Huu wimbo unamafundisho mazuri Sana. Yani nikiingia RU-vid mpaka niurudie mara tatu na zaidi. Wapi mwengine wakurudia huu wimbo, mikono juu.👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿👊🏿
Lakini hawatupendi. Eti sisi hatuko creative,twaimba nyimbo zao. Yaani kuna jamaa aliimba vizuri kwa audition fulani hakupita juu aliimba nyimbo za Kenya.Mimi sikufurahia hata kidogo
@@zuberimashuhuri Unahoji shekhe kwasababu kamtaja mchungaji? Hii siyo ligi ni wimbo tu suala la msingi mesej imefika kwa jamii, ukitaka ataje watu wote wimbo utafika dakika 100
Best song sang by best singeli singer, the message of this song talks about reality of the world as we see nowdays the world is affected by moral decay... more love to him
Nyimbo Bora duniani kutoka Tanzania jamani dula anaitaji kufanyiwa maombi ya baraka kutoka kwenye mazehebu zote duniani kupitia wimbo uhu aise mungu akubariki sana wimbo umetufikia apa ichini Sweden 🇸🇪 💥💥💥
Pongeza za dhati kwako DULLAH. Ubunifu wa Hali ya Juu. Waigizaji Wenye Viwango na Umakini wa Kazi Zao, Kuanzia MAMA Mtu Mzima, Salute Kwake...... DJ. DR. Hakimu... na wengine wametekeleza vyema jukumu la sehemu yao. Pongezi za kipekee kwa Dada wa Uturuki.... Ungetupitisha Kulia😁🤩🤩
tumechoka nyimbo za mapenzi na kukata viuno sasa tunataka kuelimishwa na kuburudishwa BIG up bro! mkiufungia huu wimbo mtatukosea sana asee while kuna watu wanakata mauno huko mnawaachia sikuhizi hadi watoto wadogo mtaani wa kiume wanakata mauno kama feni mbovu
Mimi sio shabiki wa singeli ila huu wimbo ni hatari sana kuanzia sahv ni shabiki wa dulla Makabila let's join to support this song by sharing in our groups
Full mafunzo. Umekuja na style yko bro big up sio kila saa kuimba mapenzi tumesahau nyimbo huhamasisha jamii Asante dullah tuelimike kupitia huu wimbo Basi kama kuenda msikitini na kanisani shida.. gonga like ka mnakubaliana na dullah
Dula tunashukuru sana kwakutukumbusha Kuna siku tutasimama mbele zaMungu kulipia matendo yetu maovu tunayofanya hiyo nyimbo nikama mafunuo yaMungu ktk kuwaonya watu wasiokaa katk njia yautakatifu turudi kwenye utakatifu nyimbo nzuri sana imebeba ujumbe mzuri sana watakaoichukia wabasilike ukweli mchungu lakini ndio dawa yakupona dhambi zetu Ubarikiwe sana Kazi nzuri huna baya namtu asiokupenda akale sumu
Ukwely me naona basata kumfungia dulla makabila wanamkosea Sana huyu jamaa ni more critical thinking kuliko wanamuziki wote bongo angalia huo wimbo real life 🥰🥰🥰Kama nawe umeupenda gonga like hapo
@dulla makabila umepita kwenye ujumbe wa watu jamaan hiii ni funga mwaka brother nakubali sana mwenye uwezo atulipe hiii team MAKABILA gonga like kama unamkubali
Ongera kamanda sanaa umeitendea haki ubunifu wa hali ya juu ,ila ongeza jitiada ya kubuuni zaaindi kwa sanaa ni pana mno ,muundu wa wimbaji ,mtindo wa uchezaji, ubunifu wa mavazi ,mazingira, yani sanaa ni pana sana
Hawa BASATA wameshindwa kufungia nyimbo za AMELOWA ,NITONGOZE Wanakuja kufungia Nyimbo yenye Kuelimisha Jamii Yetu kabisa 100% hii Nchi ya Ajabu sana hili waliangalie BIG UP sana DULLA MAKABILA Umetisha sana ALLAH bless you.
Nyimbo namba moja yenye mafunzo makubwa ndani yake na ambayo inaelimisha jamii zote .. Kwa kweli wanamizki wajitathimn kwamba wwngekua na mafunzo haya ,jamii zingebadilika na kuelekea kunakotakiwa