Тёмный

ABU NUWAS: MSHAIRI Mlevi, Aliyeacha VITUKO Visivyosahaulika DUNIANI.. 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 278 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 224   
@francechristopher9456
@francechristopher9456 4 года назад
Abunu was alikuwa mlevi na alikuwa na kili sana na alikuwa na mashairi mazur sana sema mashairi yake yalibase kwenye pombe na mapenz so mashehe hawakupenda mashairi yake coz hakuisifia dini. Like Zenu jamman💥💥💥💥💥💥
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 года назад
Sasa unadhani angeisifia vipi dini wakati alikua mlevi? Kwa hiyo wewe ulitaka mashekh wamsapot kwa huo ulevi?
@francechristopher9456
@francechristopher9456 4 года назад
@@fatumamwalimu5765 alivyoenda Misri alikutana na mwanafunz wake ndy mfalme alishusha mashair meng. Ila alijaribu ya kidin akashindwa. Ila kwa upande mwingne mashair yake yalikuwa mazuri coz yalikuwa ni yauoatanishi
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 4 года назад
@@francechristopher9456,uenda MUNGU alikua alishampiga muhuri na ndio akaweza kuendelea na utunzi wa mashairi ya kidunia, kusifu pombe na uzinzi,na ndio bado hata kwa hicho kizazi kilicho msifia bado wanamdhihaki, yaani mtu kusema niondolee adithi zako za abuu-Nawasi,sasa bado inachukuliwa ni porojo
@cautharylameck1429
@cautharylameck1429 4 года назад
@@fatumamwalimu5765 acha aongee yake
@mohamedalkhaify5635
@mohamedalkhaify5635 4 года назад
Hapana Abu Nuwaas Alikuwa mlevi Na mshairi Mkubwa Sana Katika Washair wa Historia japo Alikuwa anasifia Pombe tu lakin baadae Alitubia Akawa mtu mzuri Na mwishoni mwa uhai wake Akawa anaimba mashairi Mazuri Ya Dini
@adamuabdilahi4710
@adamuabdilahi4710 2 года назад
Kaka kafanye utafiti upya kwenye stori umechemka,Pole Sana.
@emanuelelisante4324
@emanuelelisante4324 4 года назад
Watanzania washabiki wa dini sana ebu waangalie wote waliochukia neno 'waarabu koko' utagundua ni watu flani wa imani moja na wanao tetea ni imani nyingine (mashindano ya dini yametuaribia sana upendo mungu aliouagiza kwa msisitizo 'mpende jirani yako kama NAFSI YAKO. Inahuzunisha sana
@kenedyndunguru9068
@kenedyndunguru9068 3 месяца назад
sahihi❤
@theprofiletz6088
@theprofiletz6088 4 года назад
Abu nuwasi Kumbe alikuwa mwarabu nlkuwa najua labda ni mzaramo 😅😅😅🙌 🙌🙌🙌
@MrRammearly
@MrRammearly 4 года назад
Hahahahaha kwa kweli aisee utakuwa Mzaramo na wewe
@Iammatindel
@Iammatindel 5 месяцев назад
👆🏿kweli aixe
@othmanothman4480
@othmanothman4480 4 года назад
Kairudie tena kuisoma hyo historia kabla hujaja mbele za watu wanaoijua vyema maana unapotosha huelimishi
@khamisothman1154
@khamisothman1154 4 года назад
Maelezo mazuri sana, lakini ushauri wangu kwako, ACHA TABIYA YA KUONYESHA KUWADHARAU WATU WENGINE KAMA KUSEMA WARABU WA NZEGA NI WARABU KOKO, Huko nikuwatukana NA kuwadharau watu, hii inaweza ikaleta chuki, na kumbuka wengine ni wafuasi wako.
@imasimas4506
@imasimas4506 4 года назад
Khamis othman 😳😳😳 akuna mwarabu koko Nzg
@kelvinjohn6851
@kelvinjohn6851 4 года назад
Waandishi wa Kiafrika hawa ndugu. Wala halijui hilo.
