utawaacha nyuma hivyo ujumbe wako kutowafikia Sawa sawa
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
Muungwana ni vitendo, hoja nzuri @edomukiruswa
@josephmantago2837
@josephmantago2837 2 месяца назад
Nawaomba viongozi wangu wapongezane wao kwa wao mi nawakubari wako vzr hawawezi kufanana ndo maana ya democrasia atakaeshinda tumeshinda wote chadema kizazi kipya cha kuhoji Mungu ibariki chadema na watu wake
@user-oo3qw8ns7g
@user-oo3qw8ns7g 2 месяца назад
Congrats msigwa, freedom of opinion
@costamasuba1099
@costamasuba1099 2 месяца назад
Pamoja siyo mzoefu wa siasa ,ila mfumo wa kifikiri ndio engine ya Kila jambo,wote hao wanamazuri na madhaifu ,ila mchungaji ni mbobevu kwenye leadership,sugu ni hodari wa kumobilize watu,sugu he have to lean more.
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 2 месяца назад
Mh Msigwa nakukubali sana ila hapa naona Mh Sugu ana nafasi kubwa ya kushinda.
@user-xi2mf4xh7r
@user-xi2mf4xh7r 2 месяца назад
Nyie ni maswaiba nawajua na kiukweli mko vizuri maana tunhitaji hoja kamili kama hizi,wote mko vizuri kimawazo tunawatakia heri ktk uchaguzi.
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
Bonge la hoja, unajitambua
@user-zg4yz7je8d
@user-zg4yz7je8d 2 месяца назад
Chama kinakuwa sasa zamani chama wanachaguaana tu sasa ivi mtifuano
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 2 месяца назад
Mpeni ushindi sugu sugu ameshinda huu mdahalo
@dunstankihaa2383
@dunstankihaa2383 2 месяца назад
Chief Odemba ni hbar nyingne kwa wanahabar
@V24hrs
@V24hrs 2 месяца назад
Kumbe waliokimbia walikosea sana
@user-uz9mw1ie6z
@user-uz9mw1ie6z 2 месяца назад
Level ya mh. Msigwa ni level ya mh. Lema ; mh. J. Heche lkn mh. Sugu Bado una muda kujifunza na kukomaa ili ifike hapo alipo mh. Msigwa. Ombi langu kwa mh. Msigwa endapo Chama kitakupitisha usiwe na kinyongo juu ya kundi la sugu. Mh. Sugu ana hasira na na tamaa ya Uongozi nadhani Kuna watu wanachama wanamdanganya kua anaweza kuvaa viatu vya mh. Msigwa Imani yangu km mpenzi wa CHADEMA Bado mh. Sugu anahitaji kujifunza mengi kupitia kwa mh. Msigwa. Maswali mengi kwa mh. Msigwa wamekua na hoja dhaifu zinazoweza Jenga mgawanyiko ndani ya taasisi tunayoipenda tuipendayo CHADEMA na kua mh. Sugu alipanga watu kumsaidia ktk mdahalo huo. Mm ni miongoni mwa wa-tz na wapenzi wengi wa CHADEMA tunaoamini kua mh . Msigwa Bado ana uwezo ; na anafaa kuendelea kua m/kiti wa Kanda ya NYASA. Mh. Sugu endelea kumuomba MUNGU akupe hekima. Uongozi hautaki fitina Bali hekima ya MUNGU inahitajika. Mh. Sugu na kundi lako ktk mdahalo huo mmetusononesha sn wapenzi wa demokrasia. Kuna watu nawaheshimu na wameshiriki ktk mdahalo huo lkn kwa hiki kilichotokea Leo ktk michango Yao ilijipanga km ngome ya mh. Sugu nadhani wengi tumekua na mashaka km kesho wanaweza kufikiliwa kua VIONGOZI wetu !
