Тёмный

🔴 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 32 тыс.
50% 1

🔴#Live: SIRI ITAKAYOKUPA MKE, MUME SAHIHI, HIZI NDIYO SABABU ZILIZOVUNJA MAHUSIANO ya WENGI | MAPITO
KWENYE MAPITO ya wikii hii mgeni ni Deo Sukambi mwanasaikolojia, pastor na mshauri wa masuala ya mbalimbali ikiwemo mahusiano na ndoa...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 71   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@cassiopealuxe6713
@cassiopealuxe6713 9 месяцев назад
@Sultanramsp
@charlesbabag1424
@charlesbabag1424 Год назад
I wish watu wakuelewe zaidi hapo kwenye zawadi nakujitoa, usitoe zawadi ili upendwe toa zawadi sababu unapenda💪🏾 mnunulie mpenzi au mpe kitu mpenzi wako kwa mapenzi yako sio kwaajiri yayeye kukupenda
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 9 месяцев назад
Maashaallah wewe Baba Munguakulipe heri. Manenonikwerikabisa. Wanaume akikufatamchunguze niayake hawanamapenziyakwelinipesatu
@avelinabaluhya2804
@avelinabaluhya2804 Год назад
Da,unaweza kulikoroga bila hata kujua, asante kwa elimu
@sophiakayumba5974
@sophiakayumba5974 Год назад
I listened twice,,, mtaalam Deo kaongea mambo ya kweli ......
@KaviraKighoma-d1j
@KaviraKighoma-d1j 7 месяцев назад
Past deo Mungu akuongezee maarifa ili nasi tuchote kwako baba
@GraceKassim
@GraceKassim 6 месяцев назад
Nimejifunza kitu kikubwa sana asante sana
@nyiranzimami728
@nyiranzimami728 7 месяцев назад
Unaongeya Ukweli past❤
@akimanaasiya4654
@akimanaasiya4654 Год назад
Mungu andeley kumlinda sn huyu baba 🥰
@redmioman4371
@redmioman4371 Год назад
Asante sana kwa somo zuri jaman
@angelsylvester4795
@angelsylvester4795 Год назад
Kaka deo unaongea vitu vizuri sana wanaume wangesikia wengi wangepona hali ni mbaya
@ndavadumayai4250
@ndavadumayai4250 Год назад
Pastor Deo nimekuelewa sana sana
@LeahMuganyizi
@LeahMuganyizi Год назад
Asante sana kwa maelezo mazuri shida ni hawafuatilii wakasikia
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 месяца назад
Uko sahihi 100% Mwanaume ndo kila kitu jmn,ahudumie familia Wanawake acheni kuhonga wanaume pesa, hela ya mwanaume tamu aisee ... 📌📍Waambie pastor
@zaitunisingano8295
@zaitunisingano8295 11 месяцев назад
Aisee maneno mazuri sn👏
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 Год назад
Nimekuelewa sana baba mzuri nitakua mpya sasa
@lameckgunze6376
@lameckgunze6376 Год назад
Zari anauliza vizuriiii
@maryammohammed5835
@maryammohammed5835 Год назад
Pastor DEO nimependa kipindi hiki.. Hongera sana
@LeahMuganyizi
@LeahMuganyizi Год назад
Somo zuri mnooo!!nondo imekaaa vzr
@rahmamohamed5614
@rahmamohamed5614 Год назад
Nimekupenda burreee Chukua tu maua yako🎉🎉🎉
@Udindigwa
@Udindigwa 10 месяцев назад
Amina
@KataliwaComicSeries
@KataliwaComicSeries Год назад
Grande applause. Loved this!
@esthererasto
@esthererasto Год назад
God bless u man ......ukweli mtupu.jmn...
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Год назад
Hili somo kabisa
@neemamaganga9774
@neemamaganga9774 Год назад
Uko vizuri mwalimu sukambi. Unatufundisha uharisia wa maisha.
@esthernakawule7009
@esthernakawule7009 Год назад
Thx for da show
@bediabahati7700
@bediabahati7700 Год назад
Yani uyu mu kaka ni fire🔥 kila unacho ongeya ni point tupu wana wake wengi tuna jipendekeza ku wana ume tukizani njo tutapendwa mana wengi nawa juwa ashwa ashwa kwenye inchi iyi ya .Marekani wana wake wa hapa wana ume awa tusamini na mana tuna jipendekeza kwaku chukuwa majukumu yasiye kuwa yetu mwishowe wana tuacha wana ende ku owa wana wake. Afrika ubarikiwe Mwana muke ata Kaye shindwa kujifunza kwa somo 👆🏿hili wewe sijuwi atakama ukipewa dawa kutoka .Chine😂😅 ita ku ponya mana muchanga nyiko wa dawa yenye ugonjwa wako iyo hapo asanteni👂🏿 ✍️🏿❤❤ God bless you Brother🫂🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@halimasaid4977
@halimasaid4977 Год назад
Really man thanks
@hijamwinyi3233
@hijamwinyi3233 Год назад
Mm ndani nna vidonda haswa
@nicodemshello163
@nicodemshello163 Год назад
Wee ndugu unaweza kusaidia watu wengi MOLA AWE NAWE
@MariannaJoseph-uv2sp
@MariannaJoseph-uv2sp 5 месяцев назад
Nikweli kaka
@stellamsokwa6785
@stellamsokwa6785 Год назад
Ukweli mchungu jamani uiiiii sindano inauma mno ila ndo napona jamani😩😩😩pastor ubarikiwe miaka mia 🙏
@sharifakhamis1145
@sharifakhamis1145 Год назад
yaani dahh we kaka mungu akupe afya njema na umri mrefu unatufundisha mengi nimejifunza mengi kila unachoongea kinanigusa😢