@aristidesmtui6593
@aristidesmtui6593 4 года назад
Rudi shule kwani mwarabu koko ni tusi
@ikramkisele6160
@ikramkisele6160 4 года назад
Mbona unawaka waukonini!
@mohamedalkhaify5635
@mohamedalkhaify5635 4 года назад
Kwa Hili Amekosea Sana lakin labda Ni kwa sababu hajui maana ya muarabu koko karopoka Anatafsiri Muarab Koko kama Muarabu wa Africa au Tanzania kumbe sio hvyo
@khalidballeth5957
@khalidballeth5957 4 года назад
😀yaani nzega na tabora Kuna warabu Koko😀 We fala saaana😀angalia na ujitafakari saana kabla ya kubwabwaja😀asije abunu wasi akakubunuwasi😀
@almunawarakanyosha1402
@almunawarakanyosha1402 4 года назад
Bro karibu wasafi utupe raha
@latifamadaha4377
@latifamadaha4377 4 года назад
Amaizing voice yani hii sauti ni tumbomoja na ile ya Mtiga Abdallah wa the story book
@princehancesam9892
@princehancesam9892 4 года назад
Nimependa sana
@williammushi2343
@williammushi2343 4 года назад
Naipenda kaziyangu
@kibasamohamedi8029
@kibasamohamedi8029 4 года назад
Abunuwasi ahaaaaa namkmbk mwl wetu, alkw anpnd Sana story za abunuwasi
@ramadhaniabdallah190
@ramadhaniabdallah190 4 года назад
Broo saut yako nikama ya mtiga adballah wa the story book nakubali san hii saut
@Buonjiboy
@Buonjiboy 4 года назад
kweli kabisa
@sabrahmashema842
@sabrahmashema842 4 года назад
Kama mtigwa vile ila we sio Nene sana sauti yako
@dc4543
@dc4543 9 месяцев назад
Safi
@omromr3805
@omromr3805 4 года назад
Yaani Unasimulia mpaka Vinyweleo vinasimama👌👌👌GOOD JOB BROTHER
@saymarsaymar4654
@saymarsaymar4654 4 года назад
Abuu Nuwass. Dah ndio najua leo
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 4 года назад
Saaaaaaaaafi kabisa mheshimiwa. Kiswahili chako kizuri sana.
@ramakabebe4485
@ramakabebe4485 4 года назад
Mbona husemi hayo mashairi
@ibrahimsaidi5401
@ibrahimsaidi5401 4 года назад
Nomaaaaaa
@ambrosezakariah2810
@ambrosezakariah2810 4 года назад
very nice
@georgemzuli3422
@georgemzuli3422 4 года назад
Nimeipenda hii story
@nusalim3389
@nusalim3389 4 года назад
Walioingia hapa wakidhania Abu nuwas ni Juha ili wacheke wagonge like!
@meksonyjoseph8909
@meksonyjoseph8909 4 года назад
Story nzurii sana
@maalimuramia1976
@maalimuramia1976 4 года назад
Acheni ukafiri wenu huyo hakuwa mlevi wala hakuwa, kafiri, huyo ni mtu alikuwa na imani Yake na maadili Yake, acheni kutukana watu wema, kwa. Vile alikiwa muislam, ndo maana mnamtikana, makafiti nyie,
@victorsomba867
@victorsomba867 4 года назад
Tuliokuwa tunajua Abu Nuwas ni mbongo mkuje hapaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jriyadahmad5617
@jriyadahmad5617 4 года назад
Pole kwa kukosa like 😀😀😀
@Iammatindel
@Iammatindel 5 месяцев назад
Tupooo🤣💯
@paulinapeter5817
@paulinapeter5817 4 года назад
mmmh leo wa kwanza na abunuwas jmn aliyekua anaamin abunuas ni mjinga like zang jmn 👊👊👊
@karimjohn6068
@karimjohn6068 4 года назад
Puru shotam
@officialdsix477
@officialdsix477 4 года назад
Good 👍 👍 👍
@barakakamafa1807
@barakakamafa1807 4 года назад
I see the bright future in you bro @dar_boi
@abdibakari7574
@abdibakari7574 4 года назад
Nice
@emmanuelbonifase1114
@emmanuelbonifase1114 4 года назад
100% nimekuelewa true stoly
@abuzahrannasibkatindily3319
@abuzahrannasibkatindily3319 4 года назад
HamOud, shabOOt, shubha, majarubani, mYemen, waarabu wa nzega. Magubeli, super Sonic, halfan sudi, NBS, Naamans, Kazuge, thabit, meya, waarabu wa tabora.