@frankatilio
@frankatilio 2 месяца назад
Kabisa Yan mpka nimeshangaa msigwa ana hoja lakin nimeaamin alichosema lissu
@user-cu9mj3xj8x
@user-cu9mj3xj8x 2 месяца назад
hapa hakunademocrasia wamepangana kumung,oa kumbukeni.mhemko si utendaji ,dhambi hii haitawawachasalama, msigwatokahuko. hufananinao,
@wilfredmdemu611
@wilfredmdemu611 2 месяца назад
Cm nao wafanye mdahalo kama huu tutaona vioja kwa kweli
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 2 месяца назад
Kweli kabisa hata wakati wa ukoloni shule zilikuwepo chini ya miembe na watu walipata elimu ndo waliopata elimu wamejenga shule
@komboarts7110
@komboarts7110 Месяц назад
Sugu swala la kilimo umejibu kwa Utulivu wa maono
@AnithaQueen-jc6wt
@AnithaQueen-jc6wt 2 месяца назад
Msigwa yuko vizuri sugu akae pembeni kwa heshima ya chama
@johnmakundi9877
@johnmakundi9877 2 месяца назад
Chadema mko vzur hongera kwa mabadiliko
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
Big post
@PaulKabungo
@PaulKabungo 3 месяца назад
Safi Sana
@finiasmaengela2996
@finiasmaengela2996 2 месяца назад
Mjadala mzuri Sana
@elishampoki8751
@elishampoki8751 2 месяца назад
Nakubali
@YaeLondon-xy7sh
@YaeLondon-xy7sh 2 месяца назад
Msigwa apishe nainatosha kama amejenga chama na mboye
@deodathsilayo3639
@deodathsilayo3639 2 месяца назад
Chama kingine kiige hiv Kama wataweza
@conradjunior5940
@conradjunior5940 2 месяца назад
walianza ACT hii
@ambitiousholyspirit395
@ambitiousholyspirit395 2 месяца назад
Chadema ni chama kikubwa sana kinakuabsiku Hadi siku.
@user-gy3bv7nm7d
@user-gy3bv7nm7d Месяц назад
Msigwa mjanja mjanja tu hana jipya atulie tu amuache sugu nae
@omegamwasenga9823
@omegamwasenga9823 2 месяца назад
Msigwa anapaniki, twende na Sugu nyasa.
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 2 месяца назад
Katika huu mdahalo nimeamini sasa kuwa sugu ni mwanasiasa mkubwa sugu ameshinda huu mdahalo
@NyangiMarwa
@NyangiMarwa 2 месяца назад
Mdaharo mzuri sana ila siku nyingine boresheni sauti
@williamshehemba7224
@williamshehemba7224 2 месяца назад
Hii ni kitu nzuri sana CCM WAIGE HILI KWA ULIMWENGU WA SASA
@MsifuniMahenge
@MsifuniMahenge 2 месяца назад
Tumpe sugu Kwa Sasa nyasa msigwa miaka kumi imetosha
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 2 месяца назад
Msigwa mdahalo umekushinda yaan hauleeweki
@safarimashimba5080
@safarimashimba5080 2 месяца назад
Hot soup!
@user-ig7tb1cf8z
@user-ig7tb1cf8z 2 месяца назад
Wana ccm tuingie tujifunze Chadema mambo mema si vibaya kuviiga.
