Тёмный
No video :(

JE! ULIDANGANYWA HISTORIA YA ZANZIBAR- MANGAPWANI? 

KTV TZ ONLINE
Подписаться 375 тыс.
Просмотров 74 тыс.
50% 1

Katika muendelezo wa kuendelea kukujulisha kuhusu historia ya Zanzibar na watu wake, mwandishi wetu amekutana na BI Nasra Mohammed ambae ni mtafiti na mwandishi wa zamani, mwenyeji wa eneo la mangapwani ambae ana historia kubwa ya eneo hilo.
Eneo hilo linajulikana kwa historia nyingi moja ikiwa ni chumba ambacho kinadaiwa kilitumika kama maficho ya watumwa, Bi nasra anaeleza Kwa nini chumba hicho kilijengwa.. ungana nasi
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #Zanzibar #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
cc: Sadia Rashid
cc: Masoud Maganga #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 128   
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 лет назад
Shukran Ktv tz ONLINE HAKIKA HII NI FAHARI YETU HODI ZENJIBAR
@muthannajuma6896
@muthannajuma6896 3 года назад
Masha Allah. Asante sana Bi Na. Nafsi yangu nilikuwa siamini hio historia ya kuwa walikuwa wanafugwa watumwa humo. Lkn sikuwa najua ilikuwa ni sehemu nini. Wengi wanapenda kutoa historia ya kueneza chuki na ubaya bila kuangalia kuwa wengi wetu wazanzibari tuna pande zote mbili za watumwa na za mabwana.
@issaali1321
@issaali1321 4 года назад
Mie nipo nawee mtangazaji alhamdulilah upo vizuri sana bibiye.
@abuuhamzasuleiman7005
@abuuhamzasuleiman7005 4 года назад
Fanyeni tuipate iyo historia ilokuwemo kwwnye CD anayosema bi NAa kisha chengnie mmetubania iyo mangapwani hamkutuonyesga vizuri. Asanteni
@allysaid6742
@allysaid6742 5 лет назад
Ahsante bi NASRA kwa kutujuza
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 4 года назад
Uondoukweli nautabakia kua ukweli asante bi naaa
@ssur5797
@ssur5797 5 лет назад
Nipewe no za huyo mama nimfte kwake inaonekana anayajua mengi huyo ntmni ungekuwa mma angu wwe ningefaidi mengi kutka kwako👌👌👌👌👌👌👌
@111dudi
@111dudi 5 лет назад
Makes a lot of sense. Those blaming Arabs for slavery esoecially European missionaries and rulers and their Christian followers,should stop telling lies
@asiaa5196
@asiaa5196 5 лет назад
Haya asanteni KTV TZ ONLINE
@muhammedwakif6216
@muhammedwakif6216 5 лет назад
Mangapwani ni nyumbani na hy mzee ni babu yangu mzee Hamed Allah amraham
@dhiabmohammed4238
@dhiabmohammed4238 5 лет назад
Amin
@fadhilaramadan5143
@fadhilaramadan5143 4 года назад
Amina inshallah
@ssur5797
@ssur5797 5 лет назад
Chechei wadau jmni mmi Zanzibar nyumbani lkin wallah manga pwani cpajui hta kukovipi itbidi niwe mtalii nitalii kila saham mskunduchi.nungwi nisehm nying mmicizifahmu kiwengwa hdi aybu kusema ivo zanzbar kisiwa chenye history bungi dah inatosha jmni mna nitmlza majina .
@ukhtyrahma.3922
@ukhtyrahma.3922 5 лет назад
@S Sur pole sana mpz itabidi ufanye ziara ya kutembea na ukitaka kampany naweza kukupa inshaAllah ucjali.