@mgenirasimi7771
@mgenirasimi7771 4 года назад
Naomba ututake radhi sisi waarabu wa nzega....kwa kutuita waarabu koko
@kirupyseleman582
@kirupyseleman582 4 года назад
Mjomba mbna waarabu wako kinga? 😂😂🤣
@eddovanny2554
@eddovanny2554 4 года назад
😂😂😂😂😂
@fatmarashim6353
@fatmarashim6353 4 года назад
Hahahahahaha
@bennymochiwa4800
@bennymochiwa4800 4 года назад
kwan nyie waarabu au wamanga!!??
@USDisdoomed
@USDisdoomed 4 года назад
Haha Aty we ndo mwarabu Koko pekeako umeskilizia kisa Cha abunuasi.. pole Arby
@alawyjr4741
@alawyjr4741 4 года назад
abu nuwwas aliishi miaka ya 800s theory ya binadam kutokana na nyani imekuja miaka ya 1800s sasa hili la yy kusadifu hii theory inakujaje kk
@deogratiascharles1265
@deogratiascharles1265 4 года назад
Mtga abdallah part 2
@farijala1
@farijala1 4 года назад
Anaitwa Abuu-nawwasi Kama waitavtoo Abuu-Idd. Kwa kiswahili baba idd. Baba nawwasi
@brayanaghate9934
@brayanaghate9934 4 года назад
Vraiment ! !
@abubakarmafita7571
@abubakarmafita7571 4 года назад
Jamaangu wew nimwehu humjui kabisa hyo alikuw nimwana chuon wakiislam alikuw katika dola yaabasia. Nalikuw nimtu mwema mwanamashair wakislam.wazushi kakipindi hicho kama wew ndo walimzushia
@elisanteqawoga9940
@elisanteqawoga9940 4 года назад
Kwanini nyie huwa mnapenda kusikia sifa nzuri tu!mbaya huwa hamtaki kuzisikia..hakuna binadamu aliyemkamilifu mbele ya mwenyenzi mungu..hata hao viongozi wa kidini huwa wanakosea
@saeedboost8786
@saeedboost8786 3 года назад
We ndo hujui kitu kabisa eti alikuwa mwana chuoni nani alikuambia
@maximusalnono6425
@maximusalnono6425 4 года назад
Viki kuhusiana na historia ya Ali nacha
@komboabdallah5317
@komboabdallah5317 4 года назад
Mbona hukuelezea vituko vyake
@barakaleader1550
@barakaleader1550 4 года назад
RIP abunuwasi ulitisha
@brokenigga2842
@brokenigga2842 4 года назад
Oyaaa story teller kuja Wasafi tv unafaa
@barakarobert9704
@barakarobert9704 4 года назад
Huyu msimuliaji ni noma sana Anajua kusimulia Tanzania tuna watu nyie
@lailahizubery8799
@lailahizubery8799 4 года назад
Lakn Abunuasi alikuwa kipnd cha harun rashid ambay ilkuwa mwaka 809 sasa how 1700s eeeh hapa si kweli
@chomamwita5569
@chomamwita5569 4 года назад
Hapa nawewe umetuletea stori za abunuasi
@justinefesto8426
@justinefesto8426 4 года назад
Wale tuliokuwa tunasema BUNUASI badala ya ABU NUWAS😀😀😀
@elizabethkaroli3799
@elizabethkaroli3799 4 года назад
Hahahahaha
@devothadonatus885
@devothadonatus885 4 года назад
Haaaaaaaah
@rukiahassan9277
@rukiahassan9277 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@saidsadam2465
@saidsadam2465 4 года назад
justine festo 2po
@nanaempress4596
@nanaempress4596 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂
@jackiekeya123
@jackiekeya123 4 года назад
Sauti yako tamu jamani
@oscalaelias3114
@oscalaelias3114 4 года назад
braza nenda kachukue nafasi ya mtiga pale wasafi mana unatisha
@gerkombo6512
@gerkombo6512 4 года назад
Salute kwake Abuu
@scofishcheiman5267
@scofishcheiman5267 4 года назад
Sauti kama kaka joz
@badmanno.1650
@badmanno.1650 4 года назад
Nikafkiri ni Ananias Edgar... kumbe mpo wengi
@TEACHER.CLEOPHAS
@TEACHER.CLEOPHAS 3 года назад
Umeeleza kikamilifu kabisa.
