Mtangazaji acha ukuda sema yanga upande wa pili timu zingine zip taja yanga azizi K anapoteza mipira mingi hata huyo chama anapoteza mipira hawakabi Ahou ni bora sana kuliko azz na chama
Yaani waandishi takriban wote wanatumika kuithoofisha Simba kwa namna moja au nyingine na hawatambui km wanachangia kuishusha tz ktk tasinia ya michezo
Ninyi ndio maana tunawaita makanjanja sijui msomali anawapa nini ni aibu kwa tasinia ya habari. Kama simba ilikuwa mbovu kama anavyosema huyu mjinga simba ingeweza kuwa nafasi ilipo na ingefika robo? Ichukieni simba mwisho mtakuja kuaibika ninyi?