@ssur5797
@ssur5797 5 лет назад
@@ukhtyrahma.3922 kweli ishllh tuwombe uhai na uzima nikirudi kwetu nitkutfuta kwani nko mbali na TANZANIA😗😗😗
@ukhtyrahma.3922
@ukhtyrahma.3922 5 лет назад
@S Sur inshaAllah ucjali
@fatmahmwinyi4061
@fatmahmwinyi4061 5 лет назад
Uninambie na mm nije nipo dar nipate wenyejiii
@ukhtyrahma.3922
@ukhtyrahma.3922 5 лет назад
Fatmah Mwinyi inshaAllah msijali nyie njooni tu hasara miguu yenu na nauli zenu.
@mohammednassor3081
@mohammednassor3081 3 года назад
Mashaallah binassra historia ya kusisimua
@chinaboyzanzibar5328
@chinaboyzanzibar5328 Год назад
ASSALAAMU ALEYKUM MASHALLAH I LOVE 🇿🇦 ZANZIBAR AND PEOPLE OF ZANZIBAR THE ARE TOO KINDNESS ❤️ 💖 ♥️ 💗 💜 MY ALLAH ALWAYS MAKE THEM HAPPY 😊 😃 😀 😄 😁 🤣
@ashuashu3843
@ashuashu3843 5 лет назад
Ahsante bi mkubwa,wahenga twawaheshimu sana.
@Queen-te3lz
@Queen-te3lz 4 года назад
wakati zipo shule znz 2012 chuini secondary school tulienda wanafunzi na walimu kujionea history ya watumwa kote tumesha ingia kutizam
@yahyaibrahim6934
@yahyaibrahim6934 4 года назад
Zanzibar na oman nimoja kama nimungano bora ungekua oman na Zanzibar nibora zaidi kwasbb waoman wanaahistoria yao oman nilazima watakua nahuruma na upendo wenyewe waomna wanasema kua Zanzibar ninyumbani
@heartnsanya1182
@heartnsanya1182 4 года назад
Tatizo wavivu oman oman mnapenda vya bule
@suheilsuheil8780
@suheilsuheil8780 4 года назад
Sheria imebadilisha ukweli mpaka mashuleni watoto wanasomeshwa uongo na historia ya zanzibar ,ukweli unafichwa ,zanzibar nchi ya barka
@galayagalaya48
@galayagalaya48 5 лет назад
Mashaallah
@user-qo6qv6mc5p
@user-qo6qv6mc5p 4 месяца назад
Huyu alojenga cave akija mbagala harud😊
@abdul-razakamour5136
@abdul-razakamour5136 5 лет назад
Ktv hongereni lakini udadisi ni muhimu katika kutoa habary sahihi na historia haibadiliki mamb ya nasabu sawa lkni alisema kuwa chimbuko la huyooo ni mahodary na alimpa mikoba gani...... ¿
@shammoha5297
@shammoha5297 5 лет назад
Duh! Historia nzuri lakini ya kusikitisha😔. Mola atusitiri
@abdulrahmanrajab4369
@abdulrahmanrajab4369 4 года назад
Upo vizur bii naah mashallah endelea kutujuza na mengine😍
@111dudi
@111dudi 3 месяца назад
Ukitaka kuwafuragisha waznz we ye chuki, waam ie kuwa waarabu ndio waliokiwa wafanya biashara ya watumwa, rena wanafurahi sana. Kheri za waarabu hawapendi kuzosikia,ikiwemo lugha,dini,mavazi,ustaarabu, majengo,mabarabara nk
@yahyaibrahim6934
@yahyaibrahim6934 4 года назад
Kweli behle mtihani hadi Leo me nipo uku wanakusifia behle kwavibwengo 😂😂😂
@belgieboys9867
@belgieboys9867 5 лет назад
samahani Ktv ile ilikuwa zaima tv niliposema hiyo historia ya uongo
@hammerQ954
@hammerQ954 5 лет назад
❤zanzibar
@hakunamatataznz5508
@hakunamatataznz5508 Год назад
❤❤❤
@anniyahfacebeat8937
@anniyahfacebeat8937 5 лет назад
historia ya znz ni kubwa mnoo ipo historia nzur na mbaya pia. hakuna shm ina historia nzur 2pu. allah atustiri na atuekee mahala pe2 znz .. m.naomba historia ya oman na znz kwa ujumla jinc ilvyo hapo mwanzo.. kuna wa2 hawaamin waznz walio wngi hasa wazee wao wote wametoka nchi za kiarab ..