@j_gh812
@j_gh812 4 года назад
Kaka hua napenda makala zako..ila kwa abuu nawas kama hujafanya utafiti kwa kina...abuu nawas sio tu alikua mtunga mashahiri..bali alikua kiingozì aliyeshika dola ya iraq enzi hizo..hakua mtu wa kawaida kama inavosimuliwa na inavojulikana kwa abunuwasi..jina lake halisi ni abuu nawas..
@lailahizubery8799
@lailahizubery8799 4 года назад
Kwel kbsa hajafny utafiti kbsa
@allyseba172
@allyseba172 4 года назад
M nimesikia kwetu kirando
@saleheinnocent7636
@saleheinnocent7636 4 года назад
Hahahahaaaaa
@abdallahmgotto7474
@abdallahmgotto7474 4 года назад
Rukwa moja
@alantonio855
@alantonio855 4 года назад
Ananias Edgar yupo wapi ?
@mussakuntu7702
@mussakuntu7702 4 года назад
Sio abdallah
@saidsoud5967
@saidsoud5967 4 года назад
Sauti km Mtiga
@samuelasiimwe9274
@samuelasiimwe9274 4 года назад
Hii si ni copy
@MITOBO
@MITOBO 4 года назад
Mama yangu alikuwa akiniita Abu Nuwas nikfanyav ujinga
@loynaerick2638
@loynaerick2638 4 года назад
Alaaaaaa kumbeeee!
@hamidahamida1473
@hamidahamida1473 4 года назад
Atamiminilikuwanakktabuchake
@loynaerick2638
@loynaerick2638 4 года назад
Hamida Hamida ulifaid aisee
@BigZhumbe
@BigZhumbe 4 года назад
Uyu jamaa kitabu chake on Amazon ni $1500+ sawa na million 3+ za kibongo..... sio mchezo
@cautharylameck1429
@cautharylameck1429 4 года назад
Apa umechemka kidogo by
@simonphabiano9050
@simonphabiano9050 4 года назад
We jamaa ni fundi wa simulizi
@swalehkataga8352
@swalehkataga8352 2 года назад
Mbon umetutukana waarab wa nzega
@euniceeunice7680
@euniceeunice7680 4 года назад
Sasa izo nyimbo zke ziko wp?naona misifa kibaoo lkn sijaona cha maana alicho fanya msxuuuuuuu
@abdullyibonko7658
@abdullyibonko7658 4 года назад
duh kumamake mmeiga na the story book
@mzeeakida8430
@mzeeakida8430 4 года назад
Siyo kweli iwapo abunuwasi alizaliwa miaka ya 1760 na aliishi kwenye utawala wa harun rashid miaka ya 809, how!!!!?
