Shukran Ustadh Muhammed kukhusu Gumzo hili. Karume alitubia na mengi aliyasema kwa Uzalendo wa Mamlaka Kamili ya Zanzibar lakini yamepinduliwa. Hon. Abeid Karume was a "notorious drunkard, a bully who was not afraid of being in jail. In 1935, he stopped drinking alcohol." It was TOBA YA KARUME as it was illegal to drink alcohol in Zanzibar during his leadership. Abeid Karume was a boxer like Nelson Mandela. But after Revolution, President Karume banned boxing in Zanzibar.
Nilichojifunza kwanza sheikh Mohammed hii haikuwa toba, kwani amemtaja MWENYEZIMUNGU, Kwa Jina la Mungu mara moja tu, halafu aliyetubia hajisifu kwa maasi aliyotenda na kama hapana budi kuyasema basi machozi lazima yamwagike,pia hakumtaja Mtume MUHAMMAD (S.A.W.)hata mara moja (sijui mbele zaidi ya hotuba)jengine na kubwa zaidi si uhodari wa mtu kuwacha maasia bali ni hidaya ktk kwa ALLAH (S.W)na yeye ndie wa kushukuriwa kwa kila jambo jema ambalo mja akipatiwa,namuomba MWENYEZIMUNGU Awarehemu wazee wetu,masheikh wetu na ndugu zetu walioko mbele ya HAQI,Na sisi atuongoze ktk njia iliyonyooka na atupe nguvu dhidi ya uovu,Amin Allahumma Amin, ALLAH ATUPE UWEZO WA KUINUSURU DINI YAKE NA ZANZIBAR ALIYOTUJAALIYA
Karume alikuwa chenga hamna kitu kazidiwa kete na Nyerere na mwenyewe anathibitisha hayo na zanzibar kaipeleka Tanganyika kwa nyerere kiuzembeuzembe tu mpaka leo tunapata shida
"mamlaka yetu yako mikononi mwetu tuko juu ya kilima tunaloamua kufanya kwa umoja wetu ndio tutafanya mwaka 1974 kila mmoja aje zanzibar atuulize tumewezaje "
Shekh wangu hapana toba hapo hizo ni kauli za kujingamba na kuwatambia wangu kuwaonyesha yeye alikuwa nani hapo nia ilikuwa kutisha watu tu kuonyesha yeye nani! Kama yeye mbabe na amejirudi ange sema angalau maasi yake mawili matatu aliyofanya kipindi cha mapinduzi na baada ya mapinduzi Mafano! "Jamani mie nimewahi kuua bure bure tu nilimchukua Kassim Hanga nikamtosa bahari,nimesababisha watu wamekimbia Nchi watu kama kina Ally Muhsin Barwan Aman Than" na mengine kisha akaomba radhi kwa wazanzibar wote kwa mapinduzi na akasema japo kidogo ushawishi wa kishetani wa Nyerere kwake juu ya Zanzibar na wazanzibar. Mie sio Mzanzibar na sina nasaba yoyote na Zanzibar but wazanzibar mpaka kesho wanapaswa kumuona Karume na Nyerere kama mashetani na ni watu waliyowafikisha hapo walipo leo. Karume kwa mambo aliyowafanyia wazanzibar na wazee wao na hayo maneno yake aliyosema hapo akitokea mzanzibar akatamka hayo maneno ni toba kwa karume atakuwa kakosea sana. Shida kubwa sana ya wazanzibar wa leo hawataki kusoma kufatilia historia yao lakini pia kutaka kujua sababu za mapinduzi ni zipi hasa. wanacho jua kutamka Mapinduzi Daima! Mapinduzi Daima unayajua Mapinduzi wewe mpaka useme mapinduzi Daima!!? leo Zanzibar inatota maji haijielewi.
Wewe unacho taka kuwaeleza watu na kuwaaminisha ni uarabu si kingine kama wewe si Mzanzibari ya Zanzibar unayajulia wapi historia ipi unayotaka watu wajifunze, Zanzibar haikuanzia waarabu, waarabu walikuja wakawakuta wazanzibari nini kingine unachotaka kukisema? mtu mweusi ni Muafrika bila kufikiri au bila kwenda shule hilo ukilijua tayari wewe ni msomi maana kwa ujinga mlio wawekea baadhi ya watu weusi ni kuuwaminisha wao ni waarabu ili hali ni weusi ili mteke akili na maarifa yao, kinacho baki kuijua misingi ya utu wako binafsi kama Muafrika. kutawaliwa na kudai uhuru bila mafanikio ndio kulileta Mapinduzi unataka watu wajue nini kuhusu mapinduzi nenda kawashawishi waarabu wenzako Zanzibar hutaiwweza wengi kwasasa wanajitambua
Ni uongo, huo ni uono wako na usitake kuwaaminisha watu hilo kma unamchukia mtu mchukie ila mtu akitoa history ya aliyoyapitia usiyaone ni maovu jifunze...