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 3 года назад
Kwahiyo hakuwa na waafrika hapo znz
@aishasaid5702
@aishasaid5702 5 лет назад
Historia tamu iyo jamani
@saydbarakismailiya1515
@saydbarakismailiya1515 5 лет назад
Mangapwani ndo nymbani kwetu huko najisifia sana home sweety home
@challabeel578
@challabeel578 5 лет назад
H0m sweat h0m
@fadhilikawambwa5159
@fadhilikawambwa5159 3 года назад
wapige chini wanaanza hujuma ili muonekane mnakwama baada ya mzee kuondoka
@MrKhatibu
@MrKhatibu 5 лет назад
Kwahio ni kweli Warab wa Oman ndio walioleta majin visiwani Zanzibar!
@yahyaibrahim6934
@yahyaibrahim6934 4 года назад
Majini wapo tangu enzi za nabiii suleiman
@tecnof1232
@tecnof1232 4 года назад
Majini ni viumbe km ww, wapo kila mahali
@2nukhamis447
@2nukhamis447 4 года назад
❤ zenji
@maubarak9831
@maubarak9831 5 лет назад
kwamimi nashkuru histy ya nchi yangu naijua kwamaana mama mkuu wangu amefariki akiwa namiaka 100nazaidi miaka 14 iliopita nababu yangu wa kwanza yupo hai na anamiaka 97 kwasasa
@dr.ajeyfemed5895
@dr.ajeyfemed5895 4 года назад
So history inaishia kwako bi naa🤭 Woow
@yahyaibrahim6934
@yahyaibrahim6934 4 года назад
Kuhusu majini znz kuwepo kwanza A majini wapi enzi tangu visiwa vya zanzibar haviishi watu ninamaana tangu enzi za nabii suleiman nyuma nyuma halaf majini wengi wanaish visiwani na inamaana kwamba visiwa viko Bahraini namajini wengi wanaishi Bahraini tangu enzi
@khatibally4880
@khatibally4880 3 года назад
Re
@ameirameir4930
@ameirameir4930 5 лет назад
Baadhi ya maandiko ya vitabu vingi vya kihistoria vinatujuza kwamba watumwa walipitishwa hpo kwa muda mfupi sana ili waweze kuteremshwa kwenye Bandari ambapo tyr majahaz yapo kwa kuwachukuwa
@111dudi
@111dudi Год назад
Watu wenye chuki na waarabu na waislam hawapendi kusikia haya
@samo5315
@samo5315 4 года назад
Historia ya Zanzibar inafichwa hata maskuli hawagusi zaidi nikusema Waarabu walitesa wazee watu.
@ukhtyrahma.3922
@ukhtyrahma.3922 5 лет назад
MashaAllah
@ssur5797
@ssur5797 5 лет назад
Ukhty Rahma Ilo jengo linatisha dah hatari
@ukhtyrahma.3922
@ukhtyrahma.3922 5 лет назад
S Sur hahaha ucjali nitakukamata mkono twend pa1
@ssur5797
@ssur5797 5 лет назад
@@ukhtyrahma.3922 shukrani mydear
@ukhtyrahma.3922
@ukhtyrahma.3922 5 лет назад
S Sur Afuwan my dear.
