Тёмный

🔴 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 867 тыс.
50% 1

🔴#LIVE: HARMONIZE ANAIMBA MBELE YA RAIS MAGUFULI DODOMA
Msanii anayefanya vizuri katika mziki wa Bongo Fleva kutoka katika lebo ya Wasafi ZUCHU amepata fursa yakutumbuiza katika mkutano mkuu wa CCM Taifa Dodoma....
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 351   
@clarah2123
@clarah2123 6 месяцев назад
Who is here 2024 na Bado Yuko anasikiliza hii nyimbo I listen to this song and my heart out for our rate president JPM may our GOD may our god reduce the punishment of the grave😢
@neemabenedictor8211
@neemabenedictor8211 2 месяца назад
Am here😥
@reaganogembo5832
@reaganogembo5832 Месяц назад
@@neemabenedictor8211 I am here
@god-livingloyalty6650
@god-livingloyalty6650 Месяц назад
ma ringtone
@RashidRajab-oz5ec
@RashidRajab-oz5ec 2 месяца назад
Daah Tanzania 🇹🇿 yangu tulipoteza shujaa wa kweli mungu tujalie tupate kiongozi bora zaidi magu
@oliverben2793
@oliverben2793 2 года назад
who is here 2022👏 then once i listen to this poping song my heart goes out for our rate president . RIP JPM😢😭
@marygervas4941
@marygervas4941 4 года назад
Watanzania gonga like kwa zuchu
@user-dh7ne4qd3e
@user-dh7ne4qd3e 6 месяцев назад
Jamani kama nakuona magufuli baba mungu akupe pumziko la milele .❤❤❤❤❤
@neemaevance80
@neemaevance80 2 года назад
Miss you magufuri mungu akupe pumziko jema
@dotojohn9316
@dotojohn9316 Год назад
Mungu wangu nalia mm kwa uchungu baba cjui katuacha wP jaman😭😭
@khadijayussph9691
@khadijayussph9691 2 года назад
Tuloxkia 👂 baba aliita chuchu badala ya zuchu 🤔 waje tuungane tulieni 😭p1 🤝 ikisha tumuombee kw mungu 🙏 amlaze mahali pema pia amsamekh makosa yake alio mkosea 🤲 JEMEDARI 💪 wetu Tutakukumbuka milele baba 😭😭
@enockkikoti3169
@enockkikoti3169 4 года назад
Asante sana zuchu nyimbo ni kali sana ongengeza juhudi tuko pamoja
@paschaljohn1105
@paschaljohn1105 3 года назад
Machoz yananitoka kiranapotazama nyimbo iiiiii mungu tusimamie naumsimamie rais wetu turikupenda Sana baba
@abubakariaman8575
@abubakariaman8575 3 года назад
Chuchu RIP Mr president mungu akulinde uendapo inshaalah
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 2 года назад
Ahsante Sana Sana Global TV kwa kututolea kumbukumbu ya burudoza JPM, jembe letu. Pumzika Baba mbele yako nyuma tupo. 😭😭😭
@mwlraphaelwakiingereza1394
@mwlraphaelwakiingereza1394 8 дней назад
03/09/2024... Continue Resting in Peace Rais Magufuli. This song made me shed a tear.
@rahelgrayson6927
@rahelgrayson6927 4 года назад
Hongera Sana zuchu upo vizuri Sana wimbo uko poa sana
@vivianotieno6488
@vivianotieno6488 4 года назад
Tanzania's nawapenda Sana Magufuli hoyeee Zuchu nakupenda bureeee from Kenya
@haroubmwenesi4227
@haroubmwenesi4227 4 года назад
sisi tunawapendeni pia sima tunachonganishwa na pesa za bure
@josephmonyo1397
@josephmonyo1397 3 года назад
Sisi pia tunawapenda pia jirani zetu
@pascarmwatosya5855
@pascarmwatosya5855 7 месяцев назад
Daa huu wimbo mkali sana Magufuli pumsika baba
@stevenmaketa8051
@stevenmaketa8051 4 года назад
Daaa hakika zuchu unakipaji saana sio tu chakuimba tu hata kuandika hongera saana ushatoboa weweee wasaaafiiii wcb 4 life🔥🔥🔥🔥
@samsonzablon
@samsonzablon 4 года назад
Kama umemwoba Makongoro akiruka Haihai ya Zuchu tujuane hapa, like
@mszesh5678
@mszesh5678 2 года назад
Continue to rest in paradise of peace magufuli
@mohamedally4496
@mohamedally4496 8 месяцев назад
17th december 2023 baada ya Dp world nimekuja kumsabahi mwambaa Apumzike kwa Amani😢❤❤.
