Stephano mange wa ngudu kwimba mwanza kibu d anatakiwa atambuwe wajibu wake nasheria ya mpira anazijuwa aangalie asije akapoteza kama Kuna watu wamemdanganya atajuta kwa Nini wamemupotosha ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Vipi km kibu katekwa? maana tunaeza kumlaum kazima sim ila kumbe kuna changamoto imemkuta. nafkiri km hapatikani angetaftwa kwa kumfikiria postive maana haiezekani mpaka watu wake wa karibu hawafaham yuko wap alafu msijiulize nin kimemkuta
Mambo ni mengi Duniani ,tusimuhukumu kwanza inawezekana kunatatizo amelipata, iyo ni moja ingine yule ni banyamulenge, na utaifa wake haujulikani vizuri Wachambuzi chunguzeni vizuri ili mtupatie taarifa sahihi. Anyone sasa chimbua Chimbua kwa usalama wa taifa....
Hilo timu la utopolo wa mo dewji ni genge la wahuni. Hawalipi wachezaji kama mikataba inavyotaka, matunzo kwa wachezaji ni hovyo kuliko maelezo. Mzungu, Okra, Inonga, Chama na wengine wengi tu wamejikata kwasababu ya ubabaishaji na ujuha wa viongozi.
Kibu kajuwa chama anabaaki kapatamshituko kusikia chama kasajiliwa yanga kaona yeye nani abakisimba tumu yenye shutuma mdawote timu ya dhuluma kaona awapotezee safisana kitu ubaya ubwela nautawalirudia kweli huoubaya wao wanazuwa msemo hawajuwi mazarayake nabado