Tukiondoa tofauti ya vyama, sisi sote ni watanzania, Serikali itoe tamko tusitekane kwa itikadi tukajenga visasi vya kiitikadi kati yetu. Kwa kuwa watekaji ni watumishi wa serikali ya ccm, Na watekwaji ni watu wa vyama vya upinzani, Serikali iliondoe hili kwa kauli thabiti ilihutubie taifa na kupiga marufuku vyombo vya usalama kuteka wananchi,ili raia tuamini kwamba hakuna mkono wa serikali katika utekaji. Serikali ikiendelea kukaa kimya na kugeuza utekaji kama mambo ya kisiasa kuna hatari kubwa ya kuwafanya wananchi kutekana kati ya wanaoteka,na wanaotekwa.
Nyerere na wakina piusi msekwa na jaji warioba ingawa toka zamani sasa warioba anaipinga anaiona sio katiba ya kwendana na maisha yasasa ukizingatia tuko mfumo wa vyama vingi ila majambazi wachache wenye uroho wa madaraka ili waendelee kuneemeka na familia zao
MUNGU TU NDIYE MLIPA KISASI WA KWELI NA ANAYESIHILI. MLILIENI MUNGU NA KUMUOMBA AWALIPIYE KISASI AMINNI. KABISA MUNGU ATASHUKA NA KUWAPIGANIA ANASUBIRI MUMUOMBE TUUUKWA JINA LA YESU KRISTO AMIN AMIN
Kweli unafaa sana kuwa msaidizi wa Tundu Lisu. Hongera sana . Nami naitamanj hiyo Tanzania unayoelezea . Mungu akupe maisha marefu uioe hiyo Tanzania "mpya"
Ccm mnasikia hata nyinyi mnauzwa .hasara inayo patikana wote mtalia tena sana tena watekaji ni watanzania tumejisahau mfano munyampara akiwa jera anajiona yeye siyo mfungwa.anapiga wenzake anapewa buti mkanda sare anajiita mimi munyampala. Hivohivo mnatuteka mnasahau kuwa tunapigania haki zetu sote kuna siku mtakumbuka
Tanganyika na Zanzibar ziliungana na kutengeneza jamhuri ya Muungano wa TANZANIA badala ya kutengeneza kitu inaitwa Muungano wa Jamhuri ya Tanganyika na Zanzibar
Kwa taarifa yako juma huyo unaye msema tutamkumbuka kwa kuuza aridhi na mali zetu kwa waarabu hilo tu ndo tutamkumbuka nje na hapo hatokumbukwa kwa lolote hivyo usimfariji
MASAOUNI ,Dr.MMWINYI ,NCHIMBI, LUGOLA,hayo yakuppewaa,Sierro, waliopewa posti hizo ,nichai kwao na CCM ,HONGERA YA Mwinyi kwa kazi Nzuri za kuwalpua WAUWA MSHO ,salipewa URAISI ZNZIBA .... CCM OYEEEEEEEE
Kiukweli anachokieleza kiongozi huyu wa chadema nakiona kuna mantiki na Mungu anajambo la muhimu na nchi hii .Mungu tunusuru na ukatili unaofanywa na watu wasio na hofu ya Mungu . Inusuru nchi hii katika wimbi la siasa ya uhasama tuwe pamoja na viongozi watende haki. Kuwe na hofu ya Mungu waache uovu
Ndugae alishasema Mama anauza Tanganyika japo hata yeye alikuwa shetani nusu malaika na sasa yanatimia Mama kizimkazi anatuza tukiwa na Mgovi yetu ya bara!
Wadau acheni huu msemo wa kusema Tz ina amani, hakuna mwenye amani, Tz kuna uvumilivu tu na sio amani , elewa amani inatoka moyoni, tofautisha amani na utulivu ndio mseme tz ina amani, tunahitaji katiba mpya mchana kweupe.
@@user-vl4rz6lf6d yaani kama hujui tumeibiwa tembelea migodini nani wamiliki nenda Loliondo na kifaa utambuzi kitakuambia uko katika ardhi ya Emirates nenda bandarini utamkuta DPW misitu si yetu ni ya wageni nyumba za serikali ziliuzwa kwa bei ya bure waliozinunua wameziuza kwa billions gas si yetu ingawa iko nchini yote aliyoacha Nyerere tumeuza au kugawa bank kubwa ya NBC iliyokuwa mpaka vitongojini tuliiza kwa billion moja upo Tanzania na huyajui haya tuko mbioni kuuza mwendokasi subiri nawe uuzwe ndiyo utavuta shuka kumbe kumekucha
Hata kama mngefanya jpm alikuwa hashikiki,mtu wa haki yule mabwege nyie acheni angalieni Sasa iiiiiiiiiii nchi imeenelea ngoringoro wanyama wanastarehe,na bandari inaingiza trilioni kumi Kwa wiki ,mama anafanya kazi,samia oyeeeeee
Duuuu viongozi wa chadema wana akili kubwa mungu wanasuru na mabaya eawafumbue wwnanchi mawazo waweze kudai haki zao jmn kuna ukweli nausikia hapa unaogopesha
Huyu kiongozi ana uwezo mkubwa sanasana wa kujieleza na ana uwezo wa uongozi Mungu ampe uzima,afya na waendelee kutujenga wananchi kwa imani kubwa bila kuteteteshwa na kuyumbishwa
Hana jipya huyo kiongozi, ana akili ya kitoto sana. Matope mtu. Hana suluhu ya tatizo bali ni mkuzaji wa tatizo na uchochezi. Kazi kuponda wenzie tuu, Suala la utekaji ni siri kubwa na hilo halina vyama maana hata CHADEMA kunamafia watekaji rejea maelezo ya Dr. Slaa aliyekuwa Katibu mkuu CDM ya ukili kuwa kulikuwa na Utekaji ndani ya CDM.
