Тёмный

🔴 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 12 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 95   
@globaltv_online
@globaltv_online 2 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@gracemsaki1561
@gracemsaki1561 2 месяца назад
Zailimu naomba kujua kuhusu Rozi na yule ddf aliezaa na mziungu limefikia wapi plse plse
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Iraki siyo ulaya😢😢
@arafasaidi2723
@arafasaidi2723 2 месяца назад
Pole. Akufanuie. Wepes
@omanoman2044
@omanoman2044 2 месяца назад
Oman alhamdulillah kam kuna mtuy anateseka ni yy kajiendekeza na ujinga wake wakuogop
@Aisha-o4v
@Aisha-o4v 2 месяца назад
Kweli mamy
@MaryamKhawar-h3j
@MaryamKhawar-h3j 2 месяца назад
Jamani unaozi hamna huko. Msiruhusu hawA wanzania kwenda kufanta kazi za kiarabu watafute hapa hapa
@SherryFadhil
@SherryFadhil 2 месяца назад
Natamn ata nilie mskin rahma anateseka wallah
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Huyu dada kweli ni mtumwa wa leo bado😮😮
@halimaalkindi9484
@halimaalkindi9484 2 месяца назад
1:30:56
@Aisha-o4v
@Aisha-o4v 2 месяца назад
Mwabie mama samia amisadie😢
@SwidatyOmary
@SwidatyOmary Месяц назад
Maisha haya😭😭
@samwelmosh-fu7vu
@samwelmosh-fu7vu 2 месяца назад
Nakukubali sana baba Askofu, Haswa pale ulisema wakija tuwauliza wao walifanya nini kama kila kitu alifanya Rais
@DubaiRolla-rx9nz
@DubaiRolla-rx9nz 2 месяца назад
Allah akupe nguvu ndug yang urud salama nyumban Kwakwel mm nna matatizo ila kwako yamezid Nimejikuta nalia sikujua kama unapitiq changamot kama hizo
@myunaniniahmad6463
@myunaniniahmad6463 2 месяца назад
Jamani msaidieni huyu dada kwa haraka kama inawezekana plz. Anaumwa sana.
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Kwa kifupi hakuna Kumbagua mtu wa Zanzibar au Tz bala wote asili yetu ni moja.🎉
@basilisashemetse7367
@basilisashemetse7367 2 месяца назад
Mimi siko uarabuni, lakini wasichana waagalie sana, lazima uchungize kabla hujasafiri
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Wote wajifunze😢
@sikitujuma4866
@sikitujuma4866 2 месяца назад
Mama katika safari zake sialisema kuna fulsa inchi za kiarabu sasa serekali ingetowa njia ambayo ao muongozo wa izo fulsa
@aminaissaabdallah6266
@aminaissaabdallah6266 2 месяца назад
Iraq siyo sehemu yakwenda kufanya KAZI Bora omani
@rahmasalum1317
@rahmasalum1317 2 месяца назад
Iraq kakupenda lakini mara tatu kenda si mchezo nazote kenda sio kwa njia za kisheria duh pole Rahma Mungu atakusaidia
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 2 месяца назад
Da Zari mwambie ale nyama ni kweli kbs nyama inaongeza dawa haraka kuliko chakula chchte ya ng'ombe lkn
@NapatNapat-x6i
@NapatNapat-x6i 2 месяца назад
Dada Zali ajet WA Huyo dada yupo wapi my
@aishatest4451
@aishatest4451 2 месяца назад
😢😢
@HellenaMky
@HellenaMky 2 месяца назад
Airport. Wanatoa pesa. Wanapitatu
@Shdy2569
@Shdy2569 2 месяца назад
Nendeni ulaya mkaone kama kuna raha
@Saida-b9v
@Saida-b9v 2 месяца назад
Kawaidaa bosi akikununua lazima atachukua passpot na kadi yko
@ashapearubart2624
@ashapearubart2624 2 месяца назад
yaani huwo niutumwaa. Nikama vile ukoloni .mweusi unauzaa mweusi mwezako.