@lailahizubery8799
@lailahizubery8799 4 года назад
Kwel yaan
@kirwaemmanuel5736
@kirwaemmanuel5736 4 года назад
Died in 1815
@chabamzee3550
@chabamzee3550 4 года назад
Mbona unaweka picha za wazungu.kwani mzungu anajuwa mnazi
@allythabiti8150
@allythabiti8150 4 года назад
Duh
@nzegeatv6355
@nzegeatv6355 4 года назад
Kama umemmiss Mtiga na umegundua Kama uyu Jamaa ana muiga mtiga na hawezi kumfikia Mtiga kiuwezo nipe like hapa
@mudyplatnumzsalim4259
@mudyplatnumzsalim4259 4 года назад
Hyu jamaa,mtiga wtewnajua ila ananies ediga ni Baba lao
@rashidhashim1264
@rashidhashim1264 4 года назад
Afu' umesahau kutaja dada zetu wenye kujuchubua kwa mkorogo ili wafanane na waarabu wa Nzega ! Such a shame : we pretend to hate what we actually LOVE.
@mohammedmussa9411
@mohammedmussa9411 4 года назад
Abu Nuwas mtu mwenye akili
@ramadhanijuma4704
@ramadhanijuma4704 4 года назад
🙌🙌
@hassanrashidhassan5218
@hassanrashidhassan5218 4 года назад
Nimefanana nae jina na vinyweleo😀😀😀😂😂😂😂😂 kasoro mm Sio muarabu
@kangunguseba2056
@kangunguseba2056 4 года назад
Gonga like kwa wakirando
@sontrillthereal8186
@sontrillthereal8186 4 года назад
Tutake radhi wana Nzega
@muhammadmahmoud1068
@muhammadmahmoud1068 4 года назад
Nmekuja kusoma comment tu+974🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@emanueladamayubu9940
@emanueladamayubu9940 4 года назад
Wawoooooo habari za Oman,
@kirupyseleman582
@kirupyseleman582 4 года назад
TABORA nimefrahi kusikia tabora na wilaya yake nzega
@pascalmashaka1219
@pascalmashaka1219 4 года назад
Kirupy Seleman nzega moja et?
@kirupyseleman582
@kirupyseleman582 4 года назад
@@pascalmashaka1219 saana
@pascalmashaka1219
@pascalmashaka1219 4 года назад
Kirupy Seleman sehemu gan
@simonphabiano9050
@simonphabiano9050 4 года назад
NZEGA 1
@simonsmithajax
@simonsmithajax 4 года назад
Huku holland nikisikia tabora nafurahi sana jamani radio vot (voice of tabora) imeishia wapi?
@abdulrahmansalim9773
@abdulrahmansalim9773 4 года назад
Abu nuwas magufuli.
@RekhaRekha-es8br
@RekhaRekha-es8br 4 года назад
Abunuwasi Na juha je 😆😆😆😂😂😂abunuwasi haende mpaka kwa juha🤗
@abdalahmanally6796
@abdalahmanally6796 4 года назад
eb acha uongo
@adamally8791
@adamally8791 4 года назад
Huyu jamaa mi nilijua ni Mtiga aisee hii ndio copy and paste
@tonyelshabbaz
@tonyelshabbaz 4 года назад
Kama unahisi ni rahisi iga nawewe uanzishe RU-vid account upige pesa!
@hajisaidi225
@hajisaidi225 4 года назад
Umeona ee
@oscalaelias3114
@oscalaelias3114 4 года назад
huyu jamaa ni mkongwe kuliko mtiga..jamaa ni wakitmbo kwenye game
@wongwong3297
@wongwong3297 4 года назад
Wewe ni ng ' ombe Hebu copy And yako tuone Idiot
@blackpanther4825
@blackpanther4825 4 года назад
Wewe Adam Ally kilaza huyu na Ananies Edgar wameanza kitambo kabla ya Mtiga. Boya mmoja
@johnsanga9528
@johnsanga9528 4 года назад
Kina Abu wanashida gani eti😀
@rashidhashim1264
@rashidhashim1264 4 года назад
Umesema mama yake ni muajemi wa Iran (Persian ) na baba yake ni mwarabu ( 3:50 to 4:00 ) Vipi basi useme ni mwarabu safi (2:50 to 3:00 ) ? Au kwa sababu akiishi Baghdad na Misri badala ya kirando na Nzega....wewe ndo kilaza Bruv. .....