@belgieboys9867
@belgieboys9867 5 лет назад
vijana wa kitumwa hawawezi kutoa historia ya znz
@ameirameir4930
@ameirameir4930 5 лет назад
Watu waliopewa dhamana ya kuenzi historia Idara ya Makumbusho na Mambo ya kale mnatuelezaje juu ya mabadiliko hya ya historia iliyokwisha enea dunia nzima?why hya mabadiliko yaelezwe wakat huu?tunahitaji muongozo kutoka kwenu
@belgieboys9867
@belgieboys9867 5 лет назад
niliwaambia yule KTV na wapeni wenzetu wa KTV kuwa huyu kijana ni muongo aliotoa hadithi ya mwangapwani. historia ya watumwa yote ipo kwa waengereza na watumwa walikuwa wanafichwa makanisani. lakini watumwa na wakiristo wenzao wakishirikiana na waengereza historia ya znz wakaibadilisha kama biblia. hapa kule kisiwa cha changuu kilikuwa ni kisiwa cha kufichia watumwa.. hata mpaka Leo znz watumwa wapo kutoka bara wakiona wanatoroka kwao zamani mtumwa kukimbia kwenda kwao hawezi. historia imepinda pinda.
@pastoryconrad7313
@pastoryconrad7313 5 лет назад
Uongo
@dullahmfaume964
@dullahmfaume964 4 года назад
Stupid
@tatukhatibu317
@tatukhatibu317 4 года назад
Belgie boys utumwa upò na wenyewe waarabu na yule mdada hawezi kusema kweli kwasababu waarabu tunawapenda sana
@khamisjuma9340
@khamisjuma9340 3 года назад
Inafichwa eti lakini ikiwa kama hivi si tutafahamu
@ausihaji2398
@ausihaji2398 5 лет назад
Tulidanganywa wakati tupo Chuo Nukuu ila sisi wengine v ichwa vyetu vipo vizuri
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 лет назад
😲Sioni vizuri wacha nitanue mijicho
@ukhtyrahma.3922
@ukhtyrahma.3922 5 лет назад
zayyati yusufu pole san
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 лет назад
@@ukhtyrahma.3922 hahaha nisha chungulia nilikua Sioni vizuri😞
@ukhtyrahma.3922
@ukhtyrahma.3922 5 лет назад
zayyati yusufu njoo uchukue glass
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 5 лет назад
@@ukhtyrahma.3922 🤓🖒apo vipi?
@ukhtyrahma.3922
@ukhtyrahma.3922 5 лет назад
zayyati yusufu apo saw.
@maubarak9831
@maubarak9831 5 лет назад
kiukweli historia ya znz inajulikana nawazanzibar wenyewe nashangaa wanakuja watu ambao hata mama wababu zao hawakuzaliwa hapa stori yakweli wataneipata wapi ndio maana wanaongopa kama lugha yao
@mohammednassor3081
@mohammednassor3081 3 года назад
Binasra nimeshajihika sana na maelezo yako naomba telephone number yako
@rafaelmarquez9396
@rafaelmarquez9396 Год назад
Watu zanzibar wanatiwa chuki na uongo waarabu wabaya katika zanzibar hao waarabu wamechangaya na waafrica na fisiemu ni chuki tu wakionayo
@abdulrahmanrajab4369
@abdulrahmanrajab4369 4 года назад
😗😚😍🤞
@salmajadi3695
@salmajadi3695 5 лет назад
Mbona sauti haitoki
@danielx8
@danielx8 3 года назад
Hii history or story
@maubarak9831
@maubarak9831 5 лет назад
na cha kufurahisha niwatu waingeaji
@issaabdallaissa1473
@issaabdallaissa1473 4 года назад
Sasa km suria vp alikuwa shekhe
@khayratsalim8576
@khayratsalim8576 5 лет назад
Naogopa 😂
@adilhbzanzbaryetu4307
@adilhbzanzbaryetu4307 3 года назад
ww
@pastoryconrad7313
@pastoryconrad7313 5 лет назад
History ya ukweli ya Zanzibar imeamza mwaka 1964 mpaka sasa hivi huko nyuma hatujui chochote.