@masudimwabushuti536
@masudimwabushuti536 4 года назад
Hongera zuchu
@Mamie286
@Mamie286 2 года назад
Continue resting in Gods love Magufuli.
@happyndomba6965
@happyndomba6965 4 года назад
sijaelewa bado nalia nini kila nikiuskia huu wimbo💪💪
@samwelamosmusambwa9302
@samwelamosmusambwa9302 3 года назад
😭
@daudimlamka1239
@daudimlamka1239 2 года назад
Hadi Leo hiii , Ohoooo RIP JPM
@CatherineAmos-zw8dx
@CatherineAmos-zw8dx 5 месяцев назад
😢😢😢😢😢😢😢
@belynowiti6694
@belynowiti6694 3 года назад
Look at how magu is looking at zuchu while smiling...mob love kenyq
@salmaissa6217
@salmaissa6217 3 года назад
Niko hapa baada ya magufuli kufariki..Rest in piece anko magu ...tumemiss ucheshi wako tabasam lako
@gracegeorge2132
@gracegeorge2132 4 года назад
Safi sana dada zuchu umeimba vizur sana
@nozgeniuz1812
@nozgeniuz1812 4 года назад
Best SONG kwangu kulko zote
@husnahassan6289
@husnahassan6289 4 года назад
Zuchu mdogo wangu Mungu akutangulie mno mno nakuona mbali sana mama
@LuckyLucky-iu2ho
@LuckyLucky-iu2ho 4 года назад
zuchu thanks for the best song kweli magufuli juu
@haleemahaleema8505
@haleemahaleema8505 3 года назад
😭😭😭😭😭😭Allahuma amiin thuma amiin Yarrabbi 🙏🙏
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
😭😭😭😭😭
@damareshilary612
@damareshilary612 3 года назад
Nimeangalia baada ya msiba wa Baba yani inauma uwiiii
@asmajacob3490
@asmajacob3490 3 года назад
Achatu best inaunguza maini mnoo
@donomar6876
@donomar6876 4 года назад
Zuchu noma
@ngolerashidi9974
@ngolerashidi9974 4 года назад
Duuuuuh zuchu bwan kwa wimbo huu ameua!!! Huu ndio wimbo bola kwa wasanii wa bongo fleva!!!! Mbunifu san
@edwardsamson7951
@edwardsamson7951 4 года назад
Nakubaliana na Wewe kwa Asilimia 110
@edsonbalige3702
@edsonbalige3702 4 года назад
Kweli aise amejtaid
@Estherdor481
@Estherdor481 4 месяца назад
Oh mungu munanifznya niliye machozi nakumbuka magufuli
@perisnaisoi7598
@perisnaisoi7598 3 года назад
Zuchu❤️❤️
@ShamymTalib
@ShamymTalib 6 месяцев назад
Miss you dad❤
@neemabenedictor8211
@neemabenedictor8211 2 месяца назад
I miss him too😥
@mawananasoro4405
@mawananasoro4405 4 года назад
Hongera baby kichuna nyota inang'ara
@boniphacenyamhanga9395
@boniphacenyamhanga9395 4 года назад
Hongere Zuchu nimeupenda Wimbo wako Buree, Jua lile literemke 🔥🔥🔥
@harunamtali4333
@harunamtali4333 4 года назад
Yuko njema
@hadijalily9661
@hadijalily9661 4 года назад
Inkwell America sana
@hadijalily9661
@hadijalily9661 4 года назад
💖💖💖💖💖💖👏👏👏
@everlineontita6
@everlineontita6 3 года назад
Rest in peace Magufuli
@12makondefrommt87
@12makondefrommt87 4 года назад
Nice Swagger rage Zuchu pongez ngoma kareeee
@yohanakobero3387
@yohanakobero3387 2 года назад
Aisee inaniuma sana. Rest in peace President John Magufuli. I will always love you.
