Mungu naomba unibariki niwe na hekima nikiwa na hekima Nadhani yote nitayapata mbele za Mungu Amen Mtumishi wa Mungu Mungu Kubariki kwa Huduma hii nimebarikiwa 🙏🙏
Mimi wakati tu ninapotaka nikate tamaa nakutana na mungu kwa njia tofauti tofauti aiza kama hivi nimekusikiliza au ndoto mungu ananiambia je mwanamke anyonyeshae aweza kusahau mtoto wake anyonyae naaam hao wa weza lakini mimi sito kusahau wewe nikiamka nakua na nguvu mpya sasa na funga sana na mungu amenitendea sana amen mtumishi
Amen Amen ndugu wapendwa tufunge Mungu ni hajabu ni mara yangu ya kwanza kufunga masaa 24 ijumaa iliyopita ila Mungu wetu alinipa nguvu kinyume kabisa na nilivyotarajia hivi nafurahia kuunga masaa 24 na nina Amani
Mungu wangu naomba niondolee Hali ya uzito nijalie wepes katika maisha yangu yote magonjwa yote yanayonishikilia yakapate kuniachilia pia naomba nisaidie nifanikiwe nimepitia magumu kwa kipindi kirefu, niokoe yehova
Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu! Binafsi namuomba sana Mungu lakini hakuwahi kunijibu kama ni kufunga ninafunga adi najiuliza sijui nakosea wapi kila mahali ninapojaribu kuomba kazi inashindikana sijui ata nitaomba ombi gani ili Mungu aweze kunijibu
Pole tuombeane tutiane moyo mm nimeomba sana nimeombewa san nimezfunga japo sio sana najiuriza wap nimefer Yan ndo ugonjwa unaongezeka mmi nimuimbaji nitaimba rin sasa