@nassorsharifu9837
@nassorsharifu9837 4 года назад
Wee wa kuja ndio mnaojaribu kuipindindisha historia ili kujenga chuki miongoni mwa wazanzibari asilia. Angalia unajaribu kuwaaminisha watu kuwa waznzibari hawaijui historia yao
@saeedqaseem7423
@saeedqaseem7423 3 года назад
Hujui wewe ambae historia yako kuhusu Zanzibar imeanzia baada ya hayo mapinduzi...... inaonekana huna ujualo kakojoe ukalale
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 3 года назад
@@nassorsharifu9837 kama yeye wakuja, je hao waarabu nao vp, au ndo wenyeji
@khalfansuleiman6206
@khalfansuleiman6206 3 года назад
USILOLIJUA NI USIKU WA KIZA NYAMAZA KIMYA
@Muba3304
@Muba3304 3 года назад
Tatzo lako unaitwa pastory huwez jua mambo ya said wa moh'md we ukae kimya mzigua mtumwa
@maubarak9831
@maubarak9831 5 лет назад
sham acha matusi sisi waungwana matusi kwetu haramu
@ameirameir4930
@ameirameir4930 5 лет назад
Mangapwani " wamanga wapo pwani"
@tecnof1232
@tecnof1232 4 года назад
Anasema mwangaza, lete hoja!
@rashidseif6103
@rashidseif6103 5 лет назад
Zanzibar history yake ni utata tu
@dulakess8928
@dulakess8928 5 лет назад
storia ya ukwel ya Zanzibar haisemwi
@rashdhamdun
@rashdhamdun 4 года назад
Haisemwi kivip
@salummzee9739
@salummzee9739 Год назад
Suria hakuna Hata siku 1 Enzi za Mtume Muhammad Walikuwa,Warabu wana teka watumwa na kutembea nao kwa nguvu Watu walikuwa wafichwa huko tena chumba hicho ni ngome ya majin ndio Warabu walivyo tufanya kutudhalilisha Watu weusi,
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 3 года назад
Uongo mtupu
@suzanapatricks4512
@suzanapatricks4512 5 лет назад
Faki tu fuck!! Ukweli uko wapi?
@111dudi
@111dudi 5 лет назад
Of course u dont want to admit
@111dudi
@111dudi 5 лет назад
That's the difference between civilised and non civilised ppl. Non civilised ppl use a abusive language
@tecnof1232
@tecnof1232 4 года назад
They hide the truth for their self benefit
@hamadali5062
@hamadali5062 4 года назад
Of course you will say that because you're name suzan patricks. Hii historiya ya zanzibar na warabu kuuza watumwa ni history iliyoletwa na British na nyerere ili kuiponda dini ya kiislamu na kuitawala nchi ya zanzibar kwa hoja za kiongo.
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 лет назад
Nawish ningekuepo izo zama 😎😎😣
@sulleyalriyamiy
@sulleyalriyamiy 5 лет назад
Mkubwa
@mwagilomasukuzi5464
@mwagilomasukuzi5464 5 лет назад
Nilivyosikia mie kulikuwa na mtemi wa kabila la kizigua akiitwa mhelamwana alikimbilia znz kupitia saadan akafikia mahali hapo na kupaita manga ya pwani kwa maana alitokea sehemu iitwayo manga iliopo wilaya ya handeni mko a wa tanga
@danielx8
@danielx8 3 года назад
Viringo walikuwa wengi during that time
@Muba3304
@Muba3304 3 года назад
Ila ungekua ushakua kibudu🙄
Далее
PRINCESS IN ZANZIBAR
2:16
Просмотров 47 тыс.
MWANDISHI WA HABARI WA MZEE KARUME AILILIA ZANZIBAR
36:02
22 Maovu ya Mapinduzi
12:26
Просмотров 46 тыс.
KUSIMAMA NA KUDONDOKA KWA DOLA YA ZANZIBAR #1
14:10
Просмотров 30 тыс.