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 2 месяца назад
Msigwa tayari umetumika mwachie sugu aongoze nyasa
@Aminmwansile-we8vn
@Aminmwansile-we8vn 2 месяца назад
Msigwa umeferi kwenye huu mdahalo
@leodgardotmar7198
@leodgardotmar7198 2 месяца назад
Honestly mbilinyi level yako ni ya chini yaelekea unapendansana mambo ya majungu na ya mtaani
@leodgardotmar7198
@leodgardotmar7198 2 месяца назад
Sugu nchi haijengwi kwa connection ni policy
@1xbetagent24hrsnicolous3
@1xbetagent24hrsnicolous3 2 месяца назад
Msigwa kujipa sifa umekwama acha watu wakupe sifa Pili tuhuma simekuchafua Pili unajibu kwa hasira ambayo na jaziba usilazimishe mambo wakati umebugi stape Nipo nasugu
@mcongomakete1664
@mcongomakete1664 2 месяца назад
Mbona anajikanusha miaka 10 sio mzaha kama hakuna sampo ya miaka 10 umeshindwa
@LuciaAgustino-pt5mg
@LuciaAgustino-pt5mg 2 месяца назад
Muzingwa uko vizuri sana
@DenisKagine
@DenisKagine 2 месяца назад
Msigwa very nice,
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 2 месяца назад
indigenous • \in-DIJ-uh-nuss\ • adjective. 1 : having originated in and being produced, growing, living, or occurring naturally in a particular region or environment 2 : innate, inborn.May 12, 2024 Msigwa Hapo au hajui au Kapotosha, Indignous Haina Maana ya Suti au Nyumba Ina Maana (Watu wa Asili wa Mahali, Iwe wana Suti au rubega) Wamasai ni Indiginous wa Maeneo hayo.
@raphaelmchilo-kx4tt
@raphaelmchilo-kx4tt 2 месяца назад
Jamani msigombane ndani yachama
@karenstephen8738
@karenstephen8738 2 месяца назад
Nilikuwa najua yale ya wamasai yatamfuata Msigwa pole hili litakuangusha trust me bro check your arrogance
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
Great prediction @karestephen
@shukuruphanuel1729
@shukuruphanuel1729 2 месяца назад
Msingwa ni Kiongozi, Wanachama wa CHADEMA waamue vizuri. Wakichagua vibaya watapotea
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
Acha kuwapangia wajumbe nani achaguliwe, wapigakura watachagua kiongozi wao kutokana na mahitaji yao ikiwepo vipaumbele vyao. Isitoshe wote bado wataendelea kufanya kazi za chama hata kama si viongozi, aliyekwambia mtu akidondoka kwenye kura hafanyi kazi za chama? Acha akili mgando
@ThobiasMarandu
@ThobiasMarandu 2 месяца назад
Not Impressed by anyone!
@justusngonyani165
@justusngonyani165 2 месяца назад
Kiongozi mmoja kubaki madarakani muda mrefu hakuui demokrasia.Akikubalika hata milele
@karenstephen8738
@karenstephen8738 2 месяца назад
Good! Hiki ndicho chama cha siasa bhana
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
Kweli kabisa kamanda, umehoji na kutoa mawazo yako kizalendo... materialistic
@geraldgedi4657
@geraldgedi4657 2 месяца назад
Msigwa P. you are so strong you deserve what you have and you will win this battle on 29.5.24
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
UKO wapi @regnald Let's know about your prediction whether is has gone okay or not😂
@HenryKasaje-on4xq
@HenryKasaje-on4xq 2 месяца назад
Safi sana
@V24hrs
@V24hrs 3 месяца назад
Aliwaita nyumbu kwakuwa nyie ni nyumbu kweli. 😂😂
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
Huna akili
@user-cu9mj3xj8x
@user-cu9mj3xj8x 2 месяца назад
mbna ofisi hazikosehemu nyingisana katka w,namikoani hakuna, mh msigwa mulango upo.wazi ccm njooo,wakikukata,kamakweri kunademocrasia. na nafasi ya uenyeketi taifa ufanyike mdaharo
@nicasissa
@nicasissa 2 месяца назад
Msigwa is a big brain
@Simulizitulivuu
@Simulizitulivuu 2 месяца назад
Daaah ila Msigwa 💪💪💪💪💪
@onesmomasala-rg2wd
@onesmomasala-rg2wd 2 месяца назад
Mdaahalo mhim kati msigwa na mbilinyi
@clarencelazaro9600
@clarencelazaro9600 2 месяца назад
In fact Msigwa tena
@mwl.elishafredrickmwambeng8921
@mwl.elishafredrickmwambeng8921 2 месяца назад
Msigwa ni genius sana.... I wish angekuwa ndani ya CCM tushuhudie potential yake ikiwa full taped
@lusajomwaipopo5042
@lusajomwaipopo5042 2 месяца назад
Ccm hamuwapi watu wenye pontetiol nafasi
@mwl.elishafredrickmwambeng8921
@mwl.elishafredrickmwambeng8921 2 месяца назад
@@lusajomwaipopo5042 ni kweli mkuu ndipo tunapofeli kama Chama.... Tunaenda Kwa kujuana zaidi kuliko Nini mtu anajua....
