Aman Thani anamuelezea Ibrahim Noor maovu ya mapinduzi. Kushrehekea mapinduzi ni aibu kubwa. Faida gani ya mapinduzi yamepatikana baada ya miaka yote hii?
Wazanzibari waliuliwa kinyama ilfu ishirini walikufa wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma wakawazika pamoja katika mashimo wakati serekali ya hapo awali ilichaguliwa ki halali
Ama kweli fitna, chuki na uongo una nguvu sana.. lkn naamini haidumu ipo siku itajitenga na ukweli utajulikana nani ni nani na kwanini walifanya waloyafanya... ni swala la muda tu! Allah awasamehe walotangulia na awahukumie kwa dhulma walotendewa
Wameshafika mbele ya haki wapo kwa Allah Huko hakuna mapinduzi huko Ni haki tu ,na sifikiriii ktk wapinduzi kama yupo alokufa kifo cha kibinaadamu wengi wao walidhalilika kabla ya kufa kwao Mandela alikua akikaa kidongo Chekundu siku ya mauti yake alfungiwa chumba jinsi alivyokua Akipaparika na mwisho alikutwa Chini ya mvungu wa kitanda Ulimi Pima
Hamna faida yoyote ya mapinduzi labda kuendelea dhulma na kuwadhalilisha raiya' na mauwaji yanaendelea km kawaida 'inshalla Allah atawahukumu madhalimu 'tunajua hakuna mwanzo usio na mwisho
Na atakayeuliwa au kuteswa kwa ajili ya Allah ujira wake ataupata wala hataonewa. Msihuzunike yupo nanyi na mola atawalipa uovu Wote waliohusika na mapinduzi hayo watapinduliwa pinduliwa motoni huko. Nayachukia maana nayajua maovu na uovu wa waliohusika.
Hata useme nini, usultani Mwafrika kakataa. Unayesema we Mwarabu mbona usende uko huko ukaishi raha mstarehe. Mapinduzi ulikuwa lazima kupinga dhulma. Jengeni nchi yenu kwanzia hapa...
Kwani kulikua na haja gani ya kuuwa watu wakati sultan alikimbia? Ukishafanya mapinduzi na mtawala akakimbia raia walokuepo ni wako wote sasa ubaya ni pale walipowauwa wale raia.. hugo dhambi haitawaacha milele daima
apo nimekuerewa mzee kwa msemo wa kuua mtu ni zambi sana rakini utamkuta mtu anashiliki kuua uku akijiamini mbere ya wezie kwa asira kali ajui kama kila nausi itaonja umauti kuua ni zambi mwenye kuamini uwepo wa mungu asiuwe wandugu
hana lolote mnafiki huyu. tunamjua mtwana mkubwa kusema hayo na mengine na huo umri anaosema ni muongo. aje nimuoneshe kipande/kibali cha kupatachakula 1918 cha baba yangu kipo. mwafrika anapata chakula dona ratili 3,sukari ratili 1. mchele ratili 2 kwa mwezi , waarabu hakuna kitu kama chakula na kidogo afadhali uwe mngazija.
Nyinyi mnaopinga hapa wengi wenu ni watanganyika munajifanya kuwasemea vibaya waarabu halafu haohao wanakusaidieni na wAla hamukatai , hebu jaribuni kuangalia video mmoja youtube magufuli Na kiongozi mmoja kiarabu aliahidiwa atachimbiwa visiwa vingi sana , munawasema vibaya waarabu cha kushangaza haohao ndio wanakusaidieni na wAla hamukatai
Ndio kaka ni haki vilevile kunajisiwa mwanaume na ni haki mtoto kumwingilia mzazi wake na ni haki kaka kumwingilia sister wake yote ni haki tu au vp. JITAMBUE WW
Unajizonga mwenyewe. Huyu mzee ni mtu maarufu zanzibar na anachosema ni ukweli mtupu kwasababu aliwekwa ndani miaka mingi. Allah amsamehe makosa yake na amuingize kwenye pepo yake ya juu kwa kutupa ukweli.