@teddyaloyce8218
@teddyaloyce8218 2 месяца назад
Iraq sio
@mohamoudhussein4570
@mohamoudhussein4570 2 месяца назад
Waambieni Serikali watengeneze Ajira wacheni kubwabwaja hapo.Mnaongea Uchawa tu
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 месяца назад
😢
@OfficialA83640
@OfficialA83640 2 месяца назад
Kuna magroup ya kazi mengi jaman WhatsApp kuweni makini sio maajent hao ni matapeli mtalizwa maana wanataka hela ya vipimo kila hatua eeh dunia ishaharibika
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 2 месяца назад
Mimi namshukuru Mungu nimesafiri na mikataba original na barua za wadhamini toka Tz, barua ya serikali za mitaa, na kibali cha taesa, barua ya mwanasheria toka wizara ya mambo ya ndani Posta nineambatanisha na barua toka police Oman
@halimaalkindi9484
@halimaalkindi9484 2 месяца назад
Hata kama anamataizo ilikuwa haina haja kurudi Iraq Iraq angekuwa kwali kapata mateso hayo anasema asigeenda mara ya pili na yatatu
@SofiaSofia-qh9wh
@SofiaSofia-qh9wh 2 месяца назад
Ww umekosea waarabu co wanadam waarabu ni majini
@Aisha-o4v
@Aisha-o4v 2 месяца назад
serekali iwahurumie wana chiwake 😢 ñchi ina mali yakutosha sirikali imuwe tu kuwajiri wana nchi wake chi yatazania simasikini bali umasikini tuna wita wenyewe kutokana naserekali hasimamimi kama taifa mama hii dio ina sababisha watazani tuna dhalilishwa kwani hizonchi tunazikimbili wana kipi sisi tusicho kuwa nacho mpa tuñà tésekà kwényé màtàifà yàwàtu 😢 tuna imba serekali isadie hutazania mwezetu🙏🙏🙏🙏🙏
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 2 месяца назад
Aisee hii ni changamoto. Hivi vitu hata pale ofice ya taesa wanatufundisha sana tukifika kwa boss kitu cha kwanza tukaripoti Embasy.
@lailafakhihaji
@lailafakhihaji 2 месяца назад
Kuna nchi nyingine sio za kwenda ingawa popote yanaweza kukuta lakini Asia kumezidi
@Husnasalim-f2g
@Husnasalim-f2g 2 месяца назад
Wanahong Airport huu ndo ukwel kwaiy hao viongoz wa hap Airport wanajua wao shid yao hela
@MissMadamoman
@MissMadamoman 2 месяца назад
Ndio kweri mkataba napewa eyapoti
@marykilatungwa1484
@marykilatungwa1484 2 месяца назад
Kichwa kinauma,kuvimba mcho au uso ,mwili , pamoja na mapigo ya moyokwenda mbiyo yote hayo husananishwa na upungufu wa damu mwilini ,Kula hizo nyama mboga za majani Kwa wingi pamoja na libena syrup atapona haraka sana
@gracemsaki1561
@gracemsaki1561 2 месяца назад
Nimesahau yule wa zanzibar nipigie zalimu mwanangu
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Wa iraki vijana wamekimbilia ul aya kam a wakimbizi😮 Nimewaona😮Acheni kwenda huko😅
@MaryamKhawar-h3j
@MaryamKhawar-h3j 2 месяца назад
Mm sio mwarabu lkn huyo alieandika mwarabu amesifiwa na mwenyezi mungu kwa kufru kitabu gani hicho kimelezea hayo chamsingi hamsingi mchangieni huyu rahma arud kwao
@mpefu_4936
@mpefu_4936 2 месяца назад
Acheni kwenda uko bw
@morjanoman5181
@morjanoman5181 2 месяца назад
Mkataba unahandikwa lugha tatu kizungu kiarabu na kiswahiri
@spreadlove5300
@spreadlove5300 2 месяца назад
Kwa binti hata kama akizijua haki zake kama ma agency hawatakuwa wanawajibishwa haitasaidia 😮😮😮 ubalozi hata wakijua hawa act haraka kikubwa agencies wabanwe 😮😮😮
@halimaalkindi9484
@halimaalkindi9484 2 месяца назад
Zari naona kipindi chako kinatukana sana waarab sema nchi usichanaganye wote wapo wazuri na wabaya pia jaribuni kujua nchi nyinyi kila kitu oman mambo yanafanyika labda Saudi au Dubai au Qatar au Kuwaiti nyinyi mtasema oman na kama Oman hamuipendi basi hana lazima kuja na hata sisi hapa oman serekali yetu ikitafasiriwa haya unayozungumza watakua hawatoi visa ya housemade ktk Tz
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Acheni kwenda kwa waarabu.Walituchukua utumwani..,Kwao sisi ni watumwa hadi kufa.wewe mweusi ni mtumwa. tu😢
@dorothymasense2587
@dorothymasense2587 2 месяца назад
WAAMBIENI WATANZANIA WENGI HAWAWAJUI WAARABU KUWA NA UTAMADUNI MBAYA SANA.MWARABU NI MBAGUZI WA RANGI.WAWAULIZE WAKENYA WENGI WALIVYOTESEKA.