@finiasmaengela2996
@finiasmaengela2996 2 месяца назад
Nimegundua msigwa kinachomsumbua ni suala la wamasai 😂
@bahatadof5543
@bahatadof5543 Месяц назад
Kwa hiyo ofisi hazina maana,wakitaka kukuona watakukuta wapu sema mchungaji unachemsha
@fredymkanza
@fredymkanza 2 месяца назад
CCM wajifunze mdahalo kama huu
@samsonsanga4368
@samsonsanga4368 2 месяца назад
Kweny jibu la nyumbu mch umejib vzr san.
@success-only
@success-only 2 месяца назад
Kipepeo msigwa mbona anapanic ? Kuna wakati msiwa ataisaliti chadema Ulishabikia na kuungana na ccm kuwafukuza wamasai ngorongoro
@user-ne1ni8cp4b
@user-ne1ni8cp4b 2 месяца назад
Chill bro msigwa
@LuciaAgustino-pt5mg
@LuciaAgustino-pt5mg 2 месяца назад
Musikwazane wote moo vizuri kisiasa katika taifa letu
@user-xc5ie8cp7o
@user-xc5ie8cp7o 2 месяца назад
Chadema mnasema mnasimamia demokrasi mbona mwenyekiti wenu habadilishi madaraka
@balljmushi9599
@balljmushi9599 2 месяца назад
Tatizoo,,ni moja tuuu,,,UCHU WA MADARAKA.
@davidndaha9607
@davidndaha9607 2 месяца назад
Apa nakubali kiongozi sio kuchaguliwa tuu ila kupewa charenge kesho akishindwa wanamwacha!.
@user-sm7gj4mn5n
@user-sm7gj4mn5n 2 месяца назад
Mdahalo mzuri ila chama changu chadema muoache kutumia mabavu pia tumia maoni ya watu nawakumbusha kwa lowasa pia naona chama kingefumliwa juu
@HaryPoter-zw7vr
@HaryPoter-zw7vr 2 месяца назад
Tumpe Sugu kura Zetu, Mchungaji msigwa aeleweki,mmetutukana,pili ameunga mkono kufukuzwa Kwa wamasai
@WilfredRweyemamu-rp5re
@WilfredRweyemamu-rp5re 2 месяца назад
Alishawahi kuunga mkono juhudi za mr prdnt asubuhi alafu jioni akapinga.dable standard.😅
@boneyme9433
@boneyme9433 3 месяца назад
Chadema let VITENDO.
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 2 месяца назад
Kama Naona mpasuko furani hivi but is good for Chadema ✌️
@GeraldNyasembe-q2d
@GeraldNyasembe-q2d Месяц назад
Mmhh kumbe msigwa alisapoti CCM kufukuzwa kwa masai
@NNONGWA
@NNONGWA 2 месяца назад
Mdahalo huu unamzika Sugu na kuiua Chadema Mbeya na wote wanaomuunga mkono.
@boniphace1
@boniphace1 2 месяца назад
Hii dhana ya kusema maendeleo siyo vitu bali ni watu ni mtego utakao toa good excuse ya kutowajibika. Ni kweli hatuhitaji vitu kama majengo, miundo mbinu n.k?
Далее