Mabingwa watetezi Al Ahly SC wanaacha kabisa mechi za ligi ili kupambana kwenye champion last year walikuwa na vipolo vya ligi kama 10 mechi hivi. Kwa Africa tunahitaji kuzipa muda wa kutosha kujiandaa na michuano wa Africa. Naamini Yanga ilipata shida sana kucheza Azam huku wana kabiliwa na Robo Fainaly kilichotokea wachezaji muhimu watatu wakaumizwa na kokosa mechi ya muhimu ya robo