@@salumjumaruhaga2513 ok Yan ww ndio mungu umesha pasisha toba yake??? Jambazi hili lilouwa maelfu yawaislam kwa kiburi tu pasina sababu nahadi Leo waislam Zanzibar mateso yaendelea nchi limekabifhi kwa kafiri nyerere kisha waleta masikhara! Sina shaka jambazi hili lapewa vipigo adim huko ktk tumbo la ardhi
Nilichojifunza ni kuzidi kuelewa kuwa starehe na ngoma za kihuni Zanzibar zilikuwepo tena mpaka kina mama watuwazima wakihunika (ngoma ya kizaizai). Haya tumesikia ngoma za usiku usiku za "wanaume watupu"(sunsumia)😥. Zanzibar ya miaka hio kumbe yote yakipatikana ,kinachoendelea leo ni urithi tu.
@@nailamohd-wn6sb Zamani wazee walikuwa na hekima, na ndio maana huwa huwezi sikia maovu, kwani yalikuwa yakisitiriwa. Kumbuka kuwa tumeamriwa kusitiri maavu ya mwenzio. Kwani huku pata kujua kuwa ule wimbo wa "kijiti unaniuwa kwa toti moja ya tende" wa marehemu bi Kidude ni simulizi ya kweli! Tena wahuni wa miaka hio walikuwa organised na wenziwao wa Mrima kama ilivyo karne hii na kwa jamii ijayo. Hakuna jamii duniani isiokuwa na gang la uhuni tokea zama hizo.
@@nailamohd-wn6sb kabla ya mapinduzi kulikuwa na mashekh wa kubwa. Mapinduzi yakabadilisha muelekeo. Na pia haimaanishi kuwa nchi nzima mashekh wa tupu kuwa hakuna wahuni, haijawahi kutokea ata wakati wa Mtume saw. Ngoma za zamani watoto hawaruhusiwi hawaingii. Kwahio kuwepo kwa mashekhe wakubwa katika nchi na hapakuwa na kafiri ata mmoja ila imani sio zote za uchamungu. Hata mtaani kunaweza kuwa na Shekh mkubwa, ila hakushiki mkono usiibe au uwasi. Hata Mwenyezi Mungu sw amesema " hakuna kulaziishana katika dini". Lakini Uislamu ulikuwa mashallah
@@hilalkhalfan1452 Uislam ulikuwepo na upo , pia udhalim wa shirki ndio kukwanga ulikuwa unanguvu angalau sasa maana wazee walitangulia na mamboyao wakijua vijana wanaokuja hawana hekma na subra laa sihivyo visiwa visingekalika zama hizi 😂😂😂😂
Toba ILO ya kweli ni kuregesha haki za watu amepora ardhi za watu Kwanza muregeshe,na amewadhalilisha wanachuoni,kama abdallah swaleh,mbona hajamregesha na alikua hai akiwa Kenya,toba ya porojoo
Sheikh Mohammed maneno anayoyazungumza mzee Karume hayana ukweli au insaf ndani yake, sisi ni wadogo wa umri na ilikua hatujazaliwa wakati huo lakini according to this speech haya maneno aliyasema kabla 1974, na wakati anayasema haya kuna wazee wetu na ndugu zetu wengi sana aliwaeka jela na kuteswa bila hatia zozote, kuna wengine walipotezwa kabisaa without any trace licha ya umati wa waZanzibari ulioteketezwa bila hatia yoyote katika hayo yanayoitwa mapinduzi matukufu. Nimesema maneno yake hayana ukweli kwa sababu sio katika hii speech wala hotuba zake zote tulomskia mzee Karume akijutia dhulma walofanya au kuomba radhi. Bali pia katika hii hii speech anasema ati Tanzania Visiwani tunaamua na kufanya tulitakalo maskini kajisahau kua nchi yetu alishaiuza kwa Nyerere miezi mitatu tu baada ya hayo wanoyaita mapinduzi kwahio ni uongo kua ati Zanzibar tulikua na hayo mamlaka wakati anazunguza haya kwani mamlaka yetu zamani alishayagawa kwa Tanganyika. Tuwe wakweli let's call maji maji na mkojo mkojo tusichanganye mambo
Hivi kweli wewe ni midland Kwel?? Hivi ndivyo Allah anayotaka. Leo hii tumekua Ndugu wewe unalaani 😢😢😢 Allahu Akbar ...... Kweli ukafir sio lazima uwe wa dini nyingine, wakati Mimi ninafurahi Nikikutana na watu wa visiwani Tena mmekuja main land na mnaishi kwa amani Tena mpo kwa namba kubwa tu. Tunashilikuana vizur, wewe huoni uzur huo, Allah anawapenda wanaounga ndugu na anawakasilikia wanaovunja
Katubia wapi aliuwaa watu kwa ukatili na yeye kafa kifo cha kikatili hii ndio jazaa ya kufanya maovu na akhera unamsubiri moto wa jahannam kwa unyama alioufanyaa 😢Allah hawezi kumsamehe mtu ambae alieuwaa waislamu wenzake kwa makusudi 😢
Bwana Muhammed, katika dini ya kiislam kuna haki ya Allah na haki ya waja. Jee hiyo toba imepatiakana imepatikana ridhaa ya waja yaani wenye damu waliouliwa watu wao. Kama bado tuombe husnul khatima.
