Тёмный

ADAM MCHOMVU, B DOZEN KWAHERI XXL | WANAUNGANA NA GEORGE BANTU KWENYE JAHAZI | URITHI WA CAPTAIN 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 13 тыс.
50% 1

Urithi wa Jahazi kwa hisani ya Captain G Habash uliosomwa na Mkuu wa Maudhui CMG, @sebamaganga amesema yeye mwenyewe (Captain) alipendekeza @adamchomvu aungane na swahiba wake @bdozen kuliendesha Jahazi ili lifike Pwani.
Urithi umeheshimiwa!!!
#CaptainWaGemu

Спорт

Опубликовано:

 

7 май 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 48   
@MsouthBoy
@MsouthBoy 2 месяца назад
Kutokea 88.9 mhz Singidanian town , Naomba niyafikishe mawazo yangu mjengoni na mawazo yangu ni kwamba tusiangalie tu kuwapeleka B12 & AD + kwenye jahazi , Jee hatuoni kwamba ndo tunaenda kuiua XXL kwa sababu tumezibeba nguzo kuu zote za chama la wanaa , Mimi nafikiri Josee Mara & James Tupatupa wangefaa sana kuingia ndani ya JAHAZI kwa sababu ni watu wa mastory ya town halafu dawati la LEO TENA libaki kwa msemaji wa maisha ya watu DC MWIJAKU
@sallynakey_tz
@sallynakey_tz 2 месяца назад
Uko sawa sana kwa jose mara na James tupa tupa ila kuhusu dawati kumpa mwijaku apana yule baba ni mropokaji sana
@MsouthBoy
@MsouthBoy 2 месяца назад
@@sallynakey_tz 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@khadijamvungi3000
@khadijamvungi3000 2 месяца назад
Mmezinguua sana sikilizeni ushauri wawa sikilizaji wenu adamchomvu na bi 12 wakiondoka xxxl imekufa na wakienda jahazi imekufa kwahiyo mm naona kwenyejahazi awepo joji bantu. Jose mara. Dj d omi na musahosein
@henryedmund1046
@henryedmund1046 2 месяца назад
Wale vijana waliokuwa wanasikiliza xxl saivi ndio wanasikiliza jahazi... Wapo makazini.. so wataendana kabisa na maudhui.. saivi dozen au mchomvu amuhoji jaymelody kuhusu mahusiano inakaaje😂😂😂
@BlessingPraygod
@BlessingPraygod 2 месяца назад
Jose mara,Musa Hussein,G. Bantu dj ommy
@AkwiliniMalya
@AkwiliniMalya 2 месяца назад
Whater are new sign on jahazi la clouds fm hii ht captain atapumzika kwa amani kabisa hom boys Twangala & Baba Jonii kila la herii wana
@kennedjohn5785
@kennedjohn5785 2 месяца назад
Hii iko sawa. B dozen na Mchomvu game ya bongo kitambo na age imeanza kukimbilia kwenye utu uzima japo wanaonekana vijana. So, wapangaji wameangalia mbali. It's good choice
@nelykaaya6503
@nelykaaya6503 2 месяца назад
Nakubaliii
@lupamwakyusa1582
@lupamwakyusa1582 2 месяца назад
Hapana bhana msitufanyie ivoo bhana tafteni wengi wa jahaziiii aiseee hapanaaa 😭😭😭
@user-op5gz7vj6w
@user-op5gz7vj6w 2 месяца назад
Daaahh at a me imeniiumaaa jamn ilaa ndo familia yetu soteee
@agripinaenock2411
@agripinaenock2411 2 месяца назад
Jmn tuachieni hawa watu kwenye XXL🙏
@augustinemollel2470
@augustinemollel2470 2 месяца назад
George Bantu,Mussa Huisen ,Dj Fety, Paulo Jems Suya
@vanessastafford6426
@vanessastafford6426 2 месяца назад
Hivi Kweli Barbara Hassani mmeshindwa kumrudisha kweli. V
@OnlyRuky
@OnlyRuky 2 месяца назад
Kati ya hawa..Dj fetty,Mussa Hussein, George bantu, Or Jose Mara kipindi kinamfaa saana..BIG NOOO ADAM kweli mmefikiriaje hapo?????
@WinifridaMeshack
@WinifridaMeshack 2 месяца назад
Wanafaa hao sana tu❤
@QueenGabriel-ys7eh
@QueenGabriel-ys7eh 2 месяца назад
Wangekua b dozen,mussa Hussein na gorge bantu
@asiaahmedy8944
@asiaahmedy8944 2 месяца назад
Kwa mm ninavyoona jahaz n kipindi cha watu wakubwa wenye fikra kubwa wenye kuwaza kwa upana zaid czan km watu waliochaguliwa wanafit ktk kipindi hicho dozen,adamu hawafit hk kbs yn laiti ningekuwa mm ningemueka yule mtangazaj w 360 y asubuh pj na masud kipanya
@giningionlineTv
@giningionlineTv 2 месяца назад