@YakubuMbatta
@YakubuMbatta 5 месяцев назад
🎉ccm oyeeeee
@marysellawanza2315
@marysellawanza2315 4 года назад
Am in love,,,,, congratulations 🎊
@lisangiadidja342
@lisangiadidja342 3 года назад
Japo tupo namsiba Ila marehe jaman kanichekesha eti ni zuchu au chuchu😂😂😂😂 Allah akurehem baba yetu ulikuwa mcheshi kweli
@user-vn8jb1ol4s
@user-vn8jb1ol4s 6 месяцев назад
Nakukumbuka San bab magufuli
@julianatweve4694
@julianatweve4694 4 года назад
huu wimbo naupenda jamani yani naupenda kuusikiliza kila wakati. magufuli jamani eti chuchu au zuchu duu!!!
@user-he3me7co9y
@user-he3me7co9y 11 месяцев назад
😂😂chuchu 2023
@amosjoliga7121
@amosjoliga7121 2 года назад
Pumzika kwa Amani JPM
@floridajoachim6062
@floridajoachim6062 4 года назад
Daaa naipendaa had machozii jmn😍😍😍😍😍😍💓💓💓💓💓💓❤😪😪😪
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 4 года назад
Ni vijana. Siku ingine watajua tofauti ya kumburudisha Rais na wajumbe wake wa kamati na sharehe za Fiesta! Usiwe mwepes sana kuwaambia wazee TUSIMAME WOTE....SIO MUHIMU SANA. WEE IMBA TU, WATASIMAMA WENYEWE!... WANAJUA.
@edwardsamson7951
@edwardsamson7951 4 года назад
Ani kaka umeongea point saana
@fatmaismail6393
@fatmaismail6393 4 года назад
😄😄
@gloriamichael3698
@gloriamichael3698 4 года назад
Zuchu big up sana na mwezi nao utelemke mama na nyota Nazo zitelemke mama aiyaaiya mama. umenikumbusha Ruvu jkt Kwa afande sungura ,meena mwaipyana ,motoka ,machachali,kitomali ......safi sana mwanangu I'm blessed
@roselutumo4502
@roselutumo4502 4 года назад
Amejitaid zuch au chuch
@adelinaadoloph5311
@adelinaadoloph5311 4 года назад
Ameimba vzr
@gradiemumba6537
@gradiemumba6537 4 года назад
CCM ooyeeeeee
@rosinamtauka9933
@rosinamtauka9933 5 месяцев назад
we miss you papa endelea kupumzika kwa amani😭
@NjireYassin
@NjireYassin 4 месяца назад
❤❤❤❤
@user-nq8il4cn8u
@user-nq8il4cn8u 17 дней назад
Rip baba yetuu😢
@duncanksieleofficial587
@duncanksieleofficial587 4 года назад
Zuchu🔥🔥... All the way from 🇰🇪
@stingermfisadi6824
@stingermfisadi6824 2 года назад
Miss you song
@crephibula5033
@crephibula5033 2 года назад
7
@hudagal3677
@hudagal3677 3 года назад
she is talleted lady
@AK-rd5zr
@AK-rd5zr 6 месяцев назад
Mungu kwanini ukamchukua Magufuli 😢😢. Ulituacha wakiwa baba 😢😢
@angeldaniel8863
@angeldaniel8863 4 года назад
Congrats for zuchu you did it well carry on 🙏🙏
@user-tf9gh8iu5s
@user-tf9gh8iu5s 6 месяцев назад
Nimemkumbuka sana anko mangu mungu ailaze maali pema looyak
@neemacharles9878
@neemacharles9878 3 года назад
unajua jinsi navyokukubar yn nashidwa ata nikueleze vp but l love much much more
@saumujuma6561
@saumujuma6561 4 года назад
W.c.b wako juu
@aishakabogo8189
@aishakabogo8189 4 года назад
Nakupenda bure zuchu
@godlovejoseph8336
@godlovejoseph8336 2 года назад
wote mulikuwa matapeli tu hakuna kitu mulifanya
@jovinjoseph1438
@jovinjoseph1438 4 года назад
Ila ukumwba rais wa dar es salaam makonda
@godfreybigeyo9105
@godfreybigeyo9105 4 года назад
Safi sana
@georgekiango4357
@georgekiango4357 4 года назад
Safi binti
@hidayamsemo8473
@hidayamsemo8473 4 года назад
Safi
@justiny1180
@justiny1180 4 года назад