TATIZO LENU NI KUWEKA WAZI MBINU ZENU NA MIKAKATI YENU YA SIRI . MSITANGAZE HADHARANI MIKAKATI YENU. BALI IWE SIRI YENU ILI WASIJUWE NA KUPATA MBINU YA KUWADHIBITI
@@erestizacharia4758 🤣🤣🤣🤣🤣 umejaaa kwenye 18 nachokijua ni kwamba 2015 Mzee Lowassa alikisaidia Chama kupata viti vingi vya wabunge na madiwani lkn 2020 Lissu akatupotezea majimbo yoteee
Nimekuaminia Mwanachadema imara. Usije kutuangusha kama Msigwa, amejiaibisha mwenyewe. Mungu akuimarishe na kukulinda kijana wetu. Hawapendi kusikia maneno kama yako.
Watu wanatekwa, mkuu wa dola kimya, alafu uzur kashatuambia atakuwa chura, ndio maana kila janga abakaa kimya, arusha na mapikipiki yaliotokea , yeye kimya, eti mnasema tuna amani, wenye amani ni wanaokula nchi kwa kufuru ,
Unaongea bila ushahidi unaropoka tu. Wewe hata baiskeli ya miti umekwisha wapa wanachi. Watu wanafurahia SGR wewe unapenda. Ufai hata ubalozi wa nyumba 10.
Kunawatetezi wawa Rabu hivi wemwislaam unaweza kupewa hata mita moja ya ardhi huko arabuni mbona mnakuwa wajinga ooh ubaguzi wa kidini Samia akawape shamba lake si ardhi yetu
Msigwa ambaye ni mchungaji falsafa yake ya kusema waamini wake wakitenda dhambi zinazotendwa na wafuasi wa shetani , atamkubali shetani na ataamua kuwa mfuasi wa shetani . Hakika limenishangaza . Sasa anasubiru apewe kazi ya kumtakasa shetani aliyempinga. Yetu macho na masikio tuuone huo utakaso wa kumtakasa shetani
NIKIFANIKIWA KUFUNGUA KITUO CHA REDIO HUYU MTANGAZAJI HATAKUA WA KWANZA KUPATA KAZI YANI JAMAA KM SIO MTANGANYIKA BONGE LA MTANGAZAJI MAOJIANO HAYA AYAWEZI KUFANYIKA TBC ITV AU KITUO CHOCHOTE TANGANYIKA MIDIA ZOTE. TANGANYIKA ZIMENUNULIWA NA CCM WATANGANYIKA WOTE TUNAJUA
Wananchi hilo tunalijua kwamba Lissu alipita lakini mwenendo wa ccm na serikali yake 2020 ulikua mbaya sana wa kuvunja katiba na sheria za uchaguzi ikatwaa ushindi nchi nzima kwa nguvu ya dola! Na sasa bado aliyeingia kwa hisani ya kikatiba nayeye amekataa maridhiano ya kuundwa upya kwa tume huru ya uchaguzi,na kuzuia katiba mpya ya wananchi. Lengo la serikali hii kwa watanganyika ninini?!
😮😮😮Hatari !!! Ukisikia mtu anawataja waarabu ujuwe hapo kuna ubaguzi wa kidini ! wazungu na nchi zao wanaitwa kwa jina la wawekezaji ! Hakuna kitu kibaya kama ubaguzi wa kidini. wakati uliopita Hakuna mtu alieruhusiwa kuongea. kaja kiongozi mwingine na kuruhusu haki ya kujieleza sasa maelezo yenyewe ndiyo kama haya tunayoyasikia. Wananchi wa Libya hivi sasa wanakumbuka Rais Gaddafi. watanzania au Watanganyika epukeni sana maneno ya kueneza chuki na ukabila! mtakuja kujuta na kumkumbuka huyu mama Rais samia suluhu Hassan.
Kwani warabu ni dini? mbona kana hujitambui wewe mwarabu anaitwa mwarabu kwa uarabuni wake mzungu anaitwa mzungu kwa uzungu wake usiingie dini hapo kama ni dini hata wazungu wana dini lkn wanatajwa wao kama wao na si dini yao, hivyo acha uchochezi
Aah hovyoo. Wewe jumakadege umefanya utafiti gani kuhusu ubaguzi wa kidini? Uarabu sio Uislamu,na uislamu sio dini ya waarabu bali uislamu unatumia lugha ya kiarabu kufundisha! Je,tumewekeza uarabuni kama waarabu wanavyowekeza kwetu kwa mikataba isiyo wazi? Tafakari
Maandishi ni yako yamejaa udini hakuna jipya hapo mwl nyerere alijikinga na ulanguzi WOWOTE lkn maamuzi yanayayofanywa bila kufuata katiba ni kwa kujinufaisha hivyo waarabu wamekuwa bora kuliko wamaasai ni kwa ajili ya dini
Tatizo la nchi yetu uongozi itatuchukua muda mrefu sn kujikomboa mpk tupate kiongozi mwenye hofu ya Mungu toka uhuru hatujapata hivyo bado safari ya watanzania ni ndefu sn
Kwani waarabu ninani kwenye nchi yetu wewe juma hao waarabu wananchi zao sisi hatuwahitaji hapa kwetu Tanzania wao sana nchi wana rasilimali zao hivyo kuwa taka waarabu sio udini bali ni kwa ivamizi wao na kutuibia rasilimali zetu wakishirikiana na viongozi wetu wadio na uzarendo wala utu juu ya taifa hili hivyo kuwataja waarabu sio udini kwanza toka hapojuma nanda uarabuni