Wanajifanya wanajua sana Clouds na hawakuzingatia maoni yetu ila hao jamaa kwa hawafit kabisaaaaa hata wapewe karne coz vichwa vyao havina madini ya kihabari wana burudani tu, binafsi ni msikilizaji wa Clouds miaka 10 naushee sasa ila sikubaliani na hili n'gooooooooo na nasema kwa mdomo mpana kuwa JAHAZI tayari limezamaaaaaaa😭😭😭😭😭
@albertmshiu6578
@albertmshiu6578 2 месяца назад
Tuwekeeni basi redio kwenye dish ya dstv mnakwama wapi clouds!
@shaluamkumbo9880
@shaluamkumbo9880 2 месяца назад
Mimi nashauri George Bantu, Jose Mara, Musa Hussein na Dj Faty
@ivannndelwa6457
@ivannndelwa6457 2 месяца назад
Jose mara,Musa Hussen,G Bantu
@HappyAsajile
@HappyAsajile 2 месяца назад
Sitaki yani sitaki apo pa mchomvu sitaki mbon mnakaua iv mwe, kwan Yan apan adam wang mim jamn mbona ad nalia
@JEREMIAHMASASI-ef1pn
@JEREMIAHMASASI-ef1pn 2 месяца назад
Musa huseni Jose mara wanafaa kuungana na joji bantu hao wengine waacheni kwny XXL yao
@lupamwakyusa1582
@lupamwakyusa1582 2 месяца назад
Feti au babra mmoja wapo angerudi na sam sosaliii hapo mmebugiii sana mmepotea
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 2 месяца назад
Na bado karma is beach more is coming vibaraka na wanyonya damu za artist
@RehemaMaganga-ed1go
@RehemaMaganga-ed1go 2 месяца назад
yan hapa mmezngua kusema kwel kwa uchaguz huu xxl itapoa xana
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 2 месяца назад
Dozen jahazi afanye kifaza aache ubrazameni
@abdulhamis9825
@abdulhamis9825 2 месяца назад
Hapa Naona Mmefail Seba Adam Kwel Kwann Fetty Asirud Pale Japo Na Huyo Siza Au Unaona Jahaz Inataka Watu Maarufu Zaid Kuliko Ubunifu Na Uelewa Wa Mambo Aswa Ya Nchi Ukiweka Hao Wakina Bdozen Na Adam Ni Tofaut Sana Kwa Iko Kpnd
@harrsmgaya8141
@harrsmgaya8141 2 месяца назад
Ko! XXL itakuwaje naona vinala wote mme chukua
@nassoromussa4440
@nassoromussa4440 2 месяца назад
Labda B dozen ila kwa Adam Mchomvu kwenda jahazi kipindi ambacho hata watu wazima wanasikiliza so kwa Adam bangi nyingi atazngua
@josephkaburu4926
@josephkaburu4926 2 месяца назад
heshimu watu na kazi zao #ushauri
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 2 месяца назад
Kimataifa hahaahaaa 😂😂😂😂😂😂😂
@eliuskamwelwe1018
@eliuskamwelwe1018 2 месяца назад
Mussa Hussein mwenyewe huwa hajulkani kani kama n mtangazaji au vip
@augustinemollel2470
@augustinemollel2470 2 месяца назад
Wapi Mussa husein jamani
@user-jk7tq7xq2f
@user-jk7tq7xq2f 2 месяца назад
Imekaa Sawa kabisa
@audaxmlowa9953
@audaxmlowa9953 2 месяца назад
Ibra kadabla alitakiwa awepo jahazini
@AgustinoJoseph-jq7or
@AgustinoJoseph-jq7or 2 месяца назад
Hapo Kwa adamu 🎉niwape hongeraa
@ImmaThelonewolf-bk2cx
@ImmaThelonewolf-bk2cx 2 месяца назад
Kwani mussa Husseni yuko wapi?
@nakalekwategeta8410
@nakalekwategeta8410 2 месяца назад
Mmezingua mno jaman
@SaluMaige-sc8bm
@SaluMaige-sc8bm 2 месяца назад
Xxl inakufa magazine linazama maana mnaweka wa2 sii sehem yao
@user-ix2bx9dn4o
@user-ix2bx9dn4o 2 месяца назад
Yan vipindi viwili vinazama kwa wakati mmja
@NeemaMushi-wj1zn
@NeemaMushi-wj1zn 2 месяца назад
Adam muachen
@kadobwoy4882
@kadobwoy4882 2 месяца назад
duu ngj tuone
@BarakaJohn-qt5py
@BarakaJohn-qt5py 2 месяца назад
Adam mchomvu
@QueenGabriel-ys7eh
@QueenGabriel-ys7eh 2 месяца назад
Adam mchomvu abaki XXL
@wemaMichael-fr4th
@wemaMichael-fr4th 2 месяца назад
kipindi kitawaka moto jahazi wanawekwa vichaa
@QueenGabriel-ys7eh
@QueenGabriel-ys7eh 2 месяца назад
Hahaaaa
Далее
World Record Tunnel Glide 🪂
00:19
Просмотров 21 млн
Jua kali leo usiku jumapili 21-7-2024         4k
19:14
Просмотров 37 тыс.
Vituko Vya Ephraim Kibonde Enzi Za Uhai Wake
3:01
Просмотров 77 тыс.
Iron Chin ✅ Isaih made this look too easy
0:13
Просмотров 1,5 млн