Mungu akubariki sana mtumishi,.Kuna siku nilipitia mafundisho yako juu ya kuomba jambo Kwa kumshukuru, aisee kweli Mungu kanipa hitaji langu, Mungu akubariki sana mtumishi
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu, hakika mimi toka niamini katika imani hii ya waadventista wasabato, mahubiri yako ya menifanya kuipenda kazi ya uchungaji, Hadi Leo hii napenda ningeanza kusoma masomo ya uchungaji lakini kipato duni, pastor Mungu azid kukubariki sana katika maisha yako na uzidi kutulisha neno lake, na roho zipate kuongolewa kila iitwapo leo
Pastor mbanga , nashukuru kwa mafundisho Yako , Mimi ni daudi kutoka busia Kenya na ningependa kushea na wewe ushuhuda ambayo mungu alinitendea nilipotumia kanuni ya ujasiri
Pastor naomba nikupe ushuhuda Kupitia fundisho la nguvu ya ufalme uliopo ndan yetu ,nilikuwa naelezea mahal tukiwa na rafiki yangu ,kumbe alikuwa anapitia changamoto kubwa sana mda mrefu,nilieleza kipande ulichomshudia kijana mmoja ambae alikuwa mraibu wa jambo flan,akasema Yesu Leo twende wote ,na akapona tokea hapo ,bas huyu rafiki yangu akayachukuwa Yale maneno akayafanyia kazi,,maana alikuwa anakabwa na kinyongwa Kila akienda kulala hivyo siku hiyo na yeye akasema Yesu uko ndan yangu,bas Leo naomba tukabwe wote anasema Ile amelala vikaanza kidogo mwisho vikapotea ,ameniambia juz kuwa ana wiki sasa analala kama mtoto,,Jina Bwana litukuzwe sana
Kila nilijarbu kupig a hatua najikuta narudi nyuma doesn't matter kwenye maisha ya kiroho pia hata kwenye fiscal yaani kiuchumi, nimejaribu Zaid ya mara tatu Nahitaji macho ya kiroho please pray for me spirit and spiritual.