NIMEJIFUNZA KWAMBA WATU WALIKUWA MATAJIRI HATA KBALA YA MAPINDUZI HILO AMEKIRI MZEE KARUME MWENYEWE KWAMBA MAPESA ALIKUWA NAYO NA YEYE AKIWA NA UMRI WA MIAKA 30s
Kuna Tatizo gani mtu kukiri makosa yake kwani ni nani mkamilifu ? Mie naona he was a very right person amekiri makosa yake wangapi humu wanafanya balaa kimya kimya
Hio haikuwa Toba bali kama kawaida ya porojo alikuwa aeleze yake makosa yake makubwa ya kuangamiza nchi anayojisibu nayo mikonoye imejaa damu hayo ya ngoma ni puruzai tuu Wa uasi wake Allah atamhukumu
@@khatibabass3106 kwa taarifa yako kuna waarabu kibao ambao ni weusi na wanaishi kama wananchi wengine wasio weusi .Wacha urangi soma geography utaelewa
@khatibabass3106 Mtume Muhammad (SAW) alikuwa Mwarabu na alimpenda saana Bilal bin Rabbah (RA), alimchagua Muadhin wake. Pia Mkewe ni Mwarabu alichaguliwa na Mtume kupinga ubaguzi. Bilal Rabbah (RA) aliyekuwa Mweusi Tititi wa Afrika Mashariki na pia Mtumwa wa Umayyah bin Khalaf aliyeuliwa na Bilal bin Rabbah (RA) kwenye Vita Vya Badri. Mtume Muhammad (pbuh) alimchagua Bilal bin Rabbah (RA), Waziri wa Fedha kwenye nchi ya Kiislam ikiongozwa na Mtume Muhammad (SAW) Madina. Mtume Muhammad (SAW) ametuachia Qur'an kuwa Mwongzo wa watu na Bilal (RA) Mweusi wa Mwanzo kuwa Muislam ametuachia Adhan kwa watu Kuswali. QUR'AN (Muhammad) ADHAN (Bilal).
@@khatibal-zinjibari6956 samahani ndugu usipindishe historia Bilal bin rabah radhi za Allah ziwe juu yake hakuwa mtu anaetokea Africa mashariki Sawa ni mtu mweusi alietokea katika nchi ya Ethiopia 🇪🇹 ambayo ni Africa ya kati ambayo imepakana na nchi kama ya jibouti Eritrea somalia na kadhalika ni ivo tu ndugu
@salimalharrasi3943 Allah ametuelezea Utawala wa Firaun na Haman kwenye Qur'an, Mwongozo wa Binadam wote. Haman ametamkwa mara Sita. Nne ni pamoja na Firaun na mbili ni peke yake. Utawala wa Karume alikuwepo Ba-Mkwe akisubiri watu Machinjioni. Wote hawapo lakini KAZI INAENDELEA ili kuimarisha Ukoloni kwa jina la Muungano.
