Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
MZEE MAGOMA YUKO SAHIHI ANADAI HAKI YAKE HII CLUB AMETOKANAYO MBALI SANA MPENI CLUB YAKE KAMA MNAONA HAYOKO SAWA NA NYINYI NENDENI MAHAKAMANI MKAKANUSHE HICHO ANACHO KIDAI SIO KULALAMIKA KWENYE MITANDAO MNAFIKIRI KWENYE MITANDAO NDIO KUNATOA HAKI
Huyu mzee anajua anachokipambania na hatanyamaza.. Kwenye swala la haki kwa unachokiamini huwezi kuogopa hata ukisimama peke yako.. Yanga msikilizeni huyu mzee ili roho yake ipoe.. Mnavyombeza nakumtukana mnachokoza moto zaidi.. Huyu mzee Ana point
Sikiliza vzr kadi zilivyo tolewa kiholela inawezekana hata wew uliyo nayo si ya kwel ni haramu hawa wazee wanaifaham timu kuliko mashabik @@Nyegereboy-b5y
Mzee Yuko sahihi Sana uwezi Kula pekee yako Hao ndio wenye timu Yao Umekuja ila timu umewakuta Wenyewe wenyewe ndio hao usiwaache Engenia Akirudi akae nae Mzee vizuli
Hivi kweli kama kuwa nakadi ndiyo kuwa mwanachama mzuri au mwema kumbe wakina nape sio wana ccm kwakuwa hawanakadi nyingi za ccm huyo mzee katumwa na upande wapili ili kujaribu kuivuruga yanga jamani kwanini huyo mzee anataka kuiaribu yanga jamani?
Nawasihi akina Manara na Ally Kamwe wamuache huyu mzee.Kwani kwa propaganda ni hatari.Kile kikao cha YANGA kufafanua juu ya hiyo kesi kimewageuka.Wao wamejiharibia zaidi.
Aliakuwa mwanachama mwaka 1983, yanga imeanzishwa miaka ya nyuma hata kuzaliw bado na wenye yanga wako wapi leo unasimama wew kam vile ndio ulianzisha timu duuh tamaa mbaya sana sna...mzee anaona kama anakufa maskini afu club amekua ndani ya club sio ameikuza club