Hongereni Sana. Karibuni katika jumuiya ya wastaafu. Nyinyi ni jeshi la akiba linaloweza kuwasajihisha vijana kwenye maendeleo na mapambano. Hii ni firsa kubwa ambayo wengi hawakubahatika. Ni vizuri wizara na viongozi wengine wangeiga mfano huu. Mitawi