@salujuma6873
@salujuma6873 4 года назад
Hii saut kama yanani vile?
@kirwaemmanuel5736
@kirwaemmanuel5736 4 года назад
Ni kama ya Ananias edka
@mnerostationeries1113
@mnerostationeries1113 4 года назад
Mh umetia chumvi mwandishi.
@robertshirima6187
@robertshirima6187 4 года назад
Hahaha I remember this story
@salimsheibany6940
@salimsheibany6940 3 года назад
Muarabu koko maana yake ni nini? Hii ni kauli ya kibaguzi sana!
@sharifumussa9416
@sharifumussa9416 4 года назад
we nimuongo hiyo history siyo yakweli, kisha nikuweke sawa ktk jina la abuu nuwass. abuu ni baba na nuwass ni vijidude viwili vinayoota kwa mbuzi chini ya taya, hiyo abu nuwass alikuwa akitengeneza ndevu zake kama vile vidude vya mbuzi vinavyoota. ndiyo wakampa jina abu nuwas yaani baba wa tezi mbili. kisha abuu nuwas akuwa mlevi kama baba ako . acha kutukana wacha mungu. pumbavu mkubwa wewe. kabuli la abuu nuwass lipo na linaeshimiwa vizuri kabisa, kama huna cha kuongea acha kuongea vingine vinamazara pumbavu wewe abuu nuwas kafa akiwa nyumbani kwake na aliandika ujumbe kisha akaficha ktk mto wake wa kulalia na baada ya kuzikwa akamtokea ndotoni rafiki yake wakaribu na kumueleza suri hiyo akaifichue. sasa wewe bwege unaanza kuleta udini ktk history ya uwongo... acha upumbavu
@abdallahkhalid1895
@abdallahkhalid1895 4 года назад
Abuu Nawas
@thejoeclassicsoldier
@thejoeclassicsoldier 4 года назад
Ulidanganywa hivyo unaamini uongo unaouamini
@godfreyleka5839
@godfreyleka5839 4 года назад
mpaka utukane?. Hata kama usemalo ni mapokeo ya kweli. kwa kukosa busara kwako. umeshindwa kutuaminisha. uwe na AIBU kutukana mbele za watu.
@ismailkatala4792
@ismailkatala4792 4 года назад
@@godfreyleka5839 Bora hata umemwambia
@hajiabdallah1463
@hajiabdallah1463 4 года назад
We mwenyewe muongo kwan ulikuepo si umesoma2 na ww
@tariqbinaloo7744
@tariqbinaloo7744 4 года назад
Brother naomba nikukumbushe waarabu hakuna koko wala wakufugwa sio wanyama ni binaadamu bora sema wazaliwa hapa
@tariqbinaloo7744
@tariqbinaloo7744 4 года назад
Dakika 2:50 kauli yako
@elisanteqawoga9940
@elisanteqawoga9940 4 года назад
Nyie huwa mnachukia mkiitwa waarabu koko,ni namna ya utani tu,kila race ina utani wake..kwa hiyo mnataka kuniambia nyie ni waarabu?
@eliahedward7490
@eliahedward7490 4 года назад
Daaaaah, nmemwona tyson furry
@jumanassib3634
@jumanassib3634 4 года назад
Mwandishi wa habari unapaswa ujiepushe na lugha mbofumbofu za mitaani kama kuwaita watu wa...b'koko! 😅 WATCH YOUR TONGUE!
@assiakwinnj4910
@assiakwinnj4910 4 года назад
Lazimaaongeze cunvukidogo ndoinanog👌
@henrygaya613
@henrygaya613 4 года назад
@@assiakwinnj4910 tangu lini ukawa mshauri?