@KaviraKighoma-d1j
@KaviraKighoma-d1j 7 месяцев назад
Yaani mafundisho nizuri kweli kweli
@jescaedwardkurumela4333
@jescaedwardkurumela4333 Год назад
🙏🙏🙏 baba unajibu maswali kwa husahihi Sana. Kupona ndani kwanza 👍 Jeraha halitibu jeraha Ubatikiwe
@RehemaMsengi-rp5wg
@RehemaMsengi-rp5wg 4 месяца назад
Huo ndiyo ukweli ubarikiwe
@نجمةموبيبي
@نجمةموبيبي Год назад
Kaka asante sana , nimejifunza , akili inazidi kupata chakula , akili inazidi kuingiza vitu vipya zaidi
@زوهرها
@زوهرها Год назад
Jamani kaka umeongea ukweli mtupu somo zuri sana ila ajiandae atakae kuja maana atalala njaa maana mtu hatoi pesa hadi umuombe hata ukiomba hadi ajishauri mwisho naamua kufanya mwenyewe sasa atajuta ajae
@LeahMuganyizi
@LeahMuganyizi Год назад
Kweli kabisaa
@happynescostat7420
@happynescostat7420 Год назад
Jamani Mimi natetemeka mpaka najifunika, Asante Sana nimeguswa Sana yote mliyoongea yananiusu,
@piusundisputed
@piusundisputed Год назад
Hongera kw kupata elimu toshaa
@BarnabasKavishe-pt2hs
@BarnabasKavishe-pt2hs Год назад
Pole mno tupo wengi sio we we tu
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 10 месяцев назад
Waalim n weng aisee
@lameckgunze6376
@lameckgunze6376 Год назад
Wanawake hata hawataki kusikia kuwa wana haja ya kujitibia saikolojia zao niko nao hapa wanasema maisha yenyewe haya mafupi
@geraldlazaro4523
@geraldlazaro4523 7 месяцев назад
Ameeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 10 месяцев назад
Hapo changanya na zako
@shhwhw7763
@shhwhw7763 Год назад
Ana maneno mazito huyu baba
@plumbingtanzaniaplumber7570
@plumbingtanzaniaplumber7570 10 месяцев назад
Utampendaje bila kukupa anachotaka unampenda mwanamke kwa kumuangalia jamaa huyu bhana Mimi taona anakibuli na napiga chin
@BarnabasKavishe-pt2hs
@BarnabasKavishe-pt2hs Год назад
Upon sahihi sana dkt. Siamini ktk zawadi eti ndo upendo
@DorahAlbert-e8w
@DorahAlbert-e8w Год назад
🙏🙏🙏🙏🙏
@fridajoseph38
@fridajoseph38 Год назад
Duh nmejifunza kitu
@neemashadii4702
@neemashadii4702 Год назад
😊
@geraldlazaro4523
@geraldlazaro4523 7 месяцев назад
Tiba ya vikombesss tuipateeee
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Год назад
Kweli kabisa 😜
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 месяца назад
Huu ni ukweli jmn Wanawake tumezidi kuingilia majukumu ya wanaume. Kwakweli mwanaume ameumbwa kutoa
@geraldlazaro4523
@geraldlazaro4523 7 месяцев назад
Points tupuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mchungajiii
@Sharifarajabudebe
@Sharifarajabudebe 11 месяцев назад
Madini yameturiav
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 месяца назад
Tukielewa haya tutaishi kwa raha... Kwakweli mwanaume anihudumie tu siwezi kumpa hela wala kuchukua majukumu yake Usimpe mamlaka mtu ya kukunyanyasa,nimekuelewa. Upendo na lengo 🤔 Nimekuelewa.....
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 месяца назад
Khaaa Unafua,unapika 🙄😳na hajakuoa😂 Sifanyi hiyo biashara Kila mmoja apambane na Hali yake 😂
@DorahAlbert-e8w
@DorahAlbert-e8w Год назад
Sasa km tukitengeneza upendo sisi wenyew pasipo kutumia zawadi km ushawishi,je kwa upande wangu Mimi mwanamke ambaye Nina mpenzi wangu ambae mara hanisaidii wakati ana uwezo wa kunisaia ninapokuwa na shida!?kipato chake ni kikubwa na mimi uwezo wangu mdogo
@Oye494
@Oye494 Год назад
Sasa mukisha zara watoto nivigumu kutupa ndowa ndomana sisi wa maman tunavumiriya. Wanaume wanatuonyesha kama ni wabaya kama tumesha kufunga ndowa. Nivigumu sana kuishi nawaume. Sisi wa mama tuko na moyo ya uruma sana.
@IngabireAisha3813
@IngabireAisha3813 11 месяцев назад
😂😂😂😂❤
@gloryminja822
@gloryminja822 Год назад
Kweli usimtatulie mwanaume matatizo yake atatafutamwingine
@hadijarajabu7306
@hadijarajabu7306 Год назад
Jaman mpaka raha unaongeq ukwer kabisa
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Год назад
Uyu baba ameongea ukweli mtupu
@anitamwamini2646
@anitamwamini2646 Год назад
Kama hakuna anayeweza kutatua majeraha ya mtu slijeruhiwa, wataramu wa kisaikorojia kaziyao wayayoifanya niipi?
@salasala9114
@salasala9114 Год назад
Ume ongea puent sana kaka somolako nime jifuza kitu
@boobohhh3029
@boobohhh3029 Год назад
Kweli kweli kbs👌⚘
@maryammohammed5835
@maryammohammed5835 Год назад
Pastor DEO nimependa kipindi hiki.. Hongera sana
Далее
Слушали бы такое на повторе?
01:00
SHERIA 4 ZINAZOATHIRI NDOA NA MAHUSIANO |  DEO SUKAMBI
56:44