Abunu was alikuwa mlevi na alikuwa na kili sana na alikuwa na mashairi mazur sana sema mashairi yake yalibase kwenye pombe na mapenz so mashehe hawakupenda mashairi yake coz hakuisifia dini. Like Zenu jamman💥💥💥💥💥💥
@@fatumamwalimu5765 alivyoenda Misri alikutana na mwanafunz wake ndy mfalme alishusha mashair meng. Ila alijaribu ya kidin akashindwa. Ila kwa upande mwingne mashair yake yalikuwa mazuri coz yalikuwa ni yauoatanishi
@@francechristopher9456,uenda MUNGU alikua alishampiga muhuri na ndio akaweza kuendelea na utunzi wa mashairi ya kidunia, kusifu pombe na uzinzi,na ndio bado hata kwa hicho kizazi kilicho msifia bado wanamdhihaki, yaani mtu kusema niondolee adithi zako za abuu-Nawasi,sasa bado inachukuliwa ni porojo
Hapana Abu Nuwaas Alikuwa mlevi Na mshairi Mkubwa Sana Katika Washair wa Historia japo Alikuwa anasifia Pombe tu lakin baadae Alitubia Akawa mtu mzuri Na mwishoni mwa uhai wake Akawa anaimba mashairi Mazuri Ya Dini
Watanzania washabiki wa dini sana ebu waangalie wote waliochukia neno 'waarabu koko' utagundua ni watu flani wa imani moja na wanao tetea ni imani nyingine (mashindano ya dini yametuaribia sana upendo mungu aliouagiza kwa msisitizo 'mpende jirani yako kama NAFSI YAKO. Inahuzunisha sana
Maelezo mazuri sana, lakini ushauri wangu kwako, ACHA TABIYA YA KUONYESHA KUWADHARAU WATU WENGINE KAMA KUSEMA WARABU WA NZEGA NI WARABU KOKO, Huko nikuwatukana NA kuwadharau watu, hii inaweza ikaleta chuki, na kumbuka wengine ni wafuasi wako.
Kwa Hili Amekosea Sana lakin labda Ni kwa sababu hajui maana ya muarabu koko karopoka Anatafsiri Muarab Koko kama Muarabu wa Africa au Tanzania kumbe sio hvyo
Acheni ukafiri wenu huyo hakuwa mlevi wala hakuwa, kafiri, huyo ni mtu alikuwa na imani Yake na maadili Yake, acheni kutukana watu wema, kwa. Vile alikiwa muislam, ndo maana mnamtikana, makafiti nyie,
Kwanini nyie huwa mnapenda kusikia sifa nzuri tu!mbaya huwa hamtaki kuzisikia..hakuna binadamu aliyemkamilifu mbele ya mwenyenzi mungu..hata hao viongozi wa kidini huwa wanakosea
Kaka hua napenda makala zako..ila kwa abuu nawas kama hujafanya utafiti kwa kina...abuu nawas sio tu alikua mtunga mashahiri..bali alikua kiingozì aliyeshika dola ya iraq enzi hizo..hakua mtu wa kawaida kama inavosimuliwa na inavojulikana kwa abunuwasi..jina lake halisi ni abuu nawas..
Afu' umesahau kutaja dada zetu wenye kujuchubua kwa mkorogo ili wafanane na waarabu wa Nzega ! Such a shame : we pretend to hate what we actually LOVE.
Umesema mama yake ni muajemi wa Iran (Persian ) na baba yake ni mwarabu ( 3:50 to 4:00 ) Vipi basi useme ni mwarabu safi (2:50 to 3:00 ) ? Au kwa sababu akiishi Baghdad na Misri badala ya kirando na Nzega....wewe ndo kilaza Bruv. .....
we nimuongo hiyo history siyo yakweli, kisha nikuweke sawa ktk jina la abuu nuwass. abuu ni baba na nuwass ni vijidude viwili vinayoota kwa mbuzi chini ya taya, hiyo abu nuwass alikuwa akitengeneza ndevu zake kama vile vidude vya mbuzi vinavyoota. ndiyo wakampa jina abu nuwas yaani baba wa tezi mbili. kisha abuu nuwas akuwa mlevi kama baba ako . acha kutukana wacha mungu. pumbavu mkubwa wewe. kabuli la abuu nuwass lipo na linaeshimiwa vizuri kabisa, kama huna cha kuongea acha kuongea vingine vinamazara pumbavu wewe abuu nuwas kafa akiwa nyumbani kwake na aliandika ujumbe kisha akaficha ktk mto wake wa kulalia na baada ya kuzikwa akamtokea ndotoni rafiki yake wakaribu na kumueleza suri hiyo akaifichue. sasa wewe bwege unaanza kuleta udini ktk history ya uwongo... acha upumbavu