Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Kuna magroup ya kazi mengi jaman WhatsApp kuweni makini sio maajent hao ni matapeli mtalizwa maana wanataka hela ya vipimo kila hatua eeh dunia ishaharibika
Mimi namshukuru Mungu nimesafiri na mikataba original na barua za wadhamini toka Tz, barua ya serikali za mitaa, na kibali cha taesa, barua ya mwanasheria toka wizara ya mambo ya ndani Posta nineambatanisha na barua toka police Oman
serekali iwahurumie wana chiwake 😢 ñchi ina mali yakutosha sirikali imuwe tu kuwajiri wana nchi wake chi yatazania simasikini bali umasikini tuna wita wenyewe kutokana naserekali hasimamimi kama taifa mama hii dio ina sababisha watazani tuna dhalilishwa kwani hizonchi tunazikimbili wana kipi sisi tusicho kuwa nacho mpa tuñà tésekà kwényé màtàifà yàwàtu 😢 tuna imba serekali isadie hutazania mwezetu🙏🙏🙏🙏🙏
Kichwa kinauma,kuvimba mcho au uso ,mwili , pamoja na mapigo ya moyokwenda mbiyo yote hayo husananishwa na upungufu wa damu mwilini ,Kula hizo nyama mboga za majani Kwa wingi pamoja na libena syrup atapona haraka sana
Mm sio mwarabu lkn huyo alieandika mwarabu amesifiwa na mwenyezi mungu kwa kufru kitabu gani hicho kimelezea hayo chamsingi hamsingi mchangieni huyu rahma arud kwao
Kwa binti hata kama akizijua haki zake kama ma agency hawatakuwa wanawajibishwa haitasaidia 😮😮😮 ubalozi hata wakijua hawa act haraka kikubwa agencies wabanwe 😮😮😮
Zari naona kipindi chako kinatukana sana waarab sema nchi usichanaganye wote wapo wazuri na wabaya pia jaribuni kujua nchi nyinyi kila kitu oman mambo yanafanyika labda Saudi au Dubai au Qatar au Kuwaiti nyinyi mtasema oman na kama Oman hamuipendi basi hana lazima kuja na hata sisi hapa oman serekali yetu ikitafasiriwa haya unayozungumza watakua hawatoi visa ya housemade ktk Tz
Kusema kweli mimi nipo zaidi ya miaka 20 nikianza kazi toka tanzania mpaka sasa nipo kwa waarabu Hawaja kuninyanyasa kuteswA wala kupigwa nipo nao kama ni family 1 Na naendelea kufanya kazi
Ukweli ni kwamba hizo nchi za middle east mambo Yao nikwambu wanawachukua kama vile watumwa. Kumbuka Dada mmoja alivyowahi kusema aliambiwa kuwa alipe pesa nyingi. Zaidi nimesikiliza zaidi hadhi za Hao wanaofanya kazi nchi hizo akiwaambia nataka kurudi nyumbani huwajibu unajua nimekununua kiasi gani. Sasa ni nini hicho kama si utumwa
Kuna mambo nimeyaona hapa kwenye maongezi ya huyu Rahma Kwanza kabisa inaonyesha vijana wengi wa Tanzania sijui kama wana Elimu ya kutosha ya Dunia ...Iraq ilikuwa kwenye vita kubwa na marekani na baadae kukawa na vita ya wenyewe kwa wenyewe sio nchi kabisa ya kwenda kutafuta maisha Rahma amekwenda Iraq mara 3 yaani siwezi kuelewa kuwa huyu bint kweli shule amesoma wapi na sijui kama dunia anaijua Kitu cha pili nyie watangazaji nimewasikia zaidi ya mara 3 mkisema Iraq 🇮🇶 ni ulaya nna wasiwasi pia na Elimu yenu Iraq 🇮🇶 haipo Bara la ulaya ipo middle East bara la Asia Kwa kumalizia nimegundua hawa wasichana wamekosa sio Ajira tu nyumbani hapa Tanzania pia wamekosa na Elimu ya kuelewa dunia
Sio elimu tu na ujinga pia tamaa ya kupata utajiri wa bure bila kufanya kazi pia unachangia inawezekana huko alikwenda sio hata kwa kufanya kazi alienda na mengine yakakwama ndo kabaki anahangaika kurudi huku anaona aibu atarudi mikono mitupu!
Mpendwa sio kila Mtanzania hasa sisi wasichana tunaokuja huku Iraq kutafuta maisha hatuitambui hii nchi kama ilikuwa na vita na iko Asia. Iraq tumeisoma tangu tuko shule tatizo liko kwa Ma Agent wanadanganya eti wanasafirisha Uturuk. Unakuja kukundua dakika za mwisho kwamba unapelekwa huko na ukiangalia una uhitaji wa kazi huna jinsi ni kumuomba Mungu. Mimi niko Iraq Mwaka wa 3.9 Namshukuru Allah boss mzuri
Huenda kuna baadhi ya Wtz ambao hawajui kwanini kuna Zanzibar yenye watu mchanganyiko nk lilikuwa soko la watumwa toka bala Zaidi ya hapo toka Ujiji Kigoma😅etc Someni historia yetu. Reli ya kati nk
Sheilla2018 umeongea ukweli mtupu. Watz elimu chini.Historia hatujui wala geografia.😢 Mwarabu siyo mzungu😢 Asia siyo Europe Hivi Wstz tumechanganyikiwa au vipi. Mwarabu na mtu mweusi mbele yao wewe ni mtumws tu. Jamani short history of East Africa iko wapi nina maana kile kitabu kiko wapi,?
Unatakiwa kupewa iron tables, na kula beetroots , mboga za majani, alafu lakini kwanini umeeda huko mara3?????? Ivi munaaagalia news kweli????? Hiyo sio nchi ya kwenda dada ,
Kwani kazi yako ni kufanyia watu massage?? Musikubali kabisa , hao watu wanao ruhusu watanzania kwenda Iraq kufanya kazi za ndani ni nani????????? Serikali lazima ifutiliwe sanaaaa!!!!
Jamani hao magenta ni changamoto akikusafirisha ndo mmemalizana. Hata mimi nipo oman ila nashukuru nimepata boss ambae anaijua dini na Ana utu nahisi kama nipo nyumbani nashukuru mungu alhamdulilah. Ila wapo wanaopata changamoto kama hizo. Huku ni sawa na kutia mkono kizani