Mtumishi wa Mungu, Mwl. Javan! Hakika Mungu wa mbinguni akubariki sana kwa mafunuo haya ya pekee! Mimi najifunza mengi sana kwako, hili somo limejaa mafunuo makubwa. Barikiwa Baba.
Niseme tu Mungu amemuumba kila mtu kwa kusudi maalumu la utumishi wake juu ya wanadamu basi nawe eeh mtumishi mwema wa BWANA yesu kristo umeitwa kwa kusudi hili nikuombee Bwana akutie nguvu na aendelee kukutia nguvu sana mtumish
Very powerful revelation.... hakika hiki ni kipindi cha mwisho ...na Baba wa uongo anatuzubaisha kuona bado tupo sana ili aendelee kuvuna roho za kwenda nazo Motoni maana yeye amekwisha kuhukumiwa
Mtumishi mafundisho haya yanaumiza sana na yatawaumiza sana wale ambao Watashindwa kuyasikia na kuyaelewa maana muda ni mchache sana wa sisi Kuchukua MAAMUZI MAGUMU YA KUMFUATA YESU. NAKUACHA YA DUNIA,MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏🙏🙏🙏
Ameeeen Ameeeen mtumshi wa Mungu akubariki sana na azidi kukufunulia ilikwamba utujuze mambo haya ya Muhimu eeh Mungu wangu nitie nguvu katika safari hii naomba eeh Bwana utengeneze nami mtumwa wako
Give us an ending better oh LORD than the beginning . I know you’re coming back soon Jesus Christ our Sevior don’t leave me and also my Family in the Name of Jesus will Be there on the Last Day Kumulaki Bwana YESU Mokozi Wetu 🎉 you’re a good Father ♥️♥️♥️
Ubarikiwe sana Kwa mafunuo haya Mtumishi wa Mungu,asante Kwa kutufikishia ujumbe huu ni jukumu letu Sasa kujiweka teari ..Mungu azidi kutumia ktk huduma hii
Amen Mungu akubariki na asante kwa kufuatilia mafundisho. Asante kwa kupenda kuchangia injili. Mungu akubariki na kukutunza. YESU akutane na haja za moyo wako. +255 745 76 45 72 Isaac Javan
God bless you. Am sorry we cannot do that for now because we still have a lot more coming on the subject. But we encourage anyone who hears the message to share what they have learned to many others.
Mungu akubariki sana. Nakushauri usichangie ujenzi wa hekalu la tatu. Kipindi cha kutumia hekalu kilishapita. Hata utaratibu wa sadaka za kuteketezwa hekaluni zilishapita. YESU alipokuja alifanyika sadaka kwa ajili yetu, na akafanyika yote katika yote. Lakini ili unabii wa siku za mwisho utimie, ni lazima hekalu lijengwe ili Mpinga Kristo alitumie. Kwa hiyo nakushauri usichangie ujenzi wa hekalu. Ubarikiwe sana na BWANA YESU
Si hivyo tu, kuna watu wanaenda kwa waganga na wanapata watoto. Hiyo haina maana kwamba jambo hilo ni sawa. Shetani anao uwezo wa kuwapa watu vitu wanavyotaka.