@IfadatAlly
@IfadatAlly 2 месяца назад
Hata na nyie mna ubaguzi na hao waarabu na ndoo wanaokuumizeni roho hamuwez kusema bila ya kutaja hao waaarabu lkn hapo hapo hamuwezi kuwakosa waarabu
@shamzone388
@shamzone388 2 месяца назад
Msiseme waarabu mmbina huku kwetu visa na mauwaji ya watoto wanaouliwa na wafanyakazi
@NoorLheyNoorLhey
@NoorLheyNoorLhey 2 месяца назад
munguawasaidiye
@faridahalil4456
@faridahalil4456 2 месяца назад
Yaani uzuri mtu ameamua kwenda ktk nchi za arabuni Embassy ya nchi yake ijuwe labda msaada unaweza ukapatikana
@shamzone388
@shamzone388 2 месяца назад
Kusema kweli mimi nipo zaidi ya miaka 20 nikianza kazi toka tanzania mpaka sasa nipo kwa waarabu Hawaja kuninyanyasa kuteswA wala kupigwa nipo nao kama ni family 1 Na naendelea kufanya kazi
@mamasalhat
@mamasalhat 2 месяца назад
Khaaaaaaaa nawe miaka 20 khaaaaaaaa 😂😂😮
@victoriamazula5592
@victoriamazula5592 2 месяца назад
Una bahati
@HawaYahya-h8t
@HawaYahya-h8t 2 месяца назад
​@@mamasalhat Hiyo mbona kudogo habbty 😅😅😅😅kuna wenzetu wafiliphino na watu wapiga kazi hawajali wala nini
@DomitilaLorri
@DomitilaLorri 2 месяца назад
Ukweli ni kwamba hizo nchi za middle east mambo Yao nikwambu wanawachukua kama vile watumwa. Kumbuka Dada mmoja alivyowahi kusema aliambiwa kuwa alipe pesa nyingi. Zaidi nimesikiliza zaidi hadhi za Hao wanaofanya kazi nchi hizo akiwaambia nataka kurudi nyumbani huwajibu unajua nimekununua kiasi gani. Sasa ni nini hicho kama si utumwa
@OfficialA83640
@OfficialA83640 2 месяца назад
Huyo dada kitendo cha boss kuvua nguo nakumfanyia massage ni umaraya mmoja wapo mm nisingefanya na ningetoka nje sithubutu kufanya huo upuuzi eeh
@sheilah2018
@sheilah2018 2 месяца назад
Kuna mambo nimeyaona hapa kwenye maongezi ya huyu Rahma Kwanza kabisa inaonyesha vijana wengi wa Tanzania sijui kama wana Elimu ya kutosha ya Dunia ...Iraq ilikuwa kwenye vita kubwa na marekani na baadae kukawa na vita ya wenyewe kwa wenyewe sio nchi kabisa ya kwenda kutafuta maisha Rahma amekwenda Iraq mara 3 yaani siwezi kuelewa kuwa huyu bint kweli shule amesoma wapi na sijui kama dunia anaijua Kitu cha pili nyie watangazaji nimewasikia zaidi ya mara 3 mkisema Iraq 🇮🇶 ni ulaya nna wasiwasi pia na Elimu yenu Iraq 🇮🇶 haipo Bara la ulaya ipo middle East bara la Asia Kwa kumalizia nimegundua hawa wasichana wamekosa sio Ajira tu nyumbani hapa Tanzania pia wamekosa na Elimu ya kuelewa dunia
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 2 месяца назад
Sio elimu tu na ujinga pia tamaa ya kupata utajiri wa bure bila kufanya kazi pia unachangia inawezekana huko alikwenda sio hata kwa kufanya kazi alienda na mengine yakakwama ndo kabaki anahangaika kurudi huku anaona aibu atarudi mikono mitupu!