Ww thamini2 isichokijua maana yake Na nn lengo lake lkn kumbuka hao warabau ndio walioifanya Leo kuenea kwa uislam Zanzibar Na kuleta maadili ya kiarabu yan mavazi ya kiheshima pia ujue mapinduzi ndio yalio waua masheikh wakubwa ambao ndio masharifu yan wasomi Na mengi2 yaliofanyika ila ww bado mdogo hauwez kujua ndio maana ukipewa maneno ovyo unakubali2 pass nakujua nn faida yake. Sema astaghafillah kwa kuyatukuza kuliko kutukuza dini yako.
Aaaaaa mapinduzi daima sisi ni waafrika tunajitawala wenyewe muarabu ndoo nani kaja na ushenzi wake tumemtupa uko pumbavu kabisa yaanii ilifika muafrika mwenyew etii kuingia stone town kwa kibali dahh inauma sana wazee wetu!! na lilikuwa sii lakujuwa maana walikuja Kama mbuzi kumbe ndani simba wakatutawala kuona watu weusi tumepambwa na miti ya kijani na matunda yakutosha na wanyama aadim duniani lakini hawa washenzi wametunyanyasa na kutuzalilisha na kutuuza Kama vitunguu maji sokoni wewe leo unaunga mkono waarabu aaahhh!! shida sana ila najuwa nyinyi ndio vibaraka mulio bakia na sultan mbaka Sasa anasema Zanzibar yake na atarudi nakutuma mwambie haiwezekani
Yeye au wewe? Huna unachoelewa mwenzamgu bora unyamaze tu kama mimi, Mzee kayaona tena unataka nini? Na anasema mwenye shaka aende yupo tayari yeye, tena uelewa gani unaoutaka?
Ni kweli mlisoma bure, anasahau kuwa idadi ya watu wa wakati huo tofauti na ya wakati huu, na hata matibabu ni hivyo, lakini pia anapaswa kutambua kuwa hata maradhi kipindi hiki yameongezeka tofauti kidogo na nyuma,, na mbaya zaidi anataka kutujengea picha kuwa sultani hakuwa na maovu kitu ambacho si kweli,,,,,,,,,,,,ndio maana naendelea kueleza kuwa bado ana tatizo la uelewa
Hili zee linaongea nini kama ulikua kibaraka wa waarabu siutwambie ? Na wewe kama huoni matunda ya mapinduzi tuonyeshe hayo mabaki ya ukoloni uliofaidika nayo? Huna points kujipendekeza kwiiingi
@@gangmore9091 heeeeeeed!!! kwaiyo kuuliwa ngozi nyeupe zambi ila mtu mweusi kuuliwa kwenye sehemu yake nchi yake mbele ya ukoo wake mtu mweusi sio zambi sshhtuka broo usiwe mshamba kiaasi ichooo mapinduzi daima tunajitawala ss watu weusi wenyewe
Mzee umeongea pumba tupu. Ni kwamba wajitoa akili juu ya faida za mapinduzi?? Kuhusu wewe kusoma bure unajua population ilikuaje na sasa ikoje?? Ninachokiona ni ukibaraka wako kwa waarabu.
ahmed masoud kwanini unawachukia waarabu ndugu yangu je waarabu huko znz walikuwa wanafanya mauwaji,wakifanya kitu gani kibaya sanaa,na hata kama ubaya Wa kawaida yapo wao ni binadaamu hawajakamilika je utawala Wa sasa wanafanya mema tu hakuna ubaya
ahmed masoud jua kwamba mtume ynaemfuata muarabu,makhalifa wakubwa wanne walikuwa waarabu,kitabu cha quraan lugha ya kiarabu kaburini utaongea kiarabu siku ya hesabu Kwa ALLAH lugha itakuwa ya kiarabu.