@pizothe1269
@pizothe1269 4 года назад
da jamaa hamn ata unachojua kuusu iyo historia٫ anzaga kuijua vyema historia na kuutafuta ukweli na uthibitisho wake ndo uitoe.
@vanmlayelectrician6624
@vanmlayelectrician6624 4 года назад
Sio msuliaji ni mtungaji use ur brain boy
@ManMan-sz8fy
@ManMan-sz8fy 4 года назад
Kumbe tabora ni koko bora warabu dar
@queencutedragon1176
@queencutedragon1176 4 года назад
Hahahhahaha
@mtiambukasaid7024
@mtiambukasaid7024 4 года назад
ujafa ujaumbika
@nelsontarimo5597
@nelsontarimo5597 3 года назад
Mh
@youngsomalihd9692
@youngsomalihd9692 4 года назад
Wacha tu urongo,ulikua ww wakati akichekesha
@farhatfatma12
@farhatfatma12 4 года назад
Kama Abuu Nuwas ni Muiran, basi yeye hakua muarabu Bali alikua Mfarsi!
@salehlule7745
@salehlule7745 4 года назад
sio wanaoish iran ni wafursi tu waarabu pia wapo wengi tu
@farhatfatma12
@farhatfatma12 4 года назад
@@salehlule7745 , Najua. Nilimsikia msoma habari akisema kua huyu bwana alitokea Iran. Sio akiishi Iran , ndio nikahisi ni Muiran.
@salimsalum7728
@salimsalum7728 4 года назад
Mfarsi ni jamii gani? muafrika mzungu au mwarabu?
@tunnaika
@tunnaika 4 года назад
Huyu jamaa alikua shoga flani. Alikua apenda vijana vyembamba walio fanana kike kwa umbo na tabia
@kokolebrain7274
@kokolebrain7274 4 года назад
Tuletee na JUHA😂😂😂😂
@saalimmohammed3256
@saalimmohammed3256 4 года назад
Hio dharau msimuliaji utawaitaje wenzako waraab koko, rekebisha kauli yako ndg heshima ni kitu kdg sana na kibri hakifai ujue ni msimuliaji mzuri tu ww,nafkiria saiv unavuuka mipaka,Au ndo ule msemo "Mgema akisifiwa sana pombe huitia maji"?
@yahyazainab55
@yahyazainab55 4 года назад
Tumsameheni kaponyokwa na mdomo labda!!!.
@saalimmohammed3256
@saalimmohammed3256 4 года назад
Mvc Hakuna dhana cc tunatafsiri kwa kile alichokiongelea haijalishi ni nani kaongea.
@fauziaabdillahihassan7702
@fauziaabdillahihassan7702 4 года назад
Hata Mimi huwaita waarabu koko wa mombasa mbona ni makoko vile hawajui kwao nilijua hivyo
@Lumi063
@Lumi063 4 года назад
Maana ya Abu Nuwas ni baba Nuwas na warabu walotoka Nzega na Tabora ni warabu wa asili zao sio koko bora ulizeni kabla hamja criticize watu
@salimibrahim2497
@salimibrahim2497 4 года назад
Kabisaa
@aristidesmtui6593
@aristidesmtui6593 4 года назад
Koko anamaanisha machotara acha kufinya akili zako
@paschalmichael119
@paschalmichael119 4 года назад
alimzidi William Shakespeare!!?
@saedpolepole5126
@saedpolepole5126 4 года назад
Shakespeare ni mchumba tu hajamkutia hata Mullah Nassruddin a.k.a juha
Далее
HISTORIA YA CHIFU MKWAWA / WAZUNGU WANAYOIFICHA!
25:56
Просмотров 950 тыс.
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00
Family♥️👯‍♀️🔥 How old are you? 🥰
00:20
Baahubali Kalakeya War Scene.
27:36
Просмотров 65 млн
Understanding the Biology of Mental Illness
8:47
Просмотров 177 тыс.
The Story Book : Usiyoyajua Kuhusu Jua
26:54
Просмотров 978 тыс.
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00