Hapo kwenye nyombo vya habari umeongea jambo lamsingi ila mungu anawaona na kuna shekhe mmoja nayy sasahivi apitwinajambo kilajambo analifanya analijuwa
Olengurumwa ulikuwa unampinga sana Magufuli huku ukitumia na Mabeberu na kumuonesha hakuaa na maana sasa pambana na Wanasai wenzako! Kujitambua ni muhimu sana! Akitokea mzalendo mnakuwa na maneno mengi mara anateka watu na blahblah kibao!
Hawa ndio pumbafu kabisa . Hawana jema. Kila linalofanyika kwao baya. Kila utawala mbaya, Kikwete mbaya, magufuli mbabe, Samia waarabu ! Mnataka nini nyie punda? Kila kitu haki za Binadamu , nyie vibaraka wa Mabeberu tuu hamna jipya.
Mimi na swali Kwa Raisi na na serkali yake ya wahuni kwanini maraisi waliotangulia kwanini hawakutolewa na maraisi waliotangulia? This show Samia your have a bad intension to Tanganyikan Where is Ghadafi,where is Sadam, where is Mobutu,where is Omari Bongo Tenda Haki .
Said Ally sio lazima ku comment,iwe wameonewa au ni wakadi ili tuwe na amani masikilizano ni muhimu sana.msipende kutukana tukana tunahitaji kuelimishana.mnatia hasira mnaotoa kauli za kibahuzi,pengine rais anajpanga jambo hili liwe sawa.
Kama mwenye mamlaka ya kikatiba kufuatilia vilio na mateso haya kwa raia wake ni Rais wa nchi lakini kaamua hataki kusikia na amekaa kimya, tunaamini Mungu aliyempa nafasi hiyo ili alinde watu wake hatakaa kimya muda wote
Hawa WaMasai ni wafugaji na ndio maisha yao. Wanakuwa na mifugo mingi sana. Je wanapodai wamehamisha kadhaa! Je mifugo yao imeham8shiwa walikoenda? Kinyume cha hapa waliohama ni wasio wafugaji na aidha ni wahamiaji wa kipindi fulani aidha kikazi. Ukweli usemwe!!
Nchi hii bila kushughulika na muundo wa muungano na kukabidhi Tanganyika mamlaka yake ya uhalisia,kila Rais wa muungano kutoka Zanzibar anakuwa na mambo ya utata katika watu wa Tanganyika.Zanzibar walipindua Waarabu na wakajiunga na ujamaa wa Tanganyika.Sasa kuna kila dalili za viongozi Zanzibar kuachana na muungano na kufuata ubepari wa aina ya ki-arabu au kueneza utaratibu huu kwa eneo la Tanganyika.Zanzibar ndiyo sababu ya kuondoa Azimio la Arusha la 1967,kuleta utawala wa UAE katika vitalu vya uwindaji vya Loliondo na sasa hatimaye matokeo haya ya ubaguzi wa wamaasai na maumivu mengine mengi.Tujisahihishe haraka kuepusha matatizo ya sasa na mengine yajayo.
Sambulungu wewe ni adui wa haki tangu utawala wa mwenda zake mshauli Mama usimpotoshe kwani kuacha kazi zake kwa siku moja kuwaona wamasai ni kazi ngumu na wewe Mama samia jishushe waone hawa watu wako tengeneza histolia kama manabii mtume Mohamed na Yesu christo wakifa Mama damu yao hiko rohoni mwako na rahana zote nijuu yako na watoto wako
Mama ameamuwa na spika wake wote ni wanawake hawana huruma na wanawake wenzio mungu anawaona malipo yapo hapa hapa je mwendazake yupo wapi kwa Sasa ccm ni wahuni hawa warabu ninani kwetu mama Samia hawa warabu kawape huko Zanzibar huyu mama ni katili sana na anatuuza sisi nchini kwetu kweli huyu raisi atukutaki kwa staili hii apana
Vyombo vya habari mumepewa nini ndiyo maana mungu anawalaani na mtakufa kwa larana musiwe wadanganyifu .naomba wenye watanzania acheni kusoma magazeti na tv wajinga wanao tupotosha hawataki kutangaza ukweli tv magazeti .semeni ukweli munalipotosha taifa hamfai. Hata kuitwa wandishi wahabari.
Kimsingi huu uchafuzi wa daftari la wapiga kura wa Ngorongoro Hii tume imeshachakachua hasa na watajiandaa kwa kura feki aidha huko Msomera na hata wqkirejesha Ngorongoro lazima washaiba hizo kura tayari!!
Hakika kwa hili serialised ya coming ilaaniwe na Mungu mwenyezi awaangamize katika hilarious zao, e Mungu uwape nguvu wawe chanzo cha mabadiliko katika Tanzania.
Hii jamii kwa nini tunaitesa hivi, ni watanzania hawa jamani? Walikuwa Serengeti wakahamishiwa Ngorongoro, halafu leo tena wanafukuzwa Ngorongoro na kupelekwa Tanga. Keshokutwa sijui watapelekwa wapi
WAMASAI NI KIVUTIO KIBWA TANZANIA NA DUNIA NZIMA UNYANYASAJI HUU JAMII HII INAWEZA KUPOTEA.WATALII WANAPENDA SANA KUJA NGORONGORO SABABU KUU NI KUONA UTAMADUNI WAKIMASAI NA WANYAMA.
Huyu nae anaongea nini tizama mashavu yake acha upuuzi wao si wanashindana na dora waache wateseke sisi WA Tanzania hatupendi shida hao wamasai sio watanzania
Jombo hili ni ukatili mkubwa sana kuwatndea watanganyika na ni dhambi kubwa sana mbele za Mungu, RAISI USITUFANYIE HIVYO WATANGANYIKA....MUNGU ANAKUONA.