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 2 месяца назад
Mpendwa sio kila Mtanzania hasa sisi wasichana tunaokuja huku Iraq kutafuta maisha hatuitambui hii nchi kama ilikuwa na vita na iko Asia. Iraq tumeisoma tangu tuko shule tatizo liko kwa Ma Agent wanadanganya eti wanasafirisha Uturuk. Unakuja kukundua dakika za mwisho kwamba unapelekwa huko na ukiangalia una uhitaji wa kazi huna jinsi ni kumuomba Mungu. Mimi niko Iraq Mwaka wa 3.9 Namshukuru Allah boss mzuri
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 2 месяца назад
​@@fatmaabdallah7709mmm acha dhana mbaya mpendwa
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 2 месяца назад
Hapo umemaliza
@MerryRenatus-ck4lz
@MerryRenatus-ck4lz Месяц назад
Sadam Huseni na osama binlade wote Iraq vita kwelikweli😢
@basilisashemetse7367
@basilisashemetse7367 2 месяца назад
Kwenda kwenye Nchi za uarabuni so watu, Wana tabia ya ukatili
@HawaIssa-q2w
@HawaIssa-q2w Месяц назад
Wengene hatusaini ukifikatu ukobize nasari mkataba unasomea ukiwa kwenye ndege
@Ayuminchasi
@Ayuminchasi 2 месяца назад
Iraq c nchi ya kwenda kufanya kazi mijity yenyewe inavita ww unaenda kufanya nn
@AliAhmed-m1o2u
@AliAhmed-m1o2u 2 месяца назад
Waarabu mwenyezimungu amewasifu kwa kufru na mambo machafu lkn watu wanapenda kwenda kwao kuwatumikia lkn hawafai ata kuwasalimia😂😂
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Rudi Tz
@teddyaloyce8218
@teddyaloyce8218 2 месяца назад
Mi niona serikali ingekataza watu wasiende iraq akuna ubarozi
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
HAkuna fungus kichwani😮 ni uongo
@keifatuke99
@keifatuke99 2 месяца назад
MGONJWA WA FUNGUS ZA KICHWA ANAONGEA KIMAKINI NAMNA HIYO
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Huenda kuna baadhi ya Wtz ambao hawajui kwanini kuna Zanzibar yenye watu mchanganyiko nk lilikuwa soko la watumwa toka bala Zaidi ya hapo toka Ujiji Kigoma😅etc Someni historia yetu. Reli ya kati nk
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx 2 месяца назад
Wasaidieni warudi wakirudi watulie
@vero57
@vero57 2 месяца назад
Alafu mimi sielewi hao waarabu wana swali alafu kwanini wana fanyia wafanyakazi wao hivyoo????
@omanoman2044
@omanoman2044 2 месяца назад
Wanaambiw iraq hakuna embasy hawasikii acha wajifunze
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 2 месяца назад
Yani binadamu kuelewa mpaka yamkute hiyo nchi toka Saadam Hussein afariki haijawahi kuwa na amani Kuna vikundi mbalimbali vya kigaidi vinaendesha nchi
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 2 месяца назад
Sheilla2018 umeongea ukweli mtupu. Watz elimu chini.Historia hatujui wala geografia.😢 Mwarabu siyo mzungu😢 Asia siyo Europe Hivi Wstz tumechanganyikiwa au vipi. Mwarabu na mtu mweusi mbele yao wewe ni mtumws tu. Jamani short history of East Africa iko wapi nina maana kile kitabu kiko wapi,?
@mohamoudhussein4570
@mohamoudhussein4570 2 месяца назад
Hivi wewe Unajua hizi balozi Nje zilivooza?
@NoorLheyNoorLhey
@NoorLheyNoorLhey 2 месяца назад
wameenda nchiisiyokuwa naubalozi nimtihani
@siashayo8676
@siashayo8676 2 месяца назад
Nina mashaka kuna tatizo la mawasiliano, huyu binti na maboss na wakala Iraq wanawasiliana Kwa lugha ipi?
@rayahamisi118
@rayahamisi118 2 месяца назад
Kubandukuka 😂😂😂
@vero57
@vero57 2 месяца назад
Unatakiwa kupewa iron tables, na kula beetroots , mboga za majani, alafu lakini kwanini umeeda huko mara3?????? Ivi munaaagalia news kweli????? Hiyo sio nchi ya kwenda dada ,
@peteremanuel2367
@peteremanuel2367 2 месяца назад
Na nyinyi pia mmezidi kupenda raha sasa unaona? Mkome.
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 2 месяца назад
Sasa raha gani wanaipata,ovyoooo
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 2 месяца назад
​@@angonzamujunangoma8775Ndiyomaana tunashauriwa kuhudhuria semina pale taesa.
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 2 месяца назад
Yani mtu unatoka nchi yako ya amani unaenda nchi za kiharabu kufanya kazi unakuwa haujipendi
@JuliusMtunguja
@JuliusMtunguja 2 месяца назад
Mkiambiwa mrudi nyumbani ham taking,ngoja uone cha mtema kuni,walk usimlaumu yoyote.
@vero57
@vero57 2 месяца назад
Kwani kazi yako ni kufanyia watu massage?? Musikubali kabisa , hao watu wanao ruhusu watanzania kwenda Iraq kufanya kazi za ndani ni nani????????? Serikali lazima ifutiliwe sanaaaa!!!!
@Mwana-d1u
@Mwana-d1u 2 месяца назад
Jamani hao magenta ni changamoto akikusafirisha ndo mmemalizana. Hata mimi nipo oman ila nashukuru nimepata boss ambae anaijua dini na Ana utu nahisi kama nipo nyumbani nashukuru mungu alhamdulilah. Ila wapo wanaopata changamoto kama hizo. Huku ni sawa na kutia mkono kizani
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 2 месяца назад
😢
Далее
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00