Usisahau kwamba zanzibari ili pata uhuru kamili salama salimin hata karume alisherekea uhuru NA elikua serekali ya halali ilichaguliwa NA wazanzibari wenyewe sasa yeye alishiriki katika mauaji zaidi ya waaslaam elfu ishirini bila ya hatia ni raia tu hawana silaha yeye NA nyerere NA jhon okeli NA mjeshi ya tanganika NA ungereza NA kuiteka nchi NA hayo ni kupiga uslaam tu
Uislam umesha simama. Ukitaka dunia chukua ukitaka Uislam fuata njia. Alla atuongoze watamaliza mbinu zao lkn Uislam imara na wanaojaaliwa wataulinda na kuutumikia kwa kutumia kitabu kitakatifu QR'AN L' HAKIM. ALLAHU AKBAR
Majbu ya damu Zanzibari ni nchi kwa mujibu wa utawala mana hakuna sehem ya bara ambapo walikosa wageni wakuatawala nadhani ukitoa nchi 2 tu Zanzibar ilikua ni moja kati ya hizo sehem na Zanzibar kwa bahati mbaya sana waarabu ndio walishika dola, sasa kwasababu walio tawaliwa ni watu sio miti na walio tawala ni watu sio marobot miyaka ilipo fika kudai uhuru waarabu waligoma kutoka madarakani na kwa heshima na kuwatuza wale mabwana walikataa katakata hapo ndipo walipo jifunza kitu kumbe Muafrika hatawaliki niheri uchukue nguruwe 🐷 uwatawale kuliko Muafrika (mtu mweusi) Mzee wetu mtukufu Mungu ampe pepo huko aliko alikaa na jopo lake nakuona sasa tumechoka kudai uhuru kwenda mikono nyuma tupambane afe kipa afe beki hapa lazima kabumbu lichezwe Damu ilianza hapo kumwagika. SABABU ZA HAYO YOTE Ubaguzi Unyonywaji kwa watu weusi Lakini sababu kuu ni kwanini tutawaliwe na wageni hali yakuwa wenyewe tupo, ukiona mtu amefika hatua yakufikiri hivi hata kwenye maisha yake binafsi ujue ni kiwango kibwa sana cha akili kuwa imekua Itaendelea............
@@khatibal-zinjibari6956Muhammed Shamte alikuwa kivuli tu na alikua hafai pia kuongoza wazanzibari maana alikua mlengo wa kushoto waarabu walikuwa kama mbwa wao wanamtuma kufanya kile kilicho wapendeza wao na sio yeye na wazanzibari
Unaongea pumba tupu zisizo namashiko huyu karume nimpumbavu tu msafushe ujuavyo hawezi kutakata. Kwani waliokufa Zanzibar niwarabu tu??? Na visa vya ubakaji uporaji nakutaifisha vinakutania wapi na Uhuru? Upo ushahidi mwingi sana wavisa vyaubakaji aliousimamia karume mwenyewe na hata yy mwenyewe kuwanajisi mabinti wakiislam kupora Mali zao mashamba nakadhalika kisha unakuja kuongea sijui Bora nguruwe Bora hivi kweli kabisa watu wengine kama ww niheri nguruwe .
Bora n yeye angekufa pamoja n wezake mana Zanzibar yasingetokea wala isingefikia hapa ilipo na hao mazezeta wanafurahia ujinga maasi walofanya mazito😡😡😡😡
Hukuelewa, hapo alikuwa akitoa nasaha kwa jamii kuwa vijana waandaliwe wakishafikia umri wa maji yamoto. Laitani ingefanyika haya basi tungelikuwa angalau na jamii ya kizalendo maana waliokuwa wakilengwa ni miongoni mwa wazee wetu. Sasa angalia hii jamii yetu tuliorithi kwa wazee wetu ni corrupted na imejaa ubinafsi.
@@khatibabass3106 hebu wacha kuwachizi bro nipe ushahidi hata kwa pictures warabu wametesa waze wako popote pale ikiwa goggle ,Facebook, Instagram , RU-vid, popote fanya utafiti soma ujuwe ukweli achana na kasumba history y darasani Dogo ndio wewe munambiwa binadamu wa kwanza alikua Sokwe unamini
@@khatibabass3106 nyie vijana mkisha soma history ya kutungwa ya ccm kuficha mauwaji basi mnakuwa kama wehu. Kama sio waarabu kuja basi ungeitwa JONI na ungekuwa ushafungua kanisa lako. Shukuru alau moja tu kuletewa neema ya Uislamu na waarabu. Hivi uliwahi kuwambiwa kuwa waarabu ndio wamekusaidia uwe muislamu?. Na Mtume saw ametulazimisha kuwapenda waarabu. Na waarabu waliuondoa biashara ya utumwa walioikuta kwa mabeberu yaliokutawaleni mwanzo, na mapinduzi haukupinduliwa ufalme wa kiarabu basi ni vita vya vyama vitatu vya siasa vilitokea, asp, znp, zppp. Hapakuwa na ufalme wowote ila sirikali ndio siri, achana nayo hayana faida tusonge mbele tuishi kijana.
Wewe sheikh huna elimu Yoyote na wewe humjui Karume umemsikia tu tumuachie mungu ndie hakim na wewe sheikh kaa hivo hivo ukifa na wewe ndio utapata malipo yako