Hakika ukiendelea kwa saut hiii u will be first lady kwa bng kalisha wote Nandy na wengne ila jide mwache legendary wangu
@Swahili14
@Swahili14 3 года назад
Et jide amuache🤣🤣🤣 sukuma ndan wte Zuchu 🌚
@amanipaulo8314
@amanipaulo8314 4 года назад
Mubashara
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 10 месяцев назад
Maishallah
@BrendaMuhonja-by6gt
@BrendaMuhonja-by6gt 5 месяцев назад
🎉
@huaweismart6641
@huaweismart6641 4 года назад
Zuchu hongera sana upo juu
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Rest In Peace Rais Wetu Maguful 😭
@marygervas4941
@marygervas4941 4 года назад
Nice zuchu
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 2 года назад
Maguful nikikuangalia mashindwa kuyazuia machozi roho inaniuma I wish cku zilud nyuma dah😭😭😭😭😭
@janetmrema8496
@janetmrema8496 4 года назад
Yan zuchu noma love u ccm
@user-xh7py6mp8h
@user-xh7py6mp8h 5 месяцев назад
Ni hatariiiiiiiii❤
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 года назад
Zuchu oyee JPM oyee
@pastorjoshuajuma.2601
@pastorjoshuajuma.2601 2 года назад
Amen
@adelinaadoloph5311
@adelinaadoloph5311 4 года назад
Kaz nzr
@AshaMsonde-os6jb
@AshaMsonde-os6jb 6 месяцев назад
Magu jaman we miss you dad 😢😢😢😢
@goldenphiri6084
@goldenphiri6084 4 года назад
I will be back home from Zambia house of makufuli makufuli oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@mussabaucha8175
@mussabaucha8175 4 года назад
I like so much this songs
@eyadjamma2942
@eyadjamma2942 4 месяца назад
Mago ❤❤
@atukuzwelameck4324
@atukuzwelameck4324 2 года назад
OMG 🥺❤️🤲
@mundhirkhan4068
@mundhirkhan4068 4 года назад
Big up
@joycemaregesi4189
@joycemaregesi4189 4 года назад
Hahahahahaha! Et ni chuchu au zuchu ahsante uncle Magu
@mariamakungwa5391
@mariamakungwa5391 2 года назад
Zuchu uliimba hongera sana binti
@user-dc1qh3nm5s
@user-dc1qh3nm5s 11 месяцев назад
Tunakumiss Rais wetu pendwa Rip inauma jamn
@janethsanane2386
@janethsanane2386 4 года назад
We dada noma dah
@rutakihama3523
@rutakihama3523 2 года назад
Daaaaah R.I.P our lovely prezd
@hopenassary7666
@hopenassary7666 4 года назад
Young d baba anarejea hyo ndo ngoma kali hz nyingine hamna kitu
@geofreygodfrey4823
@geofreygodfrey4823 4 года назад
Nice song
@kingsaidovolcano9651
@kingsaidovolcano9651 4 года назад
Nakubali zuchu nakufata 100% kbs ww nzuri kbs
@e.j.starelia5672
@e.j.starelia5672 4 года назад
I love you Zuchu my sis
@ibrahimkeya3396
@ibrahimkeya3396 2 года назад
Mama Samoa na majaliwa kweli zuchu ulisema ukweli.Baba magufuli lala salama.Tunakumbenda hadi huku Kenya.
@emmyngomongo5253
@emmyngomongo5253 3 года назад
Chuchu we noma2
@magrethnyimbi8632
@magrethnyimbi8632 3 года назад
inapendeza sana
@user-yf5bh2qz7s
@user-yf5bh2qz7s 6 месяцев назад
Bien❤❤❤
@ZainabuZainabu-dt5rs
@ZainabuZainabu-dt5rs 5 месяцев назад
Nimeipenda San lakin nd hatupo nayo Tena rais wetu Ila zuchu kaimba vizur 3:55
@user-ls2nq2eq3l
@user-ls2nq2eq3l 5 месяцев назад
Mic u Dad😢😢 Rest In peace❤❤
@georgesongo2048
@georgesongo2048 4 года назад
zuchu mamy uko vzr
Далее
Introducing iPhone 16 | Apple
02:00
Просмотров 4,5 млн
Dulla Makabila - PITA HUKU (Official Video)
4:58
Просмотров 7 млн